Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Aya mzee wa Yanga babayaga au baba Caryn haka katoto katakutoa jasho sana aisee hakaeleweki Kabisa kama mvua za dar vile Leo mvua kubwa kesho imekata Kabisa,,aaaah aaah lete mwendelezo kosea uje ukaoe utajuta japo utai enjoy pia chungutamu iyo inaitwa.
 
Ilipoishia

Nikarudi Ndani nikiwaza Ile taarifa aliyonipa Annie unajua siku hazigandi, kesho kutwa tu hapa kwaresma inaanza ,Sasa Caryn alivyoniona ghafla nimekuwa na mawazo akanambia

Caryn: "BM Unajua hapa ni kwako, haina haja ya kujibana unaweza kuongea na simu mahala popote"

BM: "Kwanini unasema hivyo?"

Caryn: "Nakuona simu zako sio za uhuru, ukitaka kupokea ni lazima utoke nje"

BM: "Halafu huyu niliyetoka kuongea nae huwezi amini ni mwenye nyumba"

Caryn: "Kodi imeisha au?"

BM: "Hapana, siunajua hita ya Bafuni kwangu haifanyi kazi so nilikuwa nampa taarifa"

Caryn: "Ooh ila kama ni kodi sema....si ulisema umelipa ya 6 months? nitakupa pesa uongeze miezi mingine sita"

Kwa maana hiyo niwe nimelipia Kodi ya Mwaka, na kwa maana nyingine nikichukua hiyo pesa ya Caryn na yeye anakuwa na haki zote za nyumba hii kama nilizokuwa nazo Mimi, Yani kama ni kwenye Kampuni kanunua shares Kwa maana hiyo Càryn ndio amefika Yani sio wa Leo sio wa kesho

Muendelezo

(Episode 21, SEASON 2)

Siku inayofuata tukaenda job kama kawaida, hii siku Caryn alifanya panga pangua ila Secretary ndio alikuwa na bahati mbaya, kumbe yeye ndiye aliyekuwa anavujisha mafaili kwa Michelle, hata hivyo mimi nilikuwa na wasiwasi nae kitambo ila nilichelewa kujua kwamba yeye (Secretary) na Michelle wana connect, kwani Michelle ndiye aliyemleta Secretary pale ofisini na Caryn akamuajili bila kujua kama ni kirusi kimepandikizwa

Opportunist nae akaongezewa majukumu mengine ya kuongozana na Mimi trip za Zanzibar, kama ningekuwa Dereva wa Lori basi Opportunist ni TurnBoy wangu (Tandiboi)

Tulivyomalizana na kikao, Caryn akaniita ofisini kwake halafu akamuita Opportunist, Sasa kabla hatujaendelea na jambo alilotuitia Secretary ndio alikuwa anachukua vitu vyake kwenye Meza yake ya Kazi kwaajili ya kuondoka muda huo huo Caryn akamuita, alimuita kwa Jina lake Kisha akamuambia

Caryn: "Unajua sijakuambia sababu ya msingi ya mimi kukusimamisha kazi, but I know all the things you were doing behind the scenes
the fact that I didn't talk about it doesn't mean I'm stupid"

"Ku appreciate kazi yako nitaendelea kukulipa mshahara kwa miezi 3 ijayo, kama miezi mitatu itapita na hujapata kazi nitafute but I hope Michelle hatokosa Mahali pa kukuweka you guys are friends"

Secretary aliunza Mwaka vibaya, the first day at work in 2023 na unafutwa kazi (I can imagine!) ila katika siku ambayo nilijua Caryn ana huruma basi ni hii siku, just imagine umefukuzwa kazi na aliyekufukuza kazi akaahidi kuendelea kukulipa mshahara kwa miezi 3 na kama ikatokea hujapata kazi kwa hiyo miezi mitatu bado una nafasi ya kumfuata Boss wako aliyekuachisha kazi ili akutafutie kazi nyingine... Secretary wa watu akakusanya kilicho chake akaondoka,

BM: "Sasa Kuna haja gani ya kumsubirisha mtu kwa miezi yote hiyo na wakati una uwezo wa kum connectia kazi nyingine na akaanza hata kesho"

Caryn: "Kabla sijamuonea huruma nataka aanze kujionea huruma yeye kwanza, ila najua Michelle hatokosa pa kumuweka"

Càryn: "Tuachane na hayo....Bro (Opportunist) Apparently you have a lot free time on your hands, so I decided to increase your workload, utaanza kwenda Zanzibar na BM lakini pia kazi yako ya awali utaendelea kubaki nayo"

Opportunist: "Sawaa"

Basi tukaelekezana pale jinsi kazi itakavyokuwa baada ya hapo Kila mtu akaendelea na majukumu yake, jioni kabla hatujarudi nyumbani Caryn akaniomba tupitie Dukani kwake, tulivyotoka Dukani tukaunga moja kwa moja nyumbani, saa mbili au tatu kasoro hivi kama sikosei ndio tumeingia kwa nyumba

Caryn: "BM utanisaidia kuweka mchele kwenye rice cooker nakuja kupika mboga"

Akaenda kuoga, sasa unajua chumba Cha Caryn hakina bafu ndani yake hivyo ni lazima atoke chumbani ndio aingie Bafuni kwahiyo ni lazima nimuone japokuwa Distance ya chumba na choo ni fupi sana, hii ni mara ya pili nikimshuhudia Caryn akienda kuoga huwa ana taulo lake la white ambalo ni Pana kidogo ila style anayoitumia kujifunga unaweza kudhani Ile taulo ni fupi kumbe ni Sanaa tu ndio imetumika ili lionekane fupi

Sasa akienda kuoga huwa anajifunika na taulo pekee so huwa anaanzia kujifunika kwenye kifua (Sorry for using word 'kifua' hali sound kike) so upana wa lile taulo akianza kujifunika mat!t! basi linakuja kuishia kwenye mapaja, aysee[emoji1544]

Alivyotoka kuoga na mm nikaenda kuoga, sasa kwasababu chumbani kwangu hita haifanyi kazi nilikuja kuoga kwenye hili bafu alilotumia Caryn, bwana wee! hiyo harufu niliyokutana nayo nikaishia kujisemea tu kweli 'Kuna watu wanajua kuoga' kuna watu wengine sabuni zao za kuogea ni perfume tosha

Nilivyomaliza kuoga, na nilivyoingia chumbani sikutoka hadi niliposhtuliwa kwenda kula, sasa wakati tunakula tumemaliza Caryn akaniuliza

Caryn: "Are you broke?"

BM: "Kwanini?"

Caryn: "Because whenever you're broke you're always humble"

BM: "Always niko humble mbona"

Caryn: "Hapana, nakujua vizuri sana, kuanzia ofisini hadi nyumbani nakutuma sijakusikia uki complain"

BM: "Wapi ushawahi kuona mfanyakazi anatumwa na Boss wake halafu akaanza kulalamika in front of his/her Boss"

Caryn: "Kwahiyo nilivyokuambia uweke mchele kwenye rice cooker ulifanya kwasababu umeambiwa na Boss wako au ulifanya kwa kunisaidia?"

BM: "Okay, acha niadmit I'm broke"

Caryn: "How broke are you?"

BM: "I'm down to my last 100k

Caryn: "This is a wrong time to be broke"

BM: "Why? and which time is perfect to be broke?"

