Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
Annie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aisee broo umetisha[emoji109]Hii stori nilikua nayo bega kwa bega toka ilivyoonza......!
Nikupongeze bmx6 kwa kuamua kushare nasi hii banger, kiukweli tumeburudika na kujifunza vingi mno.
Sijawahi comment ila nilikua msomaji na mfuatiliaji mzuri tu,
sikua na huo mpango, ila kuna kitu kimenisukuma na kuhisi kama nami nahitaji kutoa mtazamo na fikra zangu...!
Tuanze kuwachambua nyie watu watatu tuone yupi anamfaa yupi.
kulingana na ulivyojieleza na kuwaelezea kwenye hii stori...! Yaani bmx6,carren na annie
1. BMX6
anaonekana ni kijana mstaarabu sana, mwenye heshima, mwenye utu na asiye na makuu..!mchapa kazi(akipewa kazi anahakikisha anaifanya vyema na kwa uadilifu) .Ni aina ya mtu ambae hapendi mambo meengi sana(nice guy). Ni kijana ambaye akiwa kwenye mahusiano ni loyal na mtulivu.
Madhaifu yake> hana misimamo thabiti(anayumbishwa yumbishwa), akipenda hutumia hisia zaidi kufanya maamuzi kuliko akili
2. CARREN
Ni mwanamke mwenye misimamo thabiti isiyoyumbishwa kirahisi, anajua nini anataka katika maisha, mwenye huruma kiasi, mchapa kazi na anajiamini sana.
Madhaifu yake> ni mwanamke mbinafsi anayejiangalia yeye bila kujali wengine, ni manipulater Mzuri sana, sio muaminifu wala muadilifu katika kazi(kufungua miradi bila kumshirikisha mzee, ikiwa mzee anamuamini sana)
3.ANNIE
Ni mwanamke mpole asiye na makuu, anayejali na kuguswa na matatizo ya watu wake wa karibu, ana tabia za kikike(feminine), she is a family oriented woman
Madhaifu yake> anaonekana ni mwanamke wa yes kwa vitu vingi( sio mdadisi), amepoa yaani hana vibe anatakiwa achangamke kidogo, sio mwepesi wa kuelezea hisia zake kwa urahisi ( jinsi anavyojisikia)
Kwa kuangalia uchambuz wa kila mmoja hapo juu tuone nani anamfaa bmx6 kulingana na tabia zao...!
1.BMX6 na CARREN
Hawa watu wawili tukijaribu kupima uzani wa upendo miongoni mwao...
utagundua ya kuwa bmx6 anampenda sana carren.. kwanini, kwanza mwenyewe kakiri hapa ya kuwa tokea alivyomuona alimpenda(love at first sight).
Pili bmx6 alivyoanza kuzoeana na carren mara nyingi alikua nervous wakiwa kwenye mazungumzo, kiasi kwamba mpaka carren akagundua bmx6 hana confidence kama alivyokua akiamini..! Ki kawaida ukimpenda sana mtu na ukiwa hujamzoea, alafu mkawa kwenye maongezi unajikuta tu automatic unakua nervous
Tatu bmx6 amekua akisikiliza na kufuata sana ushauri wa carren kuliko wa mtu yeyote ndani ya muda mfupi waliofahamiana....!
Carren anamuamini sana bmx6 ila hana upendo nae kama wengi na bmx6 mwenyewe wanavyodhania... kwanini
Kwanza mwanamke aliyependa yuko radhi kufanya chochote kwa ajili ya ampendae..!
Lakini carren amekua anafanya kinyume, wakati bmx6 anataka kuacha kazi kwa mara ya kwanza alimuomba ushauri Carren ambaye alikua mtu sahihi sana wa kuweza kumpa ushauri utakaomsaidia na kumvusha bm kimaisha...! Carren alijua kampuni ni ya baba yake ila hakutaka kumsanua bm, angekuwa kweli amempenda angemuibia siri na kumweleza ukweli wote...! Badala yake alimpa ushauri uliopelekea bm kuacha kazi na ajabu ile nafasi akapewa Carren. Na mzee tokea hapo akaanza kumchukulia bm poa na kupelekea mzee kumwondoa kwenye kundi la watu wake muhimu( hapa mkuu bm jaribu kukumbuka hili tukio then jiulize Carren anakupenda kweli??? Maana ushauri wake hapa kiukweli ulikuathiri pakubwa)
Pili mwanamke aliyependa hayuko tayari kumpoteza ampendae kwa gharama yeyote ile......!
Carren kwake ni tofauti kabisa yuko tayari kumpoteza bm, maana alikustopisha kazi kwa week kukuonyesha tu ya kwamba yuko tayari kukupoteza na hilo kwake sio ishu. Utasema mbona hatukua kwenye mahusiano, ukweli ni kwamba mwanamke akishapenda hata kama bado hamjaingia kwenye mahusiano atakua anafanya vitu kama vile mko kwenye mahusiano, maana yangu ni kwamba atakua anatumia hisia zaidi kwa ampendae kuliko akili, ila tumeona kwako Carren akitumia akili zaidi kuliko hisia
Tatu mwanamke aliyependa yuko tayari kumsaidia ampendae kwa yaliyo ndani ya uwezo wake...! Alikupa gari yake kwa bahati mbaya ukaenda ukagonga( hukupenda ila ilitokea bahati mbaya) lakini alikubadilikia mbaya,ukaingia gharama kubwa wala hakujali mwana ndo kwanza unajitafuta akuchangia hata nusu gharama.( jiulize anakupenda kweli au anataka akutumie kufanikisha malengo yake)
Nne mwanamke akipenda anakua na kahofu fulani hivi anapokua mbele ya ampendae.... Carren kwako anakua very comfortable, mpaka anapata guts za kukusema unakojoa bila kuflash, na ukizingatia uko kwako, damn bro, what the fu*k*.....! Mlilala kitanda kimoja mpaka asubuhi bila kufanya chochote, ni ngumu sana kwa mwanamke kulala kitanda kimoja na mwaume anayempenda kwa mara ya kwanza mpaka asubuhi bila kufanya chochote
Kwanini umchague carren
1. Ni mwanamke mpambanaji na mwenye maono ya mbali, mtafika mbali kichumi kama familia.
2. Ataweza kuitunza familia hata kama haupo in any case...! (Watoto watakua safe financially)
3.sio rahisi kuliwa nje, unless apende mwenyewe ( wanawake aina ya Carren hawatoi nyuchi hovyo)...! Sio maharage ya mbeya
4.Anakuamini sana miongoni mwa watu wake wa karibu
5.utapata watoto smart and sharp
6.unampenda kwa dhati, hence nafsi yako itakua na faraja ukiwa nae. Na hauko tayari kumpoteza kwa sasa
Kwanini usimchague Carren
1.hana upendo wa dhati na wewe, ila tu anakuamini sana baada ya kukufanyia majaribio mbali mbali na kujiridhisha ya kuwa wewe ni mtu anayekuhitaji kufanikisha mambo yake...! Kumbuka mahusiano msingi wake unatakiwa kuwa upendo wa dhati baina ya pande mbili
2.ni mbinafsi, rejea jinsi anavyomfanyia dada ake kwa kumchongea kwa mzee ili yeye aonekane bora zaidi, ilihali yeye mwenyewe ana mapungufu yake mengi tu
3.hatoweza kuyavumilia mapungufu na makosa yako ya kibinadamu, rejea kisa chake na Michelle walikua marafiki sana ila alivyomkopesha pesa na Michelle kufanya aliyoyafanya, mwenyewe unajua kilichotokea...! Kama dada yake aliweza kumchukulia vile alivyomchukulia kisa pesa unadhani kwako itakuaje? Au labda unaweza kuwa special sana ikawa tofauti. Japokua amesema atakuvumilia ila siku zote (actions speak loud than words)
4.ni mtu ambaye yuko attached mno na pesa pamoja na vitu( yeye ndo anapenda aendeshe jeep la mzee ikiwa mzee hayupo na si Michelle wala mama ake), alikuita mahali akaagiza juice, na we ulikua na njaa ukaagiza msosi, kilichotokea ilikubidi ulipie msosi wako bila kupenda, sababu ulikutana na Carren anayeijali pesa mno kuliko undugu,urafiki na mahusiano,
5.hana sifa za kuwa mama bora wa watoto wako...! Wanawake aina ya Carren huwa si wazuri katika malezi ya watoto. Wao huwa wako obsessed na kazi zaidi
1.BMX6 NA ANNIE
Annie anampenda sana bmx6, sababu aliweza kumsaidia kipindi kwao maisha safi kwa hali na mali, hakujali bmx6 alikua na hali gani.
Annie anamheshimu bm, maana amekua akimsikiliza kwa kila anachomwambia. Alipata kazi mwanza akataka aende bm akamzuia akatii, baadae bm akabadili mawazo akamwambie aende tu akatii
Annie hakua tayari kumpoteza bm, alipambana kuhakikisha bm wake hachukuliwi na accountant...!
