Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Sasa hivi watu hawakuzingatii
Uweke usiweke yote sawa

Ila tunasubiri
Naona watu humu wameamua kumpuuza tu japo wanasubiria. Mara sikukuu mara safari ya Zanzibar yaani ujinga ujinga tu
 
Daah ndio nimekuelewa now baada ya kuona umemjibu mtu Fulani ktk comment yake,kwahiyo unafikir labda mtoa post ana ID nyingine ambayo ndio hii etugral bay, inakuja kumsifia tena,daah tangu nijiunge Jf 2020 sijawahi kusema kauli mbaya Kwa watu,Ila wewe ndio wa Kwanza kukwambia wewe kweli bwege,unaropoka Tu kisa mawazo yako yanakutuma hivyo, tumia akili mkuu.
Achana nae huyo atakau LAZIMA NI MCHAWI ROHOBAYA
 
Ilipoishiaa[emoji1484]

Tukaagana mzee alinichukulia moja ya tax zilizokuwa zimepark nje ya Ile hoteli, yeye akaingia ndani ya Alphard akaondoka na Mimi nikashika njia ya kuelekea Tabata


Inaendelea [emoji1484]

Tax ilinifikisha hadi mjengoni kwangu Tabata I mean nilikopanga, (hamkawii kusema "mbona mwanzo wa story hukusema kama umejenga[emoji849]) nikaingia mjengoni, nikakuta nyumba ipo kimya, Leo nilikuwa nina jambo na Wifi/Shemeji yenu, so nilijua nitamkuta kashafika nikampigia simu ikawa inatumika, nikaachana nayo nikaenda zangu kuoga, natoka kuoga nikasikia simu inaita nikaipuuzia nikawa nachagua nguo za kuvaa, Sasa nimemaliza kuvaa nashika simu ili nimpigie wifi yenu kumbe Ile missed call haikuwa ya kwake kama nilivyodhania, Ilikuwa ni missed call ya Mzee,

Nikampigia akapokea vipi Mzee ulifika salama "yeah Nilifika muda kidogo, nilikuwa nataka kukuuliza Kuna Kitu chochote ulisahau huku au Kuna Kitu umepoteza?" hapana mzee sidhani kama Kuna Kitu nimesahau au kupoteza "Inaonekana una shida kwenye swala la kumbukumbu, Kuna bahasha hapa niliiona tangu jana, leo nimefungua ndani nimekuta Documents za TRA na nimejua ni ya kwako kwasababu nimeona Jina la Kampuni yenu" Dah kweli Mzee nilisahau kabisa nilitakiwa kumpatia Accountant ile Ijumaa lakini hakuwepo......tulimaliza kuongea na Mzee akanambia nizifuate nikipata muda sababu wiki hii yote hatokuja town wala Ofisini kwake

Nikamcheki tena Demu wangu (anaitwa Annie, really name, hii code haina madhara nikiifungua) kupiga simu bado inatumika, nikaona hii ni too much Sasa, Dakika 30 zimepita mtu bado anaongea na simu tu, nikaona nikiendelea kumuwaza nitajipa stress tu nikawasha zangu Tv nikaweka Series ya Kings of Jo'Burg Wakati na naendelea ku watch katikati ya series huko Demu ndio anapiga eti, makasiriko kama yote na ananijua akaanza kuomba msamaha, kabla hajaongea sana nikaanza kumpa lecture uzuri wa Demu wangu nikiongea yeye huwa anakaa kimya kunisikiliza hadi nimalize

Nikaanza kumsomea>>>Nimeenda kuoga nimemaliza naweza movie naangalia karibia inaisha na wewe ndio unamaliza huo mkutano wako au siku hizi umekuwa Customer care na huniambii, kama umekua Customer Care inabidi uwe special phone wenzako hawatumii hizi simu za kawaida, Simu ya mkononi ilimaanishwa kuongea 'less than 10 minutes' kwasababu 'microwave' zinazosafirishwa na simu yako ukiongea zaidi ya dakika 10 una increase level yao inakuwa troublesome kwa brain yako kwasababu hizi simu tunazotumia zipo wireless.

Akajibu kwa upole "Sawa umeeleweka Boss lakini mimi nilikuwa nakuomba msamaha kwa kuchelewa kuja huko, aliyekuwa anaongea na simu sio Mimi ni rafiki yangu alikuwa anaongea na bwana ake ndio nilikuwa namsubiria amalize ili nikupigie" Okay mambo yasiwe mengi wewe kama unakuja we njoo ila hakikisha umebeba chakula Cha Supper kabisa (mida hiyo ilikuwa around 6:+PM)

Kweli bhana mchuchu kwenye saa mbili mbili hivi akawasili, tukapiga misosi watu wakashiba, Sasa Demu wangu nikiwaga nae ni lazima ashike simu yangu huwaga siwekagi password Sasa akiwa nayo yeye moja kwa moja anaenda kwenye messages kuangalia Jina la H....Accountant kuangalia kama kuna chats zote akikosa anaenda kwenye Call Logs anaangalia kama nilimpia au alinipigia akikuta vyovyote vile anaangalia muda tuliotumia kuzungumza akikuta zimezidi dakika 3 tu, basi anajua hayo maongezi hayakuwa ya kawaida, Sasa Leo katika kupekua akakuta nimeongeza na H.....Accountant kwa dakika 11 kesi ikaanzia hapo "kweli hizi Dakika zote mlikuwa mnazungumzia kazi tu au ndio hivyo tena nijihesabie Sina changu" Nikaona huyu kashaanza kesi zimeanza kufufuliwa upya

Iko hivi, kwenye hii Kampuni ninayofanya kazi sasa hivi nilipata kazi kupitia huyu H...Accountant ambaye nilisoma naye na nilikuwa namsaidia mambo kadhaa yanayohusiana na taaluma, Sasa huyu Demu bana tangu tupo chuo ananipendaga sema alikuwa anashindwa kunichana Sababu ya misimo yangu, ila mm simuelewi (kipindi hiki ndio nilianza Mahusiano na Annie) Sasa tulivyomaliza chuo Mimi nilivyoona ramani hazisomeki nikajikataa zangu nikaibukia Nairobi, hustle sana huko ngoma bila bila,

Nakumbuka Siku moja nimetoka Bypass ya Ruai naelekea Utawala kwa Chief (Quick mart) nimepanda matatu (Daladala) Ile matatu ilikuwa na wi-fi password wameandia chini ya screen, nikatumia fursa ili pesa ya Bando ikafanye mambo mengine, Sasa ile nimeconnect tu message ya kwanza Whatsapp ni ya huyo H....Accountant (wakati huo nilimsave tu H.....hiyo 'Accountant' haikuwepo) Ile msg ilikuwa inasema "BM Kuna nafasi ya kazi ya ***** kama itakufaa nambie nikulindie nafasi" Sasa wakati tunafanya Conversation ilibidi nisishuke stage (kituo) niliyokuwa nashuka kwasababu ya Wi-fi, nilienda kushukia Shutazi (Shooters) ikabidi nitembee kutoka Shutazi hadi mahali nilikuwa naenda kwa Chief

Sasa katika Yale mazungumzo kwakifupi tu ni kwamba nilikubali Offer nikamwambia Accountant najianda siku mbili tatu wiki ijayo Niko Dar es salaam, Hapo ndio nilipoachana na jiji la Stress, ule mji acha tu ningekua muandishi ningetoa kitabu kabisa

Mtu mzima nikaingia Daslam kubadilisha upepo, nilijoin kwenye Kampuni fresh na Kazi ikachapwa ikachapika, nikamuona huyu Demu (Accountant) kabadilika kabadilika Yani zile Fujo za chuoni kule simuoni nazo tena nikajua kakua maana wanasema vitu vingine vinasababishwa na utoto, kumbe Binti ananivutia Kasi ananizoom tu hakutaka papara, unajua hii Kampuni ni yao yeye ndio Muhasibu nahisi alikuwa anacheza na timing

Kuna siku hiyo bhana sitoisahau aliniita Ofisini kwake, nikaketi "naona siku hizi unanawili tu kijana jiji linakupenda hili lakini wewe hulitaki unajifanya kupenda nchi za watu, hivi ni Kwanini wanaokupenda huwapendi?" nikamuuliza unamaanisha nini? "Ukiwa Dar uHandsome wako ndio unakuwa kwenye ubora wake tofauti na ulivyokuwa Nairobi pengine hili ulikuwa hulijui, lakini nina uhakika unajua kwamba Mimi nakupenda. ndio maana nikasema wanaokupenda unawapuuzia!" nikaona huyu kumbe hajaacha mambo yake tu, Nikamwambia swala Dar sijui Nairobi hilo lipo kimaisha zaidi Sababu Nairobi sijaenda kama mtalii nikimaanisha kwamba sijaenda kwa kupenda bali kutafuta maisha, Sasa nilivyomjibu hivyo nikawa ndio nimeharibu kabisa[emoji1544]

"Kwahiyo Mimi kukupenda sio swala la kimaisha, hivi nikuulize unadai kwamba ulienda huko Nairobi kutafuta maisha, hayo maisha uliyapata? badala yake maisha umekuja kuyapatia Dar na hiyo yote ni kwasababu ya Upendo wangu kwako, Yani kama sio Upendo usingekua hapa Upendo wangu unaoudharau ndio unakupa maisha, hivi unajua kwamba Mtu anaweza kukusaidia viatu na bado akakukata Miguu. tunaishi kwenye Dunia yenye Unafki Sasa mm sijataka kuwa mnafki kwako nimekuambia ukweli" hii kauli yake ikazidi kunichanganya, kwanza huu ujasiri ameutolea wapi huyu, nikajisemea tu moyoni Leo ndio Ile siku, mara akaingia mama yake ambaye kwa hapa Tanzania yeye ndio anaiongoza Kampuni, ilibidi maongezi yaishie pale, na huyu Mama ananikubali sana nitakuja kueleza huko mbele ni kwasababu gani

"Tutaongea badae BM" alinambia hivyo yule Demu Mimi nikaondoka zangu....