Caryn: "When you were in your mother's womb and when you enter 6 feet"

Kiukweli hata mm sijajua pesa nilitumiaje, ila pia kwenye Ile challenge kwa kiasi flani ilinimalizia pesa, ila sijawaza sana kwasababu siku inayofuata ndio nilikuwa naingia visiwani

Siku inayofuata ikafuata Cha ajabu naamka nakuta Caryn huyupo na sio kama nimechelewa kuamka hapana! niliamka muda ule ule wa kawaida, ule muda nilioamka nilishika simu yangu ili kuangalia time nikakuta message ya Caryn Uta request Cab mm nimetangulia pesa ipo hapo living room,

(Ooh kwahiyo jana nilivyomuambia kwamba sina kila kitu ndio kaamua kunizingatia na nauli!) kweli sharing is caring na Ashukuriwe Mungu wa Majeshi

Kweli sebuleni nikakuta elfu 30 imekandamizwa na remote control ya Tv, basi nikajiandaa nikaingia mzigoni, nafika ofisini Caryn mwenyewe sijamkuta, nikaenda kwa Accountant anipe posho ya Zanzibar,

Kabla sijaondoka nikampigia Caryn kumuulizia kama anakuja ofisini nimsubirie ili nimpe funguo ya nyumbani lakini akaniruhusu niende tu kwani yeye Leo ataenda kulala kwao

Tukachukuana na Opportunist tukaingia visiwani, hii trip niliyoenda na Opportunist kama Caryn angekuwa na urafiki au ukaribu na Opportunist basi ningehisi Opportunist yupo kwaajili ya kunichunguza maana Kila process ninayofanya anadadisi yani ni kama vile alitaka kujua kila kitu kwa trip Ile ya kwanza

Mwisho wa siku nikamuambia alirelax maana niliona speed aliyokuja nayo ni Top speed mbaya zaidi tupo mbuga za wanyama akipita na swali kesi inaenda kuamuliwa TANAPA

Tukarejea Dar es salaam, Wakati tunakaguliwa pale Bandarini na namna nilivyokuwa naongea na staff wa pale Bandarini pamoja na maofisa wa TRA kile kitendo kilimshangaza Opportunist

Opportunist: "Dogo hii kazi umei-master kwa muda mfupi sana, na hawa staff wa TRA umezoeana nao kama ulivyozoeana na Caryn"

Opportunist ananiitaga Dogo eti, japokuwa ni kweli kanizidi namba, sasa kwa anavyojua yeye anadhani kipindi kile alivyonichomolea Ile issue ya tax baada ya pale ndio nikaja kuanza kupiga kazi huku Cargo bila kujua kwamba nilianzia kitambo nakaribia kufikisha Mwaka yeye anajua miezi 3 kazi sijafikisha

BM: "Hii experience ni ya muda mrefu bro, almost Mwaka nafikisha"

Opportunist: "Kampuni hii hii au?"

Nikaona huyu atanichanganyia mafaili, nikamkatisha story nikamuambia "ebu endelea kupiga tape hii mizigo iliyochanwa ngoja nimalizane na TRA"

Mzigo ukafikishwa ofisini ila kwa kuchelewa sana, hii trip niliyoenda na Opportunist ni kama ilikuwa na gundu, kwasababu kwa mara ya kwanza nilishikwa na D!ld*, katika rekodi zangu mimi sijawahi kushikwa huwa napita kimaster sijui hii siku ilikuaje, ikabidi nitoboke na note za kutosha

Wakati nipo na Accountant napiga nae hesabu namuambia kilichotokea kwasababu kule Bandarini nilitoa pesa yangu mfukoni ili kuzima msala akanikazia kwamba hatoi pesa hadi uthibitisho, sasa uthibitisho gani? kwenye Pesa ya hongo Kuna risiti!?

Nikaona huyu nikidili nae nitajisumbua, nilivyomalizana nae kwenye mahesabu nikaenda kwa Caryn, nikamuelezea kila kitu sasa mistake niliyoifanya Wakati ule msala unatokea kule Bandarini mimi niliamua kumalizana nao bila kuwapigia simu huku ofisini nikijua nikija wakati wa mahesabu nitadai pesa yangu, nilivyomaliza kumuelezea Caryn akanambia

Caryn: "You know what BM, I should have known it was terrible idea kukuweka kundi moja na Opportunist"

BM: "Sijakuelewa, hii issue inahusiana vipi na Opportunist?"

Caryn: "Napata wasiwasi kukuamini"

BM: "Caryn ebu tuongee kama washkaji, uBoss uweke pembeni kwa Dakika chache tu, I'm serious nimetoa pesa yangu Bandarini I expected you to be more understanding ndio maana nimekuja kwako"

Caryn: "Umetoa shilingi ngapi?"

BM: "Laki mbili, tena kwa kubembeleza sana, jamaa alikuwa anataka 300k"

Caryn: "Naweza kujua hiyo laki mbili uliyoitoa wewe umeipata wapi?"

BM: "This is the most ridiculous question ever"

Caryn: "Nadhani tukiendelea kuongea kama washkaji tutavunjiana heshima, Let's discuss this issue as an employee and his Boss"

BM: "Sasa wewe unaniuliza Pesa nimetoa wapi kweli! Haya, ni pesa yangu nimetoa kwenye account naweza kukuonesha na message ukitaka"

Caryn: "One minute you're broke and 100k is the last penny in your Account, Next minute the same person tells you that he has withdrawn two hundred thousand from his account"

Dah! haya maisha haya, yana tufanya tuwe wanyonge hadi tunapopambania haki zetu

Akampigia simu Accountant...[emoji338]"I need you to come with the financial reports I need to work on that"[emoji3513]

Accountant akaleta Documents alizoambiwa alete, halafu akaambiwa amuite Opportunist, jamaa akaja, So ofisini tupo mtu 3, Mm, Opportunist na Caryn mwenyewe ila kabla hatujaanza mazungumzo nikatolewa nje

Caryn: "BM excuse us for a moment pls"

Moyoni nikajisemea huu sasa ni us€ng£ pro max nikatoka zangu nje nimekaa kama dakika 10 naona Opportunist ndio anatoka nikamuuliza jamaa kilichojiri huko ndani akaniambia tu naitwa, kufika Caryn akataka nikamletee huo mzigo ulioleta maseke Bandarini nikaenda kumchukulia na Accountant akaitwa

Caryn: "Accountant mshatuma invoice kwa mwenye huu mzigo"

Accountant: "Yes"

Caryn: "Naiomba"

Akapewa, alivyomaliza kuipitia Ile invoice Caryn akasema "Accountant rewrite na uongeze laki 2 kwenye hiyo amount na u resend kwa huyo customer, akihitaji maelezo zaidi utampatia BM aongee nae"

Accountant: "Okay"

BM: "Sijaelewa, kwahiyo hadi huyo mtu aje kulipia mzigo ndio napata pesa yangu?"

Caryn: "Kwani kwa Case kama hii kabla ya mimi kuwa incharge mlikuwa mnasolve vipi?...... Halafu mzigo wenyewe charge ya kuusafirisha haijafika hata elfu 50 then unataka nitoe laki 2 tena, sasa tutakuwa tunafanya Biashara gani!"

Nilivyoona ngoma inazidi kuwa ngumu nikaona hapa ni Bora niende nyumbani kupumzisha fuvu, namuomba ruhusa jibu alilonipa "Kama huu ndio muda wa kutoka ofisini nina kuruhusu uende"

Aisee nilitoka mule ofisini nimeng'ata meno kwa hasira, nikaenda kuchill kwenye Balcony, kabla ya kufika mida ya kutoka 5:00PM around 4:18PM Caryn akanifuata kule nilipokuwa nimekaa "BM mm naondoka leo sitorudi pia ila Ile pesa ya rent nitakutumia badae nikifika nyumbani"

Badae nipo zangu nyumbani nikaona muamala umesoma kutoka kwa Caryn 1,600,000/= hii Pesa katuma kwaajili ya kodi lakini kwa jinsi nilivyofulia siwezi kwenda kumfaidisha mwenye nyumba na wakati mimi nina mashida ya kutosha, Ile pesa nikaichikichia landlord nitakutana nae mwezi wa 5 kodi yangu itakapoisha

Ilipita kama wiki na siku kadhaa Caryn akarudi mjengoni, hiyo siku aliyorudi wakati tumetoka ofisini tukapitia Sokoni tukanunua mazaga zaga kama yote si unajua tena nilikuwa na Ile 1.6m japokuwa by that time nilikuwa nishaipukutisha imebaki kama laki 7,

Tulivyomaliza kufanya shopping tukaelekea nyumbani, kabla hatujafika nyumba kabisa nikamuambia Caryn atangulie kuna mtu namcheki mtaa wa pili (Uongo) hakuna mtu niliyekuwa naenda kumcheki Wala nini, sikutaka tu kuongozana nae hadi nyumbani kwasababu najua tungefika huko angeanza kuniambia sijui 'nisaidie na kitu flani mara nisaidie kukata nyama' nikamkwepa kwa style hiyo

Nikadhurula hadi mida ya saa mbili mbili ndio nikarudi home, nilivyofika tu nikapitiliza chooni kujisaidia haja ndogo[emoji735], nilivyotoka chooni nikaingia jikoni nikakuta msosi tayari, muda huo Caryn alikuwa chumbani kwake, akatoka na taulo lake kama kawaida kwenda kuoga, sasa naona mtu anatoka with long face akanifuata

Caryn: "So I have to tell you everytime that always wipe the toilet after using, see I almost sat on your urine"

Nikaona sasa huyu atanizoea

BM: "Caryn ngoja nikuambie kitu, this is not the office where you're the Boss, this is my house, keep your bossing around to the office only, you do not make rules in my house"

Caryn: "I'm not Bossing you, nakuambia kitu understandable, what you did it's not hygienic at all"

BM: "Unaniambia kitu understandable in a wrong tone"

Caryn: "Which tone am I supposed to use! romantic?

