Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

ILIPOISHIA [emoji1484]

Caryn: "Sorry Dad, first of all I want to know where these kids came from?

Tukaanza kuangaliana na yule jamaa aliyekuwa anaendesha Gari, Wakati najipanga kujibu.....

Caryn: BM, You should answer this question

Nikamuambia wametoka Buguruni Rozana

Caryn: "Dad, I think you should change your strategy on how to help these kids

The food we're gonna give them was it gonna change their life?
So as a rich man if you think you want to help someone give them the kind of help that would transform their life not leaving them with food in my opinion"


MUENDELEZO [emoji1484]

Mzee akamuangalia Caryn halafu akaniangalia na Mimi, Akasema "Kwahiyo unashauri tufanye nini Binti yangu"

Caryn: Let me speak swahili so that they can understand me, Hawa watoto kwa umri waliokuwa nao wanatakiwa wawepo shuleni, labda mtasema mnawapatia chakula kwasababu hawajafika umri wa kujishughulisha na shughuli zozote za kujiingizia kipato, huyo Kaka yao je maana anaoneka ni mtu mzima

Caryn: "How old...ooh sorry, Una miaka mingapi kaka?"

Kijana: "Kumi na Saba"

Mzee: Kumi na Saba Bado mdogo sheria haruhusu

Caryn: Come on Dady, Kwahiyo kama sheria hairuhusu ndio abaki kuomba omba, Kuna situation ikikufika hutakiwi kuangalia Sheria inasemaje inakubidi kufanya kile unachotakiwa kufanya ili u survive, Kijana you have to do whatever it takes to survive out here in this jungle called life

Michelle: Sometimes you sound more like an adult than a teenager

Caryn: You sound like you're better than me, and you're not

Mama: Na nyie mshaanza sasa na malumbano yenu, ebu Kuweni na adabu hata kidogo mbele za watu msiowajua

Caryn: Ambae hana adabu ni huyo mwanao mama, Watu tunaongea vitu serious yeye analeta utani, mm teenager sawa, yeye huo utu uzima umemsaidia Nini hadi sasa, Anawaza Mapenzi tu......

Mzee: "Caryn basi Inatosha, unajua huyo atabaki kuwa Dada yako inabidi umuheshimu, halafu kwanini siku hizi nyie watu hampendani?"

Caryn: "Kwasababu nimekuambia Habari za huyo bwana ake wa huko Kibaha, I told you Dady na nakuambia tena the guy is more interested in money hakuna Mapenzi hapo"

Mzee: Caryn hiyo ni topic ya siku nyingine all in all nimeipenda maoni yako kuhusu Hawa vijana wadogo

Ila Caryn hapana asee [emoji1544] yule Demu kachukua akili za Baba yake, ni PISI KALI halafu sauti yake ni kama ya Bahati Bukuku na mara nyingi anakuaga serious, nyumba nzima hapa kwa Mzee ni yeye tu ndio sijawahi kumuona akicheka

Tukamaliza kula, Mzee akawahoji wale watoto mambo kadhaa, akawapatia na Pesa halafu akanambia "BM Nadhani Ushauri wa Caryn ni mzuri, Sasa ule mtihani nililokuambia nitakupa umekaribia get yourself ready. chukueni Gari warudisheni Hawa watoto halafu na Kijana atakudrop kwako,

Basi tukaondoka, tukawadrop madogo na mm nikadropiwa, kufika kwa nyumba nikamkuta Annie nikakuta ameandaa my favorite food Wali Nazi Njegere Nazi, Asee halafu nimetoka kubonya Pilau la Kuku kwa Mzee, nikaona hapa busara ni kula hata kama ni nusu sahani, Unajua Annie anajua natoka Kazi hakujua ratiba yangu imeendaje na Wala hajui Mahali nimetoka

Akaniwekea food kwa meza nimeipiga kama vijiko vitatu ivi nikamuuliza "Are you sure it's not Christmas yet?"

Annie: "of course it's not"

Maana sio utamu huu wa msosi, saa hiyo mm nikiendelea kula Annie alionyesha kuwa na mawazo, nikamuuliza nini mbaya?

Annie: You know what BM, now i believe that circumstances change people

Me: Unamaanisha nini?

Annie: Hadi hapa tulipofikia life has taught me not to plant my seed in other people's garden

Nikawa nishajua alichokuwa anamaanisha, TURUDI NYUMA Kidogo ili na wewe umuelewe Annie

Ukisema "Table turns" Mtu wa kwanza kuelewa ni Annie, niulize kwanini? Okay ilikuwa hivi, Miaka mitano nyuma Annie alikuwa mtoto wa kishua nikisema wakishua wakishua haswa haya maisha acheni nyie,

Natamani niandike mengi kuhusu Annie lakini haitawezekana kwasababu code yake nimeifungua, ndio muhusika pekee Jina lake ni halisi kwenye hii story wengine wote nimetunga majina na baadhi yao niliishia kuwaita Mzee, Mama, Jamaa nk

Ila kwa kifupi ni kwamba Annie alipiga taff sana enzi hizo wakiwa bado wako vizuri, Alinilipia hadi ada ya mwaka wa mwisho chuoni. Baba yake alikuja kupata matatizo flani kipindi Cha awamu ya 5, na Annie Mama yake Alishaaga kitambo so alibaki na Baba, Baba nae ndio hivyo akapotezwa, acheni asee kila nikikumbuka roho inaniuma ndio maana nakuwa mzito kumuachia huyu mwanamke

LEO

Nikamwambia Najua unachoniwazia ila nikwambie tu unaniwazia vibaya, acha nikuambie ukweli pengine utakuumiza ila ni Bora kuliko kudanganyana, inawezekana nimekucheat lakini sio kwa mazingira niliyoyaandaa, Najua nilishakuambia mengi kuhusu yule mwanamke (Accountant) lakini hili la kucheat nilikuficha kwasababu sikudhamilia mimi na kuhusu swala la kuacha kazi ili kumkwepa yule mwanamke sidhani kama ni sahihi kwasababu unajua hali halisi ya maisha ilivyo Mimi nakuomba tu uridhie Mimi kundelea kufanya kazi Mimi nitajua tu jinsi ya kudeal na yule mwanamke na nakuahidi sitarudia kosa, Nakuomba usikatae, ni swala la muda tu nikakamilisha malengo yangu flani naachana rasmi na Ile Kampuni

Annie: Okay! i trust you BM, you can go ahead, but remember not everyone in this life gets a second chance to write their wrongs

Me: Nakuahidi haitojirudia, na nakupenda sana japokuwa ww mara nyingi husemi kwa Mdomo kama unanipenda

Annie: Ushaanza, listen BM 'I trust you' is better compliment than 'I love you' because you may not always trust the person you love but you can always love the person you trust

Me: Wow! thanks, i didn't even know that

Basi Mama lao akatoa vyombo pale, Leo hajaachwa mtu Sebuleni, Najua mshaelewa. siku zilikatika mambo yalikuwa mswano na Annie

Asubuhi ya Jumamosi moja nimeamka nimechelewa sana kwenda job, nikajiandaa fasta nikasepa nikafika eneo langu la kazi Sasa wakati naingia Ofisini nikamkuta Accountant kakaa kwenye kiti changu ni kama alikuwa ananisubiri kwa hamu, nikamsalimia akaitikia halafu akanambia

Accountant: Naona maisha yako yanaenda kuwa mazuri ila endapo tu utafanya Maamuzi sahihi

BM: Nikamuuliza Maamuzi gani?

Accountant: Usiwe na haraka BM, Mama alikuwa anakuulizia amesema ukifika tu nikwambie uende Ofisini kwake so we nenda kaonane na Mama

Nikawa najiuliza Kuna jipya gani maana Accountant anafuraha kupita maelezo na si kawaida yake, basi Mimi nikaelekea ofisini kwa Mama, nikasalimia nae halafu nikakaa kwenye kiti

Mama: Mwanangu si kawaida yako kuchelewa kazini, Leo imekuaje?

BM: Jana nilichoki sana Mama, hali iliyosababisha kupitiwa na usingizi Leo na kuchelewa kuamka

Mama: Ooh, halafu hata hivyo hukuwahi kuchukua likizo ya kueleweka tangu uanze kufanya kazi kwenye hii Kampuni

BM: Yeah ni kweli Mama lakini sikuona ilazima huo

Mama: Sasa Mimi nakupa likizo ya mwezi mmoja ya lazima hata kama hutaki, japokuwa hapa nilikuitia jambo lingine lakini Nadhani tutapata nafasi Nzuri zaidi ya kulijadili hilo jambo akili yako Ikiwa refreshed

BM: Ni jambo gani hilo Mama?

Mama: Nilijadili na mwenzako lile swala la wewe kurithi hii nafasi yangu, amefurahi sana lakini ametaka mvishane kwanza Pete ya kabla ya kukalia hiki kiti, na Mimi Nadhani ni jambo zuri so nilikuitia hapa ili tupange siku ya kufanya zoezi hili, lakini wewe nenda kwanza likizo ukirudi tutapanga vizuri.

Nikamuitikia tu "Sawa Mama" huku nikimuwaza Accountant, ndio kashaanza kuchezesha Karata zake kama alivyoniahidi, Basi mm Nikatoka Ofisini kwa Mama, nilimkuta Accountant Bado yupo pale kwenye kiti changu, Nilifika tu nakumwambia kwa userious wa hali ya juu "nipishe Mimi niendelee na Kazi"

Accountant: I hope umefanya Maamuzi ya kiume, halafu kumbe huwa mnaongeaga mambo mengi na Mama bila kunishirikisha, ivi unajua maamuzi mengi anayoyafanya mama juu yako ni kwasababu anajua Mimi na wewe ni wapenzi, Sasa isije ikawa umeshaharibu mambo huko

BM: Sikiliza **** (Accountant) naomba kwasasa uende kwenye ofisi yako, Nina mambo mengi ya kufanya, sitakiwi kuacha kiporo Cha aina yoyote kwasababu kuanzia Jumatatu siji kazini

Accountant: Unasemaje wewe?

Alivyosikia "Kuanzia Jumatatu siji kazini" alipagawa sijui alidhani nimeshaacha kazi, Alitoka mbio sijui kaelekea wapi ila itakua tu kwa Mama yake bila shaka

Nimekaa kidogo akarudi akanambia "Inawezekana wewe ndio umeomba hii likizo ili ukajipange maana inaonesha Kazi unaitaka lakini mwenye kazi humtaki, Sasa Mimi nakuambia hivi, we nenda hiyo likizo lakini siku utakayorudi hapa uwe umeshaamua jambo moja kati ya haya mawili, UNIOE au uandike barua ya kuacha kazi, Sitakubari uwe Director wa hii Kampuni a halafu raha unakula unakula watu wengine" alivyomaliza hakutaka nimjibu akaondoka

Aliniacha na mawazo, kusema ukweli hii nafasi naitaka ili niweze kufikia malengo yangu lakini ndio hivyo tena ili ni qualify kwenye hiyo nafasi basi nilazima nimuoe Accountant, nikifanya hivyo Annie wangu nitamuweka katika nafasi gani na Jana tu tumetoka kula kiapo, na huyu Accountant mwenyewe hana sifa hata moja ya wife ila kitandani kwakweli yupo vizuri japokuwa ilikuwa ni mara moja na kwa bahati mbaya na hiyo dhambi nishaimbea msamaha kwa Annie na kanisamehe kwa kumuahidi kutorudia tena

Siku ikaisha na ndio ikawa nimeianza likizo yangu ya mwezi mmoja rasmi, lakini ya mawazo kwasababu natakiwa kufanya uamuzi sahihi, hapa kichwa kiliniuma zaidi kwasababu ya mtihani wa Mzee niliopewa,

Wakati naandika huu Uzi nilikuwa Bado sijapewa likizo, Uzi nimeianza kuaandika jumatano ya tarehe 6/7/2022 na likizo nimepewa juzi Jumamosi tarehe 9/7/2022 hii siku kama mnakumbuka nilicomment hapa hiyo comment ipo namba 272 kama sikosei nilitoa maelezo kwanini hii story imekua ndefu Sasa siku hii ndio nilipewa likizo ya lazima so hili tukio ndio nimeliunganisha kwenye Uzi.

