Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Habari za mwanzo ni ilikua nae atoe bilioni 25 kisha achukue 50% lakini mpango huo ukavurugwa na kigogo mmoja alietaka kutoa bilioni 65 kwa asilimia hzo hzo ndo ili kumvua huyo mshindani akaamua kujikodisha, swali linakuja hivi ndani ya miaka kumi akiishusha daraja je, akiamua kuitumia yanga kukopea hela benki je, tujiulize maswali kabla ya kumkubalia
Hahahahha ndoto za alinacha hizi eti bilioni 65 hahhah yanga bana [emoji23] [emoji23] [emoji23]