BM: "I guess I'll have to do whatever my Boss says"

Nikaamka nikaenda ku wipe hiyo sehemu anayodai kuna mikojo, (moyoni nikajisemea atakaye muoa Caryn kazi anayo tena sio ndogo)

Caryn: "This has nothing to do with me being your Boss...I cannot continue to play mummy duties to a grown-up baby"

Sikumjibu, ila mikojo ni kweli niliiacha, siunajua choo Cha kukaa ukikojoa Kuna vile vimikojo vya mwishoni ni lazima vitaangukia pembeni na kutengeneza kama matone flani, na muda ule nafuta ule mkojo nilijiapiza kile choo sitakiingia tena, hata kuoga nitakuwa naogea chumbani kwangu, Uzuri ni kwamba hita nishaitengeneza

Binafsi nikigombana na mtu nina tabia ya ku catch ila Caryn hiyo tabia hata sababu alivyotoka kuoga akanikuta na kula eti kakaniambia "Si ungenisubiri tule wote jamani" sikumjibu kitu nikakaangalia tu, akagundua kuwa nimekasirika kakanisemesha tena "Why do you get upset so easily?"

Safari hii nikaamua kumjibu nikamuambia "Baba yako alishawahi kuniambia kuwa Men are tested when they have money, women are tested when their is no money hii kauli kwako ina ukweli kiasi gani?"

Caryn: "It depends"

BM: "Labda hujanielewa...Let's assume that you're poor, I mean really poor like wretched, let's say like a pauper unge behave hivi unavyo behave?"

Caryn: "That's a scary imagination but yes ninge behave vile na behave sasa hivi, that's my behavior, ushawahi kusikia watu wanaitwa masikini jeuri? that person could be me"

BM: "I'm sure you're saying that because you're really never tasted poverty and experience it"

Caryn: "And It's not my fault born into wealth & thanks God this is just imagination because I don't want to be poor"

Tukawa tunapiga story kama vile hatuja gombana muda mfupi uliopita huku tukishea experiences mbalimbali, baada ya Mimi kumsimulia story yangu ambayo sitopenda kuielezea hapa, Caryn nae akaja na yake

Caryn: "Okay let me share my Dad's experience, unajua Dad huwa ana story zake flani hivi ukimsikiliza vizuri lazima utajifunza kitu, na ameni hadithia juzi tu hapa nilivyoenda home, tena baada ya kukuulizia ndio akani hadithia"

Caryn: "Anasema once his business crash his world went silent. no one checking on him, no calls. at that moment anakuambia anaweza akakaa hadi siku 2 na simu isiite, kumbuka huyu ni mtu ambaye alikuwa anapokea simu zaidi ya 50 kwa siku, Anasema hapo ndipo alipokuja kujua people’s nature, when you fall they lose interest in you. That's a lesson he never forgot and worse experience ambayo hataki mimi nipitie...after kushea hiyo experience ndio nikaja ku realize ni kwanini Dad amekuwa akini insist niwe makini na watu,
especially those people who are close to me"

BM: "Wow, hii mzee hajawahi kuniambia, anyways na mimi nitakuambia worst experience yangu, hii ni current experience though....Hakuna kitu ngumu na kinachoumiza kichwa kama ku-Deal na Boss Mwanamke.. Nyie watu are hell to work for, Case study ni wewe Caryn, The peace in the office depends on how you woke up, the first person you met that morning, the date of the month and many other million things"

Caryn: "Pumbavu kabisa ww, nikajua unaniambia kitu cha maana"

BM: "On serious note Caryn you are the worst boss in the world but as a friend you're wonderful"

Caryn: "Even you, you're the worst staff in my office but as a friend you're fantastic"

BM: "Hii ya kwako hai make sense kwasababu sijawahi kuona Boss akimvumilia Mfanyakazi mbaya, lakini ni kawaida kwa mfanyakazi kumvumilia Boss kichefu chefu"

Caryn: "BM una majibuu! halafu sikujua kama una maneno ya shombo kiasi hiki"

BM: "Just a joke"

Caryn: "That was a bad joke, please! don't joke like that again"

BM: "Ukinuna unafanana na Michelle"

Caryn: "Speaking of Michelle, I think something fish is going on between you and Michelle"

BM: "Something fish?...."

Kabla sijaendelea kuongea akanikatisha akaniambia "Be patient bro, kuna kitu nakutumia Whatsapp soon uta find out nini naongelea"

BM: "Sasa si bora tu unipe niangalizie kwenye simu yako badala ya kupoteza muda kutumiana WhatsApp wakati wote tupo hapa"

Caryn: "Unataka kuangalizia kwenye simu yangu ili ufute ushahidi?"

Akatoa simu yake kwenye charge na kuanza process za kunitumia alichotaka kunitumia na hadi muda huo sijaelewa ni kitu gani ananitumia ila nikahisi kitakuwa ni kitu serious kiasi kwamba hataki niangalizie hicho kitu kwenye simu yake, baada ya sekunde kadhaa akawa ameshatuma

Kufungua WhatsApp si nikakutana na picha niliyopiga na Michelle Ile siku kule Serena Hotel, Tatizo sio picha tatizo ni Pose lililopigwa kwenye hiyo picha, Wakati naendelea kuiangalia Ile picha huku nikitafakari na kujiuliza Caryn ameipataje Ile picha kabla sijapata majibu Caryn akaniongezea swali

Caryn: "You guys are dating?"


Itaendelea
Caryn anakukubali Ila basi tu mashauzi mengi [emoji28][emoji28]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Bro. Shikamooo
Unajua kusimulia na unajua tena[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo Caryn wako ingekua mimi angekua anakula hug na fore kiss za kutosha...nina kautani flani hasa kwa watu siriaz kama yeye huwa hawaamini nanajikuta wako kifuani[emoji1787][emoji1787]
[emoji28] Marhaba...

Tatizo la Càryn hataki masikhara
 
Kanyaga twende....
IMG-20230415-WA0014.jpg
 
Ilipoishia

Nikarudi Ndani nikiwaza Ile taarifa aliyonipa Annie unajua siku hazigandi, kesho kutwa tu hapa kwaresma inaanza ,Sasa Caryn alivyoniona ghafla nimekuwa na mawazo akanambia

Caryn: "BM Unajua hapa ni kwako, haina haja ya kujibana unaweza kuongea na simu mahala popote"

BM: "Kwanini unasema hivyo?"

Caryn: "Nakuona simu zako sio za uhuru, ukitaka kupokea ni lazima utoke nje"

BM: "Halafu huyu niliyetoka kuongea nae huwezi amini ni mwenye nyumba"

Caryn: "Kodi imeisha au?"

BM: "Hapana, siunajua hita ya Bafuni kwangu haifanyi kazi so nilikuwa nampa taarifa"

Caryn: "Ooh ila kama ni kodi sema....si ulisema umelipa ya 6 months? nitakupa pesa uongeze miezi mingine sita"

Kwa maana hiyo niwe nimelipia Kodi ya Mwaka, na kwa maana nyingine nikichukua hiyo pesa ya Caryn na yeye anakuwa na haki zote za nyumba hii kama nilizokuwa nazo Mimi, Yani kama ni kwenye Kampuni kanunua shares Kwa maana hiyo Càryn ndio amefika Yani sio wa Leo sio wa kesho

Muendelezo

(Episode 21, SEASON 2)

Siku inayofuata tukaenda job kama kawaida, hii siku Caryn alifanya panga pangua ila Secretary ndio alikuwa na bahati mbaya, kumbe yeye ndiye aliyekuwa anavujisha mafaili kwa Michelle, hata hivyo mimi nilikuwa na wasiwasi nae kitambo ila nilichelewa kujua kwamba yeye (Secretary) na Michelle wana connect, kwani Michelle ndiye aliyemleta Secretary pale ofisini na Caryn akamuajili bila kujua kama ni kirusi kimepandikizwa

Opportunist nae akaongezewa majukumu mengine ya kuongozana na Mimi trip za Zanzibar, kama ningekuwa Dereva wa Lori basi Opportunist ni TurnBoy wangu (Tandiboi)

Tulivyomalizana na kikao, Caryn akaniita ofisini kwake halafu akamuita Opportunist, Sasa kabla hatujaendelea na jambo alilotuitia Secretary ndio alikuwa anachukua vitu vyake kwenye Meza yake ya Kazi kwaajili ya kuondoka muda huo huo Caryn akamuita, alimuita kwa Jina lake Kisha akamuambia