Bmx6 hampendi kiivyo annie ukilinganisha anavyompenda Carren..! Maana hata kabla ya kukutana na carren bm alikua akimfanyia annie vituko vya hapa na pale, ila Annie alivumilia
Bmx6 anamuonea huruma annie na kuhisi guilty juu yake, sababu ya wema aliomtendea hivyo anataka amtafutie sababu ndo amuache...!
Kwanini umchague Annie
1.ni mwenye huruma hivyo atakua mtulivu kwako
2.Anakupenda kwa dhati( japo sidhani kama bado anakupenda kama mwanzo)
3.atakua mama bora kwa watoto wako
4 .atakujali na kukuheshimu kama mume wake
5.atakusikiliza, hivyo mtakua na maelewano ndani ya nyumba
Kwanini usimchugue Annie
1.humpendi kwa dhati, hivyo nafsi yako haitokua yenye furaha ukiwa nae
2.ni rahisi kuliwa nje, wanawake wapole wapole wakipataga mwanaume atayewachangamsha na kuwafurahisha hujikuta wanaliwa bila kutarajia ( inawezekana hata huko mwanza kuna ngosha ashafanya kweli, tehetehe natania tu)
3.hana mawazo mbadala, sio mwanamke wa kuuimiza kichwa anayeweza kukupa ushauri ukakuingia kichwani. Kiufupi hana ushawishi
Mwisho: combination yako na Carren kwenye kazi is awesome bro...! Ndo maana hata mzee alipenda sana iendelee kubaki hivyo. Maana anamjua vyema mwanae na wewe ameshakujua vya kutosha, na "you must be very carefully" mkali, maana una deal na watu wanaokujua kuliko ww unavyowajua. Na bahati mbaya kuna matukio yanatokea kama "wake up call to you" ili uweze kuchukua hatua ila huoni sababu umekingwa na ukuta mnene wa mapenzi kwa carren, na yeye amegundua hilo anatumia kama udhaifu wa kukufanya atakavy.
Kama ungekua katika misingi ya mzee aliyotaka uende nayo toka mwanzo ungekua mbali sana...! Ila bado hujachelewa,
"This is Africa broe", na Africa wanaume ndo huwa tunaoa.
na kuoa ni pamoja ya kuwa kiongozi wa familia katika nyanja zote, mwanamke ni msaidizi tu.
Na ukweli ni kwamba kuwa mwanaume sio rahisi, "ila kuwa mume wa mtu, kuwa baba wa watoto ni mtihani unayopaswa kuufaulu siku zote za maisha yako" na huo mtihani watu wengi huwa wanafeli vibaya, hasa katika msingi wa kuchagua mwanamke sahihi
kuwa makini usije kudhani umeoa kumbe umeolewa, na ukajashtuka muda nao ukawa hauko upande wako....!
[emoji1430][emoji1430][emoji1430]Hii stori nilikua nayo bega kwa bega toka ilivyoonza......!
Nikupongeze bmx6 kwa kuamua kushare nasi hii banger, kiukweli tumeburudika na kujifunza vingi mno.
Sijawahi comment ila nilikua msomaji na mfuatiliaji mzuri tu,
sikua na huo mpango, ila kuna kitu kimenisukuma na kuhisi kama nami nahitaji kutoa mtazamo na fikra zangu...!
Tuanze kuwachambua nyie watu watatu tuone yupi anamfaa yupi.
kulingana na ulivyojieleza na kuwaelezea kwenye hii stori...! Yaani bmx6,carren na annie
1. BMX6
anaonekana ni kijana mstaarabu sana, mwenye heshima, mwenye utu na asiye na makuu..!mchapa kazi(akipewa kazi anahakikisha anaifanya vyema na kwa uadilifu) .Ni aina ya mtu ambae hapendi mambo meengi sana(nice guy). Ni kijana ambaye akiwa kwenye mahusiano ni loyal na mtulivu.
Madhaifu yake> hana misimamo thabiti(anayumbishwa yumbishwa), akipenda hutumia hisia zaidi kufanya maamuzi kuliko akili
2. CARREN
Ni mwanamke mwenye misimamo thabiti isiyoyumbishwa kirahisi, anajua nini anataka katika maisha, mwenye huruma kiasi, mchapa kazi na anajiamini sana.
Madhaifu yake> ni mwanamke mbinafsi anayejiangalia yeye bila kujali wengine, ni manipulater Mzuri sana, sio muaminifu wala muadilifu katika kazi(kufungua miradi bila kumshirikisha mzee, ikiwa mzee anamuamini sana)
3.ANNIE
Ni mwanamke mpole asiye na makuu, anayejali na kuguswa na matatizo ya watu wake wa karibu, ana tabia za kikike(feminine), she is a family oriented woman
Madhaifu yake> anaonekana ni mwanamke wa yes kwa vitu vingi( sio mdadisi), amepoa yaani hana vibe anatakiwa achangamke kidogo, sio mwepesi wa kuelezea hisia zake kwa urahisi ( jinsi anavyojisikia)
Kwa kuangalia uchambuz wa kila mmoja hapo juu tuone nani anamfaa bmx6 kulingana na tabia zao...!
1.BMX6 na CARREN
Hawa watu wawili tukijaribu kupima uzani wa upendo miongoni mwao...
utagundua ya kuwa bmx6 anampenda sana carren.. kwanini, kwanza mwenyewe kakiri hapa ya kuwa tokea alivyomuona alimpenda(love at first sight).
Pili bmx6 alivyoanza kuzoeana na carren mara nyingi alikua nervous wakiwa kwenye mazungumzo, kiasi kwamba mpaka carren akagundua bmx6 hana confidence kama alivyokua akiamini..! Ki kawaida ukimpenda sana mtu na ukiwa hujamzoea, alafu mkawa kwenye maongezi unajikuta tu automatic unakua nervous
Tatu bmx6 amekua akisikiliza na kufuata sana ushauri wa carren kuliko wa mtu yeyote ndani ya muda mfupi waliofahamiana....!
Carren anamuamini sana bmx6 ila hana upendo nae kama wengi na bmx6 mwenyewe wanavyodhania... kwanini
Kwanza mwanamke aliyependa yuko radhi kufanya chochote kwa ajili ya ampendae..!
Lakini carren amekua anafanya kinyume, wakati bmx6 anataka kuacha kazi kwa mara ya kwanza alimuomba ushauri Carren ambaye alikua mtu sahihi sana wa kuweza kumpa ushauri utakaomsaidia na kumvusha bm kimaisha...! Carren alijua kampuni ni ya baba yake ila hakutaka kumsanua bm, angekuwa kweli amempenda angemuibia siri na kumweleza ukweli wote...! Badala yake alimpa ushauri uliopelekea bm kuacha kazi na ajabu ile nafasi akapewa Carren. Na mzee tokea hapo akaanza kumchukulia bm poa na kupelekea mzee kumwondoa kwenye kundi la watu wake muhimu( hapa mkuu bm jaribu kukumbuka hili tukio then jiulize Carren anakupenda kweli??? Maana ushauri wake hapa kiukweli ulikuathiri pakubwa)
Pili mwanamke aliyependa hayuko tayari kumpoteza ampendae kwa gharama yeyote ile......!
Carren kwake ni tofauti kabisa yuko tayari kumpoteza bm, maana alikustopisha kazi kwa week kukuonyesha tu ya kwamba yuko tayari kukupoteza na hilo kwake sio ishu. Utasema mbona hatukua kwenye mahusiano, ukweli ni kwamba mwanamke akishapenda hata kama bado hamjaingia kwenye mahusiano atakua anafanya vitu kama vile mko kwenye mahusiano, maana yangu ni kwamba atakua anatumia hisia zaidi kwa ampendae kuliko akili, ila tumeona kwako Carren akitumia akili zaidi kuliko hisia
Tatu mwanamke aliyependa yuko tayari kumsaidia ampendae kwa yaliyo ndani ya uwezo wake...! Alikupa gari yake kwa bahati mbaya ukaenda ukagonga( hukupenda ila ilitokea bahati mbaya) lakini alikubadilikia mbaya,ukaingia gharama kubwa wala hakujali mwana ndo kwanza unajitafuta akuchangia hata nusu gharama.( jiulize anakupenda kweli au anataka akutumie kufanikisha malengo yake)
Nne mwanamke akipenda anakua na kahofu fulani hivi anapokua mbele ya ampendae.... Carren kwako anakua very comfortable, mpaka anapata guts za kukusema unakojoa bila kuflash, na ukizingatia uko kwako, damn bro, what the fu*k*.....! Mlilala kitanda kimoja mpaka asubuhi bila kufanya chochote, ni ngumu sana kwa mwanamke kulala kitanda kimoja na mwaume anayempenda kwa mara ya kwanza mpaka asubuhi bila kufanya chochote
