Hahaha kwanini?@buffalo44 huyu jamaa atakuwa anaishi ndani ya "Boom Gate"
Yakusimulia bado yapo nayo ni:Kwakweli labda itokee miujiza otherwise story ndio itakuwa imeishia hapa
Mkuu wewe huoni tu Mwandiko wake?Hahaha kwanini?
Wewe ni mzima kichwani?Toka hapa na utapeli wako. Najua unapoelekea. Haya tuma namba tujiunge na group lako kwa 5,000 kwa mwezi. Ujinga tu. Wenzako kibao washakuja na waliishia hivyo hivyo. Nashangaa mods wanaachia upuuzi huu. Acha ushamba
Okay nitakuja na Bonus EpisodeMambo yakutusimulia bado unayo brother, tueleze kuhusu hayo makubaliano uliyoingia na careen mpaka ukakataa kwenda China, pia ulisema dogo wa buguruni kazingua, kazinguaje tusimulie ndo stori yenyewe hiyo
Fanya mambo yawe motoOkay nitakuja na Bonus Episode
Ubaya wa Connection (sijui ni kwangu tu au na wengine pia inawatokea) ni kwamba ukiwa na kazi ndio kazi zingine zinajileta, Sasa hivi nipo juu ya mawe sizioni tena zile Offer zilizokuwa zinakuja mbele yanguNingelikuw ww ningemganda michelle au careen anipe connection nyngne ya kaz ili nijihakikishie flow ya pesa kpindi nasubir kam nitarudishwa kazn.
Unajua ni bora upewe mchongo wa kukuingizia pesa kuliko kusubiria upewe pesa na mtu kwa sabab mtu unayewez kumtegemea anaweza kupata matatizo kam yako au kuzid yako akawa hana pesa ya kukusaidia..
Pia mm naamin bro uko na uwezo mkubw katik kufany kaz na naamin pia una connection za kazi ss kama hao madem wanakuzingua ww tafut kaz katik kampun nyngine ili uendelee kujitafut kuliko kuendelea kusubiria kazi isiyokuw na uhakika au kutegemea commision 2..
Umeongea point.Nmepitia huu uzi kimya kimya nmegundua kuw bro.BMX6 hutazami mbali kwa sababu unaamin mzee atakusaidia hapo baaday na umejiwek katik nafasi ya kuw mwanafamilia ya huyo mzee ila itakugharimu baaay bro usipozichanga karata zako pindi unapopata nafasi.
Pia mkuu u have no choice coz nafikir siku itafika careen atashindw kuzuia hisia zake kwako ila kuna risk ukiingia nae kweny relationship kwa sabab nadhan atakuwek under pressure ili uwez kusurvive pia atakupoteza kam utakataa kuwa nae kwenye mahusiano...kumbuka madem aina ya careen huwa wabinafsi pindi linapokuja jambo lao..
#Opinions.