Na Uzi ulikuwa una muhusi Mzee ila niliongea story zingine kwasababu ili kufaulu mtihani wa Mzee inategemea pia mm kuendelea kubaki kazini

Inatakiwa Utulivu wa hali ya juu kuelewa, TURUDI NYUMA KWENYE MTIHANI NILIOPEWA NA MZEE

Ilikuwa Alhamisi, saa nne na Dakika thelathini na Saba sekunde ya sita simu ya Mzee iliingia nikiwa Ofisini najiandaa kwenda Zanzibar na Boti ya mchana

Mzee: [emoji338]"Kijana wangu hujambo?"

BM: "Sijambo Mzee, Shikamoo"

Mzee: "Marhaba, Sasa nataka kukujuza kwamba siku ya Jumapili jioni nasafiri hivyo nakuomba tuonane siku hiyo kabla sijaondoka

BM: "Sawa Mzee Haina shida"[emoji3513]

Basi nilienda Zanzibar nakurudi kesho yake, Jumapili Ikafika nikajua kabisa LEO NDIO ILE SIKU, Ile siku ya kupatiwa mtihani, Nakumbuka nilienda kwa Mzee mida ya saa sita mchana, nimeingia kwenye Ile nyumba harafu za misosi tu ndio zimetamalaki,

Kama kawaida chimbo langu na Mzee ni Backyard tukaongea sana mambo mengi, Sasa bhana safari yenyewe kumbe ni ya nje ya nchi, Mimi nilijua ni zile safari zake za mkoani kumbe Mzee anaenda United Kingdom (Uingereza) na atakaa huko kwa muda wa miezi miwili na nusu

Acha nifungue code kwenye Biashara moja ya Mzee, Ni hivi, Mzee ana mabiashara mengi ila moja ya hizo Biashara ni maduka ya Ex UK, Sasa huko UK alikua anaenda kibiashara zaidi, Sasa Mzee alinambia kwa muda wote. huo ambao atakuwa nje ya nchi niwe natembelea familia yake mara kwa mara, muda wa msosi ukafika tukakutana wote mezani yani Mimi, Michelle, Caryn, Mama na Mzee, Wakati tunaendelea kula mazungumzo nayo yaliendelea

Mama: "BM usipotee sana kwasababu Baba hayupo, uwe inakuja nyumbani tena mara kwa mara zaidi

Mzee: "Nimeshamsisitizia hilo, halafu BM kuhusu ule mtihani niliosema nitakupatia maelezo yote anayo Caryn, So ni wewe Tu kutafuta muda ukae chini na Caryn akuelezee

Nikajibu "Sawa Mzee" huku nikimuangalia Caryn na yeye akinipiga jicho la kimtindo

Michelle: "Baba kwani ni mtihani gani huo?"

Mzee: "Hili halikuhusu Michelle, wewe si ulishafeli wa kwako, Majukumu anayofanya Caryn ulipaswa kufanya wewe. Na Caryn zidisha umakini katika kumsaidia Mama yako majukumu ya Ofisini, Kuna baadhi ya mambo Mama yako anasahau

Caryn: Okay Dady, we will miss you

Eeh!!! nilishangaa, kumbe Caryn ndio anapewa majukumu makubwa kiasi hiki, basi tulimaliza kula tukakaa kama 1 hour tukaanza safari ya kuelekea Airport, hii ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kupanda 'Jeep Wrangler' halafu Mzee akaniambia nikae mbele, Guess Sasa nani anaendesha? ni Caryn jamani dah!

Tukafika Airport Wakati tunamuaga Mzee akanambia "BM nikirudi nikukute ushapata Driving Licence" Nikamwambia "nitajitahidi Mzee" Basi ndio hvyo tena Mzee akaingia kwenye kale ka mlango kalikoandikwa DEPARTURE sisi tukaenda kwenye Gari na kurudi nyumbani,

Wakati tumefika Tazara tunacross kuelekea Buguruni Nikamwambia Caryn "Mimi mtanidrop hapo Tabata"

Caryn: "Okay, I will text you, Dady gave me your number"

Tukafika Tabata wakanishusha nikatafuta Daladala la kuelekea Tabata Kimanga

Blue Monday mapema kabisa nimeamka kwaajili ya kwenda kazi, nashika simu kuangalia muda naona meseji ya namba ngeni kuifungua "Hey! Mornie, It's me Caryn" Nika reply "I got you" then nikasave namba yake

Wakati nipo Ofisini Caryn akanipigia akanambia kuwa yupo ofisini kwa Baba yake atatoka jioni na kuelekea **** ni Ile Hotel ambayo nilikutana na Baba yake, hivyo akaniambia nimkute hapo

Sasa yeye aliwahi sana kutoka siunajua wao ndio mabosi so wanajiamulia muda wa kutoka, mm ilibidi nisubiri Hadi ifike angalau saa kumi na nusu, Mida ikafika ya kutoka kazi moja kwa moja nikaelekea Hotelini lakini hiyo foleni niliyokutana nayo Njiani siyo ya kitoto, nikajua yule mtoto (Caryn) alivyo serious katika Kila Kitu sidhani kama nitamkuta, Mungu alisaidia nikamkuta Ile nimefika tu nikakaribishwa na

Caryn: "why are you late, you kept me waiting almost 2 hours?"

BM: "It wasn't deliberate the traffic was crazy it was terrible"

Caryn: "That is the senseless excuse"

BM: "Ok, let's discuss what brought us here"

Caryn: "let me start by asking you a question, Have you ever...."

BM: "Wait pls, Sijawahi kusikia ukitumia kiswahili japo kwa sentensi 3 mfululizo, naomba Leo tutumie kiswahili kwenye haya mazungumzo"

Caryn: "Ni sawa tu, as you wish

Nikasema 'Yes' maana Nisingemuwahi huyu angenitemea Yai[emoji1639] hapa mwanzo mwisho na hata misamiati mingine nisingeielewa

Caryn: "Umeshawahi kufanya Biashara?"

BM: "Kama Biashara gani labda?"

Caryn: "Typical Tanzanian man you're answering questions for questions"

BM: "Madam anayejibu swali kwa swali mwisho wa siku jibu lake linakuwa la uhakika, yani hiyo ni njia ya kulielewa swali vizuri zaidi, ila na wewe Kingereza unakipenda sana bhana

Caryn: "Okay, Just any Business hata kama ya kuuza chupi"

BM: "Hapata, sijawahi Fanya Biashara"

Caryn: "Interesting, kama ni hivyo hukuwa katika nafasi ya kujibu Swali kwa swali kama ulivyofanya"

BM: "Nimekosa mimi, twende kwenye Point"(Nikajisemea moyoni Leo kazi ninayo)

Caryn: "Ebu kwanza nieleze kuhusu yule kijana aliyekuja na wadogo zake pamoja na watoto wengine"

BM: "Nikueleze nini?

Caryn: "Ooh shit! same mistake, Are sure you will handle this?

BM: "You wasn't specific enough, ukiuliza swali jaribu kuwa specific zaidi"

Caryn: "You're not smart enough as I expected, I see that you're even worse than i imagined

BM: "Madam mimi naomba niende tu, maana naona Sasa umekuja kunichora tu

Nikanyanyuka kwenye kiti, kabla sijapiga hatua akanambia "Ebu acha utoto Kaa chini na unisikilize kwa Makini, naku challenge kidogo na wewe umejaa kweli"

Nikakaa chini moyoni namsema huyu mtu inabidi nimsome akili yake ndio nitaenda nae sawa lasivyo atanitoa knock out

BM: "Caryn jaribu kuwa serious kidogo, unajua kama ningekuwa na Mzee hapa tungekuwa tushamaliza maongezi

Caryn: "Thus why I am not Mzee, you know what BM, kwa muda huu mchache tuliokaa hapa Kuna Kitu nishakisoma kutoka kwako

BM; "Kitu gani?

Caryn: "Unakosa some confidence pengine hasa ukiwa na mtu ambae hujamzoea, kwa Mfano kwenye swala la Kingereza sidhani kama ww hujui Kingereza, unakijua vizuri tu lakini ukataka niongee kiswahili, chaajabu nikawa naongea Kingereza makusudi na wewe unanijibu Kingereza, hiyo maana yake Nini?

BM: "Sawa nimekusikia, nitayafanyia kazi si ni hayo tu?" (Katika siku ambayo nimejihisi mdhaifu ni leo)

Caryn: "Hapana! sio hayo tu, Pia una shida katika kuongea japokuwa tuko pale pale kwenye confidence, nimekusoma wewe ni mjanja ambae huna confidence, Sasa ukiongea mbele ya mtu ambae hayupo Makini atajua una confidence kumbe ni ujanja tu, So you should talk like gentleman with confidence

BM: "Dah! Leo kazi ninayo, kama mambo yenyewe ndio haya nyumbani kule si wanapata shida sana?"

Caryn: "Nadhani utakuwa umenielewa, acha niende straight tu the point, Japokuwa nilikuuliza swali mara ya kwanza ila ukaleta ujuaji, Yule kijana uliyemleta siku ile nyumbani na wadogo zake, Mzee kasema kamtafutie nyumba umpangie halafu utaniambiaa Kodi ni kiasi gani nikupatie pesa ya Kodi ya miezi sita, hiyo ni moja mbili Sasa, Amesema umpatie pesa ya mtaji afanye Biashara na uhakikishe katika hiyo Biashara atakayofanya huyo kijana ndani ya miezi sita iwe imeshasimama na waweze kujilipia Kodi,

BM: "Biashara gani sasa na mtaji kiasi gani?

Caryn: "Hapo kwenye Biashara amesema wewe ndio utakayemchagulia na mtaji pia hajakuwekea limitation kwasababu wewe ndio utakayetoa hiyo pesa ila ameweka vigezo katika nyumba utakayo watafutia, Amesema Nyumba isiwe chini ya shilingi laki 1"

BM: "Dah! Baba yako sijamuelewa hapo kwenye swala la nyumba tu, kwasababu kama mm mtu ambae najiweza nakaa nyumba ya laki na nusu iweje yule kijana tumtafutie nyumba ya pesa yote hio Ikiwa ndio anaanza maisha?"