Kwanini umchague carren
1. Ni mwanamke mpambanaji na mwenye maono ya mbali, mtafika mbali kichumi kama familia.
2. Ataweza kuitunza familia hata kama haupo in any case...! (Watoto watakua safe financially)
3.sio rahisi kuliwa nje, unless apende mwenyewe ( wanawake aina ya Carren hawatoi nyuchi hovyo)...! Sio maharage ya mbeya
4.Anakuamini sana miongoni mwa watu wake wa karibu
5.utapata watoto smart and sharp
6.unampenda kwa dhati, hence nafsi yako itakua na faraja ukiwa nae. Na hauko tayari kumpoteza kwa sasa
Kwanini usimchague Carren
1.hana upendo wa dhati na wewe, ila tu anakuamini sana baada ya kukufanyia majaribio mbali mbali na kujiridhisha ya kuwa wewe ni mtu anayekuhitaji kufanikisha mambo yake...! Kumbuka mahusiano msingi wake unatakiwa kuwa upendo wa dhati baina ya pande mbili
2.ni mbinafsi, rejea jinsi anavyomfanyia dada ake kwa kumchongea kwa mzee ili yeye aonekane bora zaidi, ilihali yeye mwenyewe ana mapungufu yake mengi tu
3.hatoweza kuyavumilia mapungufu na makosa yako ya kibinadamu, rejea kisa chake na Michelle walikua marafiki sana ila alivyomkopesha pesa na Michelle kufanya aliyoyafanya, mwenyewe unajua kilichotokea...! Kama dada yake aliweza kumchukulia vile alivyomchukulia kisa pesa unadhani kwako itakuaje? Au labda unaweza kuwa special sana ikawa tofauti. Japokua amesema atakuvumilia ila siku zote (actions speak loud than words)
4.ni mtu ambaye yuko attached mno na pesa pamoja na vitu( yeye ndo anapenda aendeshe jeep la mzee ikiwa mzee hayupo na si Michelle wala mama ake), alikuita mahali akaagiza juice, na we ulikua na njaa ukaagiza msosi, kilichotokea ilikubidi ulipie msosi wako bila kupenda, sababu ulikutana na Carren anayeijali pesa mno kuliko undugu,urafiki na mahusiano,
5.hana sifa za kuwa mama bora wa watoto wako...! Wanawake aina ya Carren huwa si wazuri katika malezi ya watoto. Wao huwa wako obsessed na kazi zaidi
1.BMX6 NA ANNIE
Annie anampenda sana bmx6, sababu aliweza kumsaidia kipindi kwao maisha safi kwa hali na mali, hakujali bmx6 alikua na hali gani.
Annie anamheshimu bm, maana amekua akimsikiliza kwa kila anachomwambia. Alipata kazi mwanza akataka aende bm akamzuia akatii, baadae bm akabadili mawazo akamwambie aende tu akatii
Annie hakua tayari kumpoteza bm, alipambana kuhakikisha bm wake hachukuliwi na accountant...!
Bmx6 hampendi kiivyo annie ukilinganisha anavyompenda Carren..! Maana hata kabla ya kukutana na carren bm alikua akimfanyia annie vituko vya hapa na pale, ila Annie alivumilia
Bmx6 anamuonea huruma annie na kuhisi guilty juu yake, sababu ya wema aliomtendea hivyo anataka amtafutie sababu ndo amuache...!
Kwanini umchague Annie
1.ni mwenye huruma hivyo atakua mtulivu kwako
2.Anakupenda kwa dhati( japo sidhani kama bado anakupenda kama mwanzo)
3.atakua mama bora kwa watoto wako
4 .atakujali na kukuheshimu kama mume wake
5.atakusikiliza, hivyo mtakua na maelewano ndani ya nyumba
Kwanini usimchugue Annie
1.humpendi kwa dhati, hivyo nafsi yako haitokua yenye furaha ukiwa nae
2.ni rahisi kuliwa nje, wanawake wapole wapole wakipataga mwanaume atayewachangamsha na kuwafurahisha hujikuta wanaliwa bila kutarajia ( inawezekana hata huko mwanza kuna ngosha ashafanya kweli, tehetehe natania tu)
3.hana mawazo mbadala, sio mwanamke wa kuuimiza kichwa anayeweza kukupa ushauri ukakuingia kichwani. Kiufupi hana ushawishi
Mwisho: combination yako na Carren kwenye kazi is awesome bro...! Ndo maana hata mzee alipenda sana iendelee kubaki hivyo. Maana anamjua vyema mwanae na wewe ameshakujua vya kutosha, na "you must be very carefully" mkali, maana una deal na watu wanaokujua kuliko ww unavyowajua. Na bahati mbaya kuna matukio yanatokea kama "wake up call to you" ili uweze kuchukua hatua ila huoni sababu umekingwa na ukuta mnene wa mapenzi kwa carren, na yeye amegundua hilo anatumia kama udhaifu wa kukufanya atakavy.
Kama ungekua katika misingi ya mzee aliyotaka uende nayo toka mwanzo ungekua mbali sana...! Ila bado hujachelewa,
"This is Africa broe", na Africa wanaume ndo huwa tunaoa.
na kuoa ni pamoja ya kuwa kiongozi wa familia katika nyanja zote, mwanamke ni msaidizi tu.
Na ukweli ni kwamba kuwa mwanaume sio rahisi, "ila kuwa mume wa mtu, kuwa baba wa watoto ni mtihani unayopaswa kuufaulu siku zote za maisha yako" na huo mtihani watu wengi huwa wanafeli vibaya, hasa katika msingi wa kuchagua mwanamke sahihi
kuwa makini usije kudhani umeoa kumbe umeolewa, na ukajashtuka muda nao ukawa hauko upande wako....!
Kiongozi umeongea point apo,pia kuna mke maanake ni msaidizi yaani anatakiwa awe chini yako,kwa hiyo apo kashajua achague nani.Hii stori nilikua nayo bega kwa bega toka ilivyoonza......!
Nikupongeze bmx6 kwa kuamua kushare nasi hii banger, kiukweli tumeburudika na kujifunza vingi mno.
Sijawahi comment ila nilikua msomaji na mfuatiliaji mzuri tu,
sikua na huo mpango, ila kuna kitu kimenisukuma na kuhisi kama nami nahitaji kutoa mtazamo na fikra zangu...!
Tuanze kuwachambua nyie watu watatu tuone yupi anamfaa yupi.
kulingana na ulivyojieleza na kuwaelezea kwenye hii stori...! Yaani bmx6,carren na annie
1. BMX6
anaonekana ni kijana mstaarabu sana, mwenye heshima, mwenye utu na asiye na makuu..!mchapa kazi(akipewa kazi anahakikisha anaifanya vyema na kwa uadilifu) .Ni aina ya mtu ambae hapendi mambo meengi sana(nice guy). Ni kijana ambaye akiwa kwenye mahusiano ni loyal na mtulivu.
Madhaifu yake> hana misimamo thabiti(anayumbishwa yumbishwa), akipenda hutumia hisia zaidi kufanya maamuzi kuliko akili
2. CARREN
Ni mwanamke mwenye misimamo thabiti isiyoyumbishwa kirahisi, anajua nini anataka katika maisha, mwenye huruma kiasi, mchapa kazi na anajiamini sana.
Madhaifu yake> ni mwanamke mbinafsi anayejiangalia yeye bila kujali wengine, ni manipulater Mzuri sana, sio muaminifu wala muadilifu katika kazi(kufungua miradi bila kumshirikisha mzee, ikiwa mzee anamuamini sana)
3.ANNIE
Ni mwanamke mpole asiye na makuu, anayejali na kuguswa na matatizo ya watu wake wa karibu, ana tabia za kikike(feminine), she is a family oriented woman
Madhaifu yake> anaonekana ni mwanamke wa yes kwa vitu vingi( sio mdadisi), amepoa yaani hana vibe anatakiwa achangamke kidogo, sio mwepesi wa kuelezea hisia zake kwa urahisi ( jinsi anavyojisikia)
Kwa kuangalia uchambuz wa kila mmoja hapo juu tuone nani anamfaa bmx6 kulingana na tabia zao...!
1.BMX6 na CARREN
Hawa watu wawili tukijaribu kupima uzani wa upendo miongoni mwao...
utagundua ya kuwa bmx6 anampenda sana carren.. kwanini, kwanza mwenyewe kakiri hapa ya kuwa tokea alivyomuona alimpenda(love at first sight).
Pili bmx6 alivyoanza kuzoeana na carren mara nyingi alikua nervous wakiwa kwenye mazungumzo, kiasi kwamba mpaka carren akagundua bmx6 hana confidence kama alivyokua akiamini..! Ki kawaida ukimpenda sana mtu na ukiwa hujamzoea, alafu mkawa kwenye maongezi unajikuta tu automatic unakua nervous
Tatu bmx6 amekua akisikiliza na kufuata sana ushauri wa carren kuliko wa mtu yeyote ndani ya muda mfupi waliofahamiana....!
Carren anamuamini sana bmx6 ila hana upendo nae kama wengi na bmx6 mwenyewe wanavyodhania... kwanini
Kwanza mwanamke aliyependa yuko radhi kufanya chochote kwa ajili ya ampendae..!
