Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Kwanza unatakiwa umu inspect huyo mtoto anawaza nini kichwani ujue familia yake na nani yupo nyuma yake wewe unaweza ukamsaidia kwa hayo halafu akaja kufelishwa na watu/mtu wa karibu yake either baba, mjomba, kaka au somebody else anaemuheshimu changa karata zako vzr jua anapendelea kufanya nini cha kumuingizia kipato.

Kuhusu biashara mpe kozi kwanza ndogo ya kujua ufundi pikipiki/bajaji kwenye kijiwe chochote cha mafundi then mfungulie Duka la spare parts na kwa kuwa yeye mwenyewe atakua na ufahamu atamudu na kwa kuwa ana wadogo zake nao watamsaidia na watapata elimu ya ufundi
 
Kichwa cha habari kilitakiwa kuwa "hatma ya maisha yangu yapo mikononi mwa Accountant na mafanikio ya kijana wa Buguruni".
 
Hata hivyo Caryn mm namuogopa, nishamzoea mnyonge wangu Annie, nikimuambia nyamaza ananyamaza, huyu Caryn tutawezana kweli?
Na kwann umfanye Annie mnyonge?? Kisa leo unacho..kisa hupendi kusikia ukweli..au kisa ni mnyenyekevu na mpole and she loves you dearly... Au ni kwamba kujikuta mi ndo mwanaume huku ukiwa kwa accountant na mama ake unachutama na kwa Caryn mwenyewe unasalute ngoma isambee....

My take fanya maisha yako. Hapo ofisi ulioko ni shetan alipomuonesha Yesu vingi akamwambia ukinisujudia....if you can be ready kutoka hapo. Kwa mzee kuna mtu katoa ushauri mzuri sana i think Dona..kuwa anaweza aje kukufanya his puppet...not actively rather passively so every time you be submissive..usije jikuta waabudu mwanadamu..just be careful wit this option too...

Ushajifunza meng up to now mkuu its high time you get a life. And dont treat Annie like a clown simply coz she is too weak to get back to you. If you lose her one day you will wish you treasured her more...thamini mwanamke mzuri na good thing kila mtu anaesoma uzi huu kamcommend so akili kumkichwa. She is a woman and a half..usijitie alpha male kwake...ukastep on her beautiful and submissive heart...

Actually fanya uonavyo maisha ndo haya haya...
 
1. Umeshamchapa accountant, Unaendelea kula Annie hakikisha unamalamba kisimi Cyree.

Kwanini?? Cyree Hana adabu.

2. NGO ya Watoto wa mtaani( tuite UFUMBUZI WA WATOTO WA MTAANI)solution for street children

Wazo hili Lina logic kubwa Sana kwanza. Watapata Elimu ya maisha Yao. Na kiimani pia., Pili. Itasaidia si wao tu lkn pia wengine Kwa sababu wapo na mwisho wazo hili creen asiye na adabu atalikubali Sana. Watasoma watakwenda shule, nk

3. Unahabari kwamba Kwa kitendo anachokulazimisha Akauntant, uhakikishe unamwambia mama nje ndani. Na kwamba hujawahi lala naye. Mpe sababu.

Kwa tabia hizi,au Watu wenye hurka hizi like mama like binti. Akauntant atashangaa siku unakula mamaake. Kaa mbali na familoyzenye watoto wa aina hii.

Niongezee kidg kuhusu Karen kameniudhi Kwa sababu sipendi mwanamke hata siku Moja anifanyoe upuuzi huo. Hakuna mwanamke mwenye confor mbele yangu. Unisamehe ni maumbile tu tunatofautiana.
 
Naunga mkono hoja.. [emoji4]
 
Kama ni muislam aoe wote tu maana kila mmoja anamchango mkubwa kwa maisha yake.
 
Hongera. Story inaweza kuwa ya kweli lakini maneno mengine ni ubunifu wako.

Skia kijana, wewe na Careen wote mko ktk kipimo ila mzee anajifanya kama amemkamisheni Careen kwako. Ila ambaye yupo zaidi katika mtihani ni Careen na siyo wewe. Mzee anataka kumpima bintiye kama anaweza kuhimili biashara na mahusiano. Hiyo biashara unayotaka kuanzisha ni kipimo cha Careen kuisimamia. Wewe utaripoti kwake na yeye ataripoti kwa mzee. Na wote kwa wakati wenu mtakuwa mnaripoti madhaifu yenu kwa mzee.
Mzee anaona bintiye hana uelekeo ktk jambo fulani la biashara au mahusiano. Na dada mkubwa alikuwepo kukusoma. Yule kijana anayekudrop anafahamu kuhusu Anne na mengi ya kwako na anaripoti kwa mzee kwa mamamuzi why? Hawezi kukuamini hivyo bila kujua vitu kadhaa kuhusu wewe.