(Kabla ya kujibu Caryn akacheka kwanza)

Caryn: "I'm so proud to have him as my Dady, Sasa acha nikuambie ni Kwanini amekuwekea vigezo hapo kwenye nyumba, Cha kwanza hapo Dady ameshaku limit katika upande wa kuchagua Biashara, kwasababu asingefanya hivyo ungemtafutia tu yule kijana chumba Cha elfu 10 halafu ungempa na mtaji wa Biashara ya karanga

BM: "Mbona kama mtihani wenyewe nishafeli, kwasababu ili mtu aweze kula na kufanya mambo mengine na aweze kulipa Kodi ya laki moja kwa mwezi basi hiyo Biashara mtaji wake usiwe chini ya milioni 1

Caryn: "What do you mean? huna hiyo pesa?

BM; "Tatizo sio Pesa, nawaza ni Biashara gani hiyo yule kijana ataimudu kuendesha ya kiwango hicho Cha pesa

Caryn: "Ndio maana mwanzo nilikuambia nieleze kuhusu kijana ili nikishakupa haya maelezo niweze kukushauri lakini ukajifanya mjuaji

BM: "Yule kijana kwanza kaishia form 3, katika kumuhoji kanambia hajawahi kufanya hata Biashara ya mtualikua anaishiaga kupata vibarua vya kawaida tu

Caryn: "Too late, hili swali ulitakiwa ulijibu pale pale nilivyokuuliza, kwasababu unaweza kuulizwa swali Dar ukiwa unaelekea Mwanza na usione mantiki kwenye swali uliloulizwa ila ukifika Mwanza sasa ndio akili inakukaa sawa na hapo inakuwa too late, So next time uwe Makini ukiwa unazungumza na Mimi"

BM: "Kwahiyo unanisaidiaje katika hili?"

Caryn: "Cha kukusaidia labda nikupe maelezo ya mwisho ambayo ndio ya umuhimu zaidi, Baba Amesema ukifaulu kwenye huu mtihani basi na wewe utakuwa katika nafasi ya kutaja kiasi chochote cha pesa as mtaji wa kufanyia Biashara

BM: "Caryn! some jokes are too experience, you don't meat it.... right?"

Caryn: "I am serious but don't cheat on this, I know my Dady....have a wonderful night"

Caryn ndio ameenda hivyo, na mazungumzo yakaishia hapo


Nakumbusha huu mtihani nilipewa kabla sijapewa likizo ya lazima, so Wakati nikitafakari vile nitafanya ili kufaulu mtihani wa Mzee ndio stress nyingine ya Ofisini ikaja

Wadau natoboa kweli hapa kwenye Situation zote mbili? TRUE STORY



MWISHO
What a story! Bravo and all the best in your mtihani!
 
I hope hutofeli mtihani mdogo namna hiyo, na kabla ya kumfungulia biashara huyo dogo ni lazima umjenge kisaikolojia ili ajue ndio anaenda kuanza maisha yake na kusaidia ndugu zake.
Noted
 
Sikiliza kuna mtu kukushauri biashara nzuri tu hapo juu, amesema fungua duka la spare za pikipiki na bajaji, tafuta mafundi wazuri hata wawili kwenye hii biashara mafundi huwa wanajilipa kwa kufanya ufundi ila wewe unauza spare, sasa mi naongezea kwenye hili wazo kalifanye njee ya mji kidogo, kule unapanga nyumba nzima mbele ya nyumba utaweka kiosk cha hiyo biashara, pili utakuwa hiyo nyumba unalaza bajaji na pikipiki so utamwajili mlinzi , na ukipata kaeneo kaziada hapo mbele ya nyumba unaongezaa na mashine ya kuosha pikipiki na bajaji.
Upande wa mapenzi tumia formula inaitwa delay method, yaani unaendelea kubuy time huku unasongesha goals zako, Ongea na Mama yake Accountant kuwa kuna mambo unataka kuweka sawa ndio umvalishe pete, omba akupe muda kidogo, huo muda ukipita unaangalia jambo lingine la kulata delay, siku zote visingizio haviishi mkuu, utakuwa unatengeneza visingizio mpaka mwaka unaisha... Hii ndo delay method.
Asante mkuu, Ushauri mzuri sana, hiyo Delay Method sikuifikiria kwakweli na kuhusu hiyo Biashara ni mtaji kiasi gani unahitajika?
 
ILIPOISHIA [emoji1484]

Caryn: "Sorry Dad, first of all I want to know where these kids came from?

Tukaanza kuangaliana na yule jamaa aliyekuwa anaendesha Gari, Wakati najipanga kujibu.....

Caryn: BM, You should answer this question

Nikamuambia wametoka Buguruni Rozana

Caryn: "Dad, I think you should change your strategy on how to help these kids

The food we're gonna give them was it gonna change their life?
So as a rich man if you think you want to help someone give them the kind of help that would transform their life not leaving them with food in my opinion"


MUENDELEZO [emoji1484]

Mzee akamuangalia Caryn halafu akaniangalia na Mimi, Akasema "Kwahiyo unashauri tufanye nini Binti yangu"

Caryn: Let me speak swahili so that they can understand me, Hawa watoto kwa umri waliokuwa nao wanatakiwa wawepo shuleni, labda mtasema mnawapatia chakula kwasababu hawajafika umri wa kujishughulisha na shughuli zozote za kujiingizia kipato, huyo Kaka yao je maana anaoneka ni mtu mzima

Caryn: "How old...ooh sorry, Una miaka mingapi kaka?"

Kijana: "Kumi na Saba"

Mzee: Kumi na Saba Bado mdogo sheria haruhusu

Caryn: Come on Dady, Kwahiyo kama sheria hairuhusu ndio abaki kuomba omba, Kuna situation ikikufika hutakiwi kuangalia Sheria inasemaje inakubidi kufanya kile unachotakiwa kufanya ili u survive, Kijana you have to do whatever it takes to survive out here in this jungle called life

Michelle: Sometimes you sound more like an adult than a teenager

Caryn: You sound like you're better than me, and you're not

Mama: Na nyie mshaanza sasa na malumbano yenu, ebu Kuweni na adabu hata kidogo mbele za watu msiowajua

Caryn: Ambae hana adabu ni huyo mwanao mama, Watu tunaongea vitu serious yeye analeta utani, mm teenager sawa, yeye huo utu uzima umemsaidia Nini hadi sasa, Anawaza Mapenzi tu......

Mzee: "Caryn basi Inatosha, unajua huyo atabaki kuwa Dada yako inabidi umuheshimu, halafu kwanini siku hizi nyie watu hampendani?"

Caryn: "Kwasababu nimekuambia Habari za huyo bwana ake wa huko Kibaha, I told you Dady na nakuambia tena the guy is more interested in money hakuna Mapenzi hapo"

Mzee: Caryn hiyo ni topic ya siku nyingine all in all nimeipenda maoni yako kuhusu Hawa vijana wadogo

Ila Caryn hapana asee [emoji1544] yule Demu kachukua akili za Baba yake, ni PISI KALI halafu sauti yake ni kama ya Bahati Bukuku na mara nyingi anakuaga serious, nyumba nzima hapa kwa Mzee ni yeye tu ndio sijawahi kumuona akicheka

Tukamaliza kula, Mzee akawahoji wale watoto mambo kadhaa, akawapatia na Pesa halafu akanambia "BM Nadhani Ushauri wa Caryn ni mzuri, Sasa ule mtihani nililokuambia nitakupa umekaribia get yourself ready. chukueni Gari warudisheni Hawa watoto halafu na Kijana atakudrop kwako,

Basi tukaondoka, tukawadrop madogo na mm nikadropiwa, kufika kwa nyumba nikamkuta Annie nikakuta ameandaa my favorite food Wali Nazi Njegere Nazi, Asee halafu nimetoka kubonya Pilau la Kuku kwa Mzee, nikaona hapa busara ni kula hata kama ni nusu sahani, Unajua Annie anajua natoka Kazi hakujua ratiba yangu imeendaje na Wala hajui Mahali nimetoka

Akaniwekea food kwa meza nimeipiga kama vijiko vitatu ivi nikamuuliza "Are you sure it's not Christmas yet?"

Annie: "of course it's not"

Maana sio utamu huu wa msosi, saa hiyo mm nikiendelea kula Annie alionyesha kuwa na mawazo, nikamuuliza nini mbaya?

Annie: You know what BM, now i believe that circumstances change people

Me: Unamaanisha nini?

Annie: Hadi hapa tulipofikia life has taught me not to plant my seed in other people's garden

Nikawa nishajua alichokuwa anamaanisha, TURUDI NYUMA Kidogo ili na wewe umuelewe Annie

Ukisema "Table turns" Mtu wa kwanza kuelewa ni Annie, niulize kwanini? Okay ilikuwa hivi, Miaka mitano nyuma Annie alikuwa mtoto wa kishua nikisema wakishua wakishua haswa haya maisha acheni nyie,

Natamani niandike mengi kuhusu Annie lakini haitawezekana kwasababu code yake nimeifungua, ndio muhusika pekee Jina lake ni halisi kwenye hii story wengine wote nimetunga majina na baadhi yao niliishia kuwaita Mzee, Mama, Jamaa nk

Ila kwa kifupi ni kwamba Annie alipiga taff sana enzi hizo wakiwa bado wako vizuri, Alinilipia hadi ada ya mwaka wa mwisho chuoni. Baba yake alikuja kupata matatizo flani kipindi Cha awamu ya 5, na Annie Mama yake Alishaaga kitambo so alibaki na Baba, Baba nae ndio hivyo akapotezwa, acheni asee kila nikikumbuka roho inaniuma ndio maana nakuwa mzito kumuachia huyu mwanamke

LEO

Nikamwambia Najua unachoniwazia ila nikwambie tu unaniwazia vibaya, acha nikuambie ukweli pengine utakuumiza ila ni Bora kuliko kudanganyana, inawezekana nimekucheat lakini sio kwa mazingira niliyoyaandaa, Najua nilishakuambia mengi kuhusu yule mwanamke (Accountant) lakini hili la kucheat nilikuficha kwasababu sikudhamilia mimi na kuhusu swala la kuacha kazi ili kumkwepa yule mwanamke sidhani kama ni sahihi kwasababu unajua hali halisi ya maisha ilivyo Mimi nakuomba tu uridhie Mimi kundelea kufanya kazi Mimi nitajua tu jinsi ya kudeal na yule mwanamke na nakuahidi sitarudia kosa, Nakuomba usikatae, ni swala la muda tu nikakamilisha malengo yangu flani naachana rasmi na Ile Kampuni

Annie: Okay! i trust you BM, you can go ahead, but remember not everyone in this life gets a second chance to write their wrongs

Me: Nakuahidi haitojirudia, na nakupenda sana japokuwa ww mara nyingi husemi kwa Mdomo kama unanipenda

Annie: Ushaanza, listen BM 'I trust you' is better compliment than 'I love you' because you may not always trust the person you love but you can always love the person you trust

Me: Wow! thanks, i didn't even know that

Basi Mama lao akatoa vyombo pale, Leo hajaachwa mtu Sebuleni, Najua mshaelewa. siku zilikatika mambo yalikuwa mswano na Annie

Asubuhi ya Jumamosi moja nimeamka nimechelewa sana kwenda job, nikajiandaa fasta nikasepa nikafika eneo langu la kazi Sasa wakati naingia Ofisini nikamkuta Accountant kakaa kwenye kiti changu ni kama alikuwa ananisubiri kwa hamu, nikamsalimia akaitikia halafu akanambia

Accountant: Naona maisha yako yanaenda kuwa mazuri ila endapo tu utafanya Maamuzi sahihi

BM: Nikamuuliza Maamuzi gani?