Caryn: "Unajua sijakuambia sababu ya msingi ya mimi kukusimamisha kazi, but I know all the things you were doing behind the scenes
the fact that I didn't talk about it doesn't mean I'm stupid"

"Ku appreciate kazi yako nitaendelea kukulipa mshahara kwa miezi 3 ijayo, kama miezi mitatu itapita na hujapata kazi nitafute but I hope Michelle hatokosa Mahali pa kukuweka you guys are friends"

Secretary aliunza Mwaka vibaya, the first day at work in 2023 na unafutwa kazi (I can imagine!) ila katika siku ambayo nilijua Caryn ana huruma basi ni hii siku, just imagine umefukuzwa kazi na aliyekufukuza kazi akaahidi kuendelea kukulipa mshahara kwa miezi 3 na kama ikatokea hujapata kazi kwa hiyo miezi mitatu bado una nafasi ya kumfuata Boss wako aliyekuachisha kazi ili akutafutie kazi nyingine... Secretary wa watu akakusanya kilicho chake akaondoka,

BM: "Sasa Kuna haja gani ya kumsubirisha mtu kwa miezi yote hiyo na wakati una uwezo wa kum connectia kazi nyingine na akaanza hata kesho"

Caryn: "Kabla sijamuonea huruma nataka aanze kujionea huruma yeye kwanza, ila najua Michelle hatokosa pa kumuweka"

Càryn: "Tuachane na hayo....Bro (Opportunist) Apparently you have a lot free time on your hands, so I decided to increase your workload, utaanza kwenda Zanzibar na BM lakini pia kazi yako ya awali utaendelea kubaki nayo"

Opportunist: "Sawaa"

Basi tukaelekezana pale jinsi kazi itakavyokuwa baada ya hapo Kila mtu akaendelea na majukumu yake, jioni kabla hatujarudi nyumbani Caryn akaniomba tupitie Dukani kwake, tulivyotoka Dukani tukaunga moja kwa moja nyumbani, saa mbili au tatu kasoro hivi kama sikosei ndio tumeingia kwa nyumba

Caryn: "BM utanisaidia kuweka mchele kwenye rice cooker nakuja kupika mboga"

Akaenda kuoga, sasa unajua chumba Cha Caryn hakina bafu ndani yake hivyo ni lazima atoke chumbani ndio aingie Bafuni kwahiyo ni lazima nimuone japokuwa Distance ya chumba na choo ni fupi sana, hii ni mara ya pili nikimshuhudia Caryn akienda kuoga huwa ana taulo lake la white ambalo ni Pana kidogo ila style anayoitumia kujifunga unaweza kudhani Ile taulo ni fupi kumbe ni Sanaa tu ndio imetumika ili lionekane fupi

Sasa akienda kuoga huwa anajifunika na taulo pekee so huwa anaanzia kujifunika kwenye kifua (Sorry for using word 'kifua' hali sound kike) so upana wa lile taulo akianza kujifunika mat!t! basi linakuja kuishia kwenye mapaja, aysee[emoji1544]

Alivyotoka kuoga na mm nikaenda kuoga, sasa kwasababu chumbani kwangu hita haifanyi kazi nilikuja kuoga kwenye hili bafu alilotumia Caryn, bwana wee! hiyo harufu niliyokutana nayo nikaishia kujisemea tu kweli 'Kuna watu wanajua kuoga' kuna watu wengine sabuni zao za kuogea ni perfume tosha

Nilivyomaliza kuoga, na nilivyoingia chumbani sikutoka hadi niliposhtuliwa kwenda kula, sasa wakati tunakula tumemaliza Caryn akaniuliza

Caryn: "Are you broke?"

BM: "Kwanini?"

Caryn: "Because whenever you're broke you're always humble"

BM: "Always niko humble mbona"

Caryn: "Hapana, nakujua vizuri sana, kuanzia ofisini hadi nyumbani nakutuma sijakusikia uki complain"

BM: "Wapi ushawahi kuona mfanyakazi anatumwa na Boss wake halafu akaanza kulalamika in front of his/her Boss"

Caryn: "Kwahiyo nilivyokuambia uweke mchele kwenye rice cooker ulifanya kwasababu umeambiwa na Boss wako au ulifanya kwa kunisaidia?"

BM: "Okay, acha niadmit I'm broke"

Caryn: "How broke are you?"

BM: "I'm down to my last 100k

Caryn: "This is a wrong time to be broke"

BM: "Why? and which time is perfect to be broke?"

Caryn: "When you were in your mother's womb and when you enter 6 feet"

Kiukweli hata mm sijajua pesa nilitumiaje, ila pia kwenye Ile challenge kwa kiasi flani ilinimalizia pesa, ila sijawaza sana kwasababu siku inayofuata ndio nilikuwa naingia visiwani

Siku inayofuata ikafuata Cha ajabu naamka nakuta Caryn huyupo na sio kama nimechelewa kuamka hapana! niliamka muda ule ule wa kawaida, ule muda nilioamka nilishika simu yangu ili kuangalia time nikakuta message ya Caryn Uta request Cab mm nimetangulia pesa ipo hapo living room,

(Ooh kwahiyo jana nilivyomuambia kwamba sina kila kitu ndio kaamua kunizingatia na nauli!) kweli sharing is caring na Ashukuriwe Mungu wa Majeshi

Kweli sebuleni nikakuta elfu 30 imekandamizwa na remote control ya Tv, basi nikajiandaa nikaingia mzigoni, nafika ofisini Caryn mwenyewe sijamkuta, nikaenda kwa Accountant anipe posho ya Zanzibar,

Kabla sijaondoka nikampigia Caryn kumuulizia kama anakuja ofisini nimsubirie ili nimpe funguo ya nyumbani lakini akaniruhusu niende tu kwani yeye Leo ataenda kulala kwao

Tukachukuana na Opportunist tukaingia visiwani, hii trip niliyoenda na Opportunist kama Caryn angekuwa na urafiki au ukaribu na Opportunist basi ningehisi Opportunist yupo kwaajili ya kunichunguza maana Kila process ninayofanya anadadisi yani ni kama vile alitaka kujua kila kitu kwa trip Ile ya kwanza

Mwisho wa siku nikamuambia alirelax maana niliona speed aliyokuja nayo ni Top speed mbaya zaidi tupo mbuga za wanyama akipita na swali kesi inaenda kuamuliwa TANAPA

Tukarejea Dar es salaam, Wakati tunakaguliwa pale Bandarini na namna nilivyokuwa naongea na staff wa pale Bandarini pamoja na maofisa wa TRA kile kitendo kilimshangaza Opportunist

Opportunist: "Dogo hii kazi umei-master kwa muda mfupi sana, na hawa staff wa TRA umezoeana nao kama ulivyozoeana na Caryn"

Opportunist ananiitaga Dogo eti, japokuwa ni kweli kanizidi namba, sasa kwa anavyojua yeye anadhani kipindi kile alivyonichomolea Ile issue ya tax baada ya pale ndio nikaja kuanza kupiga kazi huku Cargo bila kujua kwamba nilianzia kitambo nakaribia kufikisha Mwaka yeye anajua miezi 3 kazi sijafikisha

BM: "Hii experience ni ya muda mrefu bro, almost Mwaka nafikisha"

Opportunist: "Kampuni hii hii au?"

Nikaona huyu atanichanganyia mafaili, nikamkatisha story nikamuambia "ebu endelea kupiga tape hii mizigo iliyochanwa ngoja nimalizane na TRA"

Mzigo ukafikishwa ofisini ila kwa kuchelewa sana, hii trip niliyoenda na Opportunist ni kama ilikuwa na gundu, kwasababu kwa mara ya kwanza nilishikwa na D!ld*, katika rekodi zangu mimi sijawahi kushikwa huwa napita kimaster sijui hii siku ilikuaje, ikabidi nitoboke na note za kutosha

Wakati nipo na Accountant napiga nae hesabu namuambia kilichotokea kwasababu kule Bandarini nilitoa pesa yangu mfukoni ili kuzima msala akanikazia kwamba hatoi pesa hadi uthibitisho, sasa uthibitisho gani? kwenye Pesa ya hongo Kuna risiti!?

Nikaona huyu nikidili nae nitajisumbua, nilivyomalizana nae kwenye mahesabu nikaenda kwa Caryn, nikamuelezea kila kitu sasa mistake niliyoifanya Wakati ule msala unatokea kule Bandarini mimi niliamua kumalizana nao bila kuwapigia simu huku ofisini nikijua nikija wakati wa mahesabu nitadai pesa yangu, nilivyomaliza kumuelezea Caryn akanambia

Caryn: "You know what BM, I should have known it was terrible idea kukuweka kundi moja na Opportunist"

BM: "Sijakuelewa, hii issue inahusiana vipi na Opportunist?"

