Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hii stori nilikua nayo bega kwa bega toka ilivyoonza......!

Nikupongeze bmx6 kwa kuamua kushare nasi hii banger, kiukweli tumeburudika na kujifunza vingi mno.

Sijawahi comment ila nilikua msomaji na mfuatiliaji mzuri tu,

sikua na huo mpango, ila kuna kitu kimenisukuma na kuhisi kama nami nahitaji kutoa mtazamo na fikra zangu...!

Tuanze kuwachambua nyie watu watatu tuone yupi anamfaa yupi.

kulingana na ulivyojieleza na kuwaelezea kwenye hii stori...! Yaani bmx6,carren na annie

1. BMX6
anaonekana ni kijana mstaarabu sana, mwenye heshima, mwenye utu na asiye na makuu..!mchapa kazi(akipewa kazi anahakikisha anaifanya vyema na kwa uadilifu) .Ni aina ya mtu ambae hapendi mambo meengi sana(nice guy). Ni kijana ambaye akiwa kwenye mahusiano ni loyal na mtulivu.

Madhaifu yake> hana misimamo thabiti(anayumbishwa yumbishwa), akipenda hutumia hisia zaidi kufanya maamuzi kuliko akili

2. CARREN
Ni mwanamke mwenye misimamo thabiti isiyoyumbishwa kirahisi, anajua nini anataka katika maisha, mwenye huruma kiasi, mchapa kazi na anajiamini sana.

Madhaifu yake> ni mwanamke mbinafsi anayejiangalia yeye bila kujali wengine, ni manipulater Mzuri sana, sio muaminifu wala muadilifu katika kazi(kufungua miradi bila kumshirikisha mzee, ikiwa mzee anamuamini sana)

3.ANNIE
Ni mwanamke mpole asiye na makuu, anayejali na kuguswa na matatizo ya watu wake wa karibu, ana tabia za kikike(feminine), she is a family oriented woman

Madhaifu yake> anaonekana ni mwanamke wa yes kwa vitu vingi( sio mdadisi), amepoa yaani hana vibe anatakiwa achangamke kidogo, sio mwepesi wa kuelezea hisia zake kwa urahisi ( jinsi anavyojisikia)

Kwa kuangalia uchambuz wa kila mmoja hapo juu tuone nani anamfaa bmx6 kulingana na tabia zao...!

1.BMX6 na CARREN
Hawa watu wawili tukijaribu kupima uzani wa upendo miongoni mwao...

utagundua ya kuwa bmx6 anampenda sana carren.. kwanini, kwanza mwenyewe kakiri hapa ya kuwa tokea alivyomuona alimpenda(love at first sight).

Pili bmx6 alivyoanza kuzoeana na carren mara nyingi alikua nervous wakiwa kwenye mazungumzo, kiasi kwamba mpaka carren akagundua bmx6 hana confidence kama alivyokua akiamini..! Ki kawaida ukimpenda sana mtu na ukiwa hujamzoea, alafu mkawa kwenye maongezi unajikuta tu automatic unakua nervous

Tatu bmx6 amekua akisikiliza na kufuata sana ushauri wa carren kuliko wa mtu yeyote ndani ya muda mfupi waliofahamiana....!

Carren anamuamini sana bmx6 ila hana upendo nae kama wengi na bmx6 mwenyewe wanavyodhania... kwanini

Kwanza mwanamke aliyependa yuko radhi kufanya chochote kwa ajili ya ampendae..!

Lakini carren amekua anafanya kinyume, wakati bmx6 anataka kuacha kazi kwa mara ya kwanza alimuomba ushauri Carren ambaye alikua mtu sahihi sana wa kuweza kumpa ushauri utakaomsaidia na kumvusha bm kimaisha...! Carren alijua kampuni ni ya baba yake ila hakutaka kumsanua bm, angekuwa kweli amempenda angemuibia siri na kumweleza ukweli wote...! Badala yake alimpa ushauri uliopelekea bm kuacha kazi na ajabu ile nafasi akapewa Carren. Na mzee tokea hapo akaanza kumchukulia bm poa na kupelekea mzee kumwondoa kwenye kundi la watu wake muhimu( hapa mkuu bm jaribu kukumbuka hili tukio then jiulize Carren anakupenda kweli??? Maana ushauri wake hapa kiukweli ulikuathiri pakubwa)

Pili mwanamke aliyependa hayuko tayari kumpoteza ampendae kwa gharama yeyote ile......!

Carren kwake ni tofauti kabisa yuko tayari kumpoteza bm, maana alikustopisha kazi kwa week kukuonyesha tu ya kwamba yuko tayari kukupoteza na hilo kwake sio ishu. Utasema mbona hatukua kwenye mahusiano, ukweli ni kwamba mwanamke akishapenda hata kama bado hamjaingia kwenye mahusiano atakua anafanya vitu kama vile mko kwenye mahusiano, maana yangu ni kwamba atakua anatumia hisia zaidi kwa ampendae kuliko akili, ila tumeona kwako Carren akitumia akili zaidi kuliko hisia

Tatu mwanamke aliyependa yuko tayari kumsaidia ampendae kwa yaliyo ndani ya uwezo wake...! Alikupa gari yake kwa bahati mbaya ukaenda ukagonga( hukupenda ila ilitokea bahati mbaya) lakini alikubadilikia mbaya,ukaingia gharama kubwa wala hakujali mwana ndo kwanza unajitafuta akuchangia hata nusu gharama.( jiulize anakupenda kweli au anataka akutumie kufanikisha malengo yake)

Nne mwanamke akipenda anakua na kahofu fulani hivi anapokua mbele ya ampendae.... Carren kwako anakua very comfortable, mpaka anapata guts za kukusema unakojoa bila kuflash, na ukizingatia uko kwako, damn bro, what the fu*k*.....! Mlilala kitanda kimoja mpaka asubuhi bila kufanya chochote, ni ngumu sana kwa mwanamke kulala kitanda kimoja na mwaume anayempenda kwa mara ya kwanza mpaka asubuhi bila kufanya chochote

Kwanini umchague carren
1. Ni mwanamke mpambanaji na mwenye maono ya mbali, mtafika mbali kichumi kama familia.

2. Ataweza kuitunza familia hata kama haupo in any case...! (Watoto watakua safe financially)

3.sio rahisi kuliwa nje, unless apende mwenyewe ( wanawake aina ya Carren hawatoi nyuchi hovyo)...! Sio maharage ya mbeya

4.Anakuamini sana miongoni mwa watu wake wa karibu

5.utapata watoto smart and sharp

6.unampenda kwa dhati, hence nafsi yako itakua na faraja ukiwa nae. Na hauko tayari kumpoteza kwa sasa

Kwanini usimchague Carren
1.hana upendo wa dhati na wewe, ila tu anakuamini sana baada ya kukufanyia majaribio mbali mbali na kujiridhisha ya kuwa wewe ni mtu anayekuhitaji kufanikisha mambo yake...! Kumbuka mahusiano msingi wake unatakiwa kuwa upendo wa dhati baina ya pande mbili

2.ni mbinafsi, rejea jinsi anavyomfanyia dada ake kwa kumchongea kwa mzee ili yeye aonekane bora zaidi, ilihali yeye mwenyewe ana mapungufu yake mengi tu

3.hatoweza kuyavumilia mapungufu na makosa yako ya kibinadamu, rejea kisa chake na Michelle walikua marafiki sana ila alivyomkopesha pesa na Michelle kufanya aliyoyafanya, mwenyewe unajua kilichotokea...! Kama dada yake aliweza kumchukulia vile alivyomchukulia kisa pesa unadhani kwako itakuaje? Au labda unaweza kuwa special sana ikawa tofauti. Japokua amesema atakuvumilia ila siku zote (actions speak loud than words)

4.ni mtu ambaye yuko attached mno na pesa pamoja na vitu( yeye ndo anapenda aendeshe jeep la mzee ikiwa mzee hayupo na si Michelle wala mama ake), alikuita mahali akaagiza juice, na we ulikua na njaa ukaagiza msosi, kilichotokea ilikubidi ulipie msosi wako bila kupenda, sababu ulikutana na Carren anayeijali pesa mno kuliko undugu,urafiki na mahusiano,

5.hana sifa za kuwa mama bora wa watoto wako...! Wanawake aina ya Carren huwa si wazuri katika malezi ya watoto. Wao huwa wako obsessed na kazi zaidi

1.BMX6 NA ANNIE

Annie anampenda sana bmx6, sababu aliweza kumsaidia kipindi kwao maisha safi kwa hali na mali, hakujali bmx6 alikua na hali gani.

Annie anamheshimu bm, maana amekua akimsikiliza kwa kila anachomwambia. Alipata kazi mwanza akataka aende bm akamzuia akatii, baadae bm akabadili mawazo akamwambie aende tu akatii

Annie hakua tayari kumpoteza bm, alipambana kuhakikisha bm wake hachukuliwi na accountant...!

Bmx6 hampendi kiivyo annie ukilinganisha anavyompenda Carren..! Maana hata kabla ya kukutana na carren bm alikua akimfanyia annie vituko vya hapa na pale, ila Annie alivumilia

Bmx6 anamuonea huruma annie na kuhisi guilty juu yake, sababu ya wema aliomtendea hivyo anataka amtafutie sababu ndo amuache...!