Accountant: Usiwe na haraka BM, Mama alikuwa anakuulizia amesema ukifika tu nikwambie uende Ofisini kwake so we nenda kaonane na Mama

Nikawa najiuliza Kuna jipya gani maana Accountant anafuraha kupita maelezo na si kawaida yake, basi Mimi nikaelekea ofisini kwa Mama, nikasalimia nae halafu nikakaa kwenye kiti

Mama: Mwanangu si kawaida yako kuchelewa kazini, Leo imekuaje?

BM: Jana nilichoki sana Mama, hali iliyosababisha kupitiwa na usingizi Leo na kuchelewa kuamka

Mama: Ooh, halafu hata hivyo hukuwahi kuchukua likizo ya kueleweka tangu uanze kufanya kazi kwenye hii Kampuni

BM: Yeah ni kweli Mama lakini sikuona ilazima huo

Mama: Sasa Mimi nakupa likizo ya mwezi mmoja ya lazima hata kama hutaki, japokuwa hapa nilikuitia jambo lingine lakini Nadhani tutapata nafasi Nzuri zaidi ya kulijadili hilo jambo akili yako Ikiwa refreshed

BM: Ni jambo gani hilo Mama?

Mama: Nilijadili na mwenzako lile swala la wewe kurithi hii nafasi yangu, amefurahi sana lakini ametaka mvishane kwanza Pete ya kabla ya kukalia hiki kiti, na Mimi Nadhani ni jambo zuri so nilikuitia hapa ili tupange siku ya kufanya zoezi hili, lakini wewe nenda kwanza likizo ukirudi tutapanga vizuri.

Nikamuitikia tu "Sawa Mama" huku nikimuwaza Accountant, ndio kashaanza kuchezesha Karata zake kama alivyoniahidi, Basi mm Nikatoka Ofisini kwa Mama, nilimkuta Accountant Bado yupo pale kwenye kiti changu, Nilifika tu nakumwambia kwa userious wa hali ya juu "nipishe Mimi niendelee na Kazi"

Accountant: I hope umefanya Maamuzi ya kiume, halafu kumbe huwa mnaongeaga mambo mengi na Mama bila kunishirikisha, ivi unajua maamuzi mengi anayoyafanya mama juu yako ni kwasababu anajua Mimi na wewe ni wapenzi, Sasa isije ikawa umeshaharibu mambo huko

BM: Sikiliza **** (Accountant) naomba kwasasa uende kwenye ofisi yako, Nina mambo mengi ya kufanya, sitakiwi kuacha kiporo Cha aina yoyote kwasababu kuanzia Jumatatu siji kazini

Accountant: Unasemaje wewe?

Alivyosikia "Kuanzia Jumatatu siji kazini" alipagawa sijui alidhani nimeshaacha kazi, Alitoka mbio sijui kaelekea wapi ila itakua tu kwa Mama yake bila shaka

Nimekaa kidogo akarudi akanambia "Inawezekana wewe ndio umeomba hii likizo ili ukajipange maana inaonesha Kazi unaitaka lakini mwenye kazi humtaki, Sasa Mimi nakuambia hivi, we nenda hiyo likizo lakini siku utakayorudi hapa uwe umeshaamua jambo moja kati ya haya mawili, UNIOE au uandike barua ya kuacha kazi, Sitakubari uwe Director wa hii Kampuni a halafu raha unakula unakula watu wengine" alivyomaliza hakutaka nimjibu akaondoka

Aliniacha na mawazo, kusema ukweli hii nafasi naitaka ili niweze kufikia malengo yangu lakini ndio hivyo tena ili ni qualify kwenye hiyo nafasi basi nilazima nimuoe Accountant, nikifanya hivyo Annie wangu nitamuweka katika nafasi gani na Jana tu tumetoka kula kiapo, na huyu Accountant mwenyewe hana sifa hata moja ya wife ila kitandani kwakweli yupo vizuri japokuwa ilikuwa ni mara moja na kwa bahati mbaya na hiyo dhambi nishaimbea msamaha kwa Annie na kanisamehe kwa kumuahidi kutorudia tena

Siku ikaisha na ndio ikawa nimeianza likizo yangu ya mwezi mmoja rasmi, lakini ya mawazo kwasababu natakiwa kufanya uamuzi sahihi, hapa kichwa kiliniuma zaidi kwasababu ya mtihani wa Mzee niliopewa,

Wakati naandika huu Uzi nilikuwa Bado sijapewa likizo, Uzi nimeianza kuaandika jumatano ya tarehe 6/7/2022 na likizo nimepewa juzi Jumamosi tarehe 9/7/2022 hii siku kama mnakumbuka nilicomment hapa hiyo comment ipo namba 272 kama sikosei nilitoa maelezo kwanini hii story imekua ndefu Sasa siku hii ndio nilipewa likizo ya lazima so hili tukio ndio nimeliunganisha kwenye Uzi.

Na Uzi ulikuwa una muhusi Mzee ila niliongea story zingine kwasababu ili kufaulu mtihani wa Mzee inategemea pia mm kuendelea kubaki kazini

Inatakiwa Utulivu wa hali ya juu kuelewa, TURUDI NYUMA KWENYE MTIHANI NILIOPEWA NA MZEE

Ilikuwa Alhamisi, saa nne na Dakika thelathini na Saba sekunde ya sita simu ya Mzee iliingia nikiwa Ofisini najiandaa kwenda Zanzibar na Boti ya mchana

Mzee: [emoji338]"Kijana wangu hujambo?"

BM: "Sijambo Mzee, Shikamoo"

Mzee: "Marhaba, Sasa nataka kukujuza kwamba siku ya Jumapili jioni nasafiri hivyo nakuomba tuonane siku hiyo kabla sijaondoka

BM: "Sawa Mzee Haina shida"[emoji3513]

Basi nilienda Zanzibar nakurudi kesho yake, Jumapili Ikafika nikajua kabisa LEO NDIO ILE SIKU, Ile siku ya kupatiwa mtihani, Nakumbuka nilienda kwa Mzee mida ya saa sita mchana, nimeingia kwenye Ile nyumba harafu za misosi tu ndio zimetamalaki,

Kama kawaida chimbo langu na Mzee ni Backyard tukaongea sana mambo mengi, Sasa bhana safari yenyewe kumbe ni ya nje ya nchi, Mimi nilijua ni zile safari zake za mkoani kumbe Mzee anaenda United Kingdom (Uingereza) na atakaa huko kwa muda wa miezi miwili na nusu

Acha nifungue code kwenye Biashara moja ya Mzee, Ni hivi, Mzee ana mabiashara mengi ila moja ya hizo Biashara ni maduka ya Ex UK, Sasa huko UK alikua anaenda kibiashara zaidi, Sasa Mzee alinambia kwa muda wote. huo ambao atakuwa nje ya nchi niwe natembelea familia yake mara kwa mara, muda wa msosi ukafika tukakutana wote mezani yani Mimi, Michelle, Caryn, Mama na Mzee, Wakati tunaendelea kula mazungumzo nayo yaliendelea

Mama: "BM usipotee sana kwasababu Baba hayupo, uwe inakuja nyumbani tena mara kwa mara zaidi

Mzee: "Nimeshamsisitizia hilo, halafu BM kuhusu ule mtihani niliosema nitakupatia maelezo yote anayo Caryn, So ni wewe Tu kutafuta muda ukae chini na Caryn akuelezee

Nikajibu "Sawa Mzee" huku nikimuangalia Caryn na yeye akinipiga jicho la kimtindo

Michelle: "Baba kwani ni mtihani gani huo?"

Mzee: "Hili halikuhusu Michelle, wewe si ulishafeli wa kwako, Majukumu anayofanya Caryn ulipaswa kufanya wewe. Na Caryn zidisha umakini katika kumsaidia Mama yako majukumu ya Ofisini, Kuna baadhi ya mambo Mama yako anasahau

Caryn: Okay Dady, we will miss you

Eeh!!! nilishangaa, kumbe Caryn ndio anapewa majukumu makubwa kiasi hiki, basi tulimaliza kula tukakaa kama 1 hour tukaanza safari ya kuelekea Airport, hii ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kupanda 'Jeep Wrangler' halafu Mzee akaniambia nikae mbele, Guess Sasa nani anaendesha? ni Caryn jamani dah!

Tukafika Airport Wakati tunamuaga Mzee akanambia "BM nikirudi nikukute ushapata Driving Licence" Nikamwambia "nitajitahidi Mzee" Basi ndio hvyo tena Mzee akaingia kwenye kale ka mlango kalikoandikwa DEPARTURE sisi tukaenda kwenye Gari na kurudi nyumbani,

Wakati tumefika Tazara tunacross kuelekea Buguruni Nikamwambia Caryn "Mimi mtanidrop hapo Tabata"

Caryn: "Okay, I will text you, Dady gave me your number"

Tukafika Tabata wakanishusha nikatafuta Daladala la kuelekea Tabata Kimanga

Blue Monday mapema kabisa nimeamka kwaajili ya kwenda kazi, nashika simu kuangalia muda naona meseji ya namba ngeni kuifungua "Hey! Mornie, It's me Caryn" Nika reply "I got you" then nikasave namba yake

Wakati nipo Ofisini Caryn akanipigia akanambia kuwa yupo ofisini kwa Baba yake atatoka jioni na kuelekea **** ni Ile Hotel ambayo nilikutana na Baba yake, hivyo akaniambia nimkute hapo

Sasa yeye aliwahi sana kutoka siunajua wao ndio mabosi so wanajiamulia muda wa kutoka, mm ilibidi nisubiri Hadi ifike angalau saa kumi na nusu, Mida ikafika ya kutoka kazi moja kwa moja nikaelekea Hotelini lakini hiyo foleni niliyokutana nayo Njiani siyo ya kitoto, nikajua yule mtoto (Caryn) alivyo serious katika Kila Kitu sidhani kama nitamkuta, Mungu alisaidia nikamkuta Ile nimefika tu nikakaribishwa na

Caryn: "why are you late, you kept me waiting almost 2 hours?"

BM: "It wasn't deliberate the traffic was crazy it was terrible"

Caryn: "That is the senseless excuse"

BM: "Ok, let's discuss what brought us here"

Caryn: "let me start by asking you a question, Have you ever...."

BM: "Wait pls, Sijawahi kusikia ukitumia kiswahili japo kwa sentensi 3 mfululizo, naomba Leo tutumie kiswahili kwenye haya mazungumzo"

Caryn: "Ni sawa tu, as you wish

Nikasema 'Yes' maana Nisingemuwahi huyu angenitemea Yai[emoji1639] hapa mwanzo mwisho na hata misamiati mingine nisingeielewa

Caryn: "Umeshawahi kufanya Biashara?"