Caryn: "Napata wasiwasi kukuamini"

BM: "Caryn ebu tuongee kama washkaji, uBoss uweke pembeni kwa Dakika chache tu, I'm serious nimetoa pesa yangu Bandarini I expected you to be more understanding ndio maana nimekuja kwako"

Caryn: "Umetoa shilingi ngapi?"

BM: "Laki mbili, tena kwa kubembeleza sana, jamaa alikuwa anataka 300k"

Caryn: "Naweza kujua hiyo laki mbili uliyoitoa wewe umeipata wapi?"

BM: "This is the most ridiculous question ever"

Caryn: "Nadhani tukiendelea kuongea kama washkaji tutavunjiana heshima, Let's discuss this issue as an employee and his Boss"

BM: "Sasa wewe unaniuliza Pesa nimetoa wapi kweli! Haya, ni pesa yangu nimetoa kwenye account naweza kukuonesha na message ukitaka"

Caryn: "One minute you're broke and 100k is the last penny in your Account, Next minute the same person tells you that he has withdrawn two hundred thousand from his account"

Dah! haya maisha haya, yana tufanya tuwe wanyonge hadi tunapopambania haki zetu

Akampigia simu Accountant...[emoji338]"I need you to come with the financial reports I need to work on that"[emoji3513]

Accountant akaleta Documents alizoambiwa alete, halafu akaambiwa amuite Opportunist, jamaa akaja, So ofisini tupo mtu 3, Mm, Opportunist na Caryn mwenyewe ila kabla hatujaanza mazungumzo nikatolewa nje

Caryn: "BM excuse us for a moment pls"

Moyoni nikajisemea huu sasa ni us€ng£ pro max nikatoka zangu nje nimekaa kama dakika 10 naona Opportunist ndio anatoka nikamuuliza jamaa kilichojiri huko ndani akaniambia tu naitwa, kufika Caryn akataka nikamletee huo mzigo ulioleta maseke Bandarini nikaenda kumchukulia na Accountant akaitwa

Caryn: "Accountant mshatuma invoice kwa mwenye huu mzigo"

Accountant: "Yes"

Caryn: "Naiomba"

Akapewa, alivyomaliza kuipitia Ile invoice Caryn akasema "Accountant rewrite na uongeze laki 2 kwenye hiyo amount na u resend kwa huyo customer, akihitaji maelezo zaidi utampatia BM aongee nae"

Accountant: "Okay"

BM: "Sijaelewa, kwahiyo hadi huyo mtu aje kulipia mzigo ndio napata pesa yangu?"

Caryn: "Kwani kwa Case kama hii kabla ya mimi kuwa incharge mlikuwa mnasolve vipi?...... Halafu mzigo wenyewe charge ya kuusafirisha haijafika hata elfu 50 then unataka nitoe laki 2 tena, sasa tutakuwa tunafanya Biashara gani!"

Nilivyoona ngoma inazidi kuwa ngumu nikaona hapa ni Bora niende nyumbani kupumzisha fuvu, namuomba ruhusa jibu alilonipa "Kama huu ndio muda wa kutoka ofisini nina kuruhusu uende"

Aisee nilitoka mule ofisini nimeng'ata meno kwa hasira, nikaenda kuchill kwenye Balcony, kabla ya kufika mida ya kutoka 5:00PM around 4:18PM Caryn akanifuata kule nilipokuwa nimekaa "BM mm naondoka leo sitorudi pia ila Ile pesa ya rent nitakutumia badae nikifika nyumbani"

Badae nipo zangu nyumbani nikaona muamala umesoma kutoka kwa Caryn 1,600,000/= hii Pesa katuma kwaajili ya kodi lakini kwa jinsi nilivyofulia siwezi kwenda kumfaidisha mwenye nyumba na wakati mimi nina mashida ya kutosha, Ile pesa nikaichikichia landlord nitakutana nae mwezi wa 5 kodi yangu itakapoisha

Ilipita kama wiki na siku kadhaa Caryn akarudi mjengoni, hiyo siku aliyorudi wakati tumetoka ofisini tukapitia Sokoni tukanunua mazaga zaga kama yote si unajua tena nilikuwa na Ile 1.6m japokuwa by that time nilikuwa nishaipukutisha imebaki kama laki 7,

Tulivyomaliza kufanya shopping tukaelekea nyumbani, kabla hatujafika nyumba kabisa nikamuambia Caryn atangulie kuna mtu namcheki mtaa wa pili (Uongo) hakuna mtu niliyekuwa naenda kumcheki Wala nini, sikutaka tu kuongozana nae hadi nyumbani kwasababu najua tungefika huko angeanza kuniambia sijui 'nisaidie na kitu flani mara nisaidie kukata nyama' nikamkwepa kwa style hiyo

Nikadhurula hadi mida ya saa mbili mbili ndio nikarudi home, nilivyofika tu nikapitiliza chooni kujisaidia haja ndogo[emoji735], nilivyotoka chooni nikaingia jikoni nikakuta msosi tayari, muda huo Caryn alikuwa chumbani kwake, akatoka na taulo lake kama kawaida kwenda kuoga, sasa naona mtu anatoka with long face akanifuata

Caryn: "So I have to tell you everytime that always wipe the toilet after using, see I almost sat on your urine"

Nikaona sasa huyu atanizoea

BM: "Caryn ngoja nikuambie kitu, this is not the office where you're the Boss, this is my house, keep your bossing around to the office only, you do not make rules in my house"

Caryn: "I'm not Bossing you, nakuambia kitu understandable, what you did it's not hygienic at all"

BM: "Unaniambia kitu understandable in a wrong tone"

Caryn: "Which tone am I supposed to use! romantic?

BM: "I guess I'll have to do whatever my Boss says"

Nikaamka nikaenda ku wipe hiyo sehemu anayodai kuna mikojo, (moyoni nikajisemea atakaye muoa Caryn kazi anayo tena sio ndogo)

Caryn: "This has nothing to do with me being your Boss...I cannot continue to play mummy duties to a grown-up baby"

Sikumjibu, ila mikojo ni kweli niliiacha, siunajua choo Cha kukaa ukikojoa Kuna vile vimikojo vya mwishoni ni lazima vitaangukia pembeni na kutengeneza kama matone flani, na muda ule nafuta ule mkojo nilijiapiza kile choo sitakiingia tena, hata kuoga nitakuwa naogea chumbani kwangu, Uzuri ni kwamba hita nishaitengeneza

Binafsi nikigombana na mtu nina tabia ya ku catch ila Caryn hiyo tabia hata sababu alivyotoka kuoga akanikuta na kula eti kakaniambia "Si ungenisubiri tule wote jamani" sikumjibu kitu nikakaangalia tu, akagundua kuwa nimekasirika kakanisemesha tena "Why do you get upset so easily?"

Safari hii nikaamua kumjibu nikamuambia "Baba yako alishawahi kuniambia kuwa Men are tested when they have money, women are tested when their is no money hii kauli kwako ina ukweli kiasi gani?"

Caryn: "It depends"

BM: "Labda hujanielewa...Let's assume that you're poor, I mean really poor like wretched, let's say like a pauper unge behave hivi unavyo behave?"

