Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Chakufia nn, Bora niweke tu wazi maana mlinikalia kooni

Na hii kura yako kama sio itifaki ingekuwa triple counted cos maelezo yamenyooka

Eniwei, Vote counted to Caryn [emoji294][emoji294]
 
Okay, hii comment imebeba hisia hadi zinamwagika, Nimekuelewa sana Mkuu


This vote automatically imeenda kwa Annie [emoji294][emoji294]
 
Wow! I like this

Vote counted to Caryn [emoji294][emoji294]
 
THE MOST CONFUSING COMMENT

(nimeipenda kwakweli)

Lakini nikizingatia hapo kwenye "PS" basi bila shaka hii kura imeenda kwa Annie [emoji294][emoji294]

Kama nimekosea utanirekebisha kabla sijaiweka kwenye hesabu

Asante sana kwa kushiriki
 

Hii nimeipenda...
 
Tumekosea sana kukubali ku vote ilihali jamaa haja confirm kama kamkula boss lady[emoji51][emoji51] ilitakiwa tugome kwanza hadi acomfirm ndio tuendelee
Ndo Maana binafsi nime "nyuti"
Naamini BM X6 Mwenyewe jibu analo.
 
Counted to Caryn
Yes, carryn atakufaa zaidi kuliko Annie kwasasa, issue ya carryn kuwa submissive utatengeneza wewe ila haitafika kwa kiwango Cha mwanamke mnyonge kwako, kikubwa chagua kuishi kizungu maana kwasasa Kuna vitu vya kurahisisha kazi mtakuwa mnasaidiana, Kuna mashine za kuosha vyombo, kufua, pressure cooker, maji yanakaa kwenye dispenser hakuna haja ya kuomba ni mwendo wa kizungu na maisha yanakwenda.

Annie muache mapema ili aondoe matumaini kwako, mwambie ulimchit hivyo unaona hatia maana kwa umbali itajirudia mara nyingi hivyo utamfanya asiumie sana, kuwa na Annie itakupa majuto maana itabidi uache kazi na connection zake Sasa jiulize utapenda hayo maisha?
 
Binafsi nimegoma kupiga Kura.

Chaguo utakalolifanya ndilo hilohilo nitakaloliunga mkono hiyo tarehe 01/06/2023.
Budah Boss ni kura ndio zitaamua, so kama utaunga mkono chaguo langu hiyo inamaanisha utakuwa upande wa Candidate aliyepata kura nyingi


Eniwei, Another Ballot wasted
 
THE MOST PAINFUL COMMENT.

Hii imeniuma sana...

Vote counted to Caryn [emoji294][emoji294]

[emoji3514]
 
Mapenzi kweli Yana run dunia. Yaani Hakuna binadamu anakuwa juu ya mapenzi Bali mapenzi yapo juu. Yaani it's really emotions control us.
Acha tu

Vote yako muhimu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…