Turudi Leo,>>>hiyo Sasa ndio sababu ya huyu Demu wangu kuwa na wivu sana sasa Visa vyote nilimuhadithia yani amefikia hatua ananiambia niache kazi[emoji849] ni kama hajiamini anajua muda wowote meza inapinduliwa na Accountant ila kiukweli kabisa Demu wangu ni PISI KALI nyie acheni tu, nampenda sana japokuwa hata Accountant ni Pisi lakini hajamfikia Mama lao,

Nikamwambia Annie kama umechoka nenda kalale hatuwezi kujadili jambo moja kila siku, akaniangalia machoni kwa sekunde kadhaa akaenda Bedroom kinyonge sana, Asee nilibaki naiangalia Ile series lakini haipandi nahisi kama nimemjibu kimkato sana manzi angu, nilizima Tv nikaingia chumbani, nikamkuta wifi yenu amelala lakini yupo macho kama ana waza kitu nikawa najiuliza huyu anawaza ya kwake au ni Yale Yale ya Sebuleni? nikajidai kuzuga nikamuuliza hivi umekuja na funguo zako au itabidi kesho nikuachie za kwangu nikitoka?.....kimya!!![emoji849] nikaona hapa vinyongo vishaanza wale wenye vipaji vya kubembeleza hapa ndio wanahitajika, Nikamwambia Annie unanijua kabisa Mimi upande wa kubembeleza sipo vizuri, naomba niambie tu wewe mwenyewe kama nimekukwaza nijue kama nilikuwa sahihi kukukwaza au nimekuonea "na sitaki unibembeleze ndio maana nilikuacha sitting room" nikamwambia sawa lakini mimi sitaki vinyongo kama Kuna sehemu hujapenda nilivyokuongelesha we nambie, Annie akanipiga jicho flani nikawa nishagundua Kitu

Mimi nipo hivi nikafanya kosa (hasa katika Mahusiano ya kimapenzi) siwezi kukiri tu mwenyewe kwamba nimekosea, hadi uniambie mwenyewe, Sasa lile jicho la Annie ni kama alikuwa anasema ("Yani wewe sijui ukoje") Mwanaume nikakaza nikazima taa nikalala

Asubuhi ikafika mida ya kwenda kazi ikafika ila nikajidai kupitiwa na usingizi kuna nilikuwa nataka kujua, Annie akilala kwangu Asubuhi ni lazima aniamshe hata kama sio siku ya kazi ila kama hajaniamsha Najua Kuna jambo, na kawaida yake huwa anaamka mapema sana, hata kama hana kazi utamkuta anaangalia Movie, halafu aina za Movie au Series anazoangaliaga sasa ni zile za ki Gangster kama Ile Kings of Jo'Burg yeye ndio kaileta,

Sasa zimepita kama Dakika 10 naona siamshwi, nikajua tu huyu mwanamke yale ya Jana bado hayajaisha ninachokipima hakipimiki, nikajiamsha mwenyewe chooni hamna mtu naenda sebuleni sikuti mtu mazingira yakaonesha kwamba huyu mtu hayupo hiyo ni saa moja kasoro Asubuhi, nikaenda zangu kuoga nimeshajianda nachukua simu nitoke kucheki Kuna Messages 2 moja ya Annie nyingine ni ya Mzee,

Ya Annie ilikuwa inasema "Naweza nisiwe mwema leo lakini isikufanye usahau wema wangu wa jana, tumia wema wangu wa jana kunirekebisha ili niwe mwema zaidi, Najua makosa ni ya kwako lakini naomba msamaha Mimi, Naomba nisamehe kama nilikukwaza jana".

Na meseji ya Mzee ndio ikanivuruga zaidi, ilibidi kwanza nikae chini aliandka "kila unapocheka hakikisha unaandaa mazingira ya utakapolilia"

INAENDELEA
Punguza story za mapenzi mkuu jikite kwenye issue ya mzee kama kichwa cha story kinavyoeleza.
 
Kijana wa Buguruni anayezungumzwa hapa ni yule aliyekutana naye mwanzoni wakati anatafuta wahitaji wa chakula! Kumbuka huyu mzee kamwambia atapenda wiki “hii” ale chakula na familia yake ya nje sasa hawa vijana wa Buguruni hakuwa anajua wanakoishi yeye kawazoa tu barabarani na akawapatia chakula hivyo hawana makazi maalum, sasa mtihani utakuwa namna ya kuwapata na yule mzee ni mdadisi sana so akiwazoa wengine ambao hawakula chakula cha mwanzo itaonesha huyu jamaa chakula alipeleka Kwa ndugu zake kumbukeni alishamuuliza iwapo hapa Dar anandugu. So wa kumuokoa ni huyo kijana wa aliyekutana naye mwanzoni na ndiye aliyekwenda kutafuta wenzake wakala chakula!
Tulie ww wacha kiherehere
 
Kijana wa Buguruni anayezungumzwa hapa ni yule aliyekutana naye mwanzoni wakati anatafuta wahitaji wa chakula! Kumbuka huyu mzee kamwambia atapenda wiki “hii” ale chakula na familia yake ya nje sasa hawa vijana wa Buguruni hakuwa anajua wanakoishi yeye kawazoa tu barabarani na akawapatia chakula hivyo hawana makazi maalum, sasa mtihani utakuwa namna ya kuwapata na yule mzee ni mdadisi sana so akiwazoa wengine ambao hawakula chakula cha mwanzo itaonesha huyu jamaa chakula alipeleka Kwa ndugu zake kumbukeni alishamuuliza iwapo hapa Dar anandugu. So wa kumuokoa ni huyo kijana wa aliyekutana naye mwanzoni na ndiye aliyekwenda kutafuta wenzake wakala chakula!
Story imeisha[emoji123]
 
Simulizi za wabongo nikama bongo movie .wanaanza vizuri kuimalizia shida .watunzi bora tanzania bro habibu Anga , na uncle Eric shigongo hao jamaa wakitoa simulizi ni kama Hollywood, Bollywood na wakubaligi sana hawa wengine na somaga tu
Punguza hasira mkuu. Mshereheshaji yupo ZENJI
 
EPISODE 05, SEASON 1


Fresh Monday with sadness information

Nikajiandaa kwenda kazini ila ndio hivyo tena Jumatatu imeanza na taarifa za huzuni, wakati nipo Ofisini, nikaja kuitwa nikaambiwa Kuna mgeni wangu yupo nje, nikawa najiuliza nani tena, moja kwa moja nikajua ni Annie kwasababu alikuwa anapiga simu toka Asubuhi na Wala sikushika simu,

Sasa natoka Ofisini nikaoneshwa huyo mgeni alikuwa ni blaza flani hivi kiumri, ni kama kanipita 4 or 5 years, tukasalimia pale alivyojitambulisha kumbe ni yule kijana Mzee alinambia atamuagiza aje ofisini,

Nikamuomba anisubiri kidogo, Nikarudi ndani Ofisini nikachukua Ile funguo nikampatia, sasa wakati nampatia funguo akaniuliza "lakini unajua kama Mzee amepata ajali?"

What? Mzee sinilikuwa naye jana tu, Ajari kaipatia wapi?

"Maeneo ya Dumila, alikuwa anaenda Dodoma"

Dah asee, Kwahiyo Sasa hivi yupo wapi

"Mama kanambia kapelekwa St.Harry Hospital huko Morogoro"

Mungu atamponya, ebu nisaidie na namba yako utakuwa unanijuza kitakacho endelea, kama akiletwa Dar pia utanambia

Basi tuka exchange namba pale, jamaa akaondoka

Nimerudi ofisini kuendelea na Kazi, nikamkuta Mama yake na Accountant yupo ofisini kwangu amekaa, tukasalimiana maana tulikuwa hatujaonana hadi huo (around saa 4 am kasoro)

"Nimeambiwa uko na Mgeni nje nikasema nikusubiri hapa?"

Ndio Mama, nishamalizana nae lakini, kwema lakini?

"Kwema tu, naona siku hizi umekuwa busy, hatuonani mara kwa mara"

Hapana, siunajua tena majukumu yangu mengi siku hizi ni ya nje ya office

TURUDI NYUMA KIDOGO

Wakati naanza kazi kwenye hii Kampuni nilikuwa katika nafasi ya kawaida tu kabla ya kupewa majukumu mengine, Hiki kitengo ambacho Niko nacho sasa kuna mtu mwingine ndio alikuwa anafanya,

Picha lilikuwa hivi, imepita miezi kama minne hivi nikiwa kazini huyu jamaa ambaye kwasasa mm ndio nashikilia nafasi yake alikuwa anaacha kazi, jamaa alipata mchongo wenye Maslahi zaidi, Sasa katika nafasi yake kukawa kuna pengo, katika kutafuta mtu wa kuziba Ile nafasi Accountant si akanipendekeza mimi kwa Mama yake, Mama hajakubali tu hivi hivi akaanza kuchunguza, then akamuuliza mwanae

"Kwanini awe BM? kwasababu staff wengine humu Wana vigezo vya ku cover hiyo nafasi tena wao Wana muda mrefu katika hii Kampuni"

Accountant akatoa sababu zake anazozijua yeye ila point zaidi akamwambia Mama yake kwamba tuna Mahusiano ya kimapenzi, So Mama akalibeba hilo na akanitunuku hii nafasi kwaajili ya Binti yake

Kosa nililofanya, Mama aliniuliza na Mimi nikajikuta nimekubali, Kwa maana hiyo Mama anajua Mimi ni Mkwe wake

Sasa nilivyopewa Ile Nafasi mpya nikaanza safari za kwenda Zanzibar, Mizigo yote ya Ofisi ambayo wateja wameagiza kupitia Kampuni yetu mimi ndio naipokea nakudeal na TRA, kwa kifupi hii nafasi Ina marupurupu kama yote na jamaa aliyekuwa kabla yangu katika hii nafasi alikuwa anapiga pesa vibaya mno, nilikuja kujua trip ya kwanza nilivyokwenda Zanzibar

Ikiwa ndio trip ya kwanza Mama alinipa maelekezo flani halafu akambia nichukue kiasi flani Cha fedha kutoka kwa Accountant, So nilipewa Pesa na Accountant, Pesa kwaajili ya kulipa TRA, Gharama za kusafirisha mizigo, Pesa ya hoteli nitakayofikia,

Sasa Mama pamoja na Accountant wakatoa pesa ambayo walizoea kumpa yule jamaa wa kwanza, Mimi nikachukua kibunda huyoo hadi hadi Ngomekongwe, Nika clear Kila kitu nikarudi Dar na mizigo Gharama zote nikawa nimelipa ila account ikabaki na kibunda kama milion 1.1+ (Milioni moja na laki moja na ushee)

Nilivyofika Ofisini mimi nikazirudisha zile pesa kwa Accountant, Bi mkubwa yani Mama yake na Accountant alivyopata taarifa alishangaa,

Aliniita Ofisini kwake akanambia "Unajua nilijua pesa haitatosha kwasababu nilimuambia *(Accountant) apunguze kama laki 5 katika Ile pesa aliyokupa ambayo ndio tulikuwa tunampatia * (jamaa niliyechukua nafas yake)

Nikamwambia Mama, pengine jamaa alikuwa anatumia zote kweli labda alikuwa hajui namna ya kudeal vizur na TRA

"Hamna nakataa, Pesa ilikuwa inabaki na anafanyia mambo yake, unajui nilihisi hichi kitu, haya nikuulize Pesa ya usafiri kutoka Bandarini hadi store wewe kiasi gani?"

