J wizzy
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 459
- 536
BMX6: Umetukatiri sana mkuu, ulipaswa utoe jibu la swali la mwisho la Mzee alafu ndio iishie hapo mkuu [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Nafkiri hiyo "A day to remember" msingi wake umeanzia hapo kwenye maswali mawili ya mzee na quotes zake, kitu kizuri ni kwamba mzee kanyooka kwenye maswali ya mtego na wewe umenyooka kwenye majibu.
Nasubiri kwa hamu jibu lako la swali la mwisho la Mzee [emoji23][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119] hapo ndipo ilipo "siku ya kukumbukwa" [emoji41][emoji276]
Nafkiri hiyo "A day to remember" msingi wake umeanzia hapo kwenye maswali mawili ya mzee na quotes zake, kitu kizuri ni kwamba mzee kanyooka kwenye maswali ya mtego na wewe umenyooka kwenye majibu.
Nasubiri kwa hamu jibu lako la swali la mwisho la Mzee [emoji23][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119] hapo ndipo ilipo "siku ya kukumbukwa" [emoji41][emoji276]