Lakini carren amekua anafanya kinyume, wakati bmx6 anataka kuacha kazi kwa mara ya kwanza alimuomba ushauri Carren ambaye alikua mtu sahihi sana wa kuweza kumpa ushauri utakaomsaidia na kumvusha bm kimaisha...! Carren alijua kampuni ni ya baba yake ila hakutaka kumsanua bm, angekuwa kweli amempenda angemuibia siri na kumweleza ukweli wote...! Badala yake alimpa ushauri uliopelekea bm kuacha kazi na ajabu ile nafasi akapewa Carren. Na mzee tokea hapo akaanza kumchukulia bm poa na kupelekea mzee kumwondoa kwenye kundi la watu wake muhimu( hapa mkuu bm jaribu kukumbuka hili tukio then jiulize Carren anakupenda kweli??? Maana ushauri wake hapa kiukweli ulikuathiri pakubwa)
Pili mwanamke aliyependa hayuko tayari kumpoteza ampendae kwa gharama yeyote ile......!
Carren kwake ni tofauti kabisa yuko tayari kumpoteza bm, maana alikustopisha kazi kwa week kukuonyesha tu ya kwamba yuko tayari kukupoteza na hilo kwake sio ishu. Utasema mbona hatukua kwenye mahusiano, ukweli ni kwamba mwanamke akishapenda hata kama bado hamjaingia kwenye mahusiano atakua anafanya vitu kama vile mko kwenye mahusiano, maana yangu ni kwamba atakua anatumia hisia zaidi kwa ampendae kuliko akili, ila tumeona kwako Carren akitumia akili zaidi kuliko hisia
Tatu mwanamke aliyependa yuko tayari kumsaidia ampendae kwa yaliyo ndani ya uwezo wake...! Alikupa gari yake kwa bahati mbaya ukaenda ukagonga( hukupenda ila ilitokea bahati mbaya) lakini alikubadilikia mbaya,ukaingia gharama kubwa wala hakujali mwana ndo kwanza unajitafuta akuchangia hata nusu gharama.( jiulize anakupenda kweli au anataka akutumie kufanikisha malengo yake)
Nne mwanamke akipenda anakua na kahofu fulani hivi anapokua mbele ya ampendae.... Carren kwako anakua very comfortable, mpaka anapata guts za kukusema unakojoa bila kuflash, na ukizingatia uko kwako, damn bro, what the fu*k*.....! Mlilala kitanda kimoja mpaka asubuhi bila kufanya chochote, ni ngumu sana kwa mwanamke kulala kitanda kimoja na mwaume anayempenda kwa mara ya kwanza mpaka asubuhi bila kufanya chochote
Kwanini umchague carren
1. Ni mwanamke mpambanaji na mwenye maono ya mbali, mtafika mbali kichumi kama familia.
2. Ataweza kuitunza familia hata kama haupo in any case...! (Watoto watakua safe financially)
3.sio rahisi kuliwa nje, unless apende mwenyewe ( wanawake aina ya Carren hawatoi nyuchi hovyo)...! Sio maharage ya mbeya
4.Anakuamini sana miongoni mwa watu wake wa karibu
5.utapata watoto smart and sharp
6.unampenda kwa dhati, hence nafsi yako itakua na faraja ukiwa nae. Na hauko tayari kumpoteza kwa sasa
Kwanini usimchague Carren
1.hana upendo wa dhati na wewe, ila tu anakuamini sana baada ya kukufanyia majaribio mbali mbali na kujiridhisha ya kuwa wewe ni mtu anayekuhitaji kufanikisha mambo yake...! Kumbuka mahusiano msingi wake unatakiwa kuwa upendo wa dhati baina ya pande mbili
2.ni mbinafsi, rejea jinsi anavyomfanyia dada ake kwa kumchongea kwa mzee ili yeye aonekane bora zaidi, ilihali yeye mwenyewe ana mapungufu yake mengi tu
3.hatoweza kuyavumilia mapungufu na makosa yako ya kibinadamu, rejea kisa chake na Michelle walikua marafiki sana ila alivyomkopesha pesa na Michelle kufanya aliyoyafanya, mwenyewe unajua kilichotokea...! Kama dada yake aliweza kumchukulia vile alivyomchukulia kisa pesa unadhani kwako itakuaje? Au labda unaweza kuwa special sana ikawa tofauti. Japokua amesema atakuvumilia ila siku zote (actions speak loud than words)
4.ni mtu ambaye yuko attached mno na pesa pamoja na vitu( yeye ndo anapenda aendeshe jeep la mzee ikiwa mzee hayupo na si Michelle wala mama ake), alikuita mahali akaagiza juice, na we ulikua na njaa ukaagiza msosi, kilichotokea ilikubidi ulipie msosi wako bila kupenda, sababu ulikutana na Carren anayeijali pesa mno kuliko undugu,urafiki na mahusiano,
5.hana sifa za kuwa mama bora wa watoto wako...! Wanawake aina ya Carren huwa si wazuri katika malezi ya watoto. Wao huwa wako obsessed na kazi zaidi
1.BMX6 NA ANNIE
Annie anampenda sana bmx6, sababu aliweza kumsaidia kipindi kwao maisha safi kwa hali na mali, hakujali bmx6 alikua na hali gani.
Annie anamheshimu bm, maana amekua akimsikiliza kwa kila anachomwambia. Alipata kazi mwanza akataka aende bm akamzuia akatii, baadae bm akabadili mawazo akamwambie aende tu akatii
Annie hakua tayari kumpoteza bm, alipambana kuhakikisha bm wake hachukuliwi na accountant...!
Bmx6 hampendi kiivyo annie ukilinganisha anavyompenda Carren..! Maana hata kabla ya kukutana na carren bm alikua akimfanyia annie vituko vya hapa na pale, ila Annie alivumilia
Bmx6 anamuonea huruma annie na kuhisi guilty juu yake, sababu ya wema aliomtendea hivyo anataka amtafutie sababu ndo amuache...!
Kwanini umchague Annie
1.ni mwenye huruma hivyo atakua mtulivu kwako
2.Anakupenda kwa dhati( japo sidhani kama bado anakupenda kama mwanzo)
3.atakua mama bora kwa watoto wako
4 .atakujali na kukuheshimu kama mume wake
5.atakusikiliza, hivyo mtakua na maelewano ndani ya nyumba
Kwanini usimchugue Annie
1.humpendi kwa dhati, hivyo nafsi yako haitokua yenye furaha ukiwa nae
2.ni rahisi kuliwa nje, wanawake wapole wapole wakipataga mwanaume atayewachangamsha na kuwafurahisha hujikuta wanaliwa bila kutarajia ( inawezekana hata huko mwanza kuna ngosha ashafanya kweli, tehetehe natania tu)
3.hana mawazo mbadala, sio mwanamke wa kuuimiza kichwa anayeweza kukupa ushauri ukakuingia kichwani. Kiufupi hana ushawishi
Mwisho: combination yako na Carren kwenye kazi is awesome bro...! Ndo maana hata mzee alipenda sana iendelee kubaki hivyo. Maana anamjua vyema mwanae na wewe ameshakujua vya kutosha, na "you must be very carefully" mkali, maana una deal na watu wanaokujua kuliko ww unavyowajua. Na bahati mbaya kuna matukio yanatokea kama "wake up call to you" ili uweze kuchukua hatua ila huoni sababu umekingwa na ukuta mnene wa mapenzi kwa carren, na yeye amegundua hilo anatumia kama udhaifu wa kukufanya atakavy.
Kama ungekua katika misingi ya mzee aliyotaka uende nayo toka mwanzo ungekua mbali sana...! Ila bado hujachelewa,
"This is Africa broe", na Africa wanaume ndo huwa tunaoa.
na kuoa ni pamoja ya kuwa kiongozi wa familia katika nyanja zote, mwanamke ni msaidizi tu.
Na ukweli ni kwamba kuwa mwanaume sio rahisi, "ila kuwa mume wa mtu, kuwa baba wa watoto ni mtihani unayopaswa kuufaulu siku zote za maisha yako" na huo mtihani watu wengi huwa wanafeli vibaya, hasa katika msingi wa kuchagua mwanamke sahihi
kuwa makini usije kudhani umeoa kumbe umeolewa, na ukajashtuka muda nao ukawa hauko upande wako....!
Bro you are very brave n bright... but in African life, the end justifies the means... Acha huyu dogo atafute hela.. apambane to maximum hatujafikia levels za kufanya mapenz kua priority, Ila maisha cz haya mapenz ya kihind kwa sis wasaka tonge ni useless 2.. as long as atatumia mda mref kutoboa na huku wapo mategemez kibao. Huyu Bm ni smart but still has long way to go as a man but short way ni kukubali kuwa mjinga 2 atoboe cz kuna certanity kwenye hurstling pia..Hii stori nilikua nayo bega kwa bega toka ilivyoonza......!
Nikupongeze bmx6 kwa kuamua kushare nasi hii banger, kiukweli tumeburudika na kujifunza vingi mno.
Sijawahi comment ila nilikua msomaji na mfuatiliaji mzuri tu,
sikua na huo mpango, ila kuna kitu kimenisukuma na kuhisi kama nami nahitaji kutoa mtazamo na fikra zangu...!