Kwanini umchague Annie
1.ni mwenye huruma hivyo atakua mtulivu kwako

2.Anakupenda kwa dhati( japo sidhani kama bado anakupenda kama mwanzo)

3.atakua mama bora kwa watoto wako

4 .atakujali na kukuheshimu kama mume wake

5.atakusikiliza, hivyo mtakua na maelewano ndani ya nyumba

Kwanini usimchugue Annie
1.humpendi kwa dhati, hivyo nafsi yako haitokua yenye furaha ukiwa nae

2.ni rahisi kuliwa nje, wanawake wapole wapole wakipataga mwanaume atayewachangamsha na kuwafurahisha hujikuta wanaliwa bila kutarajia ( inawezekana hata huko mwanza kuna ngosha ashafanya kweli, tehetehe natania tu)

3.hana mawazo mbadala, sio mwanamke wa kuuimiza kichwa anayeweza kukupa ushauri ukakuingia kichwani. Kiufupi hana ushawishi

Mwisho: combination yako na Carren kwenye kazi is awesome bro...! Ndo maana hata mzee alipenda sana iendelee kubaki hivyo. Maana anamjua vyema mwanae na wewe ameshakujua vya kutosha, na "you must be very carefully" mkali, maana una deal na watu wanaokujua kuliko ww unavyowajua. Na bahati mbaya kuna matukio yanatokea kama "wake up call to you" ili uweze kuchukua hatua ila huoni sababu umekingwa na ukuta mnene wa mapenzi kwa carren, na yeye amegundua hilo anatumia kama udhaifu wa kukufanya atakavy.

Kama ungekua katika misingi ya mzee aliyotaka uende nayo toka mwanzo ungekua mbali sana...! Ila bado hujachelewa,

"This is Africa broe", na Africa wanaume ndo huwa tunaoa.

na kuoa ni pamoja ya kuwa kiongozi wa familia katika nyanja zote, mwanamke ni msaidizi tu.

Na ukweli ni kwamba kuwa mwanaume sio rahisi, "ila kuwa mume wa mtu, kuwa baba wa watoto ni mtihani unayopaswa kuufaulu siku zote za maisha yako" na huo mtihani watu wengi huwa wanafeli vibaya, hasa katika msingi wa kuchagua mwanamke sahihi

kuwa makini usije kudhani umeoa kumbe umeolewa, na ukajashtuka muda nao ukawa hauko upande wako....!
aisee broo umetisha[emoji109]
 
Hii stori nilikua nayo bega kwa bega toka ilivyoonza......!

Nikupongeze bmx6 kwa kuamua kushare nasi hii banger, kiukweli tumeburudika na kujifunza vingi mno.

Sijawahi comment ila nilikua msomaji na mfuatiliaji mzuri tu,

sikua na huo mpango, ila kuna kitu kimenisukuma na kuhisi kama nami nahitaji kutoa mtazamo na fikra zangu...!

Tuanze kuwachambua nyie watu watatu tuone yupi anamfaa yupi.

kulingana na ulivyojieleza na kuwaelezea kwenye hii stori...! Yaani bmx6,carren na annie

1. BMX6
anaonekana ni kijana mstaarabu sana, mwenye heshima, mwenye utu na asiye na makuu..!mchapa kazi(akipewa kazi anahakikisha anaifanya vyema na kwa uadilifu) .Ni aina ya mtu ambae hapendi mambo meengi sana(nice guy). Ni kijana ambaye akiwa kwenye mahusiano ni loyal na mtulivu.

Madhaifu yake> hana misimamo thabiti(anayumbishwa yumbishwa), akipenda hutumia hisia zaidi kufanya maamuzi kuliko akili

2. CARREN
Ni mwanamke mwenye misimamo thabiti isiyoyumbishwa kirahisi, anajua nini anataka katika maisha, mwenye huruma kiasi, mchapa kazi na anajiamini sana.

Madhaifu yake> ni mwanamke mbinafsi anayejiangalia yeye bila kujali wengine, ni manipulater Mzuri sana, sio muaminifu wala muadilifu katika kazi(kufungua miradi bila kumshirikisha mzee, ikiwa mzee anamuamini sana)

3.ANNIE
Ni mwanamke mpole asiye na makuu, anayejali na kuguswa na matatizo ya watu wake wa karibu, ana tabia za kikike(feminine), she is a family oriented woman

Madhaifu yake> anaonekana ni mwanamke wa yes kwa vitu vingi( sio mdadisi), amepoa yaani hana vibe anatakiwa achangamke kidogo, sio mwepesi wa kuelezea hisia zake kwa urahisi ( jinsi anavyojisikia)

Kwa kuangalia uchambuz wa kila mmoja hapo juu tuone nani anamfaa bmx6 kulingana na tabia zao...!

1.BMX6 na CARREN
Hawa watu wawili tukijaribu kupima uzani wa upendo miongoni mwao...

utagundua ya kuwa bmx6 anampenda sana carren.. kwanini, kwanza mwenyewe kakiri hapa ya kuwa tokea alivyomuona alimpenda(love at first sight).

Pili bmx6 alivyoanza kuzoeana na carren mara nyingi alikua nervous wakiwa kwenye mazungumzo, kiasi kwamba mpaka carren akagundua bmx6 hana confidence kama alivyokua akiamini..! Ki kawaida ukimpenda sana mtu na ukiwa hujamzoea, alafu mkawa kwenye maongezi unajikuta tu automatic unakua nervous

Tatu bmx6 amekua akisikiliza na kufuata sana ushauri wa carren kuliko wa mtu yeyote ndani ya muda mfupi waliofahamiana....!

Carren anamuamini sana bmx6 ila hana upendo nae kama wengi na bmx6 mwenyewe wanavyodhania... kwanini

Kwanza mwanamke aliyependa yuko radhi kufanya chochote kwa ajili ya ampendae..!

Lakini carren amekua anafanya kinyume, wakati bmx6 anataka kuacha kazi kwa mara ya kwanza alimuomba ushauri Carren ambaye alikua mtu sahihi sana wa kuweza kumpa ushauri utakaomsaidia na kumvusha bm kimaisha...! Carren alijua kampuni ni ya baba yake ila hakutaka kumsanua bm, angekuwa kweli amempenda angemuibia siri na kumweleza ukweli wote...! Badala yake alimpa ushauri uliopelekea bm kuacha kazi na ajabu ile nafasi akapewa Carren. Na mzee tokea hapo akaanza kumchukulia bm poa na kupelekea mzee kumwondoa kwenye kundi la watu wake muhimu( hapa mkuu bm jaribu kukumbuka hili tukio then jiulize Carren anakupenda kweli??? Maana ushauri wake hapa kiukweli ulikuathiri pakubwa)

Pili mwanamke aliyependa hayuko tayari kumpoteza ampendae kwa gharama yeyote ile......!

Carren kwake ni tofauti kabisa yuko tayari kumpoteza bm, maana alikustopisha kazi kwa week kukuonyesha tu ya kwamba yuko tayari kukupoteza na hilo kwake sio ishu. Utasema mbona hatukua kwenye mahusiano, ukweli ni kwamba mwanamke akishapenda hata kama bado hamjaingia kwenye mahusiano atakua anafanya vitu kama vile mko kwenye mahusiano, maana yangu ni kwamba atakua anatumia hisia zaidi kwa ampendae kuliko akili, ila tumeona kwako Carren akitumia akili zaidi kuliko hisia

Tatu mwanamke aliyependa yuko tayari kumsaidia ampendae kwa yaliyo ndani ya uwezo wake...! Alikupa gari yake kwa bahati mbaya ukaenda ukagonga( hukupenda ila ilitokea bahati mbaya) lakini alikubadilikia mbaya,ukaingia gharama kubwa wala hakujali mwana ndo kwanza unajitafuta akuchangia hata nusu gharama.( jiulize anakupenda kweli au anataka akutumie kufanikisha malengo yake)

Nne mwanamke akipenda anakua na kahofu fulani hivi anapokua mbele ya ampendae.... Carren kwako anakua very comfortable, mpaka anapata guts za kukusema unakojoa bila kuflash, na ukizingatia uko kwako, damn bro, what the fu*k*.....! Mlilala kitanda kimoja mpaka asubuhi bila kufanya chochote, ni ngumu sana kwa mwanamke kulala kitanda kimoja na mwaume anayempenda kwa mara ya kwanza mpaka asubuhi bila kufanya chochote

Kwanini umchague carren
1. Ni mwanamke mpambanaji na mwenye maono ya mbali, mtafika mbali kichumi kama familia.