Caryn: "That's a scary imagination but yes ninge behave vile na behave sasa hivi, that's my behavior, ushawahi kusikia watu wanaitwa masikini jeuri? that person could be me"

BM: "I'm sure you're saying that because you're really never tasted poverty and experience it"

Caryn: "And It's not my fault born into wealth & thanks God this is just imagination because I don't want to be poor"

Tukawa tunapiga story kama vile hatuja gombana muda mfupi uliopita huku tukishea experiences mbalimbali, baada ya Mimi kumsimulia story yangu ambayo sitopenda kuielezea hapa, Caryn nae akaja na yake

Caryn: "Okay let me share my Dad's experience, unajua Dad huwa ana story zake flani hivi ukimsikiliza vizuri lazima utajifunza kitu, na ameni hadithia juzi tu hapa nilivyoenda home, tena baada ya kukuulizia ndio akani hadithia"

Caryn: "Anasema once his business crash his world went silent. no one checking on him, no calls. at that moment anakuambia anaweza akakaa hadi siku 2 na simu isiite, kumbuka huyu ni mtu ambaye alikuwa anapokea simu zaidi ya 50 kwa siku, Anasema hapo ndipo alipokuja kujua people’s nature, when you fall they lose interest in you. That's a lesson he never forgot and worse experience ambayo hataki mimi nipitie...after kushea hiyo experience ndio nikaja ku realize ni kwanini Dad amekuwa akini insist niwe makini na watu,
especially those people who are close to me"

BM: "Wow, hii mzee hajawahi kuniambia, anyways na mimi nitakuambia worst experience yangu, hii ni current experience though....Hakuna kitu ngumu na kinachoumiza kichwa kama ku-Deal na Boss Mwanamke.. Nyie watu are hell to work for, Case study ni wewe Caryn, The peace in the office depends on how you woke up, the first person you met that morning, the date of the month and many other million things"

Caryn: "Pumbavu kabisa ww, nikajua unaniambia kitu cha maana"

BM: "On serious note Caryn you are the worst boss in the world but as a friend you're wonderful"

Caryn: "Even you, you're the worst staff in my office but as a friend you're fantastic"

BM: "Hii ya kwako hai make sense kwasababu sijawahi kuona Boss akimvumilia Mfanyakazi mbaya, lakini ni kawaida kwa mfanyakazi kumvumilia Boss kichefu chefu"

Caryn: "BM una majibuu! halafu sikujua kama una maneno ya shombo kiasi hiki"

BM: "Just a joke"

Caryn: "That was a bad joke, please! don't joke like that again"

BM: "Ukinuna unafanana na Michelle"

Caryn: "Speaking of Michelle, I think something fish is going on between you and Michelle"

BM: "Something fish?...."

Kabla sijaendelea kuongea akanikatisha akaniambia "Be patient bro, kuna kitu nakutumia Whatsapp soon uta find out nini naongelea"

BM: "Sasa si bora tu unipe niangalizie kwenye simu yako badala ya kupoteza muda kutumiana WhatsApp wakati wote tupo hapa"

Caryn: "Unataka kuangalizia kwenye simu yangu ili ufute ushahidi?"

Akatoa simu yake kwenye charge na kuanza process za kunitumia alichotaka kunitumia na hadi muda huo sijaelewa ni kitu gani ananitumia ila nikahisi kitakuwa ni kitu serious kiasi kwamba hataki niangalizie hicho kitu kwenye simu yake, baada ya sekunde kadhaa akawa ameshatuma

Kufungua WhatsApp si nikakutana na picha niliyopiga na Michelle Ile siku kule Serena Hotel, Tatizo sio picha tatizo ni Pose lililopigwa kwenye hiyo picha, Wakati naendelea kuiangalia Ile picha huku nikitafakari na kujiuliza Caryn ameipataje Ile picha kabla sijapata majibu Caryn akaniongezea swali

Caryn: "You guys are dating?"


Itaendelea
so ulivyokojoa mwana hukuflash? afu ukavimba [emoji16][emoji91]
 
Ilipoishia

Nikarudi Ndani nikiwaza Ile taarifa aliyonipa Annie unajua siku hazigandi, kesho kutwa tu hapa kwaresma inaanza ,Sasa Caryn alivyoniona ghafla nimekuwa na mawazo akanambia

Caryn: "BM Unajua hapa ni kwako, haina haja ya kujibana unaweza kuongea na simu mahala popote"

BM: "Kwanini unasema hivyo?"

Caryn: "Nakuona simu zako sio za uhuru, ukitaka kupokea ni lazima utoke nje"

BM: "Halafu huyu niliyetoka kuongea nae huwezi amini ni mwenye nyumba"

Caryn: "Kodi imeisha au?"

BM: "Hapana, siunajua hita ya Bafuni kwangu haifanyi kazi so nilikuwa nampa taarifa"

Caryn: "Ooh ila kama ni kodi sema....si ulisema umelipa ya 6 months? nitakupa pesa uongeze miezi mingine sita"

Kwa maana hiyo niwe nimelipia Kodi ya Mwaka, na kwa maana nyingine nikichukua hiyo pesa ya Caryn na yeye anakuwa na haki zote za nyumba hii kama nilizokuwa nazo Mimi, Yani kama ni kwenye Kampuni kanunua shares Kwa maana hiyo Càryn ndio amefika Yani sio wa Leo sio wa kesho

Muendelezo

(Episode 21, SEASON 2)

Siku inayofuata tukaenda job kama kawaida, hii siku Caryn alifanya panga pangua ila Secretary ndio alikuwa na bahati mbaya, kumbe yeye ndiye aliyekuwa anavujisha mafaili kwa Michelle, hata hivyo mimi nilikuwa na wasiwasi nae kitambo ila nilichelewa kujua kwamba yeye (Secretary) na Michelle wana connect, kwani Michelle ndiye aliyemleta Secretary pale ofisini na Caryn akamuajili bila kujua kama ni kirusi kimepandikizwa

Opportunist nae akaongezewa majukumu mengine ya kuongozana na Mimi trip za Zanzibar, kama ningekuwa Dereva wa Lori basi Opportunist ni TurnBoy wangu (Tandiboi)

Tulivyomalizana na kikao, Caryn akaniita ofisini kwake halafu akamuita Opportunist, Sasa kabla hatujaendelea na jambo alilotuitia Secretary ndio alikuwa anachukua vitu vyake kwenye Meza yake ya Kazi kwaajili ya kuondoka muda huo huo Caryn akamuita, alimuita kwa Jina lake Kisha akamuambia

Caryn: "Unajua sijakuambia sababu ya msingi ya mimi kukusimamisha kazi, but I know all the things you were doing behind the scenes
the fact that I didn't talk about it doesn't mean I'm stupid"

"Ku appreciate kazi yako nitaendelea kukulipa mshahara kwa miezi 3 ijayo, kama miezi mitatu itapita na hujapata kazi nitafute but I hope Michelle hatokosa Mahali pa kukuweka you guys are friends"

Secretary aliunza Mwaka vibaya, the first day at work in 2023 na unafutwa kazi (I can imagine!) ila katika siku ambayo nilijua Caryn ana huruma basi ni hii siku, just imagine umefukuzwa kazi na aliyekufukuza kazi akaahidi kuendelea kukulipa mshahara kwa miezi 3 na kama ikatokea hujapata kazi kwa hiyo miezi mitatu bado una nafasi ya kumfuata Boss wako aliyekuachisha kazi ili akutafutie kazi nyingine... Secretary wa watu akakusanya kilicho chake akaondoka,

BM: "Sasa Kuna haja gani ya kumsubirisha mtu kwa miezi yote hiyo na wakati una uwezo wa kum connectia kazi nyingine na akaanza hata kesho"

Caryn: "Kabla sijamuonea huruma nataka aanze kujionea huruma yeye kwanza, ila najua Michelle hatokosa pa kumuweka"

Càryn: "Tuachane na hayo....Bro (Opportunist) Apparently you have a lot free time on your hands, so I decided to increase your workload, utaanza kwenda Zanzibar na BM lakini pia kazi yako ya awali utaendelea kubaki nayo"

Opportunist: "Sawaa"

Basi tukaelekezana pale jinsi kazi itakavyokuwa baada ya hapo Kila mtu akaendelea na majukumu yake, jioni kabla hatujarudi nyumbani Caryn akaniomba tupitie Dukani kwake, tulivyotoka Dukani tukaunga moja kwa moja nyumbani, saa mbili au tatu kasoro hivi kama sikosei ndio tumeingia kwa nyumba

Caryn: "BM utanisaidia kuweka mchele kwenye rice cooker nakuja kupika mboga"

Akaenda kuoga, sasa unajua chumba Cha Caryn hakina bafu ndani yake hivyo ni lazima atoke chumbani ndio aingie Bafuni kwahiyo ni lazima nimuone japokuwa Distance ya chumba na choo ni fupi sana, hii ni mara ya pili nikimshuhudia Caryn akienda kuoga huwa ana taulo lake la white ambalo ni Pana kidogo ila style anayoitumia kujifunga unaweza kudhani Ile taulo ni fupi kumbe ni Sanaa tu ndio imetumika ili lionekane fupi

Sasa akienda kuoga huwa anajifunika na taulo pekee so huwa anaanzia kujifunika kwenye kifua (Sorry for using word 'kifua' hali sound kike) so upana wa lile taulo akianza kujifunika mat!t! basi linakuja kuishia kwenye mapaja, aysee[emoji1544]

Alivyotoka kuoga na mm nikaenda kuoga, sasa kwasababu chumbani kwangu hita haifanyi kazi nilikuja kuoga kwenye hili bafu alilotumia Caryn, bwana wee! hiyo harufu niliyokutana nayo nikaishia kujisemea tu kweli 'Kuna watu wanajua kuoga' kuna watu wengine sabuni zao za kuogea ni perfume tosha

Nilivyomaliza kuoga, na nilivyoingia chumbani sikutoka hadi niliposhtuliwa kwenda kula, sasa wakati tunakula tumemaliza Caryn akaniuliza

Caryn: "Are you broke?"

