toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
kama ni yule mtoto mzuri wa majumba sita nimeweka sanawe simulia vyote mzee sisi kazi yetu ni kusoma tu
Usisahau kutuambia ulipokutana na annie
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hii mbinu ya kutumia ID nyingine kuja jipigia promo ni ya kitoto sana...🤣🤣🤣. Unakuta unakuja jisifia ujinga kwa IDs nyingine...ni utoto tu na ulimbukeni. Sisi wakongwe tunafahamu.Mkuu binafsi nainjoy Sana uandishi wako hauchoshi big up Sana unajua kupresent ingawa kuna wakulungwa wachache kama wanapanic hivi.
Pili details flan zinafundisha Sana,kama alivyoeleza Mzee khs njaa,tamaa na upuuzi,Safi Sana bonge la elimu.
Nafuatilia Kwa Makini Sana mkuu.....
Hii mbinu ya kutumia ID nyingine kuja jipigia promo ni ya kitoto sana...Mkuu binafsi nainjoy Sana uandishi wako hauchoshi big up Sana unajua kupresent ingawa kuna wakulungwa wachache kama wanapanic hivi.
Pili details flan zinafundisha Sana,kama alivyoeleza Mzee khs njaa,tamaa na upuuzi,Safi Sana bonge la elimu.
Nafuatilia Kwa Makini Sana mkuu.....
Au tuseme ni chai ila nzuriNi nzuri ila chai.
Ila wazee wa itaendelea huwa mnakuwaga na nini sijui, yaani lazima mleta story apate excuse hii au ile, mara simu imepasuka, mara nimepigiwa simu niende shamba, mara computer ninayotumia imeharibika, mara mtoto kaumwa ghafla mara nimepata safari ya ghafla mara hili mara lile, kiufupi mnakera sana.Wakuu naomba mnisamehe sana, Chupa leo halijaamka na Chai, jana usiku nilivyomaliza kula nilipitiliza kulala moja kwa moja nikasema Story nitaimalizia leo maana nitakuwa tu home, Sasa Leo Asubuhi ratiba imechange nimeamshwa na simu kutoka kwa Boss natakiwa kwenda Zanzibar na Pesa ilishatangulizwa kwenye Account, Hapa najianda kwenda kupanda Boti ya 12:30 PM hivyo leo sitopata mazingira mazuri ya kuandika muendelezo, labda mpaka kesho jioni ndio nitakuwa nimerudi Dar
Hapana mkuu, siku hizi linatumika pande zote, don't take it seriouslyHivi hilo neno "wifi yenu" unamanisha wasomaji wote wa riwaya yako ni jinsia ya ke?
Yaani mimi unanitambulisha kwa demu wako halafu unaniambia huyu ni wifi yako? utakula kerebu.🤜🤜✊Hapana mkuu, siku hizi linatumika pande zote, don't take it seriously
Ok wameweka kwenye ushirikina, je wewe umeweka kwenye nini?Asilimia 90 ya wanaofuatilia hii story wameweka hitisho kwenye ushirikina, yajayo yanafurahisha
Usipanic mkuu, marq nyingi inakuwa kama masihara tuYaani mimi unanitambulisha kwa demu wako halafu unaniambia huyu ni wifi yako? utakula za kerebu.[emoji2936][emoji2936][emoji110]