2. Ataweza kuitunza familia hata kama haupo in any case...! (Watoto watakua safe financially)

3.sio rahisi kuliwa nje, unless apende mwenyewe ( wanawake aina ya Carren hawatoi nyuchi hovyo)...! Sio maharage ya mbeya

4.Anakuamini sana miongoni mwa watu wake wa karibu

5.utapata watoto smart and sharp

6.unampenda kwa dhati, hence nafsi yako itakua na faraja ukiwa nae. Na hauko tayari kumpoteza kwa sasa

Kwanini usimchague Carren
1.hana upendo wa dhati na wewe, ila tu anakuamini sana baada ya kukufanyia majaribio mbali mbali na kujiridhisha ya kuwa wewe ni mtu anayekuhitaji kufanikisha mambo yake...! Kumbuka mahusiano msingi wake unatakiwa kuwa upendo wa dhati baina ya pande mbili

2.ni mbinafsi, rejea jinsi anavyomfanyia dada ake kwa kumchongea kwa mzee ili yeye aonekane bora zaidi, ilihali yeye mwenyewe ana mapungufu yake mengi tu

3.hatoweza kuyavumilia mapungufu na makosa yako ya kibinadamu, rejea kisa chake na Michelle walikua marafiki sana ila alivyomkopesha pesa na Michelle kufanya aliyoyafanya, mwenyewe unajua kilichotokea...! Kama dada yake aliweza kumchukulia vile alivyomchukulia kisa pesa unadhani kwako itakuaje? Au labda unaweza kuwa special sana ikawa tofauti. Japokua amesema atakuvumilia ila siku zote (actions speak loud than words)

4.ni mtu ambaye yuko attached mno na pesa pamoja na vitu( yeye ndo anapenda aendeshe jeep la mzee ikiwa mzee hayupo na si Michelle wala mama ake), alikuita mahali akaagiza juice, na we ulikua na njaa ukaagiza msosi, kilichotokea ilikubidi ulipie msosi wako bila kupenda, sababu ulikutana na Carren anayeijali pesa mno kuliko undugu,urafiki na mahusiano,

5.hana sifa za kuwa mama bora wa watoto wako...! Wanawake aina ya Carren huwa si wazuri katika malezi ya watoto. Wao huwa wako obsessed na kazi zaidi

1.BMX6 NA ANNIE

Annie anampenda sana bmx6, sababu aliweza kumsaidia kipindi kwao maisha safi kwa hali na mali, hakujali bmx6 alikua na hali gani.

Annie anamheshimu bm, maana amekua akimsikiliza kwa kila anachomwambia. Alipata kazi mwanza akataka aende bm akamzuia akatii, baadae bm akabadili mawazo akamwambie aende tu akatii

Annie hakua tayari kumpoteza bm, alipambana kuhakikisha bm wake hachukuliwi na accountant...!

Bmx6 hampendi kiivyo annie ukilinganisha anavyompenda Carren..! Maana hata kabla ya kukutana na carren bm alikua akimfanyia annie vituko vya hapa na pale, ila Annie alivumilia

Bmx6 anamuonea huruma annie na kuhisi guilty juu yake, sababu ya wema aliomtendea hivyo anataka amtafutie sababu ndo amuache...!

Kwanini umchague Annie
1.ni mwenye huruma hivyo atakua mtulivu kwako

2.Anakupenda kwa dhati( japo sidhani kama bado anakupenda kama mwanzo)

3.atakua mama bora kwa watoto wako

4 .atakujali na kukuheshimu kama mume wake

5.atakusikiliza, hivyo mtakua na maelewano ndani ya nyumba

Kwanini usimchugue Annie
1.humpendi kwa dhati, hivyo nafsi yako haitokua yenye furaha ukiwa nae

2.ni rahisi kuliwa nje, wanawake wapole wapole wakipataga mwanaume atayewachangamsha na kuwafurahisha hujikuta wanaliwa bila kutarajia ( inawezekana hata huko mwanza kuna ngosha ashafanya kweli, tehetehe natania tu)

3.hana mawazo mbadala, sio mwanamke wa kuuimiza kichwa anayeweza kukupa ushauri ukakuingia kichwani. Kiufupi hana ushawishi

Mwisho: combination yako na Carren kwenye kazi is awesome bro...! Ndo maana hata mzee alipenda sana iendelee kubaki hivyo. Maana anamjua vyema mwanae na wewe ameshakujua vya kutosha, na "you must be very carefully" mkali, maana una deal na watu wanaokujua kuliko ww unavyowajua. Na bahati mbaya kuna matukio yanatokea kama "wake up call to you" ili uweze kuchukua hatua ila huoni sababu umekingwa na ukuta mnene wa mapenzi kwa carren, na yeye amegundua hilo anatumia kama udhaifu wa kukufanya atakavy.

Kama ungekua katika misingi ya mzee aliyotaka uende nayo toka mwanzo ungekua mbali sana...! Ila bado hujachelewa,

"This is Africa broe", na Africa wanaume ndo huwa tunaoa.

na kuoa ni pamoja ya kuwa kiongozi wa familia katika nyanja zote, mwanamke ni msaidizi tu.

Na ukweli ni kwamba kuwa mwanaume sio rahisi, "ila kuwa mume wa mtu, kuwa baba wa watoto ni mtihani unayopaswa kuufaulu siku zote za maisha yako" na huo mtihani watu wengi huwa wanafeli vibaya, hasa katika msingi wa kuchagua mwanamke sahihi

kuwa makini usije kudhani umeoa kumbe umeolewa, na ukajashtuka muda nao ukawa hauko upande wako....!
[emoji1430][emoji1430][emoji1430]

Upo deep sana Bro, Yani Dah hata sijui naijibu vipi hii comment maana ni BEST of the BEST

Kaka umemaliza kila kitu, kwa jinsi nilivyoisoma hii comment hadi namaliza sijaona upande ulioegemea lakini kuna Paragraph moja imeonesha wewe ni Team Annie

Eniwei! Popote utakapoipeleka kura yako basi mimi nitai triple count kwa Candidate husika, Yani kura yako moja nitaihesabu mara tatu kwa utakae mchagua maana umeua na ukazika nakuzika[emoji1430]

[emoji294][emoji294][emoji294][emoji294][emoji294]
 
Hii stori nilikua nayo bega kwa bega toka ilivyoonza......!

Nikupongeze bmx6 kwa kuamua kushare nasi hii banger, kiukweli tumeburudika na kujifunza vingi mno.

Sijawahi comment ila nilikua msomaji na mfuatiliaji mzuri tu,

sikua na huo mpango, ila kuna kitu kimenisukuma na kuhisi kama nami nahitaji kutoa mtazamo na fikra zangu...!

Tuanze kuwachambua nyie watu watatu tuone yupi anamfaa yupi.

kulingana na ulivyojieleza na kuwaelezea kwenye hii stori...! Yaani bmx6,carren na annie

1. BMX6
anaonekana ni kijana mstaarabu sana, mwenye heshima, mwenye utu na asiye na makuu..!mchapa kazi(akipewa kazi anahakikisha anaifanya vyema na kwa uadilifu) .Ni aina ya mtu ambae hapendi mambo meengi sana(nice guy). Ni kijana ambaye akiwa kwenye mahusiano ni loyal na mtulivu.

Madhaifu yake> hana misimamo thabiti(anayumbishwa yumbishwa), akipenda hutumia hisia zaidi kufanya maamuzi kuliko akili

2. CARREN
Ni mwanamke mwenye misimamo thabiti isiyoyumbishwa kirahisi, anajua nini anataka katika maisha, mwenye huruma kiasi, mchapa kazi na anajiamini sana.

Madhaifu yake> ni mwanamke mbinafsi anayejiangalia yeye bila kujali wengine, ni manipulater Mzuri sana, sio muaminifu wala muadilifu katika kazi(kufungua miradi bila kumshirikisha mzee, ikiwa mzee anamuamini sana)

3.ANNIE
Ni mwanamke mpole asiye na makuu, anayejali na kuguswa na matatizo ya watu wake wa karibu, ana tabia za kikike(feminine), she is a family oriented woman

Madhaifu yake> anaonekana ni mwanamke wa yes kwa vitu vingi( sio mdadisi), amepoa yaani hana vibe anatakiwa achangamke kidogo, sio mwepesi wa kuelezea hisia zake kwa urahisi ( jinsi anavyojisikia)

Kwa kuangalia uchambuz wa kila mmoja hapo juu tuone nani anamfaa bmx6 kulingana na tabia zao...!

1.BMX6 na CARREN
Hawa watu wawili tukijaribu kupima uzani wa upendo miongoni mwao...

utagundua ya kuwa bmx6 anampenda sana carren.. kwanini, kwanza mwenyewe kakiri hapa ya kuwa tokea alivyomuona alimpenda(love at first sight).

Pili bmx6 alivyoanza kuzoeana na carren mara nyingi alikua nervous wakiwa kwenye mazungumzo, kiasi kwamba mpaka carren akagundua bmx6 hana confidence kama alivyokua akiamini..! Ki kawaida ukimpenda sana mtu na ukiwa hujamzoea, alafu mkawa kwenye maongezi unajikuta tu automatic unakua nervous

Tatu bmx6 amekua akisikiliza na kufuata sana ushauri wa carren kuliko wa mtu yeyote ndani ya muda mfupi waliofahamiana....!

Carren anamuamini sana bmx6 ila hana upendo nae kama wengi na bmx6 mwenyewe wanavyodhania... kwanini

Kwanza mwanamke aliyependa yuko radhi kufanya chochote kwa ajili ya ampendae..!

Lakini carren amekua anafanya kinyume, wakati bmx6 anataka kuacha kazi kwa mara ya kwanza alimuomba ushauri Carren ambaye alikua mtu sahihi sana wa kuweza kumpa ushauri utakaomsaidia na kumvusha bm kimaisha...! Carren alijua kampuni ni ya baba yake ila hakutaka kumsanua bm, angekuwa kweli amempenda angemuibia siri na kumweleza ukweli wote...! Badala yake alimpa ushauri uliopelekea bm kuacha kazi na ajabu ile nafasi akapewa Carren. Na mzee tokea hapo akaanza kumchukulia bm poa na kupelekea mzee kumwondoa kwenye kundi la watu wake muhimu( hapa mkuu bm jaribu kukumbuka hili tukio then jiulize Carren anakupenda kweli??? Maana ushauri wake hapa kiukweli ulikuathiri pakubwa)

Pili mwanamke aliyependa hayuko tayari kumpoteza ampendae kwa gharama yeyote ile......!