Nimetumia kama laki 2 na nusu ivi

"Umeona sasa, umbali huo huo yeye alikuwa anatumia laki 4 hadi laki 5 kasoro, na hapo hajawalipa wabebaji, si alikuwa atatupiga tu huyu kijana"

Nikaona hapa tatizo si kwa jamaa tu bali hadi Kampuni yenyewe, Mtaendeshaje Kampuni namna hii hata hamna magari permanent ambayo mmeingia nayo mkataba so kama ni malipo yanafanyika baina ya Kampuni na Kampuni au na mwenye magari na sio kumkabidhi mfanyakazi pesa daily afanye malipo

Kifupi nilivyoingia kwenye hii Kampuni nilibadilisha mambo mengi sana, yakawa yanafanyika ki official zaidi, Mama ndio alinipendea zaidi hapo

Hata Mzee nilijuana nae baada ya kupata hii nafasi, na nahisi Mama yake Accountant alimuambia Mzee kuhusu uchapakazi wangu, Maana Mzee niliona tu ghafla ananikubali, Wakati sijakamatia hii nafasi nilikuwa namuona tu kwa mbali, na si Mzee tu, kupitia hii nafasi nimejuana na watu wengi pia

TURUDI LEO

"Unajua BM mimi umri umeshaenda, nataka nipumzike sasa, nimefikiria hii nafasi yangu nikuachie wewe"

(Ukisikia mshangao 'surprise' ndio huu, sikutegemea kabisa kama Mama atanifikiria katika hili, ilibidi nimuulize)

Nilimuuliza mbona ghafla Mama?

"Kama nilivyokuambia Mimi umri umeenda lakini pia sijakurupuka, nimechunguza nikapata jibu kwamba wewe ndio utakaye fit vizuri katika hii nafasi, unajua kwa nafasi tu hiyo uliyonayo umebadilisha mambo mengi sana kwenye hii Kampuni"

Mimi hata sijui hata nikujibu nini Mama, kwasababu wewe mwenye maamuzi

"Usijali, nimefikiria kujistafisha mwenyewe, kwahiyo kuanzia sasa muda wowote nakuachia Office na nimeona nikwambie kwanza wewe hata mwenzako bado sijamuambia kuhusu hili" (Accountant)

Sawa Mama,

Hapa sasa ngoma inaendakuwa ngumu hii, nipo njia Panda, Mama ananipa majukumu yote haya akidhani nipo Mapenzini na Mwanaye kipenzi, na Accountant ndio mtoto pekee kwa Mama yake

Tuliongea na Mama muda ule hadi break time, natoka nje kupata chochote kitu namuona Accountant, nikamuita nikashuka nae chini Ground floor,

Nikamwambia I'm sorry **** I couldn't Love you the way you wanted to be loved na ni kwasababu tayari nipo na Mtu wangu, Ivi unajua haya mambo yanaenda kuwa Serious Sasa

Accountant: "BM bhana, Yani Sasa hivi ndio unaona mambo yako serious, kwahiyo kipindi chote hicho ulikuwa unaniona Mimi natania au? Nakupenda kuliko hata unavyojipenda wewe"

Tatizo tayari niko na mtu, unataka Mimi nifanyaje mbona hatuelewani lakini?

Accountant: "Swali zuri sana! Fanya hivi, siumesema upo na mtu, Sasa tuache Kila mtu ajipambanie mwenyewe halafu upime nani anakupenda zaidi"

Kwahiyo Mimi sifai kumpambania yule ninae mpenda

Accountant: "Utampambania yule anayekupenda zaidi, unanichelewesha Mimi kunywa chai"

Accountant akaniacha pale Ground floor nikitafakari, hamu ya kula ishapotea, nikapanda juu, Ile naingia Ofisini napishana na Mama ndio anatoka, akaniaga Akasema harudi hadi kesho

Nilivyofika kwenye Desk langu nikakuta missed call za Annie tena, nikamueka pending (nitampigia badae) Imefika Lunch time nikampigia yule kijana aliyeagizwa hapa ofisini na Mzee,

Jamaa akanambia Mzee Bado yupo St.Harry Hospital na Mke wa Mzee ndio amefikia muda sio mrefu kwa taarifa alizozipata ni kwamba Mzee hajaumia sana amevunjika tu mkono

Basi nikamuambia jamaa anitumie namba za Mama ili nimpigie, jamaa alifanya hivyo na nikaongea na Mama akanambia Mzee anaendelea vizuri kuhusu kurudi Dar ameniambia Bado hajajua ila atanijulisha itakavyokuwa

Basi Nikaendelea na harakati za pale Ofisini mara kidogo namuona Annie anaingia, na ndio ilikuwa mara yake ya kwanza kuja Ofisini, Nakumbuka Siku moja tuko Town nikamuonesha jengo letu

Kabla hata hajakaa nikamuuliza haya wewe kuliko?

Annie: "I can see, this is your new way of saying 'Hi'

Umefata Nini hapa, kama unashida na Mimi siunge nisubiri nyumbani

Annie: "I took your not picking my calls as an invitation to come"

Nikamwambia wewe usinichanganye, mtu asipo shika simu maana yake yupo busy

Ili isiwe kesi, nikaona ngoja nimpatie pesa kidogo anisubiri hapo nje kwa Restaurant, Sasa Ile natoa Pesa Accountant nae ndio anaingia, Alivyofika akamuangalia Annie then akaniongelesha

Accountant: "Mama ameniambia amekuachia funguo ya Ofisini kwake"

Nikamjibu NDIO

Accountant: "Naiomba"

Nikampatia halafu akanipiga jicho flani hivi, akaondoka

Annie: I knew something was fishy but I didn't want to push it

Nikamuuliza Something like what?

Annie: I saw her the way she was looking at you, bila shaka ndio yeye

Skia nakuomba shuka hapo chini kuna Restaurant kunywa chochote ukinisubiria nimalizie kama, Mambo mengine sio ya kuongea hapa, Kweli Annie alinisikiliza na hicho ndicho ninachompendea

Nikamalizia Kazi, sasa Wakati natoka ofisini Accountant akaniwahi mlangoni akanambia,

Accountant: "now I have seen the woman I am battle with, tell your girlfriend she's playing with shark

Nikamjibu, Well it's a good thing that Sharks don't bite Sharks,

Mimi huyoo nikahepa

Nilimpitia Annie pale kwa Restaurant, tukaenda home, tumefika home saa moja kasoro, Cha kwanza nikampigia Mama kule Morogoro akanambia ndio wanajiandaa kutoka, Nikamwambia kesho nitakuja nyumbani kumuona Mzee, Nilivyomalizana Ile simu Annie huku alikuwa ananisubiri kwa hamu

Annie "BM unajua siku hizi sikuelewi kabisa"

Ooh nikajua utaendelea na Kizungu hadi nyumbani,

Annie "I should have known that it would be difficult for a pig to stay clean"

(Nikaona matusi yameanza Sasa)
Eeh Madam!!! You've crossed your boundaries, Don't try to infuriate me and pls If you feel the need to insult me do that with some kind of intelligence na Ili tusikwazane zaidi just find your corner and hang yourself there

Nilivyomwambia hivyo akaenda kabisa chumbani, Nikabaki zangu Sebuleni nacheki Movie, Movie ishaisha naenda chumbani nikamkuta kashalala, na Mimi nikambonji

Tuesday...... Wednesday, Nilivyomaliza kazi nikaenda kwa Mzee kumuona, Ukiacha na Mama na Caryn nilikuta watu wengine nisiowajua Mwanaume mmoja na Wanawake wawili na katoto kakike,

Mzee alikuwa Yuko fit kabisa ila ndio hivyo mkono una Piopio, kilichoniuma zaidi gari alilopata nalo Ajali ni lile li Land Cruiser ZX V8, dah roho iliniuma basi tu maana mama alinionesha picha yake jinsi ilivyo bondekabondeka na ni juzi tu ilitoka kurembeshwa na 'Land Cruiser Rear Chrome' with LED Light

Nilikaa hadi mida ya Supper ila wale wageni wengine wawili Mwanaume na Mwanamke na mtoto walikuwa washasepa kumbe walikuwa Mume na mke alibaki mdada mmoja nae kumbe ndio mtoto wa Mzee wa kwanza, bhana eeh nae sio kipole pole Yani kama wamechongeshwa Hawa watoto, ila ni kwasababu ya Mama yao maana Mama mtu ni Pisi nyie acheni tu

Chakula kikaletwa mezani, tukakusanyika wote Mimi, Mama, Mzee, Caryn na yule Mdada mwingine, Tukaanza kula

Caryn: This food is good jamani, this is what I call delicacy

Mdada: "This food is really tasteless and far from delicious"

Caryn: "Ungepika wewe"

(kwa mara ya kwanza nimemsikia Caryn ameongea kiswahili jamani)

Mzee "BM Leo familia imekamilika, ulizoea kumuona Caryn tu na huyu ndiye Dada yake anaitwa ****" (Kumbe huyu mdada ni Dada yake na Caryn, Wacha yeye tumuite Michelle)

"Caryn na Michelle....BM ni kama Kaka yenu, ni Kijana smart sana, Michelle I wish huyo unayemuita mchumba angekuwa smart kama BM"

Michelle: "Dad you just want to embarrass me in front of a stranger"

Mzee: "BM is not a stranger is your brother, So He must know that you want to marry a poor man who has no future"

Michelle: True love is everything Dad, just like you and my mom

Mzee: "If love was all your mother was looking for you wouldn't have been born with silver spoon in your mouth, I agree nilikuwa sina kitu by then lakini Mama yako alisoma Future yangu kwanza kabla hajanikubali"

Caryn: Someone sounded like wife material, I can see, finding true love is extremely hard now dsys (Kejeli kwa Michelle)

Michelle: "Absolutely true"

Caryn: "You're not supposed to answer that, it was rhetorical, That guy is trying to secure his meal ticket and you here to talking about true love"

Mama: "Jamani eeh tumechoka na makelele yenu"

Mama alikatisha mazungumzo kwa namna hiyo maana mzee nae hakwepeshi, Halafu nilikuja kujua kumbe Michelle Kuna Muhuni kamuelewa na Mzee hataki kumsikia hata kidogo,

Iko hivi, Mzee yeye hajamuona huyo Mpenzi wake na Michelle ila aliyemuona ni Caryn ambaye ndiye aliyepeleka umbea kwa Mzee, ndio maana Sasa hivi wanaonekana kama wanamabifu flani ndio na mimi nikaja kuelewa pale mwanzoni tunaanza kula Caryn alikuwa anasifia chakula ambacho amekipika yeye halafu Michelle anakiponda japokuwa aliendelea kukila.

