Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Ubaya wa Connection (sijui ni kwangu tu au na wengine pia inawatokea) ni kwamba ukiwa na kazi ndio kazi zingine zinajileta, Sasa hivi nipo juu ya mawe sizioni tena zile Offer zilizokuwa zinakuja mbele yangu
Dah kwel bro sema piga moyo konde maana hata dhahabu hupita kwenye moto ndiy iwe na thaman.. [emoji124]
 
MWAMBIE MSHIKAJI Mambo ni [emoji91][emoji91][emoji850]
 
kaka tuache tu tupigwe au tuendelee kudanganywa wngine hapa ndo sehemu ya kujifunza vitu sio pa kuggombana
 
Mi nahisi Mzee kaicheza hii ili aone Caren atachukua uamuzi gani au pia na Caren mwenyewe anajua mchezo mzima ila wanataka kumpima kijana, kumbuka mara ya mwisho mzee alimwambia kijana alisikitika kijana alivyoacha kazi halafu hakumjulisha sasa anataka kuona na hili hatamwambia? Kitu kingine inawezekana mzee alikasirika baada ya kijana kumktalia kwenda China na pengine anajua kabisa amekataa kwa ajili ya Caren ingawa yeye alitoa sababu nyingine
 
Mkuu BM nafikiri hapo nimeelewa sasa. Unapoteza muda kujiweka kwa mtu asie na umuhimu kwako Caryn.
Nafikiri bora uende sambamba na mzee tu,achana kumsikilizia huyo binti.
Kwanza alikufanya ukaachana na Acauntant,na ukaacha na nafasi ya wazi aliyokuandalia Accountant.
Maana mpaka sasa ungekuwa ndio boss wa hapo. Angalau hata ungekuwa na maamuzi yako mpaka sasa. Ungemsikiliza tu yeye halafu usitekeleze anachohitaji. Mbona kwa Caryn unamfuata anachotaka,japo nia yake Caryn anakuandaa uwe wake,japo sina uhakika wewe uko tayari,japo nimehisi na wewe unajaribu kuzitengeneza hisia zako kwa Caryn.

Pili alikuambia uache kazi ukamsikiliza bila hata kumshirikisha mzee hilo swala ksbb ya Caryn. Lakini limekuletea shida kwa mtu ambaye ni muhimu kwako kuliko yoyote (mzee).

Tatu. Kakakudanganya kaje kulala kwako. Hata wewe bila kuwa wazi kwa mzee. Kama ulivyoanza na mzee na kumuelewa misimamo ya mzee. Ungeendekea kuwa upande wa mzee. Vinginevyo ungekataa kabisa,ungemhofu kum-disapoint mzee. Kumbuka pamoja na kwamba Caryn ni mtu mzima ana maamuzi yake,lakini ni mtoto wa mzee. Mzee yoyote atatamani mtoto wake awe kwenye mahusiano au ndoa isiyo yumbishwa na upepo wowote. (Ndio maana akakuuliza wewe ulisema una mwenzi wako. Pia akauliza una mipango gani na Caryn?. Uwe makini anza kujisahihisha).

Nne. Huyo huyo Caryn bado amekudanganya usiende China na wewe ukamuelewa sijui alichokuahidi. Lakini bado hakakupi umuhimu wowote. Hapa usitegemee ya kubahatisha ya mbele,fanya ya sasa ya muhimu kwako bila kusubiri usichokijua mbele.

Nafikiri sasa japo unaweza ukawa umechelewa ama la. Fanya maamuzi nenda kwa mzee kamuombe msamaha kwa kum-disapoint. Mueleze mambo yote yalivyoenda. Usimueleze kila kitu Caryn alichokudanganya,ila mgusie nguvu ya Caryn ilivyochukua nafasi fulani ktk maamuzi yako. Usimwambie kila hatua ya jinsi Caryn alivyocheza huo mchezo,ksbb mzee atakuona mzembe.

Pili chagua kuendelea kukaza kwa mzee huku ukimtarajia Caryn,japo huko iko wazi mpaka sasa ujue utachelewa sana. Na usipomuoa ndio ujue hutapata kabisa,msome.

Naona kabisa bado hujacheza vizuri huu mchezo. Umejiegesha kwa mtu anaetaka akutumie vile anavyotaka. Umechezea nafasi zote za mzee alizokuandalia.
 
Kabisa mzee amehisi tu umekataa kwenda China ksbb ya mwanae ili umle vizuri. Hakuna kingine awaza kwa nini ukatae nafasi ya China
 
Mwanangu umezingua sana hapo kwenye kumpiga sound careen
Basi tu namna ya njia aliyotumia kumpiga sound. Mbona Caryn alishajipiga mwenyewe sound ilikuwa ukitaka ni kumuangushaga tu. Mnapokoseaga vijana wa siku hizi ni hapo,unaanza kutengeneza mazingira seriously ya kumpiga sound. Wakati ktk hali waliyokuwa wanaendelea nayo ilikuwa simple sana mnajikuta tu imo bila hata sound moja. Ndicho alichotaka nae Caryn. Hizo sound tena ni kuyafanya mambo yawe ya kufikiria kwanza,magumu kuyaingia, makubwa kuyakabiri,kuyafanya yawe mazito,yawe serious.

Jinsi walivyokuwa hawa ukitaka kuna mambo kadhaa hapo ya kuyafanya,kwanza kuna tule tumichezo michezo ya hapa na pale huko ndani,yenyewe automatically yenyewe inajikuta imo hapo hamna ugumu. Pili mko mnapiga story umevaa bukta unausimamisha mzigo tu sana inatoka hatari. Hapo unatia na huruma na kujigeuza geuza kwenye kochi hapo,nae hawezi kuvumilia,maana ndio alichokifuata. Kuna namna nyingi tu inategemeana na mtu mwenyewe unamtengeneza vipi kuliwa.

Mwisho BM alishakula tayari huo. Sisi watu wazima na mzee tunajua kitambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…