BM: "Kama Biashara gani labda?"

Caryn: "Typical Tanzanian man you're answering questions for questions"

BM: "Madam anayejibu swali kwa swali mwisho wa siku jibu lake linakuwa la uhakika, yani hiyo ni njia ya kulielewa swali vizuri zaidi, ila na wewe Kingereza unakipenda sana bhana

Caryn: "Okay, Just any Business hata kama ya kuuza chupi"

BM: "Hapata, sijawahi Fanya Biashara"

Caryn: "Interesting, kama ni hivyo hukuwa katika nafasi ya kujibu Swali kwa swali kama ulivyofanya"

BM: "Nimekosa mimi, twende kwenye Point"(Nikajisemea moyoni Leo kazi ninayo)

Caryn: "Ebu kwanza nieleze kuhusu yule kijana aliyekuja na wadogo zake pamoja na watoto wengine"

BM: "Nikueleze nini?

Caryn: "Ooh shit! same mistake, Are sure you will handle this?

BM: "You wasn't specific enough, ukiuliza swali jaribu kuwa specific zaidi"

Caryn: "You're not smart enough as I expected, I see that you're even worse than i imagined

BM: "Madam mimi naomba niende tu, maana naona Sasa umekuja kunichora tu

Nikanyanyuka kwenye kiti, kabla sijapiga hatua akanambia "Ebu acha utoto Kaa chini na unisikilize kwa Makini, naku challenge kidogo na wewe umejaa kweli"

Nikakaa chini moyoni namsema huyu mtu inabidi nimsome akili yake ndio nitaenda nae sawa lasivyo atanitoa knock out

BM: "Caryn jaribu kuwa serious kidogo, unajua kama ningekuwa na Mzee hapa tungekuwa tushamaliza maongezi

Caryn: "Thus why I am not Mzee, you know what BM, kwa muda huu mchache tuliokaa hapa Kuna Kitu nishakisoma kutoka kwako

BM; "Kitu gani?

Caryn: "Unakosa some confidence pengine hasa ukiwa na mtu ambae hujamzoea, kwa Mfano kwenye swala la Kingereza sidhani kama ww hujui Kingereza, unakijua vizuri tu lakini ukataka niongee kiswahili, chaajabu nikawa naongea Kingereza makusudi na wewe unanijibu Kingereza, hiyo maana yake Nini?

BM: "Sawa nimekusikia, nitayafanyia kazi si ni hayo tu?" (Katika siku ambayo nimejihisi mdhaifu ni leo)

Caryn: "Hapana! sio hayo tu, Pia una shida katika kuongea japokuwa tuko pale pale kwenye confidence, nimekusoma wewe ni mjanja ambae huna confidence, Sasa ukiongea mbele ya mtu ambae hayupo Makini atajua una confidence kumbe ni ujanja tu, So you should talk like gentleman with confidence

BM: "Dah! Leo kazi ninayo, kama mambo yenyewe ndio haya nyumbani kule si wanapata shida sana?"

Caryn: "Nadhani utakuwa umenielewa, acha niende straight tu the point, Japokuwa nilikuuliza swali mara ya kwanza ila ukaleta ujuaji, Yule kijana uliyemleta siku ile nyumbani na wadogo zake, Mzee kasema kamtafutie nyumba umpangie halafu utaniambiaa Kodi ni kiasi gani nikupatie pesa ya Kodi ya miezi sita, hiyo ni moja mbili Sasa, Amesema umpatie pesa ya mtaji afanye Biashara na uhakikishe katika hiyo Biashara atakayofanya huyo kijana ndani ya miezi sita iwe imeshasimama na waweze kujilipia Kodi,

BM: "Biashara gani sasa na mtaji kiasi gani?

Caryn: "Hapo kwenye Biashara amesema wewe ndio utakayemchagulia na mtaji pia hajakuwekea limitation kwasababu wewe ndio utakayetoa hiyo pesa ila ameweka vigezo katika nyumba utakayo watafutia, Amesema Nyumba isiwe chini ya shilingi laki 1"

BM: "Dah! Baba yako sijamuelewa hapo kwenye swala la nyumba tu, kwasababu kama mm mtu ambae najiweza nakaa nyumba ya laki na nusu iweje yule kijana tumtafutie nyumba ya pesa yote hio Ikiwa ndio anaanza maisha?"

(Kabla ya kujibu Caryn akacheka kwanza)

Caryn: "I'm so proud to have him as my Dady, Sasa acha nikuambie ni Kwanini amekuwekea vigezo hapo kwenye nyumba, Cha kwanza hapo Dady ameshaku limit katika upande wa kuchagua Biashara, kwasababu asingefanya hivyo ungemtafutia tu yule kijana chumba Cha elfu 10 halafu ungempa na mtaji wa Biashara ya karanga

BM: "Mbona kama mtihani wenyewe nishafeli, kwasababu ili mtu aweze kula na kufanya mambo mengine na aweze kulipa Kodi ya laki moja kwa mwezi basi hiyo Biashara mtaji wake usiwe chini ya milioni 1

Caryn: "What do you mean? huna hiyo pesa?

BM; "Tatizo sio Pesa, nawaza ni Biashara gani hiyo yule kijana ataimudu kuendesha ya kiwango hicho Cha pesa

Caryn: "Ndio maana mwanzo nilikuambia nieleze kuhusu kijana ili nikishakupa haya maelezo niweze kukushauri lakini ukajifanya mjuaji

BM: "Yule kijana kwanza kaishia form 3, katika kumuhoji kanambia hajawahi kufanya hata Biashara ya mtualikua anaishiaga kupata vibarua vya kawaida tu

Caryn: "Too late, hili swali ulitakiwa ulijibu pale pale nilivyokuuliza, kwasababu unaweza kuulizwa swali Dar ukiwa unaelekea Mwanza na usione mantiki kwenye swali uliloulizwa ila ukifika Mwanza sasa ndio akili inakukaa sawa na hapo inakuwa too late, So next time uwe Makini ukiwa unazungumza na Mimi"

BM: "Kwahiyo unanisaidiaje katika hili?"

Caryn: "Cha kukusaidia labda nikupe maelezo ya mwisho ambayo ndio ya umuhimu zaidi, Baba Amesema ukifaulu kwenye huu mtihani basi na wewe utakuwa katika nafasi ya kutaja kiasi chochote cha pesa as mtaji wa kufanyia Biashara

BM: "Caryn! some jokes are too experience, you don't meat it.... right?"

Caryn: "I am serious but don't cheat on this, I know my Dady....have a wonderful night"

Caryn ndio ameenda hivyo, na mazungumzo yakaishia hapo


Nakumbusha huu mtihani nilipewa kabla sijapewa likizo ya lazima, so Wakati nikitafakari vile nitafanya ili kufaulu mtihani wa Mzee ndio stress nyingine ya Ofisini ikaja

Wadau natoboa kweli hapa kwenye Situation zote mbili? TRUE STORY



MWISHO
Kuwa tuu makini na trusted,hasahasa kuwa truthful kwa Anne
 
Huu mtihani mgumu...

Kumbuka kuwa...
Watoto wa mitaani washazoea kuomba..

Ni ngumu kusimamia biashara...

Mtaka vyote kwa pupa hukosa vyote...

Hakuna njia ya mkato ktk maisha
 
Ndo hivyo hakuna vya bure duniani

Ila bado najiuliza sijaelewa ama. Hapo ulipoulizwa huna hela yaani mtaji na kodi ya kijana unatoa wewe kwanza ama?
Mbona kama wewe ndio umeniweka katika Wakati mgumu zaidi kama haya unayoyaeleza yataenda kuwa kweli, ila Caryn kweli ana kadharau flani nadhani inasababishwa na overconfidence
 
Asante mkuu, Ushauri mzuri sana, hiyo Delay Method sikuifikiria kwakweli na kuhusu hiyo Biashara ni mtaji kiasi gani unahitajika?

Mtaji hapa ni kuangalia mfukoni mwako maana unaweza kuweka hat 5 M ,ila anaweza kuanza hata na 2 M, ongea na fundi akupe orodha ya vifaa vinavyobadilishwa sana kwenye pikipiki na bajaji ndio unaanza navyo kisha utaendelea kujaza na vifaa vingine kadri mtaji unavyokua, ila hakikisha huyo dogo nae anajifunza huu ufundi awapo na hawa mafundi wengine ili baadae akishaiva na yeye anakuwa anatengeneza hivyo anaongeza mapato.

Hii project akiipenda huyo kijana ipereke nnje ya mji kidogo, nishawahi kukaa Majohe huko nilipanga nyumba nzima na fance yake ipo road kabisa kwa 150k kwa mwezi, nilikuwa kama kwangu maana nilikuwa mwenyewe tu, sasa mazingira kama haya unaweza ukafanya sehemu ya kulazia vyombo vya moto pia.
 
Hey
Achana na huyo accountant, kakufanya slave wake kisa una shida.mwambie mapenzi hayaendi hivo.na pia umuweke mbali Annie wako maana anaweza mdhuru bure.
Kwa hii likizo komaa na huyu kijana,hata biashara ya chakula inalipa.hata chipsi zinalipa.kikubwa kaa nae na wadogo zake waeleze ukweli waambie nini wanatakiwa kufanya.halafu wafanye ndugu zako,wadogo zako na jukumu lako maana kufanikiwa kwao ni kufanikiwa kwako.pia kijana afanye kile anachokifurahia atafanikiwa.
Pia kama na Annie mweleze mkanda wote mwanzo mwisho aujue ukweli kutoka moyoni maana unavyomficha nae anabaki njia panda.MPE ukweli na ushirikiane nae kama unamuhitaji kwa safari yako ya mbele.kuanzia mambo ya office yalokukuta mpaka mzee.hata ikitokea ukaacha kazi na kwa mzee pakawa pagumu akuelewe its for her.mpe mkanda halisi na vitisho vyote unavyopewa.
Ila hakikisha kwanza mpango wa kijana buguruni unatick ndipo uanze kufanya maamuzi ya office!komaa na vijana kwanza kwenye hii likizo.
Nauzingatia ushauri wako mkuu, utajua pia nikiacha Kazi huu mtihani wa Mzee nitashindwa kuufanya maana unahitaji pesa na Mzee kasema nitumie Pesa yangu, hapo nambie inakuaje?
 
Unaweza kuwa mwandishi mzuri w scripts na muongoxaji mzuri.

