Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hivi thread Kwa nini imeletwa jukwaa la chitchat and jokes?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi thread Kwa nini imeletwa jukwaa la chitchat and jokes?
Wewe inakusaidia nini na yeye anapata kwa hilo ?Inawezekana yupo mbagala kizuiani sio USA
Shukran sana kiongozi wangu.Karibu sana Marekani mkuu.
Ahsante kwa ushauri, nitafanyia kazi Mkuu, ahsante sana.Hongera Kwa kuingia land of opportunity USA.
Utakuwa ni kichaa tu ukiishi sehemu miaka 3 ukose maarifa ya kuextend ukaazi wako, utakuwa na tatizo kichwani.
Usiache kufuatilia video za EBM jamaa amedevort muda wake kutowa mwongozo halisi hata ukiwa ndani ya Marekani, mmfolow Facebook na YouTube utapata mwongozo mzuri.
Muhimu kuliko vyote Sasa tafuta new connection, unasoma na watu tofauti utakuwa binadamu wa ajabu kukosa marafiki wapya miongoni mwa wanachuo wenzanko.
Nashangaa hata mimi, na huku ni mwendelezo wa thread zangu nyingi za nyuma.Hivi thread Kwa nini imeletwa jukwaa la chitchat and jokes?
Kabisa nipo Mbagala kwa NyokaInawezekana yupo mbagala kizuiani sio USA
Mkuu hizo akili nimepambana nazo sana, ila hazijanikatisha tamaa.Wewe inakusaidia nini na yeye anapata kwa hilo ?
Kabisa nipo Mbagala kwa Nyoka
Kuna kitu kinaitwa world view kama ulisoma level ya chuo kikuu utakuwa unakijua kama wewe ni gumbalu basi endelea na maswali yako ya kishamba.Kupaa kwenda USA tu umeanzisha uzi!
Vipi ukipaa kwenda mbinguni utaanzisha nini?
Ni vizuri kushukuru neema za Mwenyezi Mungu na kuhadithia ni Moja Kati ya njia za kushukuru ilimradi wengi nao wasikate tamaa kama mimi nimepata nilijiwekea maisha yangu niishie kulima korosho chitoholi lakini sasa nimehamasika kuingia USA kupitia uzi wake.Kupaa kwenda USA tu umeanzisha uzi!
Vipi ukipaa kwenda mbinguni utaanzisha nini?
Kupaa kwenda USA tu umeanzisha uzi!
Vipi ukipaa kwenda mbinguni utaanzisha nini?