Carren kwake ni tofauti kabisa yuko tayari kumpoteza bm, maana alikustopisha kazi kwa week kukuonyesha tu ya kwamba yuko tayari kukupoteza na hilo kwake sio ishu. Utasema mbona hatukua kwenye mahusiano, ukweli ni kwamba mwanamke akishapenda hata kama bado hamjaingia kwenye mahusiano atakua anafanya vitu kama vile mko kwenye mahusiano, maana yangu ni kwamba atakua anatumia hisia zaidi kwa ampendae kuliko akili, ila tumeona kwako Carren akitumia akili zaidi kuliko hisia

Tatu mwanamke aliyependa yuko tayari kumsaidia ampendae kwa yaliyo ndani ya uwezo wake...! Alikupa gari yake kwa bahati mbaya ukaenda ukagonga( hukupenda ila ilitokea bahati mbaya) lakini alikubadilikia mbaya,ukaingia gharama kubwa wala hakujali mwana ndo kwanza unajitafuta akuchangia hata nusu gharama.( jiulize anakupenda kweli au anataka akutumie kufanikisha malengo yake)

Nne mwanamke akipenda anakua na kahofu fulani hivi anapokua mbele ya ampendae.... Carren kwako anakua very comfortable, mpaka anapata guts za kukusema unakojoa bila kuflash, na ukizingatia uko kwako, damn bro, what the fu*k*.....! Mlilala kitanda kimoja mpaka asubuhi bila kufanya chochote, ni ngumu sana kwa mwanamke kulala kitanda kimoja na mwaume anayempenda kwa mara ya kwanza mpaka asubuhi bila kufanya chochote

Kwanini umchague carren
1. Ni mwanamke mpambanaji na mwenye maono ya mbali, mtafika mbali kichumi kama familia.

2. Ataweza kuitunza familia hata kama haupo in any case...! (Watoto watakua safe financially)

3.sio rahisi kuliwa nje, unless apende mwenyewe ( wanawake aina ya Carren hawatoi nyuchi hovyo)...! Sio maharage ya mbeya

4.Anakuamini sana miongoni mwa watu wake wa karibu

5.utapata watoto smart and sharp

6.unampenda kwa dhati, hence nafsi yako itakua na faraja ukiwa nae. Na hauko tayari kumpoteza kwa sasa

Kwanini usimchague Carren
1.hana upendo wa dhati na wewe, ila tu anakuamini sana baada ya kukufanyia majaribio mbali mbali na kujiridhisha ya kuwa wewe ni mtu anayekuhitaji kufanikisha mambo yake...! Kumbuka mahusiano msingi wake unatakiwa kuwa upendo wa dhati baina ya pande mbili

2.ni mbinafsi, rejea jinsi anavyomfanyia dada ake kwa kumchongea kwa mzee ili yeye aonekane bora zaidi, ilihali yeye mwenyewe ana mapungufu yake mengi tu

3.hatoweza kuyavumilia mapungufu na makosa yako ya kibinadamu, rejea kisa chake na Michelle walikua marafiki sana ila alivyomkopesha pesa na Michelle kufanya aliyoyafanya, mwenyewe unajua kilichotokea...! Kama dada yake aliweza kumchukulia vile alivyomchukulia kisa pesa unadhani kwako itakuaje? Au labda unaweza kuwa special sana ikawa tofauti. Japokua amesema atakuvumilia ila siku zote (actions speak loud than words)

4.ni mtu ambaye yuko attached mno na pesa pamoja na vitu( yeye ndo anapenda aendeshe jeep la mzee ikiwa mzee hayupo na si Michelle wala mama ake), alikuita mahali akaagiza juice, na we ulikua na njaa ukaagiza msosi, kilichotokea ilikubidi ulipie msosi wako bila kupenda, sababu ulikutana na Carren anayeijali pesa mno kuliko undugu,urafiki na mahusiano,

5.hana sifa za kuwa mama bora wa watoto wako...! Wanawake aina ya Carren huwa si wazuri katika malezi ya watoto. Wao huwa wako obsessed na kazi zaidi

1.BMX6 NA ANNIE

Annie anampenda sana bmx6, sababu aliweza kumsaidia kipindi kwao maisha safi kwa hali na mali, hakujali bmx6 alikua na hali gani.

Annie anamheshimu bm, maana amekua akimsikiliza kwa kila anachomwambia. Alipata kazi mwanza akataka aende bm akamzuia akatii, baadae bm akabadili mawazo akamwambie aende tu akatii

Annie hakua tayari kumpoteza bm, alipambana kuhakikisha bm wake hachukuliwi na accountant...!

Bmx6 hampendi kiivyo annie ukilinganisha anavyompenda Carren..! Maana hata kabla ya kukutana na carren bm alikua akimfanyia annie vituko vya hapa na pale, ila Annie alivumilia

Bmx6 anamuonea huruma annie na kuhisi guilty juu yake, sababu ya wema aliomtendea hivyo anataka amtafutie sababu ndo amuache...!

Kwanini umchague Annie
1.ni mwenye huruma hivyo atakua mtulivu kwako

2.Anakupenda kwa dhati( japo sidhani kama bado anakupenda kama mwanzo)

3.atakua mama bora kwa watoto wako

4 .atakujali na kukuheshimu kama mume wake

5.atakusikiliza, hivyo mtakua na maelewano ndani ya nyumba

Kwanini usimchugue Annie
1.humpendi kwa dhati, hivyo nafsi yako haitokua yenye furaha ukiwa nae

2.ni rahisi kuliwa nje, wanawake wapole wapole wakipataga mwanaume atayewachangamsha na kuwafurahisha hujikuta wanaliwa bila kutarajia ( inawezekana hata huko mwanza kuna ngosha ashafanya kweli, tehetehe natania tu)

3.hana mawazo mbadala, sio mwanamke wa kuuimiza kichwa anayeweza kukupa ushauri ukakuingia kichwani. Kiufupi hana ushawishi

Mwisho: combination yako na Carren kwenye kazi is awesome bro...! Ndo maana hata mzee alipenda sana iendelee kubaki hivyo. Maana anamjua vyema mwanae na wewe ameshakujua vya kutosha, na "you must be very carefully" mkali, maana una deal na watu wanaokujua kuliko ww unavyowajua. Na bahati mbaya kuna matukio yanatokea kama "wake up call to you" ili uweze kuchukua hatua ila huoni sababu umekingwa na ukuta mnene wa mapenzi kwa carren, na yeye amegundua hilo anatumia kama udhaifu wa kukufanya atakavy.

Kama ungekua katika misingi ya mzee aliyotaka uende nayo toka mwanzo ungekua mbali sana...! Ila bado hujachelewa,

"This is Africa broe", na Africa wanaume ndo huwa tunaoa.

na kuoa ni pamoja ya kuwa kiongozi wa familia katika nyanja zote, mwanamke ni msaidizi tu.

Na ukweli ni kwamba kuwa mwanaume sio rahisi, "ila kuwa mume wa mtu, kuwa baba wa watoto ni mtihani unayopaswa kuufaulu siku zote za maisha yako" na huo mtihani watu wengi huwa wanafeli vibaya, hasa katika msingi wa kuchagua mwanamke sahihi

kuwa makini usije kudhani umeoa kumbe umeolewa, na ukajashtuka muda nao ukawa hauko upande wako....!
Kiongozi umeongea point apo,pia kuna mke maanake ni msaidizi yaani anatakiwa awe chini yako,kwa hiyo apo kashajua achague nani.
 
Hii stori nilikua nayo bega kwa bega toka ilivyoonza......!

Nikupongeze bmx6 kwa kuamua kushare nasi hii banger, kiukweli tumeburudika na kujifunza vingi mno.

Sijawahi comment ila nilikua msomaji na mfuatiliaji mzuri tu,

sikua na huo mpango, ila kuna kitu kimenisukuma na kuhisi kama nami nahitaji kutoa mtazamo na fikra zangu...!

Tuanze kuwachambua nyie watu watatu tuone yupi anamfaa yupi.

kulingana na ulivyojieleza na kuwaelezea kwenye hii stori...! Yaani bmx6,carren na annie

1. BMX6
anaonekana ni kijana mstaarabu sana, mwenye heshima, mwenye utu na asiye na makuu..!mchapa kazi(akipewa kazi anahakikisha anaifanya vyema na kwa uadilifu) .Ni aina ya mtu ambae hapendi mambo meengi sana(nice guy). Ni kijana ambaye akiwa kwenye mahusiano ni loyal na mtulivu.

Madhaifu yake> hana misimamo thabiti(anayumbishwa yumbishwa), akipenda hutumia hisia zaidi kufanya maamuzi kuliko akili

2. CARREN
Ni mwanamke mwenye misimamo thabiti isiyoyumbishwa kirahisi, anajua nini anataka katika maisha, mwenye huruma kiasi, mchapa kazi na anajiamini sana.

Madhaifu yake> ni mwanamke mbinafsi anayejiangalia yeye bila kujali wengine, ni manipulater Mzuri sana, sio muaminifu wala muadilifu katika kazi(kufungua miradi bila kumshirikisha mzee, ikiwa mzee anamuamini sana)

3.ANNIE
Ni mwanamke mpole asiye na makuu, anayejali na kuguswa na matatizo ya watu wake wa karibu, ana tabia za kikike(feminine), she is a family oriented woman

Madhaifu yake> anaonekana ni mwanamke wa yes kwa vitu vingi( sio mdadisi), amepoa yaani hana vibe anatakiwa achangamke kidogo, sio mwepesi wa kuelezea hisia zake kwa urahisi ( jinsi anavyojisikia)

Kwa kuangalia uchambuz wa kila mmoja hapo juu tuone nani anamfaa bmx6 kulingana na tabia zao...!