Fanyia kazi hili mkuu
Kweli? Sijawahi kuambiwa hili labda kwasababu ndio mara ya kwanza kuandika story, ila kipindi Cha nyuma niliwahi kuwa muandishi wa habari za kuandika kwenye website (Entertainment news)
 
Mkuu tuendelee na story ninaifurahia na ina kitu cha kujifunza.
Lkn sio halisi...hili niachie mimi naomba nisikutoe kwenye reli.
[emoji849] Haya bhana
 
Hey
Achana na huyo accountant, kakufanya slave wake kisa una shida.mwambie mapenzi hayaendi hivo.na pia umuweke mbali Annie wako maana anaweza mdhuru bure.
Kwa hii likizo komaa na huyu kijana,hata biashara ya chakula inalipa.hata chipsi zinalipa.kikubwa kaa nae na wadogo zake waeleze ukweli waambie nini wanatakiwa kufanya.halafu wafanye ndugu zako,wadogo zako na jukumu lako maana kufanikiwa kwao ni kufanikiwa kwako.pia kijana afanye kile anachokifurahia atafanikiwa.
Pia kama na Annie mweleze mkanda wote mwanzo mwisho aujue ukweli kutoka moyoni maana unavyomficha nae anabaki njia panda.MPE ukweli na ushirikiane nae kama unamuhitaji kwa safari yako ya mbele.kuanzia mambo ya office yalokukuta mpaka mzee.hata ikitokea ukaacha kazi na kwa mzee pakawa pagumu akuelewe its for her.mpe mkanda halisi na vitisho vyote unavyopewa.
Ila hakikisha kwanza mpango wa kijana buguruni unatick ndipo uanze kufanya maamuzi ya office!komaa na vijana kwanza kwenye hii likizo.
Inaonekana Mr BM X6 ana moyo wa huruma sana, ana "empathy" ya hali ya juu sana.

Kijana wa Buguruni ana wadogo zake wawili, kama sijakosea, na mmoja ni mgonjwa mgonjwa na hajawahi pata matibabu asilani! Kijana wa Buguruni ana umri wa miaka 17, ndio anaweza fanya biashara lakini sioni ni kwajinsi gani ataweza kujiendeleza baada ya miezi sita...sustainability! Tunaijua hali halisi ya nchi yetu.

Ninashauri kabla ya yote Mr. BM X6 apate historia yote ya hii familia ya watoto hawa.....ndugu wa pande zote wako wapi nini kiliwakumba hadi kuwa hapo walipo. Ninashauri, kama itampendeza BM X6 awaasili (adopt) hao watoto kwa kufuata taratibu zote za serikali.

Kama wazo la adoption sio muafaka kwako, basi fungua NGO itakayojishughulisha na watoto walio katika mazingira magumu na tafuta nyumba anza na hao watoto watatu kwanza. Nina imani, mfadhili wako wa kwanza atakuwa huyo Mzee. Katika nyumba hiyo, watoto watapata nafasi ya malazi, chakula, elimu na matibabu. Sioni mantiki ya biashara Kijana wa Guguruni ilahali wadogo zake wanahitaji sana elimu.
ILIPOISHIA [emoji1484]

Caryn: "Sorry Dad, first of all I want to know where these kids came from?

Tukaanza kuangaliana na yule jamaa aliyekuwa anaendesha Gari, Wakati najipanga kujibu.....

Caryn: BM, You should answer this question

Nikamuambia wametoka Buguruni Rozana

Caryn: "Dad, I think you should change your strategy on how to help these kids

The food we're gonna give them was it gonna change their life?
So as a rich man if you think you want to help someone give them the kind of help that would transform their life not leaving them with food in my opinion"


MUENDELEZO [emoji1484]

Mzee akamuangalia Caryn halafu akaniangalia na Mimi, Akasema "Kwahiyo unashauri tufanye nini Binti yangu"

Caryn: Let me speak swahili so that they can understand me, Hawa watoto kwa umri waliokuwa nao wanatakiwa wawepo shuleni, labda mtasema mnawapatia chakula kwasababu hawajafika umri wa kujishughulisha na shughuli zozote za kujiingizia kipato, huyo Kaka yao je maana anaoneka ni mtu mzima

Caryn: "How old...ooh sorry, Una miaka mingapi kaka?"

Kijana: "Kumi na Saba"

Mzee: Kumi na Saba Bado mdogo sheria haruhusu

Caryn: Come on Dady, Kwahiyo kama sheria hairuhusu ndio abaki kuomba omba, Kuna situation ikikufika hutakiwi kuangalia Sheria inasemaje inakubidi kufanya kile unachotakiwa kufanya ili u survive, Kijana you have to do whatever it takes to survive out here in this jungle called life

Michelle: Sometimes you sound more like an adult than a teenager

Caryn: You sound like you're better than me, and you're not

Mama: Na nyie mshaanza sasa na malumbano yenu, ebu Kuweni na adabu hata kidogo mbele za watu msiowajua

Caryn: Ambae hana adabu ni huyo mwanao mama, Watu tunaongea vitu serious yeye analeta utani, mm teenager sawa, yeye huo utu uzima umemsaidia Nini hadi sasa, Anawaza Mapenzi tu......

Mzee: "Caryn basi Inatosha, unajua huyo atabaki kuwa Dada yako inabidi umuheshimu, halafu kwanini siku hizi nyie watu hampendani?"

Caryn: "Kwasababu nimekuambia Habari za huyo bwana ake wa huko Kibaha, I told you Dady na nakuambia tena the guy is more interested in money hakuna Mapenzi hapo"

Mzee: Caryn hiyo ni topic ya siku nyingine all in all nimeipenda maoni yako kuhusu Hawa vijana wadogo

Ila Caryn hapana asee [emoji1544] yule Demu kachukua akili za Baba yake, ni PISI KALI halafu sauti yake ni kama ya Bahati Bukuku na mara nyingi anakuaga serious, nyumba nzima hapa kwa Mzee ni yeye tu ndio sijawahi kumuona akicheka

Tukamaliza kula, Mzee akawahoji wale watoto mambo kadhaa, akawapatia na Pesa halafu akanambia "BM Nadhani Ushauri wa Caryn ni mzuri, Sasa ule mtihani nililokuambia nitakupa umekaribia get yourself ready. chukueni Gari warudisheni Hawa watoto halafu na Kijana atakudrop kwako,

Basi tukaondoka, tukawadrop madogo na mm nikadropiwa, kufika kwa nyumba nikamkuta Annie nikakuta ameandaa my favorite food Wali Nazi Njegere Nazi, Asee halafu nimetoka kubonya Pilau la Kuku kwa Mzee, nikaona hapa busara ni kula hata kama ni nusu sahani, Unajua Annie anajua natoka Kazi hakujua ratiba yangu imeendaje na Wala hajui Mahali nimetoka

Akaniwekea food kwa meza nimeipiga kama vijiko vitatu ivi nikamuuliza "Are you sure it's not Christmas yet?"

Annie: "of course it's not"

Maana sio utamu huu wa msosi, saa hiyo mm nikiendelea kula Annie alionyesha kuwa na mawazo, nikamuuliza nini mbaya?

Annie: You know what BM, now i believe that circumstances change people

Me: Unamaanisha nini?

Annie: Hadi hapa tulipofikia life has taught me not to plant my seed in other people's garden

Nikawa nishajua alichokuwa anamaanisha, TURUDI NYUMA Kidogo ili na wewe umuelewe Annie

Ukisema "Table turns" Mtu wa kwanza kuelewa ni Annie, niulize kwanini? Okay ilikuwa hivi, Miaka mitano nyuma Annie alikuwa mtoto wa kishua nikisema wakishua wakishua haswa haya maisha acheni nyie,

Natamani niandike mengi kuhusu Annie lakini haitawezekana kwasababu code yake nimeifungua, ndio muhusika pekee Jina lake ni halisi kwenye hii story wengine wote nimetunga majina na baadhi yao niliishia kuwaita Mzee, Mama, Jamaa nk

Ila kwa kifupi ni kwamba Annie alipiga taff sana enzi hizo wakiwa bado wako vizuri, Alinilipia hadi ada ya mwaka wa mwisho chuoni. Baba yake alikuja kupata matatizo flani kipindi Cha awamu ya 5, na Annie Mama yake Alishaaga kitambo so alibaki na Baba, Baba nae ndio hivyo akapotezwa, acheni asee kila nikikumbuka roho inaniuma ndio maana nakuwa mzito kumuachia huyu mwanamke

LEO

Nikamwambia Najua unachoniwazia ila nikwambie tu unaniwazia vibaya, acha nikuambie ukweli pengine utakuumiza ila ni Bora kuliko kudanganyana, inawezekana nimekucheat lakini sio kwa mazingira niliyoyaandaa, Najua nilishakuambia mengi kuhusu yule mwanamke (Accountant) lakini hili la kucheat nilikuficha kwasababu sikudhamilia mimi na kuhusu swala la kuacha kazi ili kumkwepa yule mwanamke sidhani kama ni sahihi kwasababu unajua hali halisi ya maisha ilivyo Mimi nakuomba tu uridhie Mimi kundelea kufanya kazi Mimi nitajua tu jinsi ya kudeal na yule mwanamke na nakuahidi sitarudia kosa, Nakuomba usikatae, ni swala la muda tu nikakamilisha malengo yangu flani naachana rasmi na Ile Kampuni

Annie: Okay! i trust you BM, you can go ahead, but remember not everyone in this life gets a second chance to write their wrongs

Me: Nakuahidi haitojirudia, na nakupenda sana japokuwa ww mara nyingi husemi kwa Mdomo kama unanipenda

Annie: Ushaanza, listen BM 'I trust you' is better compliment than 'I love you' because you may not always trust the person you love but you can always love the person you trust

Me: Wow! thanks, i didn't even know that

Basi Mama lao akatoa vyombo pale, Leo hajaachwa mtu Sebuleni, Najua mshaelewa. siku zilikatika mambo yalikuwa mswano na Annie

Asubuhi ya Jumamosi moja nimeamka nimechelewa sana kwenda job, nikajiandaa fasta nikasepa nikafika eneo langu la kazi Sasa wakati naingia Ofisini nikamkuta Accountant kakaa kwenye kiti changu ni kama alikuwa ananisubiri kwa hamu, nikamsalimia akaitikia halafu akanambia

Accountant: Naona maisha yako yanaenda kuwa mazuri ila endapo tu utafanya Maamuzi sahihi

BM: Nikamuuliza Maamuzi gani?

Accountant: Usiwe na haraka BM, Mama alikuwa anakuulizia amesema ukifika tu nikwambie uende Ofisini kwake so we nenda kaonane na Mama

Nikawa najiuliza Kuna jipya gani maana Accountant anafuraha kupita maelezo na si kawaida yake, basi Mimi nikaelekea ofisini kwa Mama, nikasalimia nae halafu nikakaa kwenye kiti

Mama: Mwanangu si kawaida yako kuchelewa kazini, Leo imekuaje?

BM: Jana nilichoki sana Mama, hali iliyosababisha kupitiwa na usingizi Leo na kuchelewa kuamka

Mama: Ooh, halafu hata hivyo hukuwahi kuchukua likizo ya kueleweka tangu uanze kufanya kazi kwenye hii Kampuni

BM: Yeah ni kweli Mama lakini sikuona ilazima huo

Mama: Sasa Mimi nakupa likizo ya mwezi mmoja ya lazima hata kama hutaki, japokuwa hapa nilikuitia jambo lingine lakini Nadhani tutapata nafasi Nzuri zaidi ya kulijadili hilo jambo akili yako Ikiwa refreshed

BM: Ni jambo gani hilo Mama?

