Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hawa watu wanaleta nyuzi na kukaa kwenye crack's wakizichungulia wana tatatizo la kuona what people says juu ya matatizo Yao(obsessions). This arts of throwing your mess to the public and waiting for reactions.

MB atakuwa amemuwasha mimba mtoto wa Mzee, au amemessup na Mtu kazini atatafuta jins ya kujiliwaza hapa. It is an art.

Ni kama mwizi akitupia elf kumi akaiwekea urimbo aone watakahangaika nayo.

Ni sawasawa na hapa niweke Uzi. Then niishie pale ........' baada ya kumvua chupi mama mkwe...........

Naishia hapo. Utaona hizo views 3727282800 likes 1.bilion views
 
Fresh Monday with sadness information...
 
Good morning to everybody, samahanini jana sikuonekana humu juu ya sikukuu, Leo muondelezo mapema, after 3 hours ivi itakuwa tayar
Sasa hivi watu hawakuzingatii
Uweke usiweke yote sawa

Ila tunasubiri
 
Kijana wa Buguruni anayezungumzwa hapa ni yule aliyekutana naye mwanzoni wakati anatafuta wahitaji wa chakula!

Kumbuka huyu mzee kamwambia atapenda wiki “hii” ale chakula na familia yake ya nje sasa hawa vijana wa Buguruni hakuwa anajua wanakoishi yeye kawazoa tu barabarani na akawapatia chakula hivyo hawana makazi maalum, sasa mtihani utakuwa namna ya kuwapata na yule mzee ni mdadisi sana so akiwazoa wengine ambao hawakula chakula cha mwanzo itaonesha huyu jamaa chakula alipeleka Kwa ndugu zake kumbukeni alishamuuliza iwapo hapa Dar anandugu.

So wa kumuokoa ni huyo kijana wa aliyekutana naye mwanzoni na ndiye aliyekwenda kutafuta wenzake wakala chakula!
 
story imeisha uzi ufungwe
 
Simulizi za wabongo nikama bongo movie .wanaanza vizuri kuimalizia shida .watunzi bora tanzania bro habibu Anga , na uncle Eric shigongo hao jamaa wakitoa simulizi ni kama Hollywood, Bollywood na wakubaligi sana hawa wengine na somaga tu
 
Hii mbinu ya kutumia ID nyingine kuja jipigia promo ni ya kitoto sana...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Unakuta unakuja jisifia ujinga kwa IDs nyingine...ni utoto tu na ulimbukeni. Sisi wakongwe tunafahamu.
Hata kama kajipigia promo mm vile Ile nampongeza Kwa uwasilishaji wake WA kiwango cha juu na mafunxo niyapatatayo BIG UP MUWASILISHAJI ww Una kipaji,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…