1.BMX6 na CARREN
Hawa watu wawili tukijaribu kupima uzani wa upendo miongoni mwao...

utagundua ya kuwa bmx6 anampenda sana carren.. kwanini, kwanza mwenyewe kakiri hapa ya kuwa tokea alivyomuona alimpenda(love at first sight).

Pili bmx6 alivyoanza kuzoeana na carren mara nyingi alikua nervous wakiwa kwenye mazungumzo, kiasi kwamba mpaka carren akagundua bmx6 hana confidence kama alivyokua akiamini..! Ki kawaida ukimpenda sana mtu na ukiwa hujamzoea, alafu mkawa kwenye maongezi unajikuta tu automatic unakua nervous

Tatu bmx6 amekua akisikiliza na kufuata sana ushauri wa carren kuliko wa mtu yeyote ndani ya muda mfupi waliofahamiana....!

Carren anamuamini sana bmx6 ila hana upendo nae kama wengi na bmx6 mwenyewe wanavyodhania... kwanini

Kwanza mwanamke aliyependa yuko radhi kufanya chochote kwa ajili ya ampendae..!

Lakini carren amekua anafanya kinyume, wakati bmx6 anataka kuacha kazi kwa mara ya kwanza alimuomba ushauri Carren ambaye alikua mtu sahihi sana wa kuweza kumpa ushauri utakaomsaidia na kumvusha bm kimaisha...! Carren alijua kampuni ni ya baba yake ila hakutaka kumsanua bm, angekuwa kweli amempenda angemuibia siri na kumweleza ukweli wote...! Badala yake alimpa ushauri uliopelekea bm kuacha kazi na ajabu ile nafasi akapewa Carren. Na mzee tokea hapo akaanza kumchukulia bm poa na kupelekea mzee kumwondoa kwenye kundi la watu wake muhimu( hapa mkuu bm jaribu kukumbuka hili tukio then jiulize Carren anakupenda kweli??? Maana ushauri wake hapa kiukweli ulikuathiri pakubwa)

Pili mwanamke aliyependa hayuko tayari kumpoteza ampendae kwa gharama yeyote ile......!

Carren kwake ni tofauti kabisa yuko tayari kumpoteza bm, maana alikustopisha kazi kwa week kukuonyesha tu ya kwamba yuko tayari kukupoteza na hilo kwake sio ishu. Utasema mbona hatukua kwenye mahusiano, ukweli ni kwamba mwanamke akishapenda hata kama bado hamjaingia kwenye mahusiano atakua anafanya vitu kama vile mko kwenye mahusiano, maana yangu ni kwamba atakua anatumia hisia zaidi kwa ampendae kuliko akili, ila tumeona kwako Carren akitumia akili zaidi kuliko hisia

Tatu mwanamke aliyependa yuko tayari kumsaidia ampendae kwa yaliyo ndani ya uwezo wake...! Alikupa gari yake kwa bahati mbaya ukaenda ukagonga( hukupenda ila ilitokea bahati mbaya) lakini alikubadilikia mbaya,ukaingia gharama kubwa wala hakujali mwana ndo kwanza unajitafuta akuchangia hata nusu gharama.( jiulize anakupenda kweli au anataka akutumie kufanikisha malengo yake)

Nne mwanamke akipenda anakua na kahofu fulani hivi anapokua mbele ya ampendae.... Carren kwako anakua very comfortable, mpaka anapata guts za kukusema unakojoa bila kuflash, na ukizingatia uko kwako, damn bro, what the fu*k*.....! Mlilala kitanda kimoja mpaka asubuhi bila kufanya chochote, ni ngumu sana kwa mwanamke kulala kitanda kimoja na mwaume anayempenda kwa mara ya kwanza mpaka asubuhi bila kufanya chochote

Kwanini umchague carren
1. Ni mwanamke mpambanaji na mwenye maono ya mbali, mtafika mbali kichumi kama familia.

2. Ataweza kuitunza familia hata kama haupo in any case...! (Watoto watakua safe financially)

3.sio rahisi kuliwa nje, unless apende mwenyewe ( wanawake aina ya Carren hawatoi nyuchi hovyo)...! Sio maharage ya mbeya

4.Anakuamini sana miongoni mwa watu wake wa karibu

5.utapata watoto smart and sharp

6.unampenda kwa dhati, hence nafsi yako itakua na faraja ukiwa nae. Na hauko tayari kumpoteza kwa sasa

Kwanini usimchague Carren
1.hana upendo wa dhati na wewe, ila tu anakuamini sana baada ya kukufanyia majaribio mbali mbali na kujiridhisha ya kuwa wewe ni mtu anayekuhitaji kufanikisha mambo yake...! Kumbuka mahusiano msingi wake unatakiwa kuwa upendo wa dhati baina ya pande mbili

2.ni mbinafsi, rejea jinsi anavyomfanyia dada ake kwa kumchongea kwa mzee ili yeye aonekane bora zaidi, ilihali yeye mwenyewe ana mapungufu yake mengi tu

3.hatoweza kuyavumilia mapungufu na makosa yako ya kibinadamu, rejea kisa chake na Michelle walikua marafiki sana ila alivyomkopesha pesa na Michelle kufanya aliyoyafanya, mwenyewe unajua kilichotokea...! Kama dada yake aliweza kumchukulia vile alivyomchukulia kisa pesa unadhani kwako itakuaje? Au labda unaweza kuwa special sana ikawa tofauti. Japokua amesema atakuvumilia ila siku zote (actions speak loud than words)

4.ni mtu ambaye yuko attached mno na pesa pamoja na vitu( yeye ndo anapenda aendeshe jeep la mzee ikiwa mzee hayupo na si Michelle wala mama ake), alikuita mahali akaagiza juice, na we ulikua na njaa ukaagiza msosi, kilichotokea ilikubidi ulipie msosi wako bila kupenda, sababu ulikutana na Carren anayeijali pesa mno kuliko undugu,urafiki na mahusiano,

5.hana sifa za kuwa mama bora wa watoto wako...! Wanawake aina ya Carren huwa si wazuri katika malezi ya watoto. Wao huwa wako obsessed na kazi zaidi

1.BMX6 NA ANNIE

Annie anampenda sana bmx6, sababu aliweza kumsaidia kipindi kwao maisha safi kwa hali na mali, hakujali bmx6 alikua na hali gani.

Annie anamheshimu bm, maana amekua akimsikiliza kwa kila anachomwambia. Alipata kazi mwanza akataka aende bm akamzuia akatii, baadae bm akabadili mawazo akamwambie aende tu akatii

Annie hakua tayari kumpoteza bm, alipambana kuhakikisha bm wake hachukuliwi na accountant...!

Bmx6 hampendi kiivyo annie ukilinganisha anavyompenda Carren..! Maana hata kabla ya kukutana na carren bm alikua akimfanyia annie vituko vya hapa na pale, ila Annie alivumilia

Bmx6 anamuonea huruma annie na kuhisi guilty juu yake, sababu ya wema aliomtendea hivyo anataka amtafutie sababu ndo amuache...!

Kwanini umchague Annie
1.ni mwenye huruma hivyo atakua mtulivu kwako

2.Anakupenda kwa dhati( japo sidhani kama bado anakupenda kama mwanzo)

3.atakua mama bora kwa watoto wako

4 .atakujali na kukuheshimu kama mume wake

5.atakusikiliza, hivyo mtakua na maelewano ndani ya nyumba

Kwanini usimchugue Annie
1.humpendi kwa dhati, hivyo nafsi yako haitokua yenye furaha ukiwa nae

2.ni rahisi kuliwa nje, wanawake wapole wapole wakipataga mwanaume atayewachangamsha na kuwafurahisha hujikuta wanaliwa bila kutarajia ( inawezekana hata huko mwanza kuna ngosha ashafanya kweli, tehetehe natania tu)

3.hana mawazo mbadala, sio mwanamke wa kuuimiza kichwa anayeweza kukupa ushauri ukakuingia kichwani. Kiufupi hana ushawishi

Mwisho: combination yako na Carren kwenye kazi is awesome bro...! Ndo maana hata mzee alipenda sana iendelee kubaki hivyo. Maana anamjua vyema mwanae na wewe ameshakujua vya kutosha, na "you must be very carefully" mkali, maana una deal na watu wanaokujua kuliko ww unavyowajua. Na bahati mbaya kuna matukio yanatokea kama "wake up call to you" ili uweze kuchukua hatua ila huoni sababu umekingwa na ukuta mnene wa mapenzi kwa carren, na yeye amegundua hilo anatumia kama udhaifu wa kukufanya atakavy.

Kama ungekua katika misingi ya mzee aliyotaka uende nayo toka mwanzo ungekua mbali sana...! Ila bado hujachelewa,

"This is Africa broe", na Africa wanaume ndo huwa tunaoa.

na kuoa ni pamoja ya kuwa kiongozi wa familia katika nyanja zote, mwanamke ni msaidizi tu.