BM: "Kwanini?"

Caryn: "Because whenever you're broke you're always humble"

BM: "Always niko humble mbona"

Caryn: "Hapana, nakujua vizuri sana, kuanzia ofisini hadi nyumbani nakutuma sijakusikia uki complain"

BM: "Wapi ushawahi kuona mfanyakazi anatumwa na Boss wake halafu akaanza kulalamika in front of his/her Boss"

Caryn: "Kwahiyo nilivyokuambia uweke mchele kwenye rice cooker ulifanya kwasababu umeambiwa na Boss wako au ulifanya kwa kunisaidia?"

BM: "Okay, acha niadmit I'm broke"

Caryn: "How broke are you?"

BM: "I'm down to my last 100k

Caryn: "This is a wrong time to be broke"

BM: "Why? and which time is perfect to be broke?"

Caryn: "When you were in your mother's womb and when you enter 6 feet"

Kiukweli hata mm sijajua pesa nilitumiaje, ila pia kwenye Ile challenge kwa kiasi flani ilinimalizia pesa, ila sijawaza sana kwasababu siku inayofuata ndio nilikuwa naingia visiwani

Siku inayofuata ikafuata Cha ajabu naamka nakuta Caryn huyupo na sio kama nimechelewa kuamka hapana! niliamka muda ule ule wa kawaida, ule muda nilioamka nilishika simu yangu ili kuangalia time nikakuta message ya Caryn Uta request Cab mm nimetangulia pesa ipo hapo living room,

(Ooh kwahiyo jana nilivyomuambia kwamba sina kila kitu ndio kaamua kunizingatia na nauli!) kweli sharing is caring na Ashukuriwe Mungu wa Majeshi

Kweli sebuleni nikakuta elfu 30 imekandamizwa na remote control ya Tv, basi nikajiandaa nikaingia mzigoni, nafika ofisini Caryn mwenyewe sijamkuta, nikaenda kwa Accountant anipe posho ya Zanzibar,

Kabla sijaondoka nikampigia Caryn kumuulizia kama anakuja ofisini nimsubirie ili nimpe funguo ya nyumbani lakini akaniruhusu niende tu kwani yeye Leo ataenda kulala kwao

Tukachukuana na Opportunist tukaingia visiwani, hii trip niliyoenda na Opportunist kama Caryn angekuwa na urafiki au ukaribu na Opportunist basi ningehisi Opportunist yupo kwaajili ya kunichunguza maana Kila process ninayofanya anadadisi yani ni kama vile alitaka kujua kila kitu kwa trip Ile ya kwanza

Mwisho wa siku nikamuambia alirelax maana niliona speed aliyokuja nayo ni Top speed mbaya zaidi tupo mbuga za wanyama akipita na swali kesi inaenda kuamuliwa TANAPA

Tukarejea Dar es salaam, Wakati tunakaguliwa pale Bandarini na namna nilivyokuwa naongea na staff wa pale Bandarini pamoja na maofisa wa TRA kile kitendo kilimshangaza Opportunist

Opportunist: "Dogo hii kazi umei-master kwa muda mfupi sana, na hawa staff wa TRA umezoeana nao kama ulivyozoeana na Caryn"

Opportunist ananiitaga Dogo eti, japokuwa ni kweli kanizidi namba, sasa kwa anavyojua yeye anadhani kipindi kile alivyonichomolea Ile issue ya tax baada ya pale ndio nikaja kuanza kupiga kazi huku Cargo bila kujua kwamba nilianzia kitambo nakaribia kufikisha Mwaka yeye anajua miezi 3 kazi sijafikisha

BM: "Hii experience ni ya muda mrefu bro, almost Mwaka nafikisha"

Opportunist: "Kampuni hii hii au?"

Nikaona huyu atanichanganyia mafaili, nikamkatisha story nikamuambia "ebu endelea kupiga tape hii mizigo iliyochanwa ngoja nimalizane na TRA"

Mzigo ukafikishwa ofisini ila kwa kuchelewa sana, hii trip niliyoenda na Opportunist ni kama ilikuwa na gundu, kwasababu kwa mara ya kwanza nilishikwa na D!ld*, katika rekodi zangu mimi sijawahi kushikwa huwa napita kimaster sijui hii siku ilikuaje, ikabidi nitoboke na note za kutosha

Wakati nipo na Accountant napiga nae hesabu namuambia kilichotokea kwasababu kule Bandarini nilitoa pesa yangu mfukoni ili kuzima msala akanikazia kwamba hatoi pesa hadi uthibitisho, sasa uthibitisho gani? kwenye Pesa ya hongo Kuna risiti!?

Nikaona huyu nikidili nae nitajisumbua, nilivyomalizana nae kwenye mahesabu nikaenda kwa Caryn, nikamuelezea kila kitu sasa mistake niliyoifanya Wakati ule msala unatokea kule Bandarini mimi niliamua kumalizana nao bila kuwapigia simu huku ofisini nikijua nikija wakati wa mahesabu nitadai pesa yangu, nilivyomaliza kumuelezea Caryn akanambia

Caryn: "You know what BM, I should have known it was terrible idea kukuweka kundi moja na Opportunist"

BM: "Sijakuelewa, hii issue inahusiana vipi na Opportunist?"

Caryn: "Napata wasiwasi kukuamini"

BM: "Caryn ebu tuongee kama washkaji, uBoss uweke pembeni kwa Dakika chache tu, I'm serious nimetoa pesa yangu Bandarini I expected you to be more understanding ndio maana nimekuja kwako"

Caryn: "Umetoa shilingi ngapi?"

BM: "Laki mbili, tena kwa kubembeleza sana, jamaa alikuwa anataka 300k"

Caryn: "Naweza kujua hiyo laki mbili uliyoitoa wewe umeipata wapi?"

BM: "This is the most ridiculous question ever"

Caryn: "Nadhani tukiendelea kuongea kama washkaji tutavunjiana heshima, Let's discuss this issue as an employee and his Boss"

BM: "Sasa wewe unaniuliza Pesa nimetoa wapi kweli! Haya, ni pesa yangu nimetoa kwenye account naweza kukuonesha na message ukitaka"

Caryn: "One minute you're broke and 100k is the last penny in your Account, Next minute the same person tells you that he has withdrawn two hundred thousand from his account"

Dah! haya maisha haya, yana tufanya tuwe wanyonge hadi tunapopambania haki zetu

Akampigia simu Accountant...[emoji338]"I need you to come with the financial reports I need to work on that"[emoji3513]

Accountant akaleta Documents alizoambiwa alete, halafu akaambiwa amuite Opportunist, jamaa akaja, So ofisini tupo mtu 3, Mm, Opportunist na Caryn mwenyewe ila kabla hatujaanza mazungumzo nikatolewa nje

Caryn: "BM excuse us for a moment pls"

Moyoni nikajisemea huu sasa ni us€ng£ pro max nikatoka zangu nje nimekaa kama dakika 10 naona Opportunist ndio anatoka nikamuuliza jamaa kilichojiri huko ndani akaniambia tu naitwa, kufika Caryn akataka nikamletee huo mzigo ulioleta maseke Bandarini nikaenda kumchukulia na Accountant akaitwa

Caryn: "Accountant mshatuma invoice kwa mwenye huu mzigo"

Accountant: "Yes"

Caryn: "Naiomba"

Akapewa, alivyomaliza kuipitia Ile invoice Caryn akasema "Accountant rewrite na uongeze laki 2 kwenye hiyo amount na u resend kwa huyo customer, akihitaji maelezo zaidi utampatia BM aongee nae"

Accountant: "Okay"

BM: "Sijaelewa, kwahiyo hadi huyo mtu aje kulipia mzigo ndio napata pesa yangu?"

Caryn: "Kwani kwa Case kama hii kabla ya mimi kuwa incharge mlikuwa mnasolve vipi?...... Halafu mzigo wenyewe charge ya kuusafirisha haijafika hata elfu 50 then unataka nitoe laki 2 tena, sasa tutakuwa tunafanya Biashara gani!"