Siku utakayoamua kulala na Careen umefeli. Ukioa Accountant umefeli. Acc, Carleen na Anne Wakigombana umefeli.
Biashara ikifa unaweza usifeli.

Baishara ni hiyo ya vifaa vya pikipiki, nguo hapa tafuta meza Manzese au karume au sehemu yoyote au chakula good luck.


Na wamekupa Careen as a lamb to hyena wakupime na wampime pia.
 
Yeah dats true, ndugu zao wengi amedai wapo Mkoani aliambiwa mama yake kipindi yupo hai ila hajawahi kuwaona, na Mama yao alivyofariki Mzee alioa tena mwanamke mwingine na matatizo ndio yalianzia hapo

Mzee wao ni Mr Don't care madogo walivyoona matatizo yanazidi wakajikaa...ila pia haya yote Bado yanahitaji uchuzi
 
Kichwa cha habari kilitakiwa kuwa "hatma ya maisha yangu yapo mikononi mwa Accountant na mafanikio ya kijana wa Buguruni".
Hiko pia kipo sawa lakini kirefu sana bhana, nilikuwa nataka kifupi, Yani mtu bila kufungua Uzi awe ameshasoma heading yote
 

Kuhusu mapenzi sina msaada nawe kama n muislamu chukua wote( ulinde future)

Tuje kwa huyo kijana wa buguruni, kwanza biashara sio kila mtu anaweza ukizingatia umri wake.

Mtafute jenga urafiki nae umuulize ndoto zake ni nini?

Msome ni mtu wa dizaini ganii? Kwamba akipata kitu anajisahau au atapambana ili wadogo zake nao waishi maisha bora.

Kwa umri huo anaweza kujifunza vitu vilivyo ndani ya ndoto zake lakini sio katika mfumo rasmi( kuingia secondary) kama vile ucapenta,gereji,udereva,lugha ukishamjengea uwezo atasimama kujipambania yeye na ndg zake,hawa watu wakipataga upenyo wanatoboa.

Kuhusu kufaulu ili upewe mtaji kwa bei uitakayo wewe usiingie tamaa mzee anakutengenezea konection kubwa sanaa ambayo hiyo unayowaza wewe kwa sasa haitafikia iyo thamani.

Nikimaanisha kijana kwa mazingira aliyopitia Mungu akamsimamia akawa ana nidhamu ana nafasi kubwa ya kutoboa kimaisha na wewe utakua ndie God Father wake.
 
Sijamaamisha kumfanya mnyonge Ile Pasee ila nilimaanisha heshima na utii anayotakiwa kuwa nayo Mwanamke kwa Mume wake

All in All nimependa mstari wako wa mwisho
 
Endapo hii story ni ya kweli....Basi ushauri wangu ni huu ufuatao..

1) Usithubutu kumuacha Annei

2) Mwambie mama hali halisi kuwa kwa bahati mbaya huwezi kumuoa binti yake kutokana na sababu za msingi ambazo unaweza kuziweka wazi

3) Mwambie mama upo tayari kuendelea na kazi hapo ofsin kwao hata kwa cheo hicho hicho ulichonacho na asikupe huo U-director kama incentive ya kumuoa bintiye. Kama wewe ni mtu wa masuala ya imani, kuna kitu inaitwa KARMA ambayo huwa ni real kwenye maisha japo watu huwa tunapuuzia.

4) Ukifukuzwa kazi kwa sababu umekataa offer ya kumuoa binti yake usiogope, unaweza kupata misukosuko kidogo ila baada ya muda utakuwa sawa na utakuwa na nafasi ya juu zaidi baada ya misukosuko. As long as unafanya mambo yako kwa uaminifu, narudia tena KARMA is REAL.

5) Usithubutu kabisa kufanya mahusiano ya kimapenzi na hao binti wa huyo mzee. Acha kabisa, USITHUBUTU (Huu ushauri hujaomba ili nimeweka kama bonus tu).

6) Kuhusu biashara ya huyo kijana, pitia mawazo ya watu hapa kisha utafanya uchambuzi uchukuwe wazo mojawapo. Ila kwa upande wangu, kutokana na ulivyomwelezea huyo kijana wa Buguruni, unaweza kumsaidia awe na CAR WASH pamoja na Saloon (A decent barbershop) ya Kiume. Hivyo vinaweza kumfaa endapo utafanikiwa kupata location nzuri na SALOON ikawa ya kisasa, provided Mzee yupo tayari kulipia gharama yoyote.

Ni hayo tu. Za kuambiwa changanya na zako. Kila la kheri Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…