Na ukweli ni kwamba kuwa mwanaume sio rahisi, "ila kuwa mume wa mtu, kuwa baba wa watoto ni mtihani unayopaswa kuufaulu siku zote za maisha yako" na huo mtihani watu wengi huwa wanafeli vibaya, hasa katika msingi wa kuchagua mwanamke sahihi

kuwa makini usije kudhani umeoa kumbe umeolewa, na ukajashtuka muda nao ukawa hauko upande wako....!
Bro you are very brave n bright... but in African life, the end justifies the means... Acha huyu dogo atafute hela.. apambane to maximum hatujafikia levels za kufanya mapenz kua priority, Ila maisha cz haya mapenz ya kihind kwa sis wasaka tonge ni useless 2.. as long as atatumia mda mref kutoboa na huku wapo mategemez kibao. Huyu Bm ni smart but still has long way to go as a man but short way ni kukubali kuwa mjinga 2 atoboe cz kuna certanity kwenye hurstling pia..
 
Bro you are very brave n bright... but in African life, the end justifies the means... Acha huyu dogo atafute hela.. apambane to maximum hatujafikia levels za kufanya mapenz kua priority, Ila maisha cz haya mapenz ya kihind kwa sis wasaka tonge ni useless 2.. as long as atatumia mda mref kutoboa na huku wapo mategemez kibao. Huyu Bm ni smart but still has long way to go as a man but short way ni kukubali kuwa mjinga 2 atoboe cz kuna certanity kwenye hurstling pia..
Asante sana bro, nimependa kitu kimoja kutoka kwako. Umempa blaza Maua yake halafu ukatoa mtazamo wako...Salute bro

Vote counted to Caryn [emoji294][emoji294]

Updates

Hii I'd kura yake nilishaihesabu comments za nyuma
 
Nilipotea kwenye uzi wangu pendwa for some time nikarudi nikakuta comments nyingi sana nikawa nazisoma moja baada ya nyingine leo ndo nimemaliza

Caryn has been my favourite since uzi unaanza nampa maua yake she is a full package

All the best bro
 
Nilipotea kwenye uzi wangu pendwa for some time nikarudi nikakuta comments nyingi sana nikawa nazisoma moja baada ya nyingine leo ndo nimemaliza

Caryn has been my favourite since uzi unaanza nampa maua yake she is a full package

All the best bro
Katika I'Ds nilizokuwa nazisubiri, hii ni mojawapo

Asante sana kwa kushiriki na hii kura ndio tunafunga nayo siku ya leo

Vote counted to Caryn
 
Hii stori nilikua nayo bega kwa bega toka ilivyoonza......!

Nikupongeze bmx6 kwa kuamua kushare nasi hii banger, kiukweli tumeburudika na kujifunza vingi mno.

Sijawahi comment ila nilikua msomaji na mfuatiliaji mzuri tu,

sikua na huo mpango, ila kuna kitu kimenisukuma na kuhisi kama nami nahitaji kutoa mtazamo na fikra zangu...!

Tuanze kuwachambua nyie watu watatu tuone yupi anamfaa yupi.

kulingana na ulivyojieleza na kuwaelezea kwenye hii stori...! Yaani bmx6,carren na annie

1. BMX6
anaonekana ni kijana mstaarabu sana, mwenye heshima, mwenye utu na asiye na makuu..!mchapa kazi(akipewa kazi anahakikisha anaifanya vyema na kwa uadilifu) .Ni aina ya mtu ambae hapendi mambo meengi sana(nice guy). Ni kijana ambaye akiwa kwenye mahusiano ni loyal na mtulivu.

Madhaifu yake> hana misimamo thabiti(anayumbishwa yumbishwa), akipenda hutumia hisia zaidi kufanya maamuzi kuliko akili

2. CARREN
Ni mwanamke mwenye misimamo thabiti isiyoyumbishwa kirahisi, anajua nini anataka katika maisha, mwenye huruma kiasi, mchapa kazi na anajiamini sana.

Madhaifu yake> ni mwanamke mbinafsi anayejiangalia yeye bila kujali wengine, ni manipulater Mzuri sana, sio muaminifu wala muadilifu katika kazi(kufungua miradi bila kumshirikisha mzee, ikiwa mzee anamuamini sana)

3.ANNIE
Ni mwanamke mpole asiye na makuu, anayejali na kuguswa na matatizo ya watu wake wa karibu, ana tabia za kikike(feminine), she is a family oriented woman

Madhaifu yake> anaonekana ni mwanamke wa yes kwa vitu vingi( sio mdadisi), amepoa yaani hana vibe anatakiwa achangamke kidogo, sio mwepesi wa kuelezea hisia zake kwa urahisi ( jinsi anavyojisikia)

Kwa kuangalia uchambuz wa kila mmoja hapo juu tuone nani anamfaa bmx6 kulingana na tabia zao...!

1.BMX6 na CARREN
Hawa watu wawili tukijaribu kupima uzani wa upendo miongoni mwao...

utagundua ya kuwa bmx6 anampenda sana carren.. kwanini, kwanza mwenyewe kakiri hapa ya kuwa tokea alivyomuona alimpenda(love at first sight).

Pili bmx6 alivyoanza kuzoeana na carren mara nyingi alikua nervous wakiwa kwenye mazungumzo, kiasi kwamba mpaka carren akagundua bmx6 hana confidence kama alivyokua akiamini..! Ki kawaida ukimpenda sana mtu na ukiwa hujamzoea, alafu mkawa kwenye maongezi unajikuta tu automatic unakua nervous

Tatu bmx6 amekua akisikiliza na kufuata sana ushauri wa carren kuliko wa mtu yeyote ndani ya muda mfupi waliofahamiana....!

Carren anamuamini sana bmx6 ila hana upendo nae kama wengi na bmx6 mwenyewe wanavyodhania... kwanini

Kwanza mwanamke aliyependa yuko radhi kufanya chochote kwa ajili ya ampendae..!

Lakini carren amekua anafanya kinyume, wakati bmx6 anataka kuacha kazi kwa mara ya kwanza alimuomba ushauri Carren ambaye alikua mtu sahihi sana wa kuweza kumpa ushauri utakaomsaidia na kumvusha bm kimaisha...! Carren alijua kampuni ni ya baba yake ila hakutaka kumsanua bm, angekuwa kweli amempenda angemuibia siri na kumweleza ukweli wote...! Badala yake alimpa ushauri uliopelekea bm kuacha kazi na ajabu ile nafasi akapewa Carren. Na mzee tokea hapo akaanza kumchukulia bm poa na kupelekea mzee kumwondoa kwenye kundi la watu wake muhimu( hapa mkuu bm jaribu kukumbuka hili tukio then jiulize Carren anakupenda kweli??? Maana ushauri wake hapa kiukweli ulikuathiri pakubwa)

Pili mwanamke aliyependa hayuko tayari kumpoteza ampendae kwa gharama yeyote ile......!

Carren kwake ni tofauti kabisa yuko tayari kumpoteza bm, maana alikustopisha kazi kwa week kukuonyesha tu ya kwamba yuko tayari kukupoteza na hilo kwake sio ishu. Utasema mbona hatukua kwenye mahusiano, ukweli ni kwamba mwanamke akishapenda hata kama bado hamjaingia kwenye mahusiano atakua anafanya vitu kama vile mko kwenye mahusiano, maana yangu ni kwamba atakua anatumia hisia zaidi kwa ampendae kuliko akili, ila tumeona kwako Carren akitumia akili zaidi kuliko hisia

Tatu mwanamke aliyependa yuko tayari kumsaidia ampendae kwa yaliyo ndani ya uwezo wake...! Alikupa gari yake kwa bahati mbaya ukaenda ukagonga( hukupenda ila ilitokea bahati mbaya) lakini alikubadilikia mbaya,ukaingia gharama kubwa wala hakujali mwana ndo kwanza unajitafuta akuchangia hata nusu gharama.( jiulize anakupenda kweli au anataka akutumie kufanikisha malengo yake)

Nne mwanamke akipenda anakua na kahofu fulani hivi anapokua mbele ya ampendae.... Carren kwako anakua very comfortable, mpaka anapata guts za kukusema unakojoa bila kuflash, na ukizingatia uko kwako, damn bro, what the fu*k*.....! Mlilala kitanda kimoja mpaka asubuhi bila kufanya chochote, ni ngumu sana kwa mwanamke kulala kitanda kimoja na mwaume anayempenda kwa mara ya kwanza mpaka asubuhi bila kufanya chochote

Kwanini umchague carren
1. Ni mwanamke mpambanaji na mwenye maono ya mbali, mtafika mbali kichumi kama familia.