👊Okay guys itabidi nije na Bonus Episode ili nisimulie mambo yote ambayo sikuyasimulia
Ila kuna baadhi ya mambo sikuyasimulia kwa makusudi kwasababu ya unyeti wake, kwa niliyoyasimulia iwe kwa upande wa Kampuni au familia ya Mzee niliyachuja kwanza kabla ya kuyaleta hapa
So kama ikitokea kwa bahati mbaya yeyote aliyetajwa kwenye hii hadithi akipitia huu Uzi kwangu haitaniletea shida, kwasababu pamoja na kutumia codes lakini hii story ikikatiza kwa Mzee, Caryn, Michelle bila shaka wataona matukio yana relate na wao, na Accountant pia
Kwenye Bonus Episode nitaelezea namna kijana wa Buguruni alivyozingua
Bonus Episode pia nitaeleza Mpango wa Caryn ulionifanya nikatae safari ya China, kwakifupi Mzee alivyoleta Offer mezani na Caryn nae alileta Offer yake bila ya Mzee kujua...ila katika hizi offers zote mbili nilishindwa kufanya calculation ya haraka haraka, (lakini pia siwezi kusema kwamba nilifanya maamuzi mabaya)
Offer ya Mzee ilikuwa ni ya uhakika zaidi na ndani ya muda mfupi Deal lingekuwa Done kama mlivyoona ilivyofanyika kwa mchina
Kwa upande wa Offer ya Caryn, ninaweza kusema ni ya uhakika lakini ni kama kamari vile vile, kwa kifupi huku kwa Caryn nimebet hadi leo sijajua kama deal litakuwa Dili kweli au ni Dirisha, ndio maana kwa upande mwingine sikuumia sana nilivyopoteza kazi ila iliniuma tu namna nilivyo struggle kuzichanga Pesa (10 milioni within 2 days) na kulipa deni ili kutoitia doa Kampuni lakini mwisho wa siku ikawa ni kazi bure
But I know maumivu ya kupoteza kazi nitakuja kuyafeel badae endapo Mpango wa Caryn usipokamilika, hapa itabidi nitafute plan B mapema ili kupunguza maumivu hapo badae endapo mambo yataenda mrama
Mwisho kabisa lakini sio mwisho kwa umuhimu, kwenye Bonus Episode nitasimulia siku ambayo nilimtongoza Caryn na majibu yake aliyonipa, unajua mwanzo nilikuwa nasita kufanya hivyo coz niliona kumu-approach Caryn in any way romantic is a really selfish move kwasababu nyuma yangu kuna Annie, lakini mwisho wa siku..... anyway guys stay tune
Opportunity alitolewa wa Michelle na Mzee ili work an love visiwe na alipogundua Caryn uko nae akaona Nop akacheza picha la kichina unajua kama Zanzibar walikutrace Michelle akajua ulilala na Caryn the sameway Mzee hatak kbsa love and work,ila mwisho wasiku utazi control Hz company Kwa mgongo wa CarynOkay guys itabidi nije na Bonus Episode ili nisimulie mambo yote ambayo sikuyasimulia
Ila kuna baadhi ya mambo sikuyasimulia kwa makusudi kwasababu ya unyeti wake, kwa niliyoyasimulia iwe kwa upande wa Kampuni au familia ya Mzee niliyachuja kwanza kabla ya kuyaleta hapa
So kama ikitokea kwa bahati mbaya yeyote aliyetajwa kwenye hii hadithi akipitia huu Uzi kwangu haitaniletea shida, kwasababu pamoja na kutumia codes lakini hii story ikikatiza kwa Mzee, Caryn, Michelle bila shaka wataona matukio yana relate na wao, na Accountant pia
Kwenye Bonus Episode nitaelezea namna kijana wa Buguruni alivyozingua
Bonus Episode pia nitaeleza Mpango wa Caryn ulionifanya nikatae safari ya China, kwakifupi Mzee alivyoleta Offer mezani na Caryn nae alileta Offer yake bila ya Mzee kujua...ila katika hizi offers zote mbili nilishindwa kufanya calculation ya haraka haraka, (lakini pia siwezi kusema kwamba nilifanya maamuzi mabaya)
Offer ya Mzee ilikuwa ni ya uhakika zaidi na ndani ya muda mfupi Deal lingekuwa Done kama mlivyoona ilivyofanyika kwa mchina
Kwa upande wa Offer ya Caryn, ninaweza kusema ni ya uhakika lakini ni kama kamari vile vile, kwa kifupi huku kwa Caryn nimebet hadi leo sijajua kama deal litakuwa Dili kweli au ni Dirisha, ndio maana kwa upande mwingine sikuumia sana nilivyopoteza kazi ila iliniuma tu namna nilivyo struggle kuzichanga Pesa (10 milioni within 2 days) na kulipa deni ili kutoitia doa Kampuni lakini mwisho wa siku ikawa ni kazi bure
But I know maumivu ya kupoteza kazi nitakuja kuyafeel badae endapo Mpango wa Caryn usipokamilika, hapa itabidi nitafute plan B mapema ili kupunguza maumivu hapo badae endapo mambo yataenda mrama
Mwisho kabisa lakini sio mwisho kwa umuhimu, kwenye Bonus Episode nitasimulia siku ambayo nilimtongoza Caryn na majibu yake aliyonipa, unajua mwanzo nilikuwa nasita kufanya hivyo coz niliona kumu-approach Caryn in any way romantic is a really selfish move kwasababu nyuma yangu kuna Annie, lakini mwisho wa siku..... anyway guys stay tune
Muandiko wangu kwani upoje mkuu?Mkuu wewe huoni tu Mwamdiko wake?