Tuanze kuwachambua nyie watu watatu tuone yupi anamfaa yupi.
kulingana na ulivyojieleza na kuwaelezea kwenye hii stori...! Yaani bmx6,carren na annie
1. BMX6
anaonekana ni kijana mstaarabu sana, mwenye heshima, mwenye utu na asiye na makuu..!mchapa kazi(akipewa kazi anahakikisha anaifanya vyema na kwa uadilifu) .Ni aina ya mtu ambae hapendi mambo meengi sana(nice guy). Ni kijana ambaye akiwa kwenye mahusiano ni loyal na mtulivu.
Madhaifu yake> hana misimamo thabiti(anayumbishwa yumbishwa), akipenda hutumia hisia zaidi kufanya maamuzi kuliko akili
2. CARREN
Ni mwanamke mwenye misimamo thabiti isiyoyumbishwa kirahisi, anajua nini anataka katika maisha, mwenye huruma kiasi, mchapa kazi na anajiamini sana.
Madhaifu yake> ni mwanamke mbinafsi anayejiangalia yeye bila kujali wengine, ni manipulater Mzuri sana, sio muaminifu wala muadilifu katika kazi(kufungua miradi bila kumshirikisha mzee, ikiwa mzee anamuamini sana)
3.ANNIE
Ni mwanamke mpole asiye na makuu, anayejali na kuguswa na matatizo ya watu wake wa karibu, ana tabia za kikike(feminine), she is a family oriented woman
Madhaifu yake> anaonekana ni mwanamke wa yes kwa vitu vingi( sio mdadisi), amepoa yaani hana vibe anatakiwa achangamke kidogo, sio mwepesi wa kuelezea hisia zake kwa urahisi ( jinsi anavyojisikia)
Kwa kuangalia uchambuz wa kila mmoja hapo juu tuone nani anamfaa bmx6 kulingana na tabia zao...!
1.BMX6 na CARREN
Hawa watu wawili tukijaribu kupima uzani wa upendo miongoni mwao...
utagundua ya kuwa bmx6 anampenda sana carren.. kwanini, kwanza mwenyewe kakiri hapa ya kuwa tokea alivyomuona alimpenda(love at first sight).
Pili bmx6 alivyoanza kuzoeana na carren mara nyingi alikua nervous wakiwa kwenye mazungumzo, kiasi kwamba mpaka carren akagundua bmx6 hana confidence kama alivyokua akiamini..! Ki kawaida ukimpenda sana mtu na ukiwa hujamzoea, alafu mkawa kwenye maongezi unajikuta tu automatic unakua nervous
Tatu bmx6 amekua akisikiliza na kufuata sana ushauri wa carren kuliko wa mtu yeyote ndani ya muda mfupi waliofahamiana....!
Carren anamuamini sana bmx6 ila hana upendo nae kama wengi na bmx6 mwenyewe wanavyodhania... kwanini
Kwanza mwanamke aliyependa yuko radhi kufanya chochote kwa ajili ya ampendae..!
Lakini carren amekua anafanya kinyume, wakati bmx6 anataka kuacha kazi kwa mara ya kwanza alimuomba ushauri Carren ambaye alikua mtu sahihi sana wa kuweza kumpa ushauri utakaomsaidia na kumvusha bm kimaisha...! Carren alijua kampuni ni ya baba yake ila hakutaka kumsanua bm, angekuwa kweli amempenda angemuibia siri na kumweleza ukweli wote...! Badala yake alimpa ushauri uliopelekea bm kuacha kazi na ajabu ile nafasi akapewa Carren. Na mzee tokea hapo akaanza kumchukulia bm poa na kupelekea mzee kumwondoa kwenye kundi la watu wake muhimu( hapa mkuu bm jaribu kukumbuka hili tukio then jiulize Carren anakupenda kweli??? Maana ushauri wake hapa kiukweli ulikuathiri pakubwa)
Pili mwanamke aliyependa hayuko tayari kumpoteza ampendae kwa gharama yeyote ile......!
Carren kwake ni tofauti kabisa yuko tayari kumpoteza bm, maana alikustopisha kazi kwa week kukuonyesha tu ya kwamba yuko tayari kukupoteza na hilo kwake sio ishu. Utasema mbona hatukua kwenye mahusiano, ukweli ni kwamba mwanamke akishapenda hata kama bado hamjaingia kwenye mahusiano atakua anafanya vitu kama vile mko kwenye mahusiano, maana yangu ni kwamba atakua anatumia hisia zaidi kwa ampendae kuliko akili, ila tumeona kwako Carren akitumia akili zaidi kuliko hisia
Tatu mwanamke aliyependa yuko tayari kumsaidia ampendae kwa yaliyo ndani ya uwezo wake...! Alikupa gari yake kwa bahati mbaya ukaenda ukagonga( hukupenda ila ilitokea bahati mbaya) lakini alikubadilikia mbaya,ukaingia gharama kubwa wala hakujali mwana ndo kwanza unajitafuta akuchangia hata nusu gharama.( jiulize anakupenda kweli au anataka akutumie kufanikisha malengo yake)
Nne mwanamke akipenda anakua na kahofu fulani hivi anapokua mbele ya ampendae.... Carren kwako anakua very comfortable, mpaka anapata guts za kukusema unakojoa bila kuflash, na ukizingatia uko kwako, damn bro, what the fu*k*.....! Mlilala kitanda kimoja mpaka asubuhi bila kufanya chochote, ni ngumu sana kwa mwanamke kulala kitanda kimoja na mwaume anayempenda kwa mara ya kwanza mpaka asubuhi bila kufanya chochote
Kwanini umchague carren
1. Ni mwanamke mpambanaji na mwenye maono ya mbali, mtafika mbali kichumi kama familia.
2. Ataweza kuitunza familia hata kama haupo in any case...! (Watoto watakua safe financially)
3.sio rahisi kuliwa nje, unless apende mwenyewe ( wanawake aina ya Carren hawatoi nyuchi hovyo)...! Sio maharage ya mbeya
4.Anakuamini sana miongoni mwa watu wake wa karibu
5.utapata watoto smart and sharp
6.unampenda kwa dhati, hence nafsi yako itakua na faraja ukiwa nae. Na hauko tayari kumpoteza kwa sasa
Kwanini usimchague Carren
1.hana upendo wa dhati na wewe, ila tu anakuamini sana baada ya kukufanyia majaribio mbali mbali na kujiridhisha ya kuwa wewe ni mtu anayekuhitaji kufanikisha mambo yake...! Kumbuka mahusiano msingi wake unatakiwa kuwa upendo wa dhati baina ya pande mbili
2.ni mbinafsi, rejea jinsi anavyomfanyia dada ake kwa kumchongea kwa mzee ili yeye aonekane bora zaidi, ilihali yeye mwenyewe ana mapungufu yake mengi tu
3.hatoweza kuyavumilia mapungufu na makosa yako ya kibinadamu, rejea kisa chake na Michelle walikua marafiki sana ila alivyomkopesha pesa na Michelle kufanya aliyoyafanya, mwenyewe unajua kilichotokea...! Kama dada yake aliweza kumchukulia vile alivyomchukulia kisa pesa unadhani kwako itakuaje? Au labda unaweza kuwa special sana ikawa tofauti. Japokua amesema atakuvumilia ila siku zote (actions speak loud than words)
4.ni mtu ambaye yuko attached mno na pesa pamoja na vitu( yeye ndo anapenda aendeshe jeep la mzee ikiwa mzee hayupo na si Michelle wala mama ake), alikuita mahali akaagiza juice, na we ulikua na njaa ukaagiza msosi, kilichotokea ilikubidi ulipie msosi wako bila kupenda, sababu ulikutana na Carren anayeijali pesa mno kuliko undugu,urafiki na mahusiano,
5.hana sifa za kuwa mama bora wa watoto wako...! Wanawake aina ya Carren huwa si wazuri katika malezi ya watoto. Wao huwa wako obsessed na kazi zaidi
1.BMX6 NA ANNIE
Annie anampenda sana bmx6, sababu aliweza kumsaidia kipindi kwao maisha safi kwa hali na mali, hakujali bmx6 alikua na hali gani.
Annie anamheshimu bm, maana amekua akimsikiliza kwa kila anachomwambia. Alipata kazi mwanza akataka aende bm akamzuia akatii, baadae bm akabadili mawazo akamwambie aende tu akatii
Annie hakua tayari kumpoteza bm, alipambana kuhakikisha bm wake hachukuliwi na accountant...!
Bmx6 hampendi kiivyo annie ukilinganisha anavyompenda Carren..! Maana hata kabla ya kukutana na carren bm alikua akimfanyia annie vituko vya hapa na pale, ila Annie alivumilia
Bmx6 anamuonea huruma annie na kuhisi guilty juu yake, sababu ya wema aliomtendea hivyo anataka amtafutie sababu ndo amuache...!
