Hatimaye Yanga yakabidhiwa kwa Manji aiendeshe kama club Binafsi

Kwa mtu mwenye akili akili timamu hawezi asilali kukubali mkataba huo...
" eti ikipatikana hasara inabaki juu yangu ila faida club inapata 25% yeye 75% " seriously,? Wanachama wa Yanga wana akili timamu kweli ama walikua "intoxicated"??
We ni mwanachama simba?
 
tena jamaa anawaingiza chaka kwa akili kweli,faida ya wote hasara yake,waswahili tusivyopenda hasara na kupenda njia ya mkato hapo lazima tuingie tu kingi kiulainii
Wacha upotoshaji wewe,
Mchakato wenyewe huujui,umesoma mitandaoni unawahi huku jf kujidai eti nawewe upo.Tukikuuliza swali moja hutatujibu,haya tuambie katika uongozi wa yanga,we una nafasi gani?
 
mkuu asnte kwa kuntukana, japo nlitoa maoni kama mtu huru, nisamehe kama umekwazika na mchango wangu mkuu
Acha kununa bhana, sposi na kununa wapi na wapi? 'Taahira' ni kasoro tu. Kwa mfano, taahira ya macho (makengeza), taahira ya mguu (kilema) taahira ya mawazo (kudhani Yanga inaweza kushuka daraja), taahira ya siasa (kunyima wapinzani kufanya mikutano) na kadhalika.

Lakini tukitoka kwenye utani, kinachokuuma ni kuambiwa ukweli au kufungwa 2 x 2 = 6?
 
Acha upuuzi wewe ni nani alitaka kutoa bilioni 65? Mtaje hapa...Wewe umeshaichangia Yanga sh.ngapi?
 
Povu hilo, Mama Chiku na Family Detergent.

Wachezaji wako walihongwa na Yanga, je Toto Africa nao waliwahonga ndio wakawapiga kidude? Hebu funguka mwagito
 
Acha upuuzi wewe ni nani alitaka kutoa bilioni 65? Mtaje hapa...Wewe umeshaichangia Yanga sh.ngapi?
Acha ubwege wewe nikutajie nimetoa ngapi ili ufanyaje, au nyie ndo mashabiki maandazi akat hata sumni hutoi yanga sio ya kuikodi ila kama hujui history yake waeza sema hivyo sio kosa lako.
 
Hahahahaha jangwani fm na pale dimbwini jangwani sea breeze
 
Hivi ili simba ifanye vizuri ni lazima waiombee mabaya yanga hata kwenye maswala ya maendeleo ya club?
 
Swali la nyongeza: Huu utaratibu unaotaka kutumika Yanga, ulishawahi kutumika katika uendeshaji wa timu gani duniani? Je ulifanikiwa kwa kiasi gani?
 
Tukiweka ushabiki pembeni tunakuta kuwa kitendo cha wana yanga kumpa Manji hizo asilimia 75 kwa kipindi cha miaka kumi kinawafanya waonekane ni watu wanaoongozwa na hisia za kishabiki katika kufanya maamuzi ni sio uhalisia.........
Sasa utapimaje ufanisi kwa kipindi cha miaka kumi...!!??
 

Amejikopesha bure au??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…