Sawa mkuu tunasubiriaOkay guys itabidi nije na Bonus Episode ili nisimulie mambo yote ambayo sikuyasimulia
Ila kuna baadhi ya mambo sikuyasimulia kwa makusudi kwasababu ya unyeti wake, kwa niliyoyasimulia iwe kwa upande wa Kampuni au familia ya Mzee niliyachuja kwanza kabla ya kuyaleta hapa
So kama ikitokea kwa bahati mbaya yeyote aliyetajwa kwenye hii hadithi akipitia huu Uzi kwangu haitaniletea shida, kwasababu pamoja na kutumia codes lakini hii story ikikatiza kwa Mzee, Caryn, Michelle bila shaka wataona matukio yana relate na wao, na Accountant pia
Kwenye Bonus Episode nitaelezea namna kijana wa Buguruni alivyozingua
Bonus Episode pia nitaeleza Mpango wa Caryn ulionifanya nikatae safari ya China, kwakifupi Mzee alivyoleta Offer mezani na Caryn nae alileta Offer yake bila ya Mzee kujua...ila katika hizi offers zote mbili nilishindwa kufanya calculation ya haraka haraka, (lakini pia siwezi kusema kwamba nilifanya maamuzi mabaya)
Offer ya Mzee ilikuwa ni ya uhakika zaidi na ndani ya muda mfupi Deal lingekuwa Done kama mlivyoona ilivyofanyika kwa mchina
Kwa upande wa Offer ya Caryn, ninaweza kusema ni ya uhakika lakini ni kama kamari vile vile, kwa kifupi huku kwa Caryn nimebet hadi leo sijajua kama deal litakuwa Dili kweli au ni Dirisha, ndio maana kwa upande mwingine sikuumia sana nilivyopoteza kazi ila iliniuma tu namna nilivyo struggle kuzichanga Pesa (10 milioni within 2 days) na kulipa deni ili kutoitia doa Kampuni lakini mwisho wa siku ikawa ni kazi bure
But I know maumivu ya kupoteza kazi nitakuja kuyafeel badae endapo Mpango wa Caryn usipokamilika, hapa itabidi nitafute plan B mapema ili kupunguza maumivu hapo badae endapo mambo yataenda mrama
Mwisho kabisa lakini sio mwisho kwa umuhimu, kwenye Bonus Episode nitasimulia siku ambayo nilimtongoza Caryn na majibu yake aliyonipa, unajua mwanzo nilikuwa nasita kufanya hivyo coz niliona kumu-approach Caryn in any way romantic is a really selfish move kwasababu nyuma yangu kuna Annie, lakini mwisho wa siku..... anyway guys stay tune
unanifundisha mengi sana kuna maeneo nayapitia ,lakini navyosoma comments za members napata ufumbuzi wa mambo fulani fulani nawashukuru nyote sana sana mnanipa mafunzoOkay guys itabidi nije na Bonus Episode ili nisimulie mambo yote ambayo sikuyasimulia
Ila kuna baadhi ya mambo sikuyasimulia kwa makusudi kwasababu ya unyeti wake, kwa niliyoyasimulia iwe kwa upande wa Kampuni au familia ya Mzee niliyachuja kwanza kabla ya kuyaleta hapa
So kama ikitokea kwa bahati mbaya yeyote aliyetajwa kwenye hii hadithi akipitia huu Uzi kwangu haitaniletea shida, kwasababu pamoja na kutumia codes lakini hii story ikikatiza kwa Mzee, Caryn, Michelle bila shaka wataona matukio yana relate na wao, na Accountant pia