Kwanini umchague Annie
1.ni mwenye huruma hivyo atakua mtulivu kwako
2.Anakupenda kwa dhati( japo sidhani kama bado anakupenda kama mwanzo)
3.atakua mama bora kwa watoto wako
4 .atakujali na kukuheshimu kama mume wake
5.atakusikiliza, hivyo mtakua na maelewano ndani ya nyumba
Kwanini usimchugue Annie
1.humpendi kwa dhati, hivyo nafsi yako haitokua yenye furaha ukiwa nae
2.ni rahisi kuliwa nje, wanawake wapole wapole wakipataga mwanaume atayewachangamsha na kuwafurahisha hujikuta wanaliwa bila kutarajia ( inawezekana hata huko mwanza kuna ngosha ashafanya kweli, tehetehe natania tu)
3.hana mawazo mbadala, sio mwanamke wa kuuimiza kichwa anayeweza kukupa ushauri ukakuingia kichwani. Kiufupi hana ushawishi
Mwisho: combination yako na Carren kwenye kazi is awesome bro...! Ndo maana hata mzee alipenda sana iendelee kubaki hivyo. Maana anamjua vyema mwanae na wewe ameshakujua vya kutosha, na "you must be very carefully" mkali, maana una deal na watu wanaokujua kuliko ww unavyowajua. Na bahati mbaya kuna matukio yanatokea kama "wake up call to you" ili uweze kuchukua hatua ila huoni sababu umekingwa na ukuta mnene wa mapenzi kwa carren, na yeye amegundua hilo anatumia kama udhaifu wa kukufanya atakavy.
Kama ungekua katika misingi ya mzee aliyotaka uende nayo toka mwanzo ungekua mbali sana...! Ila bado hujachelewa,
"This is Africa broe", na Africa wanaume ndo huwa tunaoa.
na kuoa ni pamoja ya kuwa kiongozi wa familia katika nyanja zote, mwanamke ni msaidizi tu.
Na ukweli ni kwamba kuwa mwanaume sio rahisi, "ila kuwa mume wa mtu, kuwa baba wa watoto ni mtihani unayopaswa kuufaulu siku zote za maisha yako" na huo mtihani watu wengi huwa wanafeli vibaya, hasa katika msingi wa kuchagua mwanamke sahihi
kuwa makini usije kudhani umeoa kumbe umeolewa, na ukajashtuka muda nao ukawa hauko upande wako....!
Asante sana bro, nimependa kitu kimoja kutoka kwako. Umempa blaza Maua yake halafu ukatoa mtazamo wako...Salute broBro you are very brave n bright... but in African life, the end justifies the means... Acha huyu dogo atafute hela.. apambane to maximum hatujafikia levels za kufanya mapenz kua priority, Ila maisha cz haya mapenz ya kihind kwa sis wasaka tonge ni useless 2.. as long as atatumia mda mref kutoboa na huku wapo mategemez kibao. Huyu Bm ni smart but still has long way to go as a man but short way ni kukubali kuwa mjinga 2 atoboe cz kuna certanity kwenye hurstling pia..
Katika I'Ds nilizokuwa nazisubiri, hii ni mojawapoNilipotea kwenye uzi wangu pendwa for some time nikarudi nikakuta comments nyingi sana nikawa nazisoma moja baada ya nyingine leo ndo nimemaliza
Caryn has been my favourite since uzi unaanza nampa maua yake she is a full package
All the best bro
Nimetamani kukupa likes 100 kwa uchambuzi huu....yaani nimesoma mpaka nimejisikia hali fulani haielezeki. Kongole kwa uchambuzi mkuu hope BM atapata kitu hapaHii stori nilikua nayo bega kwa bega toka ilivyoonza......!
Nikupongeze bmx6 kwa kuamua kushare nasi hii banger, kiukweli tumeburudika na kujifunza vingi mno.
Sijawahi comment ila nilikua msomaji na mfuatiliaji mzuri tu,
sikua na huo mpango, ila kuna kitu kimenisukuma na kuhisi kama nami nahitaji kutoa mtazamo na fikra zangu...!
Tuanze kuwachambua nyie watu watatu tuone yupi anamfaa yupi.
kulingana na ulivyojieleza na kuwaelezea kwenye hii stori...! Yaani bmx6,carren na annie
1. BMX6
anaonekana ni kijana mstaarabu sana, mwenye heshima, mwenye utu na asiye na makuu..!mchapa kazi(akipewa kazi anahakikisha anaifanya vyema na kwa uadilifu) .Ni aina ya mtu ambae hapendi mambo meengi sana(nice guy). Ni kijana ambaye akiwa kwenye mahusiano ni loyal na mtulivu.
Madhaifu yake> hana misimamo thabiti(anayumbishwa yumbishwa), akipenda hutumia hisia zaidi kufanya maamuzi kuliko akili
2. CARREN
Ni mwanamke mwenye misimamo thabiti isiyoyumbishwa kirahisi, anajua nini anataka katika maisha, mwenye huruma kiasi, mchapa kazi na anajiamini sana.
Madhaifu yake> ni mwanamke mbinafsi anayejiangalia yeye bila kujali wengine, ni manipulater Mzuri sana, sio muaminifu wala muadilifu katika kazi(kufungua miradi bila kumshirikisha mzee, ikiwa mzee anamuamini sana)
3.ANNIE
Ni mwanamke mpole asiye na makuu, anayejali na kuguswa na matatizo ya watu wake wa karibu, ana tabia za kikike(feminine), she is a family oriented woman
Madhaifu yake> anaonekana ni mwanamke wa yes kwa vitu vingi( sio mdadisi), amepoa yaani hana vibe anatakiwa achangamke kidogo, sio mwepesi wa kuelezea hisia zake kwa urahisi ( jinsi anavyojisikia)
Kwa kuangalia uchambuz wa kila mmoja hapo juu tuone nani anamfaa bmx6 kulingana na tabia zao...!
1.BMX6 na CARREN
Hawa watu wawili tukijaribu kupima uzani wa upendo miongoni mwao...
utagundua ya kuwa bmx6 anampenda sana carren.. kwanini, kwanza mwenyewe kakiri hapa ya kuwa tokea alivyomuona alimpenda(love at first sight).
Pili bmx6 alivyoanza kuzoeana na carren mara nyingi alikua nervous wakiwa kwenye mazungumzo, kiasi kwamba mpaka carren akagundua bmx6 hana confidence kama alivyokua akiamini..! Ki kawaida ukimpenda sana mtu na ukiwa hujamzoea, alafu mkawa kwenye maongezi unajikuta tu automatic unakua nervous
Tatu bmx6 amekua akisikiliza na kufuata sana ushauri wa carren kuliko wa mtu yeyote ndani ya muda mfupi waliofahamiana....!
Carren anamuamini sana bmx6 ila hana upendo nae kama wengi na bmx6 mwenyewe wanavyodhania... kwanini
Kwanza mwanamke aliyependa yuko radhi kufanya chochote kwa ajili ya ampendae..!
Lakini carren amekua anafanya kinyume, wakati bmx6 anataka kuacha kazi kwa mara ya kwanza alimuomba ushauri Carren ambaye alikua mtu sahihi sana wa kuweza kumpa ushauri utakaomsaidia na kumvusha bm kimaisha...! Carren alijua kampuni ni ya baba yake ila hakutaka kumsanua bm, angekuwa kweli amempenda angemuibia siri na kumweleza ukweli wote...! Badala yake alimpa ushauri uliopelekea bm kuacha kazi na ajabu ile nafasi akapewa Carren. Na mzee tokea hapo akaanza kumchukulia bm poa na kupelekea mzee kumwondoa kwenye kundi la watu wake muhimu( hapa mkuu bm jaribu kukumbuka hili tukio then jiulize Carren anakupenda kweli??? Maana ushauri wake hapa kiukweli ulikuathiri pakubwa)
Pili mwanamke aliyependa hayuko tayari kumpoteza ampendae kwa gharama yeyote ile......!