2. Ataweza kuitunza familia hata kama haupo in any case...! (Watoto watakua safe financially)

3.sio rahisi kuliwa nje, unless apende mwenyewe ( wanawake aina ya Carren hawatoi nyuchi hovyo)...! Sio maharage ya mbeya

4.Anakuamini sana miongoni mwa watu wake wa karibu

5.utapata watoto smart and sharp

6.unampenda kwa dhati, hence nafsi yako itakua na faraja ukiwa nae. Na hauko tayari kumpoteza kwa sasa

Kwanini usimchague Carren
1.hana upendo wa dhati na wewe, ila tu anakuamini sana baada ya kukufanyia majaribio mbali mbali na kujiridhisha ya kuwa wewe ni mtu anayekuhitaji kufanikisha mambo yake...! Kumbuka mahusiano msingi wake unatakiwa kuwa upendo wa dhati baina ya pande mbili

2.ni mbinafsi, rejea jinsi anavyomfanyia dada ake kwa kumchongea kwa mzee ili yeye aonekane bora zaidi, ilihali yeye mwenyewe ana mapungufu yake mengi tu

3.hatoweza kuyavumilia mapungufu na makosa yako ya kibinadamu, rejea kisa chake na Michelle walikua marafiki sana ila alivyomkopesha pesa na Michelle kufanya aliyoyafanya, mwenyewe unajua kilichotokea...! Kama dada yake aliweza kumchukulia vile alivyomchukulia kisa pesa unadhani kwako itakuaje? Au labda unaweza kuwa special sana ikawa tofauti. Japokua amesema atakuvumilia ila siku zote (actions speak loud than words)

4.ni mtu ambaye yuko attached mno na pesa pamoja na vitu( yeye ndo anapenda aendeshe jeep la mzee ikiwa mzee hayupo na si Michelle wala mama ake), alikuita mahali akaagiza juice, na we ulikua na njaa ukaagiza msosi, kilichotokea ilikubidi ulipie msosi wako bila kupenda, sababu ulikutana na Carren anayeijali pesa mno kuliko undugu,urafiki na mahusiano,

5.hana sifa za kuwa mama bora wa watoto wako...! Wanawake aina ya Carren huwa si wazuri katika malezi ya watoto. Wao huwa wako obsessed na kazi zaidi

1.BMX6 NA ANNIE

Annie anampenda sana bmx6, sababu aliweza kumsaidia kipindi kwao maisha safi kwa hali na mali, hakujali bmx6 alikua na hali gani.

Annie anamheshimu bm, maana amekua akimsikiliza kwa kila anachomwambia. Alipata kazi mwanza akataka aende bm akamzuia akatii, baadae bm akabadili mawazo akamwambie aende tu akatii

Annie hakua tayari kumpoteza bm, alipambana kuhakikisha bm wake hachukuliwi na accountant...!

Bmx6 hampendi kiivyo annie ukilinganisha anavyompenda Carren..! Maana hata kabla ya kukutana na carren bm alikua akimfanyia annie vituko vya hapa na pale, ila Annie alivumilia

Bmx6 anamuonea huruma annie na kuhisi guilty juu yake, sababu ya wema aliomtendea hivyo anataka amtafutie sababu ndo amuache...!

Kwanini umchague Annie
1.ni mwenye huruma hivyo atakua mtulivu kwako

2.Anakupenda kwa dhati( japo sidhani kama bado anakupenda kama mwanzo)

3.atakua mama bora kwa watoto wako

4 .atakujali na kukuheshimu kama mume wake

5.atakusikiliza, hivyo mtakua na maelewano ndani ya nyumba

Kwanini usimchugue Annie
1.humpendi kwa dhati, hivyo nafsi yako haitokua yenye furaha ukiwa nae

2.ni rahisi kuliwa nje, wanawake wapole wapole wakipataga mwanaume atayewachangamsha na kuwafurahisha hujikuta wanaliwa bila kutarajia ( inawezekana hata huko mwanza kuna ngosha ashafanya kweli, tehetehe natania tu)

3.hana mawazo mbadala, sio mwanamke wa kuuimiza kichwa anayeweza kukupa ushauri ukakuingia kichwani. Kiufupi hana ushawishi

Mwisho: combination yako na Carren kwenye kazi is awesome bro...! Ndo maana hata mzee alipenda sana iendelee kubaki hivyo. Maana anamjua vyema mwanae na wewe ameshakujua vya kutosha, na "you must be very carefully" mkali, maana una deal na watu wanaokujua kuliko ww unavyowajua. Na bahati mbaya kuna matukio yanatokea kama "wake up call to you" ili uweze kuchukua hatua ila huoni sababu umekingwa na ukuta mnene wa mapenzi kwa carren, na yeye amegundua hilo anatumia kama udhaifu wa kukufanya atakavy.

Kama ungekua katika misingi ya mzee aliyotaka uende nayo toka mwanzo ungekua mbali sana...! Ila bado hujachelewa,

"This is Africa broe", na Africa wanaume ndo huwa tunaoa.

na kuoa ni pamoja ya kuwa kiongozi wa familia katika nyanja zote, mwanamke ni msaidizi tu.

Na ukweli ni kwamba kuwa mwanaume sio rahisi, "ila kuwa mume wa mtu, kuwa baba wa watoto ni mtihani unayopaswa kuufaulu siku zote za maisha yako" na huo mtihani watu wengi huwa wanafeli vibaya, hasa katika msingi wa kuchagua mwanamke sahihi

kuwa makini usije kudhani umeoa kumbe umeolewa, na ukajashtuka muda nao ukawa hauko upande wako....!
Nimetamani kukupa likes 100 kwa uchambuzi huu....yaani nimesoma mpaka nimejisikia hali fulani haielezeki. Kongole kwa uchambuzi mkuu hope BM atapata kitu hapa
 
KURA ZILIZOHESABIWA HADI WAKATI HUU
(Votes still being counted)


DAY 1
Annie: Votes 7
Caryn: Votes 12

DAY 2
Annie: Votes 18
Caryn: Votes 23

DAY 3
Annie: Votes 25
Caryn: Votes 27

DAY 4
Annie: Votes 31
Caryn: Vote 40

DAY 5
Annie: Votes 35
Caryn: Votes 45

DAY 6
Annie: Votes 40
Caryn: Votes 50

TOTAL VOTES
Annie: Votes 40
Caryn: Votes 50

Imebaki siku moja tufunge zoezi na sio siku mbili tena, ratiba zimeingiliana hapa kati, coz sitakuwa na muda wa kushinda humu tena

NB: Comments zote nilizoziwekea nyota zenyewe kura zake zitahesabiwa kitofauti
 
Mimi namchagua Annie .
Ngoja namimi nitoe ushauri wangu . Carryn ni mwanamke ambaye atakubadilisha maisha yako huenda ukapiga hatua kifedha na ukawa mtu wa high class na sio wa kawaida Tena. Lakini Carryn Hana sifa za kuwa Mama Bora na mke Bora Kwa familia Yako. Carryn ni mwanamke ambaye uvumilivu wa kulea watoto Hana na mwisho wa siku atakuforce mzae mtoto mmoja tu , anaonekana anapenda uzungu mwingi.

Carryn hawezi kuishi kwenye umaskini she is born in rich a family, kwahivyo utaishi maisha ya kuhakikisha mda wote you have enough money in your pocket jambo ambalo kiuhalisia haliwezekani.

Carryn linapokuja swala la pesa mapenz hayapo so usije ukategemea kuwa na mahusiano nae kutakufanya unufaike na pesa zake no. Utakapohitaj pesa ya Carryn utatoa maelezo ya kutosha na atahitaji aone matokeo ya pesa alokupa imefanya nini, Carryn sio wale wanawake unaweza mwambia naomba laki Tano Kuna ishu niisolve akakupatia hawezi Fanya hivyo.

Ukiwa na Carryn ukaribu wako na ndugu na marafiki utappungua Kwa sababu hautakua na msaada kwao Tena kwani Carryn atahitaji maelezo madhubuti kuwasaidia ndugu zako na rafiki zako na wengine wataogopa hata kufika kwako.

Annie ni Pure African woman. Anaeheshim na kumsikiliza mwanaume bila kujieleza kwingi.

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Hii stori nilikua nayo bega kwa bega toka ilivyoonza......!

Nikupongeze bmx6 kwa kuamua kushare nasi hii banger, kiukweli tumeburudika na kujifunza vingi mno.

Sijawahi comment ila nilikua msomaji na mfuatiliaji mzuri tu,

sikua na huo mpango, ila kuna kitu kimenisukuma na kuhisi kama nami nahitaji kutoa mtazamo na fikra zangu...!

Tuanze kuwachambua nyie watu watatu tuone yupi anamfaa yupi.

kulingana na ulivyojieleza na kuwaelezea kwenye hii stori...! Yaani bmx6,carren na annie

1. BMX6
anaonekana ni kijana mstaarabu sana, mwenye heshima, mwenye utu na asiye na makuu..!mchapa kazi(akipewa kazi anahakikisha anaifanya vyema na kwa uadilifu) .Ni aina ya mtu ambae hapendi mambo meengi sana(nice guy). Ni kijana ambaye akiwa kwenye mahusiano ni loyal na mtulivu.

Madhaifu yake> hana misimamo thabiti(anayumbishwa yumbishwa), akipenda hutumia hisia zaidi kufanya maamuzi kuliko akili

2. CARREN
Ni mwanamke mwenye misimamo thabiti isiyoyumbishwa kirahisi, anajua nini anataka katika maisha, mwenye huruma kiasi, mchapa kazi na anajiamini sana.

Madhaifu yake> ni mwanamke mbinafsi anayejiangalia yeye bila kujali wengine, ni manipulater Mzuri sana, sio muaminifu wala muadilifu katika kazi(kufungua miradi bila kumshirikisha mzee, ikiwa mzee anamuamini sana)

3.ANNIE
Ni mwanamke mpole asiye na makuu, anayejali na kuguswa na matatizo ya watu wake wa karibu, ana tabia za kikike(feminine), she is a family oriented woman

Madhaifu yake> anaonekana ni mwanamke wa yes kwa vitu vingi( sio mdadisi), amepoa yaani hana vibe anatakiwa achangamke kidogo, sio mwepesi wa kuelezea hisia zake kwa urahisi ( jinsi anavyojisikia)

Kwa kuangalia uchambuz wa kila mmoja hapo juu tuone nani anamfaa bmx6 kulingana na tabia zao...!