Baada ya kupata chakula nikaawaga nakuondoka zangu, Kesho yake ambayo ni Alhamisi sikupitia Ofisini nilienda moja kwa moja Bandarini kwaajili ya kwenda Zanzibar, Nikapokea mizigo na kesho yake Ijumaa nikarudi Dar mchana mchana ivi. Nikampigia Mzee kumuuliza kama ratiba ya Ijumaa Bado ipo

Mzee akaniambia "Tena nilikuwa nataka kukupigia, Kuna namba ya kijana nakutumia sasa hivi mtawasiliana badae mpange mtakapokutana, nitampatia Gari"

Sawa Mzee, hamna shida

"Ila Kuweni Makini"

Sawa

Mzee akatuma namba, namba aliyonitumia kumbe ni ya yule kijana aliyemtuma Ofisini kuja kuchukua funguo na kunipa taarifa za Mzee Kupata ajali, mzee hakujua kama namba Niko nayo, Basi mida ilivyoyoyoma Nikamcheki jamaa, Akanambia ndio anaelekea kwa Mzee kuchukua Gari, Nikamwambia ukishachukua Gari njoo hadi Buguruni

Saa hiyo Mimi nipo nyumbani around saa 10 na nusu nikaanza kutoka, nilitangulia mm kufika Buguruni nikaenda Yale maeneo niliyokuwa na madogo siku Ile nikakaa kama 5 nikaondoka, nikaenda mitaa ya Buguruni sokoni nako ni bila bila, nikaenda hadi Ilala Wakati naendelea kuzunguka yule jamaa aliyeenda kuchukua Gari kwa Mzee akanipigia simu na kunambia kuwa ameshafika Buguruni, Nikamwambia sawa nakuja

Sasa wakati naendelea kutafuta wale madogo kijana mmoja akanisimamisha akaniomba Buku, umri wa kijana kwa kukadiria ni kama 17 or 18 flani ivi

Kijana: "Kaka samahani naomba nisaidie na Tsh 1000"

Nilitaka kumpotezea nikakumbuka mission niliyonayo, nikamuuliza elfu moja ya kazi gani?

Kijana: "Wadogo zangu hawajala tangu Asubuhi nataka ninunue hata Unga tuchemshe uji"

Nikamuuliza hao wadogo zako wapo wapi?

Kijana: Hapo Rozana

Nikamuambia nipeleke, tukaenda tukafika kwenye jumba flani hivi ambalo halijamaliziwa kjengwa, Sasa kuingia ndani kwenye kakolido flani nikawaona kweli madogo wawili, wakike na wakiume, yule wa kiume Miaka kama 9 kwa kukadiria akaniita "Kaka, umekuja tena" Sasa nikawa namshangaa, nikamuuliza kwani nishawahi kuja hapa, akanambia Ile siku ulikuwa kule Barabara ukatupa chakula

Nikarudisha kumbukumbu kweli nikamkumbuka, katika wale madogo niliowapa chakula siku Ile na yeye alikuwa mmoja wao, Nadhani na nyie wasomaji mtakuwa mnamkumbuka, huyu dogo ndiye yule aliyesema "Blaza haina haja mikono yetu misafi"

Nikamuuliza Ile siku wakati nawapa chakula ulitaka kubeba ukasema unataka kuja kulia nyumbani, kumbe ndio unaishi hapa? Dogo aliitikia kwa kichwa

Sasa kaka mtu akaanza kunihadithia vile wanaishi na madogo zake, wakiamka Asubuhi wanajigawa, Kijana mkubwa anaondoka na yule mdogo wake wa kike (5 yrs kwa kukadilia) kutafuta chochote, kama akipata kibarua anakifanya huku akiwa pembeni kwasababu hakuna mtu wa kumuachia halafu huyu Dogo mwingine ambae najuana nae yeye anaingia machaka yake ila muda mwingi anakuwa na madogo wenzake wakiomba omba.

Leo sasa huyu Kaka yao mkubwa ilibidi aawaache madogo wote atoke yy mwenyewe kwasababu huyu wa kike anaumwa, lakini unaambiwa hali hiyo inatokea mara kwa mara Dogo anaumwa na kupona mwenyewe bila hata ya kutibiwa

Kilichoniuma Zaidi, Ile siku Wakati nawapatia chakula wale madogo, huyu dogo aliyesema mikono misafi kumbe chakula kile alikula kidogo sana kingine alikiweka kwenye mfuko na kwenda nacho nyumbani Incase kama mdogo wake hajala pamoja na kaka yake, ndio maana Ile siku akawa kama anaharakisha flan.

Basi bhana bila kuwaambia chochote nikampigia jamaa nikamuambia aje had Rozana, nikamuambia yule dogo anitafutie madogo wengine ila wasizidi watano, nilivyomwambia hivyo dogo alikimbia huyo, nikabaki pale na kaka yake na yule wa kike tukiendelea na mazungumzo saa hiyo ni kama saa 12 na nusu +

Dakika 10 nyingi Dogo akaja na wenzake lakini nikaona kama wapo wengi Ile wanakaribia kuwahesabu madogo wapo 8 kabla hata sijamuuliza Dogo Akasema "Kaka Hawa wengine ni wenzetu Nimeshindwa kuwaacha"

Dogo nilimuagiza idadi ya wa 5 kwasababu ya ya kutosha kwenye Gari, nikawabeba hivyo hivyo nikamkuta jamaa kapaki Pembeni ya Barabara, nikampa 'Hi' kabla ya kuondoka nikampigia Mzee kumfahamishani na akanipa go ahead ya kuanza safari

Wakati tupo Njiani jamaa aliyekuja na Gari akaniuliza

"Madogo unawajua lakini?"

Nikamwambia hapana, nikamuuliza kwanini?

"Aahh, siunajua tena madogo wa mitaani mwanangu hawachelewi kukinukisha"

Usijali madogo watulivu mbona, nikamuambia safari ikaendelea tukafika nyumbani tulikuta msosi ushaandaliwa, Mzee akanambia niwapeleke madogo Backyard msosi ulitangulizwa huko

Wakana Caryn, Michelle na Mama wakatujoin, baada ya kusalimiana chakula kikapakuliwa kila mmoja na sahani yake tukaanza kula huku tukiendelea na maongezi, Caryn akauliza

Mzee: "BM Hawa watoto ni wengine au ni wale wale uliowapatia chakula mara ya kwanza?"

Caryn: "Sorry Dad, first of all I want to know where these kids came from?"

Tukaanza kuangaliana na yule jamaa aliyekuwa anaendesha Gari, Wakati najipanga kujibu.....

Caryn: BM, You should answer this question

Nikamuambia wametoka Buguruni Rozana

Caryn: "Dad, I think you should change your strategy on how to help these kids
The food we're gonna give them was it gonna change their life?
So as a rich man if you think you want to help someone give them the kind of help that would transform their life not leaving them with food, in my opinion"

Nikaona Mzee kamuangalia Caryn halafu akaniangalia na Mimi Akasema....


ITAENDELEA, kimebaki kipande Cha mwisho

Muendelezo soma Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni
 
Fresh Monday with sadness information

Nikajiandaa kwenda kazini ila ndio hivyo tena Jumatatu imeanza na taarifa za huzuni, wakati nipo Ofisini, nikaja kuitwa nikaambiwa Kuna mgeni wangu yupo nje, nikawa najiuliza nani tena, moja kwa moja nikajua ni Annie kwasababu alikuwa anapiga simu toka Asubuhi na Wala sikushika simu,

Sasa natoka Ofisini nikaoneshwa huyo mgeni alikuwa ni blaza flani hivi kiumri, ni kama kanipita 4 or 5 years, tukasalimia pale alivyojitambulisha kumbe ni yule kijana Mzee alinambia atamuagiza aje ofisini,

Nikamuomba anisubiri kidogo, Nikarudi ndani Ofisini nikachukua Ile funguo nikampatia, sasa wakati nampatia funguo akaniuliza "lakini unajua kama Mzee amepata ajali?"

What? Mzee sinilikuwa naye jana tu, Ajari kaipatia wapi?

"Maeneo ya Dumila, alikuwa anaenda Dodoma"

Dah asee, Kwahiyo Sasa hivi yupo wapi

"Mama kanambia kapelekwa St.Harry Hospital huko Morogoro"

Mungu atamponya, ebu nisaidie na namba yako utakuwa unanijuza kitakacho endelea, kama akiletwa Dar pia utanambia

Basi tuka exchange namba pale, jamaa akaondoka

Nimerudi ofisini kuendelea na Kazi, nikamkuta Mama yake na Accountant yupo ofisini kwangu amekaa, tukasalimiana maana tulikuwa hatujaonana hadi huo (around saa 4 am kasoro)

"Nimeambiwa uko na Mgeni nje nikasema nikusubiri hapa?"

Ndio Mama, nishamalizana nae lakini, kwema lakini?