Carren kwake ni tofauti kabisa yuko tayari kumpoteza bm, maana alikustopisha kazi kwa week kukuonyesha tu ya kwamba yuko tayari kukupoteza na hilo kwake sio ishu. Utasema mbona hatukua kwenye mahusiano, ukweli ni kwamba mwanamke akishapenda hata kama bado hamjaingia kwenye mahusiano atakua anafanya vitu kama vile mko kwenye mahusiano, maana yangu ni kwamba atakua anatumia hisia zaidi kwa ampendae kuliko akili, ila tumeona kwako Carren akitumia akili zaidi kuliko hisia
Tatu mwanamke aliyependa yuko tayari kumsaidia ampendae kwa yaliyo ndani ya uwezo wake...! Alikupa gari yake kwa bahati mbaya ukaenda ukagonga( hukupenda ila ilitokea bahati mbaya) lakini alikubadilikia mbaya,ukaingia gharama kubwa wala hakujali mwana ndo kwanza unajitafuta akuchangia hata nusu gharama.( jiulize anakupenda kweli au anataka akutumie kufanikisha malengo yake)
Nne mwanamke akipenda anakua na kahofu fulani hivi anapokua mbele ya ampendae.... Carren kwako anakua very comfortable, mpaka anapata guts za kukusema unakojoa bila kuflash, na ukizingatia uko kwako, damn bro, what the fu*k*.....! Mlilala kitanda kimoja mpaka asubuhi bila kufanya chochote, ni ngumu sana kwa mwanamke kulala kitanda kimoja na mwaume anayempenda kwa mara ya kwanza mpaka asubuhi bila kufanya chochote
Kwanini umchague carren
1. Ni mwanamke mpambanaji na mwenye maono ya mbali, mtafika mbali kichumi kama familia.
2. Ataweza kuitunza familia hata kama haupo in any case...! (Watoto watakua safe financially)
3.sio rahisi kuliwa nje, unless apende mwenyewe ( wanawake aina ya Carren hawatoi nyuchi hovyo)...! Sio maharage ya mbeya
4.Anakuamini sana miongoni mwa watu wake wa karibu
5.utapata watoto smart and sharp
6.unampenda kwa dhati, hence nafsi yako itakua na faraja ukiwa nae. Na hauko tayari kumpoteza kwa sasa
Kwanini usimchague Carren
1.hana upendo wa dhati na wewe, ila tu anakuamini sana baada ya kukufanyia majaribio mbali mbali na kujiridhisha ya kuwa wewe ni mtu anayekuhitaji kufanikisha mambo yake...! Kumbuka mahusiano msingi wake unatakiwa kuwa upendo wa dhati baina ya pande mbili
2.ni mbinafsi, rejea jinsi anavyomfanyia dada ake kwa kumchongea kwa mzee ili yeye aonekane bora zaidi, ilihali yeye mwenyewe ana mapungufu yake mengi tu
3.hatoweza kuyavumilia mapungufu na makosa yako ya kibinadamu, rejea kisa chake na Michelle walikua marafiki sana ila alivyomkopesha pesa na Michelle kufanya aliyoyafanya, mwenyewe unajua kilichotokea...! Kama dada yake aliweza kumchukulia vile alivyomchukulia kisa pesa unadhani kwako itakuaje? Au labda unaweza kuwa special sana ikawa tofauti. Japokua amesema atakuvumilia ila siku zote (actions speak loud than words)
4.ni mtu ambaye yuko attached mno na pesa pamoja na vitu( yeye ndo anapenda aendeshe jeep la mzee ikiwa mzee hayupo na si Michelle wala mama ake), alikuita mahali akaagiza juice, na we ulikua na njaa ukaagiza msosi, kilichotokea ilikubidi ulipie msosi wako bila kupenda, sababu ulikutana na Carren anayeijali pesa mno kuliko undugu,urafiki na mahusiano,
5.hana sifa za kuwa mama bora wa watoto wako...! Wanawake aina ya Carren huwa si wazuri katika malezi ya watoto. Wao huwa wako obsessed na kazi zaidi
1.BMX6 NA ANNIE
Annie anampenda sana bmx6, sababu aliweza kumsaidia kipindi kwao maisha safi kwa hali na mali, hakujali bmx6 alikua na hali gani.
Annie anamheshimu bm, maana amekua akimsikiliza kwa kila anachomwambia. Alipata kazi mwanza akataka aende bm akamzuia akatii, baadae bm akabadili mawazo akamwambie aende tu akatii
Annie hakua tayari kumpoteza bm, alipambana kuhakikisha bm wake hachukuliwi na accountant...!
Bmx6 hampendi kiivyo annie ukilinganisha anavyompenda Carren..! Maana hata kabla ya kukutana na carren bm alikua akimfanyia annie vituko vya hapa na pale, ila Annie alivumilia
Bmx6 anamuonea huruma annie na kuhisi guilty juu yake, sababu ya wema aliomtendea hivyo anataka amtafutie sababu ndo amuache...!
Kwanini umchague Annie
1.ni mwenye huruma hivyo atakua mtulivu kwako
2.Anakupenda kwa dhati( japo sidhani kama bado anakupenda kama mwanzo)
3.atakua mama bora kwa watoto wako
4 .atakujali na kukuheshimu kama mume wake
5.atakusikiliza, hivyo mtakua na maelewano ndani ya nyumba
Kwanini usimchugue Annie
1.humpendi kwa dhati, hivyo nafsi yako haitokua yenye furaha ukiwa nae
2.ni rahisi kuliwa nje, wanawake wapole wapole wakipataga mwanaume atayewachangamsha na kuwafurahisha hujikuta wanaliwa bila kutarajia ( inawezekana hata huko mwanza kuna ngosha ashafanya kweli, tehetehe natania tu)
3.hana mawazo mbadala, sio mwanamke wa kuuimiza kichwa anayeweza kukupa ushauri ukakuingia kichwani. Kiufupi hana ushawishi
Mwisho: combination yako na Carren kwenye kazi is awesome bro...! Ndo maana hata mzee alipenda sana iendelee kubaki hivyo. Maana anamjua vyema mwanae na wewe ameshakujua vya kutosha, na "you must be very carefully" mkali, maana una deal na watu wanaokujua kuliko ww unavyowajua. Na bahati mbaya kuna matukio yanatokea kama "wake up call to you" ili uweze kuchukua hatua ila huoni sababu umekingwa na ukuta mnene wa mapenzi kwa carren, na yeye amegundua hilo anatumia kama udhaifu wa kukufanya atakavy.
Kama ungekua katika misingi ya mzee aliyotaka uende nayo toka mwanzo ungekua mbali sana...! Ila bado hujachelewa,
"This is Africa broe", na Africa wanaume ndo huwa tunaoa.
na kuoa ni pamoja ya kuwa kiongozi wa familia katika nyanja zote, mwanamke ni msaidizi tu.
Na ukweli ni kwamba kuwa mwanaume sio rahisi, "ila kuwa mume wa mtu, kuwa baba wa watoto ni mtihani unayopaswa kuufaulu siku zote za maisha yako" na huo mtihani watu wengi huwa wanafeli vibaya, hasa katika msingi wa kuchagua mwanamke sahihi
kuwa makini usije kudhani umeoa kumbe umeolewa, na ukajashtuka muda nao ukawa hauko upande wako....!
Haha tuko pamoja baba CarynKatika I'Ds nilizokuwa nazisubiri, hii ni mojawapo
Asante sana kwa kushiriki na hii kura ndio tunafunga nayo siku ya leo
Vote counted to Caryn
Woiiii, Maua yako MkuuHii stori nilikua nayo bega kwa bega toka ilivyoonza......!
Nikupongeze bmx6 kwa kuamua kushare nasi hii banger, kiukweli tumeburudika na kujifunza vingi mno.
Sijawahi comment ila nilikua msomaji na mfuatiliaji mzuri tu,
sikua na huo mpango, ila kuna kitu kimenisukuma na kuhisi kama nami nahitaji kutoa mtazamo na fikra zangu...!
Tuanze kuwachambua nyie watu watatu tuone yupi anamfaa yupi.
kulingana na ulivyojieleza na kuwaelezea kwenye hii stori...! Yaani bmx6,carren na annie
1. BMX6
anaonekana ni kijana mstaarabu sana, mwenye heshima, mwenye utu na asiye na makuu..!mchapa kazi(akipewa kazi anahakikisha anaifanya vyema na kwa uadilifu) .Ni aina ya mtu ambae hapendi mambo meengi sana(nice guy). Ni kijana ambaye akiwa kwenye mahusiano ni loyal na mtulivu.
Madhaifu yake> hana misimamo thabiti(anayumbishwa yumbishwa), akipenda hutumia hisia zaidi kufanya maamuzi kuliko akili
2. CARREN
Ni mwanamke mwenye misimamo thabiti isiyoyumbishwa kirahisi, anajua nini anataka katika maisha, mwenye huruma kiasi, mchapa kazi na anajiamini sana.
Madhaifu yake> ni mwanamke mbinafsi anayejiangalia yeye bila kujali wengine, ni manipulater Mzuri sana, sio muaminifu wala muadilifu katika kazi(kufungua miradi bila kumshirikisha mzee, ikiwa mzee anamuamini sana)
3.ANNIE
Ni mwanamke mpole asiye na makuu, anayejali na kuguswa na matatizo ya watu wake wa karibu, ana tabia za kikike(feminine), she is a family oriented woman
Madhaifu yake> anaonekana ni mwanamke wa yes kwa vitu vingi( sio mdadisi), amepoa yaani hana vibe anatakiwa achangamke kidogo, sio mwepesi wa kuelezea hisia zake kwa urahisi ( jinsi anavyojisikia)
Kwa kuangalia uchambuz wa kila mmoja hapo juu tuone nani anamfaa bmx6 kulingana na tabia zao...!
1.BMX6 na CARREN
Hawa watu wawili tukijaribu kupima uzani wa upendo miongoni mwao...
utagundua ya kuwa bmx6 anampenda sana carren.. kwanini, kwanza mwenyewe kakiri hapa ya kuwa tokea alivyomuona alimpenda(love at first sight).