Mama: Nilijadili na mwenzako lile swala la wewe kurithi hii nafasi yangu, amefurahi sana lakini ametaka mvishane kwanza Pete ya kabla ya kukalia hiki kiti, na Mimi Nadhani ni jambo zuri so nilikuitia hapa ili tupange siku ya kufanya zoezi hili, lakini wewe nenda kwanza likizo ukirudi tutapanga vizuri.

Nikamuitikia tu "Sawa Mama" huku nikimuwaza Accountant, ndio kashaanza kuchezesha Karata zake kama alivyoniahidi, Basi mm Nikatoka Ofisini kwa Mama, nilimkuta Accountant Bado yupo pale kwenye kiti changu, Nilifika tu nakumwambia kwa userious wa hali ya juu "nipishe Mimi niendelee na Kazi"

Accountant: I hope umefanya Maamuzi ya kiume, halafu kumbe huwa mnaongeaga mambo mengi na Mama bila kunishirikisha, ivi unajua maamuzi mengi anayoyafanya mama juu yako ni kwasababu anajua Mimi na wewe ni wapenzi, Sasa isije ikawa umeshaharibu mambo huko

BM: Sikiliza **** (Accountant) naomba kwasasa uende kwenye ofisi yako, Nina mambo mengi ya kufanya, sitakiwi kuacha kiporo Cha aina yoyote kwasababu kuanzia Jumatatu siji kazini

Accountant: Unasemaje wewe?

Alivyosikia "Kuanzia Jumatatu siji kazini" alipagawa sijui alidhani nimeshaacha kazi, Alitoka mbio sijui kaelekea wapi ila itakua tu kwa Mama yake bila shaka

Nimekaa kidogo akarudi akanambia "Inawezekana wewe ndio umeomba hii likizo ili ukajipange maana inaonesha Kazi unaitaka lakini mwenye kazi humtaki, Sasa Mimi nakuambia hivi, we nenda hiyo likizo lakini siku utakayorudi hapa uwe umeshaamua jambo moja kati ya haya mawili, UNIOE au uandike barua ya kuacha kazi, Sitakubari uwe Director wa hii Kampuni a halafu raha unakula unakula watu wengine" alivyomaliza hakutaka nimjibu akaondoka

Aliniacha na mawazo, kusema ukweli hii nafasi naitaka ili niweze kufikia malengo yangu lakini ndio hivyo tena ili ni qualify kwenye hiyo nafasi basi nilazima nimuoe Accountant, nikifanya hivyo Annie wangu nitamuweka katika nafasi gani na Jana tu tumetoka kula kiapo, na huyu Accountant mwenyewe hana sifa hata moja ya wife ila kitandani kwakweli yupo vizuri japokuwa ilikuwa ni mara moja na kwa bahati mbaya na hiyo dhambi nishaimbea msamaha kwa Annie na kanisamehe kwa kumuahidi kutorudia tena

Siku ikaisha na ndio ikawa nimeianza likizo yangu ya mwezi mmoja rasmi, lakini ya mawazo kwasababu natakiwa kufanya uamuzi sahihi, hapa kichwa kiliniuma zaidi kwasababu ya mtihani wa Mzee niliopewa,

Wakati naandika huu Uzi nilikuwa Bado sijapewa likizo, Uzi nimeianza kuaandika jumatano ya tarehe 6/7/2022 na likizo nimepewa juzi Jumamosi tarehe 9/7/2022 hii siku kama mnakumbuka nilicomment hapa hiyo comment ipo namba 272 kama sikosei nilitoa maelezo kwanini hii story imekua ndefu Sasa siku hii ndio nilipewa likizo ya lazima so hili tukio ndio nimeliunganisha kwenye Uzi.

Na Uzi ulikuwa una muhusi Mzee ila niliongea story zingine kwasababu ili kufaulu mtihani wa Mzee inategemea pia mm kuendelea kubaki kazini

Inatakiwa Utulivu wa hali ya juu kuelewa, TURUDI NYUMA KWENYE MTIHANI NILIOPEWA NA MZEE

Ilikuwa Alhamisi, saa nne na Dakika thelathini na Saba sekunde ya sita simu ya Mzee iliingia nikiwa Ofisini najiandaa kwenda Zanzibar na Boti ya mchana

Mzee: [emoji338]"Kijana wangu hujambo?"

BM: "Sijambo Mzee, Shikamoo"

Mzee: "Marhaba, Sasa nataka kukujuza kwamba siku ya Jumapili jioni nasafiri hivyo nakuomba tuonane siku hiyo kabla sijaondoka

BM: "Sawa Mzee Haina shida"[emoji3513]

Basi nilienda Zanzibar nakurudi kesho yake, Jumapili Ikafika nikajua kabisa LEO NDIO ILE SIKU, Ile siku ya kupatiwa mtihani, Nakumbuka nilienda kwa Mzee mida ya saa sita mchana, nimeingia kwenye Ile nyumba harafu za misosi tu ndio zimetamalaki,

Kama kawaida chimbo langu na Mzee ni Backyard tukaongea sana mambo mengi, Sasa bhana safari yenyewe kumbe ni ya nje ya nchi, Mimi nilijua ni zile safari zake za mkoani kumbe Mzee anaenda United Kingdom (Uingereza) na atakaa huko kwa muda wa miezi miwili na nusu

Acha nifungue code kwenye Biashara moja ya Mzee, Ni hivi, Mzee ana mabiashara mengi ila moja ya hizo Biashara ni maduka ya Ex UK, Sasa huko UK alikua anaenda kibiashara zaidi, Sasa Mzee alinambia kwa muda wote. huo ambao atakuwa nje ya nchi niwe natembelea familia yake mara kwa mara, muda wa msosi ukafika tukakutana wote mezani yani Mimi, Michelle, Caryn, Mama na Mzee, Wakati tunaendelea kula mazungumzo nayo yaliendelea

Mama: "BM usipotee sana kwasababu Baba hayupo, uwe inakuja nyumbani tena mara kwa mara zaidi

Mzee: "Nimeshamsisitizia hilo, halafu BM kuhusu ule mtihani niliosema nitakupatia maelezo yote anayo Caryn, So ni wewe Tu kutafuta muda ukae chini na Caryn akuelezee

Nikajibu "Sawa Mzee" huku nikimuangalia Caryn na yeye akinipiga jicho la kimtindo

Michelle: "Baba kwani ni mtihani gani huo?"

Mzee: "Hili halikuhusu Michelle, wewe si ulishafeli wa kwako, Majukumu anayofanya Caryn ulipaswa kufanya wewe. Na Caryn zidisha umakini katika kumsaidia Mama yako majukumu ya Ofisini, Kuna baadhi ya mambo Mama yako anasahau

Caryn: Okay Dady, we will miss you

Eeh!!! nilishangaa, kumbe Caryn ndio anapewa majukumu makubwa kiasi hiki, basi tulimaliza kula tukakaa kama 1 hour tukaanza safari ya kuelekea Airport, hii ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kupanda 'Jeep Wrangler' halafu Mzee akaniambia nikae mbele, Guess Sasa nani anaendesha? ni Caryn jamani dah!

Tukafika Airport Wakati tunamuaga Mzee akanambia "BM nikirudi nikukute ushapata Driving Licence" Nikamwambia "nitajitahidi Mzee" Basi ndio hvyo tena Mzee akaingia kwenye kale ka mlango kalikoandikwa DEPARTURE sisi tukaenda kwenye Gari na kurudi nyumbani,

Wakati tumefika Tazara tunacross kuelekea Buguruni Nikamwambia Caryn "Mimi mtanidrop hapo Tabata"

Caryn: "Okay, I will text you, Dady gave me your number"

Tukafika Tabata wakanishusha nikatafuta Daladala la kuelekea Tabata Kimanga

Blue Monday mapema kabisa nimeamka kwaajili ya kwenda kazi, nashika simu kuangalia muda naona meseji ya namba ngeni kuifungua "Hey! Mornie, It's me Caryn" Nika reply "I got you" then nikasave namba yake

Wakati nipo Ofisini Caryn akanipigia akanambia kuwa yupo ofisini kwa Baba yake atatoka jioni na kuelekea **** ni Ile Hotel ambayo nilikutana na Baba yake, hivyo akaniambia nimkute hapo

Sasa yeye aliwahi sana kutoka siunajua wao ndio mabosi so wanajiamulia muda wa kutoka, mm ilibidi nisubiri Hadi ifike angalau saa kumi na nusu, Mida ikafika ya kutoka kazi moja kwa moja nikaelekea Hotelini lakini hiyo foleni niliyokutana nayo Njiani siyo ya kitoto, nikajua yule mtoto (Caryn) alivyo serious katika Kila Kitu sidhani kama nitamkuta, Mungu alisaidia nikamkuta Ile nimefika tu nikakaribishwa na

Caryn: "why are you late, you kept me waiting almost 2 hours?"

BM: "It wasn't deliberate the traffic was crazy it was terrible"

Caryn: "That is the senseless excuse"

BM: "Ok, let's discuss what brought us here"

Caryn: "let me start by asking you a question, Have you ever...."

BM: "Wait pls, Sijawahi kusikia ukitumia kiswahili japo kwa sentensi 3 mfululizo, naomba Leo tutumie kiswahili kwenye haya mazungumzo"

Caryn: "Ni sawa tu, as you wish

Nikasema 'Yes' maana Nisingemuwahi huyu angenitemea Yai[emoji1639] hapa mwanzo mwisho na hata misamiati mingine nisingeielewa

Caryn: "Umeshawahi kufanya Biashara?"

BM: "Kama Biashara gani labda?"

Caryn: "Typical Tanzanian man you're answering questions for questions"

BM: "Madam anayejibu swali kwa swali mwisho wa siku jibu lake linakuwa la uhakika, yani hiyo ni njia ya kulielewa swali vizuri zaidi, ila na wewe Kingereza unakipenda sana bhana

Caryn: "Okay, Just any Business hata kama ya kuuza chupi"

BM: "Hapata, sijawahi Fanya Biashara"

Caryn: "Interesting, kama ni hivyo hukuwa katika nafasi ya kujibu Swali kwa swali kama ulivyofanya"

BM: "Nimekosa mimi, twende kwenye Point"(Nikajisemea moyoni Leo kazi ninayo)

Caryn: "Ebu kwanza nieleze kuhusu yule kijana aliyekuja na wadogo zake pamoja na watoto wengine"

BM: "Nikueleze nini?

Caryn: "Ooh shit! same mistake, Are sure you will handle this?

BM: "You wasn't specific enough, ukiuliza swali jaribu kuwa specific zaidi"

Caryn: "You're not smart enough as I expected, I see that you're even worse than i imagined

BM: "Madam mimi naomba niende tu, maana naona Sasa umekuja kunichora tu

Nikanyanyuka kwenye kiti, kabla sijapiga hatua akanambia "Ebu acha utoto Kaa chini na unisikilize kwa Makini, naku challenge kidogo na wewe umejaa kweli"

Nikakaa chini moyoni namsema huyu mtu inabidi nimsome akili yake ndio nitaenda nae sawa lasivyo atanitoa knock out

BM: "Caryn jaribu kuwa serious kidogo, unajua kama ningekuwa na Mzee hapa tungekuwa tushamaliza maongezi

Caryn: "Thus why I am not Mzee, you know what BM, kwa muda huu mchache tuliokaa hapa Kuna Kitu nishakisoma kutoka kwako

BM; "Kitu gani?

