Hatimisho: Nimefika salama Marekani

Hatimisho: Nimefika salama Marekani

Hongera Kwa kuingia land of opportunity USA.

Utakuwa ni kichaa tu ukiishi sehemu miaka 3 ukose maarifa ya kuextend ukaazi wako, utakuwa na tatizo kichwani.

Usiache kufuatilia video za EBM jamaa amedevort muda wake kutowa mwongozo halisi hata ukiwa ndani ya Marekani, mmfolow Facebook na YouTube utapata mwongozo mzuri.

Muhimu kuliko vyote Sasa tafuta new connection, unasoma na watu tofauti utakuwa binadamu wa ajabu kukosa marafiki wapya miongoni mwa wanachuo wenzanko.
Ahsante kwa ushauri, nitafanyia kazi Mkuu, ahsante sana.
 
Kupaa kwenda USA tu umeanzisha uzi!

Vipi ukipaa kwenda mbinguni utaanzisha nini?
Ni vizuri kushukuru neema za Mwenyezi Mungu na kuhadithia ni Moja Kati ya njia za kushukuru ilimradi wengi nao wasikate tamaa kama mimi nimepata nilijiwekea maisha yangu niishie kulima korosho chitoholi lakini sasa nimehamasika kuingia USA kupitia uzi wake.
 
Back
Top Bottom