Pili bmx6 alivyoanza kuzoeana na carren mara nyingi alikua nervous wakiwa kwenye mazungumzo, kiasi kwamba mpaka carren akagundua bmx6 hana confidence kama alivyokua akiamini..! Ki kawaida ukimpenda sana mtu na ukiwa hujamzoea, alafu mkawa kwenye maongezi unajikuta tu automatic unakua nervous
Tatu bmx6 amekua akisikiliza na kufuata sana ushauri wa carren kuliko wa mtu yeyote ndani ya muda mfupi waliofahamiana....!
Carren anamuamini sana bmx6 ila hana upendo nae kama wengi na bmx6 mwenyewe wanavyodhania... kwanini
Kwanza mwanamke aliyependa yuko radhi kufanya chochote kwa ajili ya ampendae..!
Lakini carren amekua anafanya kinyume, wakati bmx6 anataka kuacha kazi kwa mara ya kwanza alimuomba ushauri Carren ambaye alikua mtu sahihi sana wa kuweza kumpa ushauri utakaomsaidia na kumvusha bm kimaisha...! Carren alijua kampuni ni ya baba yake ila hakutaka kumsanua bm, angekuwa kweli amempenda angemuibia siri na kumweleza ukweli wote...! Badala yake alimpa ushauri uliopelekea bm kuacha kazi na ajabu ile nafasi akapewa Carren. Na mzee tokea hapo akaanza kumchukulia bm poa na kupelekea mzee kumwondoa kwenye kundi la watu wake muhimu( hapa mkuu bm jaribu kukumbuka hili tukio then jiulize Carren anakupenda kweli??? Maana ushauri wake hapa kiukweli ulikuathiri pakubwa)
Pili mwanamke aliyependa hayuko tayari kumpoteza ampendae kwa gharama yeyote ile......!
Carren kwake ni tofauti kabisa yuko tayari kumpoteza bm, maana alikustopisha kazi kwa week kukuonyesha tu ya kwamba yuko tayari kukupoteza na hilo kwake sio ishu. Utasema mbona hatukua kwenye mahusiano, ukweli ni kwamba mwanamke akishapenda hata kama bado hamjaingia kwenye mahusiano atakua anafanya vitu kama vile mko kwenye mahusiano, maana yangu ni kwamba atakua anatumia hisia zaidi kwa ampendae kuliko akili, ila tumeona kwako Carren akitumia akili zaidi kuliko hisia
Tatu mwanamke aliyependa yuko tayari kumsaidia ampendae kwa yaliyo ndani ya uwezo wake...! Alikupa gari yake kwa bahati mbaya ukaenda ukagonga( hukupenda ila ilitokea bahati mbaya) lakini alikubadilikia mbaya,ukaingia gharama kubwa wala hakujali mwana ndo kwanza unajitafuta akuchangia hata nusu gharama.( jiulize anakupenda kweli au anataka akutumie kufanikisha malengo yake)
Nne mwanamke akipenda anakua na kahofu fulani hivi anapokua mbele ya ampendae.... Carren kwako anakua very comfortable, mpaka anapata guts za kukusema unakojoa bila kuflash, na ukizingatia uko kwako, damn bro, what the fu*k*.....! Mlilala kitanda kimoja mpaka asubuhi bila kufanya chochote, ni ngumu sana kwa mwanamke kulala kitanda kimoja na mwaume anayempenda kwa mara ya kwanza mpaka asubuhi bila kufanya chochote
Kwanini umchague carren
1. Ni mwanamke mpambanaji na mwenye maono ya mbali, mtafika mbali kichumi kama familia.
2. Ataweza kuitunza familia hata kama haupo in any case...! (Watoto watakua safe financially)
3.sio rahisi kuliwa nje, unless apende mwenyewe ( wanawake aina ya Carren hawatoi nyuchi hovyo)...! Sio maharage ya mbeya
4.Anakuamini sana miongoni mwa watu wake wa karibu
5.utapata watoto smart and sharp
6.unampenda kwa dhati, hence nafsi yako itakua na faraja ukiwa nae. Na hauko tayari kumpoteza kwa sasa
Kwanini usimchague Carren
1.hana upendo wa dhati na wewe, ila tu anakuamini sana baada ya kukufanyia majaribio mbali mbali na kujiridhisha ya kuwa wewe ni mtu anayekuhitaji kufanikisha mambo yake...! Kumbuka mahusiano msingi wake unatakiwa kuwa upendo wa dhati baina ya pande mbili
2.ni mbinafsi, rejea jinsi anavyomfanyia dada ake kwa kumchongea kwa mzee ili yeye aonekane bora zaidi, ilihali yeye mwenyewe ana mapungufu yake mengi tu
3.hatoweza kuyavumilia mapungufu na makosa yako ya kibinadamu, rejea kisa chake na Michelle walikua marafiki sana ila alivyomkopesha pesa na Michelle kufanya aliyoyafanya, mwenyewe unajua kilichotokea...! Kama dada yake aliweza kumchukulia vile alivyomchukulia kisa pesa unadhani kwako itakuaje? Au labda unaweza kuwa special sana ikawa tofauti. Japokua amesema atakuvumilia ila siku zote (actions speak loud than words)
4.ni mtu ambaye yuko attached mno na pesa pamoja na vitu( yeye ndo anapenda aendeshe jeep la mzee ikiwa mzee hayupo na si Michelle wala mama ake), alikuita mahali akaagiza juice, na we ulikua na njaa ukaagiza msosi, kilichotokea ilikubidi ulipie msosi wako bila kupenda, sababu ulikutana na Carren anayeijali pesa mno kuliko undugu,urafiki na mahusiano,
5.hana sifa za kuwa mama bora wa watoto wako...! Wanawake aina ya Carren huwa si wazuri katika malezi ya watoto. Wao huwa wako obsessed na kazi zaidi
1.BMX6 NA ANNIE
Annie anampenda sana bmx6, sababu aliweza kumsaidia kipindi kwao maisha safi kwa hali na mali, hakujali bmx6 alikua na hali gani.
Annie anamheshimu bm, maana amekua akimsikiliza kwa kila anachomwambia. Alipata kazi mwanza akataka aende bm akamzuia akatii, baadae bm akabadili mawazo akamwambie aende tu akatii
Annie hakua tayari kumpoteza bm, alipambana kuhakikisha bm wake hachukuliwi na accountant...!
Bmx6 hampendi kiivyo annie ukilinganisha anavyompenda Carren..! Maana hata kabla ya kukutana na carren bm alikua akimfanyia annie vituko vya hapa na pale, ila Annie alivumilia
Bmx6 anamuonea huruma annie na kuhisi guilty juu yake, sababu ya wema aliomtendea hivyo anataka amtafutie sababu ndo amuache...!
Kwanini umchague Annie
1.ni mwenye huruma hivyo atakua mtulivu kwako
2.Anakupenda kwa dhati( japo sidhani kama bado anakupenda kama mwanzo)
3.atakua mama bora kwa watoto wako
4 .atakujali na kukuheshimu kama mume wake
5.atakusikiliza, hivyo mtakua na maelewano ndani ya nyumba
Kwanini usimchugue Annie
1.humpendi kwa dhati, hivyo nafsi yako haitokua yenye furaha ukiwa nae
2.ni rahisi kuliwa nje, wanawake wapole wapole wakipataga mwanaume atayewachangamsha na kuwafurahisha hujikuta wanaliwa bila kutarajia ( inawezekana hata huko mwanza kuna ngosha ashafanya kweli, tehetehe natania tu)
3.hana mawazo mbadala, sio mwanamke wa kuuimiza kichwa anayeweza kukupa ushauri ukakuingia kichwani. Kiufupi hana ushawishi
Mwisho: combination yako na Carren kwenye kazi is awesome bro...! Ndo maana hata mzee alipenda sana iendelee kubaki hivyo. Maana anamjua vyema mwanae na wewe ameshakujua vya kutosha, na "you must be very carefully" mkali, maana una deal na watu wanaokujua kuliko ww unavyowajua. Na bahati mbaya kuna matukio yanatokea kama "wake up call to you" ili uweze kuchukua hatua ila huoni sababu umekingwa na ukuta mnene wa mapenzi kwa carren, na yeye amegundua hilo anatumia kama udhaifu wa kukufanya atakavy.
Kama ungekua katika misingi ya mzee aliyotaka uende nayo toka mwanzo ungekua mbali sana...! Ila bado hujachelewa,
"This is Africa broe", na Africa wanaume ndo huwa tunaoa.
na kuoa ni pamoja ya kuwa kiongozi wa familia katika nyanja zote, mwanamke ni msaidizi tu.
Na ukweli ni kwamba kuwa mwanaume sio rahisi, "ila kuwa mume wa mtu, kuwa baba wa watoto ni mtihani unayopaswa kuufaulu siku zote za maisha yako" na huo mtihani watu wengi huwa wanafeli vibaya, hasa katika msingi wa kuchagua mwanamke sahihi
kuwa makini usije kudhani umeoa kumbe umeolewa, na ukajashtuka muda nao ukawa hauko upande wako....!