Caryn: "Unakosa some confidence pengine hasa ukiwa na mtu ambae hujamzoea, kwa Mfano kwenye swala la Kingereza sidhani kama ww hujui Kingereza, unakijua vizuri tu lakini ukataka niongee kiswahili, chaajabu nikawa naongea Kingereza makusudi na wewe unanijibu Kingereza, hiyo maana yake Nini?

BM: "Sawa nimekusikia, nitayafanyia kazi si ni hayo tu?" (Katika siku ambayo nimejihisi mdhaifu ni leo)

Caryn: "Hapana! sio hayo tu, Pia una shida katika kuongea japokuwa tuko pale pale kwenye confidence, nimekusoma wewe ni mjanja ambae huna confidence, Sasa ukiongea mbele ya mtu ambae hayupo Makini atajua una confidence kumbe ni ujanja tu, So you should talk like gentleman with confidence

BM: "Dah! Leo kazi ninayo, kama mambo yenyewe ndio haya nyumbani kule si wanapata shida sana?"

Caryn: "Nadhani utakuwa umenielewa, acha niende straight tu the point, Japokuwa nilikuuliza swali mara ya kwanza ila ukaleta ujuaji, Yule kijana uliyemleta siku ile nyumbani na wadogo zake, Mzee kasema kamtafutie nyumba umpangie halafu utaniambiaa Kodi ni kiasi gani nikupatie pesa ya Kodi ya miezi sita, hiyo ni moja mbili Sasa, Amesema umpatie pesa ya mtaji afanye Biashara na uhakikishe katika hiyo Biashara atakayofanya huyo kijana ndani ya miezi sita iwe imeshasimama na waweze kujilipia Kodi,

BM: "Biashara gani sasa na mtaji kiasi gani?

Caryn: "Hapo kwenye Biashara amesema wewe ndio utakayemchagulia na mtaji pia hajakuwekea limitation kwasababu wewe ndio utakayetoa hiyo pesa ila ameweka vigezo katika nyumba utakayo watafutia, Amesema Nyumba isiwe chini ya shilingi laki 1"

BM: "Dah! Baba yako sijamuelewa hapo kwenye swala la nyumba tu, kwasababu kama mm mtu ambae najiweza nakaa nyumba ya laki na nusu iweje yule kijana tumtafutie nyumba ya pesa yote hio Ikiwa ndio anaanza maisha?"

(Kabla ya kujibu Caryn akacheka kwanza)

Caryn: "I'm so proud to have him as my Dady, Sasa acha nikuambie ni Kwanini amekuwekea vigezo hapo kwenye nyumba, Cha kwanza hapo Dady ameshaku limit katika upande wa kuchagua Biashara, kwasababu asingefanya hivyo ungemtafutia tu yule kijana chumba Cha elfu 10 halafu ungempa na mtaji wa Biashara ya karanga

BM: "Mbona kama mtihani wenyewe nishafeli, kwasababu ili mtu aweze kula na kufanya mambo mengine na aweze kulipa Kodi ya laki moja kwa mwezi basi hiyo Biashara mtaji wake usiwe chini ya milioni 1

Caryn: "What do you mean? huna hiyo pesa?

BM; "Tatizo sio Pesa, nawaza ni Biashara gani hiyo yule kijana ataimudu kuendesha ya kiwango hicho Cha pesa

Caryn: "Ndio maana mwanzo nilikuambia nieleze kuhusu kijana ili nikishakupa haya maelezo niweze kukushauri lakini ukajifanya mjuaji

BM: "Yule kijana kwanza kaishia form 3, katika kumuhoji kanambia hajawahi kufanya hata Biashara ya mtualikua anaishiaga kupata vibarua vya kawaida tu

Caryn: "Too late, hili swali ulitakiwa ulijibu pale pale nilivyokuuliza, kwasababu unaweza kuulizwa swali Dar ukiwa unaelekea Mwanza na usione mantiki kwenye swali uliloulizwa ila ukifika Mwanza sasa ndio akili inakukaa sawa na hapo inakuwa too late, So next time uwe Makini ukiwa unazungumza na Mimi"

BM: "Kwahiyo unanisaidiaje katika hili?"

Caryn: "Cha kukusaidia labda nikupe maelezo ya mwisho ambayo ndio ya umuhimu zaidi, Baba Amesema ukifaulu kwenye huu mtihani basi na wewe utakuwa katika nafasi ya kutaja kiasi chochote cha pesa as mtaji wa kufanyia Biashara

BM: "Caryn! some jokes are too experience, you don't meat it.... right?"

Caryn: "I am serious but don't cheat on this, I know my Dady....have a wonderful night"

Caryn ndio ameenda hivyo, na mazungumzo yakaishia hapo


Nakumbusha huu mtihani nilipewa kabla sijapewa likizo ya lazima, so Wakati nikitafakari vile nitafanya ili kufaulu mtihani wa Mzee ndio stress nyingine ya Ofisini ikaja

Wadau natoboa kweli hapa kwenye Situation zote mbili? TRUE STORY



MWISHO
Inaonekana Mr BM X6 ana moyo wa huruma sana, ana "empathy" ya hali ya juu sana.

Kijana wa Buguruni ana wadogo zake wawili, kama sijakosea, na mmoja ni mgonjwa mgonjwa na hajawahi pata matibabu asilani! Kijana wa Buguruni ana umri wa miaka 17, ndio anaweza fanya biashara lakini sioni ni kwajinsi gani ataweza kujiendeleza baada ya miezi sita...sustainability! Tunaijua hali halisi ya nchi yetu.

Ninashauri kabla ya yote Mr. BM X6 apate historia yote ya hii familia ya watoto hawa.....ndugu wa pande zote wako wapi nini kiliwakumba hadi kuwa hapo walipo. Ninashauri, kama itampendeza BM X6 awaasili (adopt) hao watoto kwa kufuata taratibu zote za serikali.

Kama wazo la adoption sio muafaka kwako, basi fungua NGO itakayojishughulisha na watoto walio katika mazingira magumu na tafuta nyumba anza na hao watoto watatu kwanza. Nina imani, mfadhili wako wa kwanza atakuwa huyo Mzee. Katika nyumba hiyo, watoto watapata nafasi ya malazi, chakula, elimu na matibabu. Sioni mantiki ya biashara Kijana wa Guguruni ilahali wadogo zake wanahitaji sana elimu.
 
Ndo hivyo hakuna vya bure duniani

Ila bado najiuliza sijaelewa ama. Hapo ulipoulizwa huna hela yaani mtaji na kodi ya kijana unatoa wewe kwanza ama?
Hapana, According to Caryn, Mzee kasema atatoa Kodi ya miezi sita ila Mtaji ndio natoa mm ila tu nihakikishe baada ya miezi sita kijana aweze kujilipia Kodi kupitia Biashara nitakayomfungulia
 
Huu mtihani mgumu...

Kumbuka kuwa...
Watoto wa mitaani washazoea kuomba..

Ni ngumu kusimamia biashara...

Mtaka vyote kwa pupa hukosa vyote...

Hakuna njia ya mkato ktk maisha
Kwahiyo ili nisitake yote, wewe unahisi nibaki upande upi hapo ambao utakuwa sahihi?
 
Inaonekana Mr BM X6 ana moyo wa huruma sana, ana "empathy" ya hali ya juu sana.

Kijana wa Buguruni ana wadogo zake wawili, kama sijakosea, na mmoja ni mgonjwa mgonjwa na hajawahi pata matibabu asilani! Kijana wa Buguruni ana umri wa miaka 17, ndio anaweza fanya biashara lakini sioni ni kwajinsi gani ataweza kujiendeleza baada ya miezi sita...sustainability! Tunaijua hali halisi ya nchi yetu.

Ninashauri kabla ya yote Mr. BM X6 apate historia yote ya hii familia ya watoto hawa.....ndugu wa pande zote wako wapi nini kiliwakumba hadi kuwa hapo walipo. Ninashauri, kama itampendeza BM X6 awaasili (adopt) hao watoto kwa kufuata taratibu zote za serikali.

Kama wazo la adoption sio muafaka kwako, basi fungua NGO itakayojishughulisha na watoto walio katika mazingira magumu na tafuta nyumba anza na hao watoto watatu kwanza. Nina imani, mfadhili wako wa kwanza atakuwa huyo Mzee. Katika nyumba hiyo, watoto watapata nafasi ya malazi, chakula, elimu na matibabu. Sioni mantiki ya biashara Kijana wa Guguruni ilahali wadogo zake wanahitaji sana elimu.

Inaonekana Mr BM X6 ana moyo wa huruma sana, ana "empathy" ya hali ya juu sana.

Kijana wa Buguruni ana wadogo zake wawili, kama sijakosea, na mmoja ni mgonjwa mgonjwa na hajawahi pata matibabu asilani! Kijana wa Buguruni ana umri wa miaka 17, ndio anaweza fanya biashara lakini sioni ni kwajinsi gani ataweza kujiendeleza baada ya miezi sita...sustainability! Tunaijua hali halisi ya nchi yetu.

Ninashauri kabla ya yote Mr. BM X6 apate historia yote ya hii familia ya watoto hawa.....ndugu wa pande zote wako wapi nini kiliwakumba hadi kuwa hapo walipo. Ninashauri, kama itampendeza BM X6 awaasili (adopt) hao watoto kwa kufuata taratibu zote za serikali.

Kama wazo la adoption sio muafaka kwako, basi fungua NGO itakayojishughulisha na watoto walio katika mazingira magumu na tafuta nyumba anza na hao watoto watatu kwanza. Nina imani, mfadhili wako wa kwanza atakuwa huyo Mzee. Katika nyumba hiyo, watoto watapata nafasi ya malazi, chakula, elimu na matibabu. Sioni mantiki ya biashara Kijana wa Guguruni ilahali wadogo zake wanahitaji sana elimu.
Sasa huo mtihani niliopewa ndio natakiwa nifaulu ili hayo yote yatendeke ikiwemo na madogo kwenda shule, yako kwa kifupi natakiwa nimuwezeshe kijana aweze kuhudumia wadogo zake
 
Kwahiyo ili nisitake yote, wewe unahisi nibaki upande upi hapo ambao utakuwa sahihi?
Hakuna upande wa kubaki...

Kwanza umekosea sana kuingiza mapenzi sehemu za kazini, Acha kabisa...
Accountant atakuharibia kazi...

Hivyo huna kazi...

Pili umekuwa umekuwa unapenda vya bure, wewe mtoto wa kiume pambana kwa jasho...

Mzee anakupelekesha tu ka mtumwa...kama anataka kukusaidia mbona masharti...

Pia msaada angetoa yeye mwenyewe kwa hao watoto wa mtaaani...

Anataka kitu kutoka kwako mwishoe utaambiwa uoe mtoto wake...

Mi nafikiri Acha vyote ufanye biashara yako mwenyewe achana na Mzee na Achana na kazi ya mama Accountant
 
Back
Top Bottom