Imekuwa poa sana...Imeenda po auntie sijui upande wako ebu tuendelee tu kusubiria arosto yetu
Sasa hivi watu hawakuzingatiiGood morning to everybody, samahanini jana sikuonekana humu juu ya sikukuu, Leo muondelezo mapema, after 3 hours ivi itakuwa tayar
Shusha babaGood morning to everybody, samahanini jana sikuonekana humu juu ya sikukuu, Leo muondelezo mapema, after 3 hours ivi itakuwa tayar
Usidanganye nahesabuGood morning to everybody, samahanini jana sikuonekana humu juu ya sikukuu, Leo muondelezo mapema, after 3 hours ivi itakuwa tayar
Asante mkuuGood morning to everybody, samahanini jana sikuonekana humu juu ya sikukuu, Leo muondelezo mapema, after 3 hours ivi itakuwa tayar
Asante mkuu
Take your time...maana mwaya hatukulipi. Anayeona anachoka kusubiri akasome nyuzi zingine
Sasa kaka wa watu Ana majukumu mengine ila watu hawamuelewiNakadori kama Nakadori
Hata kama ni mkubwa hawezi nizidi mimiNi mkubwa
Hujambo NakadoriNakadori kama Nakadori
story imeisha uzi ufungweKijana wa Buguruni anayezungumzwa hapa ni yule aliyekutana naye mwanzoni wakati anatafuta wahitaji wa chakula! Kumbuka huyu mzee kamwambia atapenda wiki “hii” ale chakula na familia yake ya nje sasa hawa vijana wa Buguruni hakuwa anajua wanakoishi yeye kawazoa tu barabarani na akawapatia chakula hivyo hawana makazi maalum, sasa mtihani utakuwa namna ya kuwapata na yule mzee ni mdadisi sana so akiwazoa wengine ambao hawakula chakula cha mwanzo itaonesha huyu jamaa chakula alipeleka Kwa ndugu zake kumbukeni alishamuuliza iwapo hapa Dar anandugu. So wa kumuokoa ni huyo kijana wa aliyekutana naye mwanzoni na ndiye aliyekwenda kutafuta wenzake wakala chakula!
Hata kama kajipigia promo mm vile Ile nampongeza Kwa uwasilishaji wake WA kiwango cha juu na mafunxo niyapatatayo BIG UP MUWASILISHAJI ww Una kipaji,Hii mbinu ya kutumia ID nyingine kuja jipigia promo ni ya kitoto sana...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Unakuta unakuja jisifia ujinga kwa IDs nyingine...ni utoto tu na ulimbukeni. Sisi wakongwe tunafahamu.