1.BMX6 na CARREN
Hawa watu wawili tukijaribu kupima uzani wa upendo miongoni mwao...

utagundua ya kuwa bmx6 anampenda sana carren.. kwanini, kwanza mwenyewe kakiri hapa ya kuwa tokea alivyomuona alimpenda(love at first sight).

Pili bmx6 alivyoanza kuzoeana na carren mara nyingi alikua nervous wakiwa kwenye mazungumzo, kiasi kwamba mpaka carren akagundua bmx6 hana confidence kama alivyokua akiamini..! Ki kawaida ukimpenda sana mtu na ukiwa hujamzoea, alafu mkawa kwenye maongezi unajikuta tu automatic unakua nervous

Tatu bmx6 amekua akisikiliza na kufuata sana ushauri wa carren kuliko wa mtu yeyote ndani ya muda mfupi waliofahamiana....!

Carren anamuamini sana bmx6 ila hana upendo nae kama wengi na bmx6 mwenyewe wanavyodhania... kwanini

Kwanza mwanamke aliyependa yuko radhi kufanya chochote kwa ajili ya ampendae..!

Lakini carren amekua anafanya kinyume, wakati bmx6 anataka kuacha kazi kwa mara ya kwanza alimuomba ushauri Carren ambaye alikua mtu sahihi sana wa kuweza kumpa ushauri utakaomsaidia na kumvusha bm kimaisha...! Carren alijua kampuni ni ya baba yake ila hakutaka kumsanua bm, angekuwa kweli amempenda angemuibia siri na kumweleza ukweli wote...! Badala yake alimpa ushauri uliopelekea bm kuacha kazi na ajabu ile nafasi akapewa Carren. Na mzee tokea hapo akaanza kumchukulia bm poa na kupelekea mzee kumwondoa kwenye kundi la watu wake muhimu( hapa mkuu bm jaribu kukumbuka hili tukio then jiulize Carren anakupenda kweli??? Maana ushauri wake hapa kiukweli ulikuathiri pakubwa)

Pili mwanamke aliyependa hayuko tayari kumpoteza ampendae kwa gharama yeyote ile......!

Carren kwake ni tofauti kabisa yuko tayari kumpoteza bm, maana alikustopisha kazi kwa week kukuonyesha tu ya kwamba yuko tayari kukupoteza na hilo kwake sio ishu. Utasema mbona hatukua kwenye mahusiano, ukweli ni kwamba mwanamke akishapenda hata kama bado hamjaingia kwenye mahusiano atakua anafanya vitu kama vile mko kwenye mahusiano, maana yangu ni kwamba atakua anatumia hisia zaidi kwa ampendae kuliko akili, ila tumeona kwako Carren akitumia akili zaidi kuliko hisia

Tatu mwanamke aliyependa yuko tayari kumsaidia ampendae kwa yaliyo ndani ya uwezo wake...! Alikupa gari yake kwa bahati mbaya ukaenda ukagonga( hukupenda ila ilitokea bahati mbaya) lakini alikubadilikia mbaya,ukaingia gharama kubwa wala hakujali mwana ndo kwanza unajitafuta akuchangia hata nusu gharama.( jiulize anakupenda kweli au anataka akutumie kufanikisha malengo yake)

Nne mwanamke akipenda anakua na kahofu fulani hivi anapokua mbele ya ampendae.... Carren kwako anakua very comfortable, mpaka anapata guts za kukusema unakojoa bila kuflash, na ukizingatia uko kwako, damn bro, what the fu*k*.....! Mlilala kitanda kimoja mpaka asubuhi bila kufanya chochote, ni ngumu sana kwa mwanamke kulala kitanda kimoja na mwaume anayempenda kwa mara ya kwanza mpaka asubuhi bila kufanya chochote

Kwanini umchague carren
1. Ni mwanamke mpambanaji na mwenye maono ya mbali, mtafika mbali kichumi kama familia.

2. Ataweza kuitunza familia hata kama haupo in any case...! (Watoto watakua safe financially)

3.sio rahisi kuliwa nje, unless apende mwenyewe ( wanawake aina ya Carren hawatoi nyuchi hovyo)...! Sio maharage ya mbeya

4.Anakuamini sana miongoni mwa watu wake wa karibu

5.utapata watoto smart and sharp

6.unampenda kwa dhati, hence nafsi yako itakua na faraja ukiwa nae. Na hauko tayari kumpoteza kwa sasa

Kwanini usimchague Carren
1.hana upendo wa dhati na wewe, ila tu anakuamini sana baada ya kukufanyia majaribio mbali mbali na kujiridhisha ya kuwa wewe ni mtu anayekuhitaji kufanikisha mambo yake...! Kumbuka mahusiano msingi wake unatakiwa kuwa upendo wa dhati baina ya pande mbili

2.ni mbinafsi, rejea jinsi anavyomfanyia dada ake kwa kumchongea kwa mzee ili yeye aonekane bora zaidi, ilihali yeye mwenyewe ana mapungufu yake mengi tu

3.hatoweza kuyavumilia mapungufu na makosa yako ya kibinadamu, rejea kisa chake na Michelle walikua marafiki sana ila alivyomkopesha pesa na Michelle kufanya aliyoyafanya, mwenyewe unajua kilichotokea...! Kama dada yake aliweza kumchukulia vile alivyomchukulia kisa pesa unadhani kwako itakuaje? Au labda unaweza kuwa special sana ikawa tofauti. Japokua amesema atakuvumilia ila siku zote (actions speak loud than words)

4.ni mtu ambaye yuko attached mno na pesa pamoja na vitu( yeye ndo anapenda aendeshe jeep la mzee ikiwa mzee hayupo na si Michelle wala mama ake), alikuita mahali akaagiza juice, na we ulikua na njaa ukaagiza msosi, kilichotokea ilikubidi ulipie msosi wako bila kupenda, sababu ulikutana na Carren anayeijali pesa mno kuliko undugu,urafiki na mahusiano,

5.hana sifa za kuwa mama bora wa watoto wako...! Wanawake aina ya Carren huwa si wazuri katika malezi ya watoto. Wao huwa wako obsessed na kazi zaidi

1.BMX6 NA ANNIE

Annie anampenda sana bmx6, sababu aliweza kumsaidia kipindi kwao maisha safi kwa hali na mali, hakujali bmx6 alikua na hali gani.

Annie anamheshimu bm, maana amekua akimsikiliza kwa kila anachomwambia. Alipata kazi mwanza akataka aende bm akamzuia akatii, baadae bm akabadili mawazo akamwambie aende tu akatii

Annie hakua tayari kumpoteza bm, alipambana kuhakikisha bm wake hachukuliwi na accountant...!

Bmx6 hampendi kiivyo annie ukilinganisha anavyompenda Carren..! Maana hata kabla ya kukutana na carren bm alikua akimfanyia annie vituko vya hapa na pale, ila Annie alivumilia

Bmx6 anamuonea huruma annie na kuhisi guilty juu yake, sababu ya wema aliomtendea hivyo anataka amtafutie sababu ndo amuache...!

Kwanini umchague Annie
1.ni mwenye huruma hivyo atakua mtulivu kwako

2.Anakupenda kwa dhati( japo sidhani kama bado anakupenda kama mwanzo)

3.atakua mama bora kwa watoto wako

4 .atakujali na kukuheshimu kama mume wake

5.atakusikiliza, hivyo mtakua na maelewano ndani ya nyumba

Kwanini usimchugue Annie
1.humpendi kwa dhati, hivyo nafsi yako haitokua yenye furaha ukiwa nae

2.ni rahisi kuliwa nje, wanawake wapole wapole wakipataga mwanaume atayewachangamsha na kuwafurahisha hujikuta wanaliwa bila kutarajia ( inawezekana hata huko mwanza kuna ngosha ashafanya kweli, tehetehe natania tu)

3.hana mawazo mbadala, sio mwanamke wa kuuimiza kichwa anayeweza kukupa ushauri ukakuingia kichwani. Kiufupi hana ushawishi

Mwisho: combination yako na Carren kwenye kazi is awesome bro...! Ndo maana hata mzee alipenda sana iendelee kubaki hivyo. Maana anamjua vyema mwanae na wewe ameshakujua vya kutosha, na "you must be very carefully" mkali, maana una deal na watu wanaokujua kuliko ww unavyowajua. Na bahati mbaya kuna matukio yanatokea kama "wake up call to you" ili uweze kuchukua hatua ila huoni sababu umekingwa na ukuta mnene wa mapenzi kwa carren, na yeye amegundua hilo anatumia kama udhaifu wa kukufanya atakavy.

Kama ungekua katika misingi ya mzee aliyotaka uende nayo toka mwanzo ungekua mbali sana...! Ila bado hujachelewa,

"This is Africa broe", na Africa wanaume ndo huwa tunaoa.

na kuoa ni pamoja ya kuwa kiongozi wa familia katika nyanja zote, mwanamke ni msaidizi tu.

Na ukweli ni kwamba kuwa mwanaume sio rahisi, "ila kuwa mume wa mtu, kuwa baba wa watoto ni mtihani unayopaswa kuufaulu siku zote za maisha yako" na huo mtihani watu wengi huwa wanafeli vibaya, hasa katika msingi wa kuchagua mwanamke sahihi

kuwa makini usije kudhani umeoa kumbe umeolewa, na ukajashtuka muda nao ukawa hauko upande wako....!
Woiiii, Maua yako Mkuu
 
Back
Top Bottom