Kwenye Bonus Episode nitaelezea namna kijana wa Buguruni alivyozingua
Bonus Episode pia nitaeleza Mpango wa Caryn ulionifanya nikatae safari ya China, kwakifupi Mzee alivyoleta Offer mezani na Caryn nae alileta Offer yake bila ya Mzee kujua...ila katika hizi offers zote mbili nilishindwa kufanya calculation ya haraka haraka, (lakini pia siwezi kusema kwamba nilifanya maamuzi mabaya)
Offer ya Mzee ilikuwa ni ya uhakika zaidi na ndani ya muda mfupi Deal lingekuwa Done kama mlivyoona ilivyofanyika kwa mchina
Kwa upande wa Offer ya Caryn, ninaweza kusema ni ya uhakika lakini ni kama kamari vile vile, kwa kifupi huku kwa Caryn nimebet hadi leo sijajua kama deal litakuwa Dili kweli au ni Dirisha, ndio maana kwa upande mwingine sikuumia sana nilivyopoteza kazi ila iliniuma tu namna nilivyo struggle kuzichanga Pesa (10 milioni within 2 days) na kulipa deni ili kutoitia doa Kampuni lakini mwisho wa siku ikawa ni kazi bure
But I know maumivu ya kupoteza kazi nitakuja kuyafeel badae endapo Mpango wa Caryn usipokamilika, hapa itabidi nitafute plan B mapema ili kupunguza maumivu hapo badae endapo mambo yataenda mrama
Mwisho kabisa lakini sio mwisho kwa umuhimu, kwenye Bonus Episode nitasimulia siku ambayo nilimtongoza Caryn na majibu yake aliyonipa, unajua mwanzo nilikuwa nasita kufanya hivyo coz niliona kumu-approach Caryn in any way romantic is a really selfish move kwasababu nyuma yangu kuna Annie, lakini mwisho wa siku..... anyway guys stay tune
Sasa wewe kushambulia mtu kwa namna hiyo kunakusaidia nini?. Huyu anaesimulia humu wapi alipomtaperi au kuonyesha dalili za kutaperi mtu?. Kama hujapendezwa na story zake kwa nini usikae pembeni?. Kwa nini mtu uishi kama wanyama zamani?. Kushambulia shambulia wengine?. Jaribu kuiga hata ustaarabuAache ushamba. Hawa na mahadithi yao ya hovyo wanaanzaga hivi hivi. Tukiwakemea utasikia oohh silipwi, upuuzi tu. Mimi nimempa kitu clear kabisa kuwa naelewa anataka kupiga hela so afanye faster tumpe. Kwanza ukiangalia porojo zake hazina logic yaani episode na episode hazileti theme moja. Ni mjanja mjanja tu.
Unakumbuka Ontario alivurugika kichwa akaja humu na story ndefu za forex? Maelezo meeengi ila ujinga tu. Tukatoa tahadhari tukazomewa. Mwisho wa siku waulize wazee humu utapata feedback.
Huyu kijana wetu na mwenzie wa Buguruni na hatma yao kaja kivingine. Kwanza mshapigwa michango najua, na sasa subirini. Tatizo wengi wanavutiwa na porojo za mabinti bila kujua huo ndio mtego wake. Wenye akili tushajua mapema tu.
Pia mkuu uyo caryn Bado mnaishi pamoja ?Mzee bado hajarudi ila niliongea nae kwa simu
Aah kumbe mzee yupo safariniMzee bado hajarudi ila niliongea nae kwa simu