"Kwema tu, naona siku hizi umekuwa busy, hatuonani mara kwa mara"

Hapana, siunajua tena majukumu yangu mengi siku hizi ni ya nje ya office

TURUDI NYUMA KIDOGO

Wakati naanza kazi kwenye hii Kampuni nilikuwa katika nafasi ya kawaida tu kabla ya kupewa majukumu mengine, Hiki kitengo ambacho Niko nacho sasa kuna mtu mwingine ndio alikuwa anafanya,

Picha lilikuwa hivi, imepita miezi kama minne hivi nikiwa kazini huyu jamaa ambaye kwasasa mm ndio nashikilia nafasi yake alikuwa anaacha kazi, jamaa alipata mchongo wenye Maslahi zaidi, Sasa katika nafasi yake kukawa kuna pengo, katika kutafuta mtu wa kuziba Ile nafasi Accountant si akanipendekeza mimi kwa Mama yake, Mama hajakubali tu hivi hivi akaanza kuchunguza, then akamuuliza mwanae

"Kwanini awe BM? kwasababu staff wengine humu Wana vigezo vya ku cover hiyo nafasi tena wao Wana muda mrefu katika hii Kampuni"

Accountant akatoa sababu zake anazozijua yeye ila point zaidi akamwambia Mama yake kwamba tuna Mahusiano ya kimapenzi, So Mama akalibeba hilo na akanitunuku hii nafasi kwaajili ya Binti yake

Kosa nililofanya, Mama aliniuliza na Mimi nikajikuta nimekubali, Kwa maana hiyo Mama anajua Mimi ni Mkwe wake

Sasa nilivyopewa Ile Nafasi mpya nikaanza safari za kwenda Zanzibar, Mizigo yote ya Ofisi ambayo wateja wameagiza kupitia Kampuni yetu mimi ndio naipokea nakudeal na TRA, kwa kifupi hii nafasi Ina marupurupu kama yote na jamaa aliyekuwa kabla yangu katika hii nafasi alikuwa anapiga pesa vibaya mno, nilikuja kujua trip ya kwanza nilivyokwenda Zanzibar

Ikiwa ndio trip ya kwanza Mama alinipa maelekezo flani halafu akambia nichukue kiasi flani Cha fedha kutoka kwa Accountant, So nilipewa Pesa na Accountant, Pesa kwaajili ya kulipa TRA, Gharama za kusafirisha mizigo, Pesa ya hoteli nitakayofikia,

Sasa Mama pamoja na Accountant wakatoa pesa ambayo walizoea kumpa yule jamaa wa kwanza, Mimi nikachukua kibunda huyoo hadi hadi Ngomekongwe, Nika clear Kila kitu nikarudi Dar na mizigo Gharama zote nikawa nimelipa ila account ikabaki na kibunda kama milion 1.1+ (Milioni moja na laki moja na ushee)

Nilivyofika Ofisini mimi nikazirudisha zile pesa kwa Accountant, Bi mkubwa yani Mama yake na Accountant alivyopata taarifa alishangaa,

Aliniita Ofisini kwake akanambia "Unajua nilijua pesa haitatosha kwasababu nilimuambia *(Accountant) apunguze kama laki 5 katika Ile pesa aliyokupa ambayo ndio tulikuwa tunampatia * (jamaa niliyechukua nafas yake)

Nikamwambia Mama, pengine jamaa alikuwa anatumia zote kweli labda alikuwa hajui namna ya kudeal vizur na TRA

"Hamna nakataa, Pesa ilikuwa inabaki na anafanyia mambo yake, unajui nilihisi hichi kitu, haya nikuulize Pesa ya usafiri kutoka Bandarini hadi store wewe kiasi gani?"

Nimetumia kama laki 2 na nusu ivi

"Umeona sasa, umbali huo huo yeye alikuwa anatumia laki 4 hadi laki 5 kasoro, na hapo hajawalipa wabebaji, si alikuwa atatupiga tu huyu kijana"

Nikaona hapa tatizo si kwa jamaa tu bali hadi Kampuni yenyewe, Mtaendeshaje Kampuni namna hii hata hamna magari permanent ambayo mmeingia nayo mkataba so kama ni malipo yanafanyika baina ya Kampuni na Kampuni au na mwenye magari na sio kumkabidhi mfanyakazi pesa daily afanye malipo

Kifupi nilivyoingia kwenye hii Kampuni nilibadilisha mambo mengi sana, yakawa yanafanyika ki official zaidi, Mama ndio alinipendea zaidi hapo

Hata Mzee nilijuana nae baada ya kupata hii nafasi, na nahisi Mama yake Accountant alimuambia Mzee kuhusu uchapakazi wangu, Maana Mzee niliona tu ghafla ananikubali, Wakati sijakamatia hii nafasi nilikuwa namuona tu kwa mbali, na si Mzee tu, kupitia hii nafasi nimejuana na watu wengi pia

TURUDI LEO

"Unajua BM mimi umri umeshaenda, nataka nipumzike sasa, nimefikiria hii nafasi yangu nikuachie wewe"

(Ukisikia mshangao 'surprise' ndio huu, sikutegemea kabisa kama Mama atanifikiria katika hili, ilibidi nimuulize)

Nilimuuliza mbona ghafla Mama?

"Kama nilivyokuambia Mimi umri umeenda lakini pia sijakurupuka, nimechunguza nikapata jibu kwamba wewe ndio utakaye fit vizuri katika hii nafasi, unajua kwa nafasi tu hiyo uliyonayo umebadilisha mambo mengi sana kwenye hii Kampuni"

Mimi hata sijui hata nikujibu nini Mama, kwasababu wewe mwenye maamuzi

"Usijali, nimefikiria kujistafisha mwenyewe, kwahiyo kuanzia sasa muda wowote nakuachia Office na nimeona nikwambie kwanza wewe hata mwenzako bado sijamuambia kuhusu hili" (Accountant)

Sawa Mama,

Hapa sasa ngoma inaendakuwa ngumu hii, nipo njia Panda, Mama ananipa majukumu yote haya akidhani nipo Mapenzini na Mwanaye kipenzi, na Accountant ndio mtoto pekee kwa Mama yake

Tuliongea na Mama muda ule hadi break time, natoka nje kupata chochote kitu namuona Accountant, nikamuita nikashuka nae chini Ground floor,

Nikamwambia I'm sorry **** I couldn't Love you the way you wanted to be loved na ni kwasababu tayari nipo na Mtu wangu, Ivi unajua haya mambo yanaenda kuwa Serious Sasa

Accountant: "BM bhana, Yani Sasa hivi ndio unaona mambo yako serious, kwahiyo kipindi chote hicho ulikuwa unaniona Mimi natania au? Nakupenda kuliko hata unavyojipenda wewe"

Tatizo tayari niko na mtu, unataka Mimi nifanyaje mbona hatuelewani lakini?

Accountant: "Swali zuri sana! Fanya hivi, siumesema upo na mtu, Sasa tuache Kila mtu ajipambanie mwenyewe halafu upime nani anakupenda zaidi"

Kwahiyo Mimi sifai kumpambania yule ninae mpenda

Accountant: "Utampambania yule anayekupenda zaidi, unanichelewesha Mimi kunywa chai"

Accountant akaniacha pale Ground floor nikitafakari, hamu ya kula ishapotea, nikapanda juu, Ile naingia Ofisini napishana na Mama ndio anatoka, akaniaga Akasema harudi hadi kesho

Nilivyofika kwenye Desk langu nikakuta missed call za Annie tena, nikamueka pending (nitampigia badae) Imefika Lunch time nikampigia yule kijana aliyeagizwa hapa ofisini na Mzee,

Jamaa akanambia Mzee Bado yupo St.Harry Hospital na Mke wa Mzee ndio amefikia muda sio mrefu kwa taarifa alizozipata ni kwamba Mzee hajaumia sana amevunjika tu mkono

Basi nikamuambia jamaa anitumie namba za Mama ili nimpigie, jamaa alifanya hivyo na nikaongea na Mama akanambia Mzee anaendelea vizuri kuhusu kurudi Dar ameniambia Bado hajajua ila atanijulisha itakavyokuwa

Basi Nikaendelea na harakati za pale Ofisini mara kidogo namuona Annie anaingia, na ndio ilikuwa mara yake ya kwanza kuja Ofisini, Nakumbuka Siku moja tuko Town nikamuonesha jengo letu

Kabla hata hajakaa nikamuuliza haya wewe kuliko?

Annie: "I can see, this is your new way of saying 'Hi'

Umefata Nini hapa, kama unashida na Mimi siunge nisubiri nyumbani

Annie: "I took your not picking my calls as an invitation to come"

Nikamwambia wewe usinichanganye, mtu asipo shika simu maana yake yupo busy

Ili isiwe kesi, nikaona ngoja nimpatie pesa kidogo anisubiri hapo nje kwa Restaurant, Sasa Ile natoa Pesa Accountant nae ndio anaingia, Alivyofika akamuangalia Annie then akaniongelesha

Accountant: "Mama ameniambia amekuachia funguo ya Ofisini kwake"

Nikamjibu NDIO

Accountant: "Naiomba"

Nikampatia halafu akanipiga jicho flani hivi, akaondoka

Annie: I knew something was fishy but I didn't want to push it

Nikamuuliza Something like what?

Annie: I saw her the way she was looking at you, bila shaka ndio yeye

Skia nakuomba shuka hapo chini kuna Restaurant kunywa chochote ukinisubiria nimalizie kama, Mambo mengine sio ya kuongea hapa, Kweli Annie alinisikiliza na hicho ndicho ninachompendea

Nikamalizia Kazi, sasa Wakati natoka ofisini Accountant akaniwahi mlangoni akanambia,

Accountant: "now I have seen the woman I am battle with, tell your girlfriend she's playing with shark

Nikamjibu, Well it's a good thing that Sharks don't bite Sharks,

Mimi huyoo nikahepa

Nilimpitia Annie pale kwa Restaurant, tukaenda home, tumefika home saa moja kasoro, Cha kwanza nikampigia Mama kule Morogoro akanambia ndio wanajiandaa kutoka, Nikamwambia kesho nitakuja nyumbani kumuona Mzee, Nilivyomalizana Ile simu Annie huku alikuwa ananisubiri kwa hamu

Annie "BM unajua siku hizi sikuelewi kabisa"

Ooh nikajua utaendelea na Kizungu hadi nyumbani,

Annie "I should have known that it would be difficult for a pig to stay clean"

(Nikaona matusi yameanza Sasa)
Eeh Madam!!! You've crossed your boundaries, Don't try to infuriate me and pls If you feel the need to insult me do that with some kind of intelligence na Ili tusikwazane zaidi just find your corner and hang yourself there

Nilivyomwambia hivyo akaenda kabisa chumbani, Nikabaki zangu Sebuleni nacheki Movie, Movie ishaisha naenda chumbani nikamkuta kashalala, na Mimi nikambonji

Tuesday...... Wednesday, Nilivyomaliza kazi nikaenda kwa Mzee kumuona, Ukiacha na Mama na Caryn nilikuta watu wengine nisiowajua Mwanaume mmoja na Wanawake wawili na katoto kakike,

Mzee alikuwa Yuko fit kabisa ila ndio hivyo mkono una Piopio, kilichoniuma zaidi gari alilopata nalo Ajali ni lile li Land Cruiser ZX V8, dah roho iliniuma basi tu maana mama alinionesha picha yake jinsi ilivyo bondekabondeka na ni juzi tu ilitoka kurembeshwa na 'Land Cruiser Rear Chrome' with LED Light

Nilikaa hadi mida ya Supper ila wale wageni wengine wawili Mwanaume na Mwanamke na mtoto walikuwa washasepa kumbe walikuwa Mume na mke alibaki mdada mmoja nae kumbe ndio mtoto wa Mzee wa kwanza, bhana eeh nae sio kipole pole Yani kama wamechongeshwa Hawa watoto, ila ni kwasababu ya Mama yao maana Mama mtu ni Pisi nyie acheni tu