Nilivyoona ngoma inazidi kuwa ngumu nikaona hapa ni Bora niende nyumbani kupumzisha fuvu, namuomba ruhusa jibu alilonipa "Kama huu ndio muda wa kutoka ofisini nina kuruhusu uende"

Aisee nilitoka mule ofisini nimeng'ata meno kwa hasira, nikaenda kuchill kwenye Balcony, kabla ya kufika mida ya kutoka 5:00PM around 4:18PM Caryn akanifuata kule nilipokuwa nimekaa "BM mm naondoka leo sitorudi pia ila Ile pesa ya rent nitakutumia badae nikifika nyumbani"

Badae nipo zangu nyumbani nikaona muamala umesoma kutoka kwa Caryn 1,600,000/= hii Pesa katuma kwaajili ya kodi lakini kwa jinsi nilivyofulia siwezi kwenda kumfaidisha mwenye nyumba na wakati mimi nina mashida ya kutosha, Ile pesa nikaichikichia landlord nitakutana nae mwezi wa 5 kodi yangu itakapoisha

Ilipita kama wiki na siku kadhaa Caryn akarudi mjengoni, hiyo siku aliyorudi wakati tumetoka ofisini tukapitia Sokoni tukanunua mazaga zaga kama yote si unajua tena nilikuwa na Ile 1.6m japokuwa by that time nilikuwa nishaipukutisha imebaki kama laki 7,

Tulivyomaliza kufanya shopping tukaelekea nyumbani, kabla hatujafika nyumba kabisa nikamuambia Caryn atangulie kuna mtu namcheki mtaa wa pili (Uongo) hakuna mtu niliyekuwa naenda kumcheki Wala nini, sikutaka tu kuongozana nae hadi nyumbani kwasababu najua tungefika huko angeanza kuniambia sijui 'nisaidie na kitu flani mara nisaidie kukata nyama' nikamkwepa kwa style hiyo

Nikadhurula hadi mida ya saa mbili mbili ndio nikarudi home, nilivyofika tu nikapitiliza chooni kujisaidia haja ndogo[emoji735], nilivyotoka chooni nikaingia jikoni nikakuta msosi tayari, muda huo Caryn alikuwa chumbani kwake, akatoka na taulo lake kama kawaida kwenda kuoga, sasa naona mtu anatoka with long face akanifuata

Caryn: "So I have to tell you everytime that always wipe the toilet after using, see I almost sat on your urine"

Nikaona sasa huyu atanizoea

BM: "Caryn ngoja nikuambie kitu, this is not the office where you're the Boss, this is my house, keep your bossing around to the office only, you do not make rules in my house"

Caryn: "I'm not Bossing you, nakuambia kitu understandable, what you did it's not hygienic at all"

BM: "Unaniambia kitu understandable in a wrong tone"

Caryn: "Which tone am I supposed to use! romantic?

BM: "I guess I'll have to do whatever my Boss says"

Nikaamka nikaenda ku wipe hiyo sehemu anayodai kuna mikojo, (moyoni nikajisemea atakaye muoa Caryn kazi anayo tena sio ndogo)

Caryn: "This has nothing to do with me being your Boss...I cannot continue to play mummy duties to a grown-up baby"

Sikumjibu, ila mikojo ni kweli niliiacha, siunajua choo Cha kukaa ukikojoa Kuna vile vimikojo vya mwishoni ni lazima vitaangukia pembeni na kutengeneza kama matone flani, na muda ule nafuta ule mkojo nilijiapiza kile choo sitakiingia tena, hata kuoga nitakuwa naogea chumbani kwangu, Uzuri ni kwamba hita nishaitengeneza

Binafsi nikigombana na mtu nina tabia ya ku catch ila Caryn hiyo tabia hata sababu alivyotoka kuoga akanikuta na kula eti kakaniambia "Si ungenisubiri tule wote jamani" sikumjibu kitu nikakaangalia tu, akagundua kuwa nimekasirika kakanisemesha tena "Why do you get upset so easily?"

Safari hii nikaamua kumjibu nikamuambia "Baba yako alishawahi kuniambia kuwa Men are tested when they have money, women are tested when their is no money hii kauli kwako ina ukweli kiasi gani?"

Caryn: "It depends"

BM: "Labda hujanielewa...Let's assume that you're poor, I mean really poor like wretched, let's say like a pauper unge behave hivi unavyo behave?"

Caryn: "That's a scary imagination but yes! ninge behave vile na behave sasa hivi, that's my behavior, ushawahi kusikia watu wanaitwa masikini jeuri? that person could be me"

BM: "I'm sure you're saying that because you're really never tasted poverty and experience it"

Caryn: "And It's not my fault born into wealth & thanks God this is just imagination because I don't want to be poor"

Tukawa tunapiga story kama vile hatuja gombana muda mfupi uliopita huku tukishea experiences mbalimbali, baada ya Mimi kumsimulia story yangu ambayo sitopenda kuielezea hapa, Caryn nae akaja na yake

Caryn: "Okay let me share my Dad's experience, unajua Dad huwa ana story zake flani hivi ukimsikiliza vizuri lazima utajifunza kitu, na ameni hadithia juzi tu hapa nilivyoenda home, tena baada ya kukuulizia ndio akani hadithia"

Caryn: "Anasema once his business crash his world went silent. no one checking on him, no calls. at that moment anakuambia anaweza akakaa hadi siku 2 na simu isiite, kumbuka huyu ni mtu ambaye alikuwa anapokea simu zaidi ya 50 kwa siku, Anasema hapo ndipo alipokuja kujua people’s nature, when you fall they lose interest in you. That's a lesson he never forgot and worse experience ambayo hataki mimi nipitie...after kushea hiyo experience ndio nikaja ku realize ni kwanini Dad amekuwa akini insist niwe makini na watu,
especially those people who are close to me"

BM: "Wow, hii mzee hajawahi kuniambia, anyways na mimi nitakuambia worst experience yangu, hii ni current experience though....Hakuna kitu ngumu na kinachoumiza kichwa kama ku-Deal na Boss Mwanamke.. Nyie watu are hell to work for, Case study ni wewe Caryn, The peace in the office depends on how you woke up, the first person you met that morning, the date of the month and many other million things"

Caryn: "Pumbavu kabisa ww, nikajua unaniambia kitu cha maana"

BM: "On serious note Caryn you are the worst boss in the world but as a friend you're wonderful"

Caryn: "Even you, you're the worst staff in my office but as a friend you're fantastic"

BM: "Hii ya kwako hai make sense kwasababu sijawahi kuona Boss akimvumilia Mfanyakazi mbaya, lakini ni kawaida kwa mfanyakazi kumvumilia Boss kichefu chefu"

Caryn: "BM una majibuu! halafu sikujua kama una maneno ya shombo kiasi hiki"

BM: "Just a joke"

Caryn: "That was a bad joke, please! don't joke like that again"

BM: "Ukinuna unafanana na Michelle"

Caryn: "Speaking of Michelle, I think something fish is going on between you and Michelle"

BM: "Something fish?...."

Kabla sijaendelea kuongea akanikatisha akaniambia "Be patient bro, kuna kitu nakutumia Whatsapp soon uta find out nini naongelea"

BM: "Sasa si bora tu unipe niangalizie kwenye simu yako badala ya kupoteza muda kutumiana WhatsApp wakati wote tupo hapa"

Caryn: "Unataka kuangalizia kwenye simu yangu ili ufute ushahidi?"

Akatoa simu yake kwenye charge na kuanza process za kunitumia alichotaka kunitumia na hadi muda huo sijaelewa ni kitu gani ananitumia ila nikahisi kitakuwa ni kitu serious kiasi kwamba hataki niangalizie hicho kitu kwenye simu yake, baada ya sekunde kadhaa akawa ameshatuma

Kufungua WhatsApp si nikakutana na picha niliyopiga na Michelle Ile siku kule Serena Hotel, Tatizo sio picha tatizo ni Pose lililopigwa kwenye hiyo picha, Wakati naendelea kuiangalia Ile picha huku nikitafakari na kujiuliza Caryn ameipataje Ile picha kabla sijapata majibu Caryn akaniongezea swali

Caryn: "You guys are dating?"


Itaendelea
Story inabamba mbaaayaa..
Usimuliaji wako ni moja ya vitu vinavyoipa upekee na kiu ya kuendelea kuifuatilia wakati wote.

Speaking of Caryn, namfananisha na binti mmoja niliwahi kum-date. Yule nae alikuwa ni pasua kichwa ingawaje huyu wako ni next level. Ni ngumu kumsoma na kuona kama unammudu
 
Ni kawaida ukiwa nje ya Pitch kuusoma mchezo na kuuona ni rahisi sana
Daah mkuu, Caryn amekuchokoza vya kutosha, kwanza mwite mlale wote lkn usilazimishe zile za kitoto kutumia fursa, jambo muhimu usiku ajikute umemkumbatia tu😂
 
Back
Top Bottom