Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

[emoji1545][emoji1545]
 
Very good.

#MaendeleoHayanaChama
 
.kwahiyo biashara zenu ni haramu?
 
Asante japo umewa prove wrong wengi!
 
😰😰😰😰 huu uzi kila baada ya 30 minutes ntaufatilia
 
Sidhani kama utapona kesho nikiita mizimu ikulete maskani kwa nguvu maana nilikuamini sana kijana hadi kukukaribisha kuingia kwangu sasa umekuja jamvini unamwaga tu mchele na kuku ni wengi! kuna kitu ulichukua pale uani hujakisema hapa na hukujua nilikutegeshea na umejaa!

kuna maswali mengi uliuliza sikukujibu ila watakapokuleta utapata majibu kwa kujionea kwa macho. yako mengi bado huyajui kijana utayaona. tuliona unafaa kutumwa na hata ukibisha utashangaa umefika na utajiuliza umefikaje swali ni je kwa kifua chako kidogo utaweza kubeba? hutoweza kunikwepa na kukataa kutumwa kwa kushìka lile gari.

Siku ukimaliza kazi yetu tutakuosha kwa jasho na damu ya mzungu wa Ukraine tunakokinga! ila tutavichanganya na vile kutoka eneo fasi penye kuna vita pale Kongo!

tumekuingiza kwenye fungu la kafara!
 
mnasemaga basi🤔🤔🤔
 
Wabongo kwa kuwza ushirikiana...!😂😂
 
Kwani mada inahusu kwenda kwa mganga!?
 
Mkuu hiyo gari tangia ulivyopewa ..sijaona sehemu ukisema kama uliingia sheli kujaza mafuta zaidi ww ni kupark tu izi chai zingine ziwe zinaendana na uhalisia
Aaaa bana kuweka mafuta sheli ni very minor thing iawezekana lilikuwa full tank
 
“Ni ngumu kuyafanya maisha magumu kuwa rahisi ila ni rahisi kuyafanya maisha rahisi kuwa magumu”

“Ni rahisi kuutibu ugonjwa unapoanza ingawa ni ngumu kuugundua, ni ngumu kuutibu ugonjwa uliokwisha kua ingawa ni rahisi kuugundua”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…