Chakula kikaletwa mezani, tukakusanyika wote Mimi, Mama, Mzee, Caryn na yule Mdada mwingine, Tukaanza kula

Caryn: This food is good jamani, this is what I call delicacy

Mdada: "This food is really tasteless and far from delicious"

Caryn: "Ungepika wewe"

(kwa mara ya kwanza nimemsikia Caryn ameongea kiswahili jamani)

Mzee "BM Leo familia imekamilika, ulizoea kumuona Caryn tu na huyu ndiye Dada yake anaitwa ****" (Kumbe huyu mdada ni Dada yake na Caryn, Wacha yeye tumuite Michelle)

"Caryn na Michelle....BM ni kama Kaka yenu, ni Kijana smart sana, Michelle I wish huyo unayemuita mchumba angekuwa smart kama BM"

Michelle: "Dad you just want to embarrass me in front of a stranger"

Mzee: "BM is not a stranger is your brother, So He must know that you want to marry a poor man who has no future"

Michelle: True love is everything Dad, just like you and my mom

Mzee: "If love was all your mother was looking for you wouldn't have been born with silver spoon in your mouth, I agree nilikuwa sina kitu by then lakini Mama yako alisoma Future yangu kwanza kabla hajanikubali"

Caryn: Someone sounded like wife material, I can see, finding true love is extremely hard now dsys (Kejeli kwa Michelle)

Michelle: "Absolutely true"

Caryn: "You're not supposed to answer that, it was rhetorical, That guy is trying to secure his meal ticket and you here to talking about true love"

Mama: "Jamani eeh tumechoka na makelele yenu"

Mama alikatisha mazungumzo kwa namna hiyo maana mzee nae hakwepeshi, Halafu nilikuja kujua kumbe Michelle Kuna Muhuni kamuelewa na Mzee hataki kumsikia hata kidogo,

Iko hivi, Mzee yeye hajamuona huyo Mpenzi wake na Michelle ila aliyemuona ni Caryn ambaye ndiye aliyepeleka umbea kwa Mzee, ndio maana Sasa hivi wanaonekana kama wanamabifu flani ndio na mimi nikaja kuelewa pale mwanzoni tunaanza kula Caryn alikuwa anasifia chakula ambacho amekipika yeye halafu Michelle anakiponda japokuwa aliendelea kukila.

Baada ya kupata chakula nikaawaga nakuondoka zangu, Kesho yake ambayo ni Alhamisi sikupitia Ofisini nilienda moja kwa moja Bandarini kwaajili ya kwenda Zanzibar, Nikapokea mizigo na kesho yake Ijumaa nikarudi Dar mchana mchana ivi. Nikampigia Mzee kumuuliza kama ratiba ya Ijumaa Bado ipo

Mzee akaniambia "Tena nilikuwa nataka kukupigia, Kuna namba ya kijana nakutumia sasa hivi mtawasiliana badae mpange mtakapokutana, nitampatia Gari"

Sawa Mzee, hamna shida

"Ila Kuweni Makini"

Sawa

Mzee akatuma namba, namba aliyonitumia kumbe ni ya yule kijana aliyemtuma Ofisini kuja kuchukua funguo na kunipa taarifa za Mzee Kupata ajali, mzee hakujua kama namba Niko nayo, Basi mida ilivyoyoyoma Nikamcheki jamaa, Akanambia ndio anaelekea kwa Mzee kuchukua Gari, Nikamwambia ukishachukua Gari njoo hadi Buguruni

Saa hiyo Mimi nipo nyumbani around saa 10 na nusu nikaanza kutoka, nilitangulia mm kufika Buguruni nikaenda Yale maeneo niliyokuwa na madogo siku Ile nikakaa kama 5 nikaondoka, nikaenda mitaa ya Buguruni sokoni nako ni bila bila, nikaenda hadi Ilala Wakati naendelea kuzunguka yule jamaa aliyeenda kuchukua Gari kwa Mzee akanipigia simu na kunambia kuwa ameshafika Buguruni, Nikamwambia sawa nakuja

Sasa wakati naendelea kutafuta wale madogo kijana mmoja akanisimamisha akaniomba Buku, umri wa kijana kwa kukadiria ni kama 17 or 18 flani ivi

Kijana: "Kaka samahani naomba nisaidie na Tsh 1000"

Nilitaka kumpotezea nikakumbuka mission niliyonayo, nikamuuliza elfu moja ya kazi gani?

Kijana: "Wadogo zangu hawajala tangu Asubuhi nataka ninunue hata Unga tuchemshe uji"

Nikamuuliza hao wadogo zako wapo wapi?

Kijana: Hapo Rozana

Nikamuambia nipeleke, tukaenda tukafika kwenye jumba flani hivi ambalo halijamaliziwa kjengwa, Sasa kuingia ndani kwenye kakolido flani nikawaona kweli madogo wawili, wakike na wakiume, yule wa kiume Miaka kama 9 kwa kukadiria akaniita "Kaka, umekuja tena" Sasa nikawa namshangaa, nikamuuliza kwani nishawahi kuja hapa, akanambia Ile siku ulikuwa kule Barabara ukatupa chakula

Nikarudisha kumbukumbu kweli nikamkumbuka, katika wale madogo niliowapa chakula siku Ile na yeye alikuwa mmoja wao, Nadhani na nyie wasomaji mtakuwa mnamkumbuka, huyu dogo ndiye yule aliyesema "Blaza haina haja mikono yetu misafi"

Nikamuuliza Ile siku wakati nawapa chakula ulitaka kubeba ukasema unataka kuja kulia nyumbani, kumbe ndio unaishi hapa? Dogo aliitikia kwa kichwa

Sasa kaka mtu akaanza kunihadithia vile wanaishi na madogo zake, wakiamka Asubuhi wanajigawa, Kijana mkubwa anaondoka na yule mdogo wake wa kike (5 yrs kwa kukadilia) kutafuta chochote, kama akipata kibarua anakifanya huku akiwa pembeni kwasababu hakuna mtu wa kumuachia halafu huyu Dogo mwingine ambae najuana nae yeye anaingia machaka yake ila muda mwingi anakuwa na madogo wenzake wakiomba omba.

Leo sasa huyu Kaka yao mkubwa ilibidi aawaache madogo wote atoke yy mwenyewe kwasababu huyu wa kike anaumwa, lakini unaambiwa hali hiyo inatokea mara kwa mara Dogo anaumwa na kupona mwenyewe bila hata ya kutibiwa

Kilichoniuma Zaidi, Ile siku Wakati nawapatia chakula wale madogo, huyu dogo aliyesema mikono misafi kumbe chakula kile alikula kidogo sana kingine alikiweka kwenye mfuko na kwenda nacho nyumbani Incase kama mdogo wake hajala pamoja na kaka yake, ndio maana Ile siku akawa kama anaharakisha flan.

Basi bhana bila kuwaambia chochote nikampigia jamaa nikamuambia aje had Rozana, nikamuambia yule dogo anitafutie madogo wengine ila wasizidi watano, nilivyomwambia hivyo dogo alikimbia huyo, nikabaki pale na kaka yake na yule wa kike tukiendelea na mazungumzo saa hiyo ni kama saa 12 na nusu +

Dakika 10 nyingi Dogo akaja na wenzake lakini nikaona kama wapo wengi Ile wanakaribia kuwahesabu madogo wapo 8 kabla hata sijamuuliza Dogo Akasema "Kaka Hawa wengine ni wenzetu Nimeshindwa kuwaacha"

Dogo nilimuagiza idadi ya wa 5 kwasababu ya ya kutosha kwenye Gari, nikawabeba hivyo hivyo nikamkuta jamaa kapaki Pembeni ya Barabara, nikampa 'Hi' kabla ya kuondoka nikampigia Mzee kumfahamishani na akanipa go ahead ya kuanza safari

Wakati tupo Njiani jamaa aliyekuja na Gari akaniuliza

"Madogo unawajua lakini?"

Nikamwambia hapana, nikamuuliza kwanini?

"Aahh, siunajua tena madogo wa mitaani mwanangu hawachelewi kukinukisha"

Usijali madogo watulivu mbona, nikamuambia safari ikaendelea tukafika nyumbani tulikuta msosi ushaandaliwa, Mzee akanambia niwapeleke madogo Backyard msosi ulitangulizwa huko

Wakana Caryn, Michelle na Mama wakatujoin, baada ya kusalimiana chakula kikapakuliwa kila mmoja na sahani yake tukaanza kula huku tukiendelea na maongezi, Caryn akauliza

Mzee: BM Hawa watoto ni wengine au ni wale wale uliowapatia chakula mara ya kwanza?

Caryn: "Sorry Dad, first of all I want to know where these kids came from?

Tukaanza kuangaliana na yule jamaa aliyekuwa anaendesha Gari, Wakati najipanga kujibu.....

Caryn: BM, You should answer this question

Nikamuambia wametoka Buguruni Rozana

Caryn: "Dad, I think you should change your strategy on how to help these kids
The food we're gonna give them was it gonna change their life?
So as a rich man if you think you want to help someone give them the kind of help that would transform their life not leaving them with food, in my opinion"

Nikaona Mzee kamuangalia Caryn halafu akaniangalia na Mimi Akasema....


ITAENDELEA, kimebaki kipande Cha mwisho
Story nzuriiii...

Sitaki iishe..

Hongera mkuu
 
Hata kama kajipigia promo mm vile Ile nampongeza Kwa uwasilishaji wake WA kiwango cha juu na mafunxo niyapatatayo BIG UP MUWASILISHAJI ww Una kipaji,
Muwasilishaji una IDs nyingi sana. Hii nayo yako. Halafu unakuja jisifia..
 
Fresh Monday with sadness information

Nikajiandaa kwenda kazini ila ndio hivyo tena Jumatatu imeanza na taarifa za huzuni, wakati nipo Ofisini, nikaja kuitwa nikaambiwa Kuna mgeni wangu yupo nje, nikawa najiuliza nani tena, moja kwa moja nikajua ni Annie kwasababu alikuwa anapiga simu toka Asubuhi na Wala sikushika simu,

Sasa natoka Ofisini nikaoneshwa huyo mgeni alikuwa ni blaza flani hivi kiumri, ni kama kanipita 4 or 5 years, tukasalimia pale alivyojitambulisha kumbe ni yule kijana Mzee alinambia atamuagiza aje ofisini,

Nikamuomba anisubiri kidogo, Nikarudi ndani Ofisini nikachukua Ile funguo nikampatia, sasa wakati nampatia funguo akaniuliza "lakini unajua kama Mzee amepata ajali?"

