Nags kuna ahad Mzee au Annie ksivunjaHili ni kweli limetokea, lakini sio kwenye A day to remember
Mkuu wino ndio uliishia hapo[emoji3] Tunywe tu mtori nyama tutazikuta chiniBMX6: Umetukatiri sana mkuu, ulipaswa utoe jibu la swali la mwisho la Mzee alafu ndio iishie hapo mkuu [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Nafkiri hiyo "A day to remember" msingi wake umeanzia hapo kwenye maswali mawili ya mzee na quotes zake, kitu kizuri ni kwamba mzee kanyooka kwenye maswali ya mtego na wewe umenyooka kwenye majibu.
Nasubiri kwa hamu jibu lako la swali la mwisho la Mzee [emoji23][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119] hapo ndipo ilipo "siku ya kukumbukwa" [emoji41][emoji276]
Ndio maana hapo juu nimesema huyu jamaa BM X6 ametukatiri sana aisee [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]"..... Kwani wewe na Caryn mna mpango gani?"
BM , tunaomba utujibie hili swali, kwasababu ukujibu kwa mzee wala kwa sisi wasomaji.
Rapid express air cargoMkuu Mafian cartel Picha zimekubali kufunguka ndio nimeziona Leo,
Bila kupepesa macho yule Agent namjua (ila sio Mimi), Ma-Agent na Ma logistic Manager tunafahamiana kwasababu tunatumia wote ndege moja, Air Tanzania na Ethiopian Airway kwahiyo mara nyingi ratiba huwa zinafanana.
Huyo Agent najua hadi Kampuni anayofanyia kazi, actually ndio hiyo hiyo uliyoiona Insta na Mimi ananijua ila kwa Nickname lakini sio nickname hii BM X6
Hizo Air Cargo zipo nyingi sana japokuwa wengine wanapiga miguu yote yote yani Air Cargo na Cargo Ship
Baadhi ni kama
Kaluu Express Air Cargo
Ngoka Express Air Cargo
Huru Express Air Cargo
Sifex Air Cargo
Tan Air Cargo
Rapid Express Air Cargo
Takes Express Air Cargo
Barhi Express Air Cargo
African Express Cargo
Target Express Air Cargo
Epic Express Air Cargo
SSI Air Cargo
NB: Katika hizo nilizozitaja kuna Kampuni ya Mzee pia
Pm mkuu plzMnaonaje hili swali akalijibu Caryn...
BM x6 nishakusomaPm mkuu plz
Hamna aliyekuwa serious mkuu tunachangamsha genge tu...huoni hata Bm na yeye hajasema kuhusu kumuharibia mpaka kataja na list ya Kampuni na ya kwao ikiwemo kazi ni kwako kuotea it's like a challenge tu nothing seriousMnahangaika sana kumjua BM pamoja na codes zote alizotoa mbona mi namjua kitambo sana kwa kupitia hizo codes ila sio busara kuja kumu expose mtu humu. Kwanza anasimulia story iliyobeba watu wanao exist alafu sio mjivuni wala hajakosa kitu. So kama na wewe umemjua BM basi usije kumtaja utamuharibia.