Hatimisho: Nimefika salama Marekani

Hatimisho: Nimefika salama Marekani

Mwenye Enzi Mungu akubariki ulilo lifuata huko ulikamilishe kwa flying colors!
Kuhusu kurudi au kubaki, una three years za ku make up your mind!
Remain blessed [emoji56]
Thanks Boss
 
The day I land USA ndio inakua ni nchi yangu ya maisha. I mean it and I'll do everything legal to change my citizenship even though it'll not be simple. The only thing that will make me to come back to Bongo land a.k.a Tanzania is to check how my folks and My siblings doing and the next month I'll fly back to America. By the way congratulation to you man because getting USA Visa is not a child's play.
 
Mkuu Invigilator I couldn't be happier for you. Hongera sana na karibu kwenye nchi ya maziwa na asali. Land of the free and home of the brave. Sasa umevua gamba na umekua brave [emoji1787]

Michongo ipo mingi na kubaki inawezekana kabisa hata sisi tulikuja kama wewe ila hadi leo tunadunda hapa bongo tunaenda tukimiss kupigwa vumbi tu.

Aluta Continua.
Hi Aluta continua Ina maana gani??
 
Back
Top Bottom