What? Mzee sinilikuwa naye jana tu, Ajari kaipatia wapi?

"Maeneo ya Dumila, alikuwa anaenda Dodoma"

Dah asee, Kwahiyo Sasa hivi yupo wapi

"Mama kanambia kapelekwa St.Harry Hospital huko Morogoro"

Mungu atamponya, ebu nisaidie na namba yako utakuwa unanijuza kitakacho endelea, kama akiletwa Dar pia utanambia

Basi tuka exchange namba pale, jamaa akaondoka

Nimerudi ofisini kuendelea na Kazi, nikamkuta Mama yake na Accountant yupo ofisini kwangu amekaa, tukasalimiana maana tulikuwa hatujaonana hadi huo (around saa 4 am kasoro)

"Nimeambiwa uko na Mgeni nje nikasema nikusubiri hapa?"

Ndio Mama, nishamalizana nae lakini, kwema lakini?

"Kwema tu, naona siku hizi umekuwa busy, hatuonani mara kwa mara"

Hapana, siunajua tena majukumu yangu mengi siku hizi ni ya nje ya office

TURUDI NYUMA KIDOGO

Wakati naanza kazi kwenye hii Kampuni nilikuwa katika nafasi ya kawaida tu kabla ya kupewa majukumu mengine, Hiki kitengo ambacho Niko nacho sasa kuna mtu mwingine ndio alikuwa anafanya,

Picha lilikuwa hivi, imepita miezi kama minne hivi nikiwa kazini huyu jamaa ambaye kwasasa mm ndio nashikilia nafasi yake alikuwa anaacha kazi, jamaa alipata mchongo wenye Maslahi zaidi, Sasa katika nafasi yake kukawa kuna pengo, katika kutafuta mtu wa kuziba Ile nafasi Accountant si akanipendekeza mimi kwa Mama yake, Mama hajakubali tu hivi hivi akaanza kuchunguza, then akamuuliza mwanae

"Kwanini awe BM? kwasababu staff wengine humu Wana vigezo vya ku cover hiyo nafasi tena wao Wana muda mrefu katika hii Kampuni"

Accountant akatoa sababu zake anazozijua yeye ila point zaidi akamwambia Mama yake kwamba tuna Mahusiano ya kimapenzi, So Mama akalibeba hilo na akanitunuku hii nafasi kwaajili ya Binti yake

Kosa nililofanya, Mama aliniuliza na Mimi nikajikuta nimekubali, Kwa maana hiyo Mama anajua Mimi ni Mkwe wake

Sasa nilivyopewa Ile Nafasi mpya nikaanza safari za kwenda Zanzibar, Mizigo yote ya Ofisi ambayo wateja wameagiza kupitia Kampuni yetu mimi ndio naipokea nakudeal na TRA, kwa kifupi hii nafasi Ina marupurupu kama yote na jamaa aliyekuwa kabla yangu katika hii nafasi alikuwa anapiga pesa vibaya mno, nilikuja kujua trip ya kwanza nilivyokwenda Zanzibar

Ikiwa ndio trip ya kwanza Mama alinipa maelekezo flani halafu akambia nichukue kiasi flani Cha fedha kutoka kwa Accountant, So nilipewa Pesa na Accountant, Pesa kwaajili ya kulipa TRA, Gharama za kusafirisha mizigo, Pesa ya hoteli nitakayofikia,

Sasa Mama pamoja na Accountant wakatoa pesa ambayo walizoea kumpa yule jamaa wa kwanza, Mimi nikachukua kibunda huyoo hadi hadi Ngomekongwe, Nika clear Kila kitu nikarudi Dar na mizigo Gharama zote nikawa nimelipa ila account ikabaki na kibunda kama milion 1.1+ (Milioni moja na laki moja na ushee)

Nilivyofika Ofisini mimi nikazirudisha zile pesa kwa Accountant, Bi mkubwa yani Mama yake na Accountant alivyopata taarifa alishangaa,

Aliniita Ofisini kwake akanambia "Unajua nilijua pesa haitatosha kwasababu nilimuambia *(Accountant) apunguze kama laki 5 katika Ile pesa aliyokupa ambayo ndio tulikuwa tunampatia * (jamaa niliyechukua nafas yake)

Nikamwambia Mama, pengine jamaa alikuwa anatumia zote kweli labda alikuwa hajui namna ya kudeal vizur na TRA

"Hamna nakataa, Pesa ilikuwa inabaki na anafanyia mambo yake, unajui nilihisi hichi kitu, haya nikuulize Pesa ya usafiri kutoka Bandarini hadi store wewe kiasi gani?"

Nimetumia kama laki 2 na nusu ivi

"Umeona sasa, umbali huo huo yeye alikuwa anatumia laki 4 hadi laki 5 kasoro, na hapo hajawalipa wabebaji, si alikuwa atatupiga tu huyu kijana"

Nikaona hapa tatizo si kwa jamaa tu bali hadi Kampuni yenyewe, Mtaendeshaje Kampuni namna hii hata hamna magari permanent ambayo mmeingia nayo mkataba so kama ni malipo yanafanyika baina ya Kampuni na Kampuni au na mwenye magari na sio kumkabidhi mfanyakazi pesa daily afanye malipo

Kifupi nilivyoingia kwenye hii Kampuni nilibadilisha mambo mengi sana, yakawa yanafanyika ki official zaidi, Mama ndio alinipendea zaidi hapo

Hata Mzee nilijuana nae baada ya kupata hii nafasi, na nahisi Mama yake Accountant alimuambia Mzee kuhusu uchapakazi wangu, Maana Mzee niliona tu ghafla ananikubali, Wakati sijakamatia hii nafasi nilikuwa namuona tu kwa mbali, na si Mzee tu, kupitia hii nafasi nimejuana na watu wengi pia

TURUDI LEO

"Unajua BM mimi umri umeshaenda, nataka nipumzike sasa, nimefikiria hii nafasi yangu nikuachie wewe"

(Ukisikia mshangao 'surprise' ndio huu, sikutegemea kabisa kama Mama atanifikiria katika hili, ilibidi nimuulize)

Nilimuuliza mbona ghafla Mama?

"Kama nilivyokuambia Mimi umri umeenda lakini pia sijakurupuka, nimechunguza nikapata jibu kwamba wewe ndio utakaye fit vizuri katika hii nafasi, unajua kwa nafasi tu hiyo uliyonayo umebadilisha mambo mengi sana kwenye hii Kampuni"

Mimi hata sijui hata nikujibu nini Mama, kwasababu wewe mwenye maamuzi

"Usijali, nimefikiria kujistafisha mwenyewe, kwahiyo kuanzia sasa muda wowote nakuachia Office na nimeona nikwambie kwanza wewe hata mwenzako bado sijamuambia kuhusu hili" (Accountant)

Sawa Mama,

Hapa sasa ngoma inaendakuwa ngumu hii, nipo njia Panda, Mama ananipa majukumu yote haya akidhani nipo Mapenzini na Mwanaye kipenzi, na Accountant ndio mtoto pekee kwa Mama yake

Tuliongea na Mama muda ule hadi break time, natoka nje kupata chochote kitu namuona Accountant, nikamuita nikashuka nae chini Ground floor,

Nikamwambia I'm sorry **** I couldn't Love you the way you wanted to be loved na ni kwasababu tayari nipo na Mtu wangu, Ivi unajua haya mambo yanaenda kuwa Serious Sasa

Accountant: "BM bhana, Yani Sasa hivi ndio unaona mambo yako serious, kwahiyo kipindi chote hicho ulikuwa unaniona Mimi natania au? Nakupenda kuliko hata unavyojipenda wewe"

Tatizo tayari niko na mtu, unataka Mimi nifanyaje mbona hatuelewani lakini?

Accountant: "Swali zuri sana! Fanya hivi, siumesema upo na mtu, Sasa tuache Kila mtu ajipambanie mwenyewe halafu upime nani anakupenda zaidi"

Kwahiyo Mimi sifai kumpambania yule ninae mpenda

Accountant: "Utampambania yule anayekupenda zaidi, unanichelewesha Mimi kunywa chai"

Accountant akaniacha pale Ground floor nikitafakari, hamu ya kula ishapotea, nikapanda juu, Ile naingia Ofisini napishana na Mama ndio anatoka, akaniaga Akasema harudi hadi kesho

Nilivyofika kwenye Desk langu nikakuta missed call za Annie tena, nikamueka pending (nitampigia badae) Imefika Lunch time nikampigia yule kijana aliyeagizwa hapa ofisini na Mzee,

Jamaa akanambia Mzee Bado yupo St.Harry Hospital na Mke wa Mzee ndio amefikia muda sio mrefu kwa taarifa alizozipata ni kwamba Mzee hajaumia sana amevunjika tu mkono

Basi nikamuambia jamaa anitumie namba za Mama ili nimpigie, jamaa alifanya hivyo na nikaongea na Mama akanambia Mzee anaendelea vizuri kuhusu kurudi Dar ameniambia Bado hajajua ila atanijulisha itakavyokuwa

Basi Nikaendelea na harakati za pale Ofisini mara kidogo namuona Annie anaingia, na ndio ilikuwa mara yake ya kwanza kuja Ofisini, Nakumbuka Siku moja tuko Town nikamuonesha jengo letu

Kabla hata hajakaa nikamuuliza haya wewe kuliko?

Annie: "I can see, this is your new way of saying 'Hi'

Umefata Nini hapa, kama unashida na Mimi siunge nisubiri nyumbani

Annie: "I took your not picking my calls as an invitation to come"

Nikamwambia wewe usinichanganye, mtu asipo shika simu maana yake yupo busy

Ili isiwe kesi, nikaona ngoja nimpatie pesa kidogo anisubiri hapo nje kwa Restaurant, Sasa Ile natoa Pesa Accountant nae ndio anaingia, Alivyofika akamuangalia Annie then akaniongelesha

Accountant: "Mama ameniambia amekuachia funguo ya Ofisini kwake"

Nikamjibu NDIO

Accountant: "Naiomba"

Nikampatia halafu akanipiga jicho flani hivi, akaondoka

Annie: I knew something was fishy but I didn't want to push it

Nikamuuliza Something like what?

Annie: I saw her the way she was looking at you, bila shaka ndio yeye

Skia nakuomba shuka hapo chini kuna Restaurant kunywa chochote ukinisubiria nimalizie kama, Mambo mengine sio ya kuongea hapa, Kweli Annie alinisikiliza na hicho ndicho ninachompendea

Nikamalizia Kazi, sasa Wakati natoka ofisini Accountant akaniwahi mlangoni akanambia,

Accountant: "now I have seen the woman I am battle with, tell your girlfriend she's playing with shark

Nikamjibu, Well it's a good thing that Sharks don't bite Sharks,

Mimi huyoo nikahepa

Nilimpitia Annie pale kwa Restaurant, tukaenda home, tumefika home saa moja kasoro, Cha kwanza nikampigia Mama kule Morogoro akanambia ndio wanajiandaa kutoka, Nikamwambia kesho nitakuja nyumbani kumuona Mzee, Nilivyomalizana Ile simu Annie huku alikuwa ananisubiri kwa hamu

Annie "BM unajua siku hizi sikuelewi kabisa"

Ooh nikajua utaendelea na Kizungu hadi nyumbani,

Annie "I should have known that it would be difficult for a pig to stay clean"

(Nikaona matusi yameanza Sasa)
Eeh Madam!!! You've crossed your boundaries, Don't try to infuriate me and pls If you feel the need to insult me do that with some kind of intelligence na Ili tusikwazane zaidi just find your corner and hang yourself there

Nilivyomwambia hivyo akaenda kabisa chumbani, Nikabaki zangu Sebuleni nacheki Movie, Movie ishaisha naenda chumbani nikamkuta kashalala, na Mimi nikambonji

Tuesday...... Wednesday, Nilivyomaliza kazi nikaenda kwa Mzee kumuona, Ukiacha na Mama na Caryn nilikuta watu wengine nisiowajua Mwanaume mmoja na Wanawake wawili na katoto kakike,

Mzee alikuwa Yuko fit kabisa ila ndio hivyo mkono una Piopio, kilichoniuma zaidi gari alilopata nalo Ajali ni lile li Land Cruiser ZX V8, dah roho iliniuma basi tu maana mama alinionesha picha yake jinsi ilivyo bondekabondeka na ni juzi tu ilitoka kurembeshwa na 'Land Cruiser Rear Chrome' with LED Light

Nilikaa hadi mida ya Supper ila wale wageni wengine wawili Mwanaume na Mwanamke na mtoto walikuwa washasepa kumbe walikuwa Mume na mke alibaki mdada mmoja nae kumbe ndio mtoto wa Mzee wa kwanza, bhana eeh nae sio kipole pole Yani kama wamechongeshwa Hawa watoto, ila ni kwasababu ya Mama yao maana Mama mtu ni Pisi nyie acheni tu

Chakula kikaletwa mezani, tukakusanyika wote Mimi, Mama, Mzee, Caryn na yule Mdada mwingine, Tukaanza kula

Caryn: This food is good jamani, this is what I call delicacy

Mdada: "This food is really tasteless and far from delicious"

Caryn: "Ungepika wewe"

(kwa mara ya kwanza nimemsikia Caryn ameongea kiswahili jamani)

Mzee "BM Leo familia imekamilika, ulizoea kumuona Caryn tu na huyu ndiye Dada yake anaitwa ****" (Kumbe huyu mdada ni Dada yake na Caryn, Wacha yeye tumuite Michelle)

"Caryn na Michelle....BM ni kama Kaka yenu, ni Kijana smart sana, Michelle I wish huyo unayemuita mchumba angekuwa smart kama BM"

Michelle: "Dad you just want to embarrass me in front of a stranger"

Mzee: "BM is not a stranger is your brother, So He must know that you want to marry a poor man who has no future"

Michelle: True love is everything Dad, just like you and my mom

Mzee: "If love was all your mother was looking for you wouldn't have been born with silver spoon in your mouth, I agree nilikuwa sina kitu by then lakini Mama yako alisoma Future yangu kwanza kabla hajanikubali"

Caryn: Someone sounded like wife material, I can see, finding true love is extremely hard now dsys (Kejeli kwa Michelle)

Michelle: "Absolutely true"

Caryn: "You're not supposed to answer that, it was rhetorical, That guy is trying to secure his meal ticket and you here to talking about true love"

Mama: "Jamani eeh tumechoka na makelele yenu"

Mama alikatisha mazungumzo kwa namna hiyo maana mzee nae hakwepeshi, Halafu nilikuja kujua kumbe Michelle Kuna Muhuni kamuelewa na Mzee hataki kumsikia hata kidogo,

Iko hivi, Mzee yeye hajamuona huyo Mpenzi wake na Michelle ila aliyemuona ni Caryn ambaye ndiye aliyepeleka umbea kwa Mzee, ndio maana Sasa hivi wanaonekana kama wanamabifu flani ndio na mimi nikaja kuelewa pale mwanzoni tunaanza kula Caryn alikuwa anasifia chakula ambacho amekipika yeye halafu Michelle anakiponda japokuwa aliendelea kukila.

Baada ya kupata chakula nikaawaga nakuondoka zangu, Kesho yake ambayo ni Alhamisi sikupitia Ofisini nilienda moja kwa moja Bandarini kwaajili ya kwenda Zanzibar, Nikapokea mizigo na kesho yake Ijumaa nikarudi Dar mchana mchana ivi. Nikampigia Mzee kumuuliza kama ratiba ya Ijumaa Bado ipo

Mzee akaniambia "Tena nilikuwa nataka kukupigia, Kuna namba ya kijana nakutumia sasa hivi mtawasiliana badae mpange mtakapokutana, nitampatia Gari"

Sawa Mzee, hamna shida

"Ila Kuweni Makini"

Sawa

Mzee akatuma namba, namba aliyonitumia kumbe ni ya yule kijana aliyemtuma Ofisini kuja kuchukua funguo na kunipa taarifa za Mzee Kupata ajali, mzee hakujua kama namba Niko nayo, Basi mida ilivyoyoyoma Nikamcheki jamaa, Akanambia ndio anaelekea kwa Mzee kuchukua Gari, Nikamwambia ukishachukua Gari njoo hadi Buguruni

Saa hiyo Mimi nipo nyumbani around saa 10 na nusu nikaanza kutoka, nilitangulia mm kufika Buguruni nikaenda Yale maeneo niliyokuwa na madogo siku Ile nikakaa kama 5 nikaondoka, nikaenda mitaa ya Buguruni sokoni nako ni bila bila, nikaenda hadi Ilala Wakati naendelea kuzunguka yule jamaa aliyeenda kuchukua Gari kwa Mzee akanipigia simu na kunambia kuwa ameshafika Buguruni, Nikamwambia sawa nakuja

Sasa wakati naendelea kutafuta wale madogo kijana mmoja akanisimamisha akaniomba Buku, umri wa kijana kwa kukadiria ni kama 17 or 18 flani ivi

Kijana: "Kaka samahani naomba nisaidie na Tsh 1000"

Nilitaka kumpotezea nikakumbuka mission niliyonayo, nikamuuliza elfu moja ya kazi gani?

Kijana: "Wadogo zangu hawajala tangu Asubuhi nataka ninunue hata Unga tuchemshe uji"

Nikamuuliza hao wadogo zako wapo wapi?

Kijana: Hapo Rozana

Nikamuambia nipeleke, tukaenda tukafika kwenye jumba flani hivi ambalo halijamaliziwa kjengwa, Sasa kuingia ndani kwenye kakolido flani nikawaona kweli madogo wawili, wakike na wakiume, yule wa kiume Miaka kama 9 kwa kukadiria akaniita "Kaka, umekuja tena" Sasa nikawa namshangaa, nikamuuliza kwani nishawahi kuja hapa, akanambia Ile siku ulikuwa kule Barabara ukatupa chakula

Nikarudisha kumbukumbu kweli nikamkumbuka, katika wale madogo niliowapa chakula siku Ile na yeye alikuwa mmoja wao, Nadhani na nyie wasomaji mtakuwa mnamkumbuka, huyu dogo ndiye yule aliyesema "Blaza haina haja mikono yetu misafi"

Nikamuuliza Ile siku wakati nawapa chakula ulitaka kubeba ukasema unataka kuja kulia nyumbani, kumbe ndio unaishi hapa? Dogo aliitikia kwa kichwa

Sasa kaka mtu akaanza kunihadithia vile wanaishi na madogo zake, wakiamka Asubuhi wanajigawa, Kijana mkubwa anaondoka na yule mdogo wake wa kike (5 yrs kwa kukadilia) kutafuta chochote, kama akipata kibarua anakifanya huku akiwa pembeni kwasababu hakuna mtu wa kumuachia halafu huyu Dogo mwingine ambae najuana nae yeye anaingia machaka yake ila muda mwingi anakuwa na madogo wenzake wakiomba omba.

Leo sasa huyu Kaka yao mkubwa ilibidi aawaache madogo wote atoke yy mwenyewe kwasababu huyu wa kike anaumwa, lakini unaambiwa hali hiyo inatokea mara kwa mara Dogo anaumwa na kupona mwenyewe bila hata ya kutibiwa

Kilichoniuma Zaidi, Ile siku Wakati nawapatia chakula wale madogo, huyu dogo aliyesema mikono misafi kumbe chakula kile alikula kidogo sana kingine alikiweka kwenye mfuko na kwenda nacho nyumbani Incase kama mdogo wake hajala pamoja na kaka yake, ndio maana Ile siku akawa kama anaharakisha flan.

Basi bhana bila kuwaambia chochote nikampigia jamaa nikamuambia aje had Rozana, nikamuambia yule dogo anitafutie madogo wengine ila wasizidi watano, nilivyomwambia hivyo dogo alikimbia huyo, nikabaki pale na kaka yake na yule wa kike tukiendelea na mazungumzo saa hiyo ni kama saa 12 na nusu +

Dakika 10 nyingi Dogo akaja na wenzake lakini nikaona kama wapo wengi Ile wanakaribia kuwahesabu madogo wapo 8 kabla hata sijamuuliza Dogo Akasema "Kaka Hawa wengine ni wenzetu Nimeshindwa kuwaacha"

Dogo nilimuagiza idadi ya wa 5 kwasababu ya ya kutosha kwenye Gari, nikawabeba hivyo hivyo nikamkuta jamaa kapaki Pembeni ya Barabara, nikampa 'Hi' kabla ya kuondoka nikampigia Mzee kumfahamishani na akanipa go ahead ya kuanza safari

Wakati tupo Njiani jamaa aliyekuja na Gari akaniuliza

"Madogo unawajua lakini?"

Nikamwambia hapana, nikamuuliza kwanini?

"Aahh, siunajua tena madogo wa mitaani mwanangu hawachelewi kukinukisha"

Usijali madogo watulivu mbona, nikamuambia safari ikaendelea tukafika nyumbani tulikuta msosi ushaandaliwa, Mzee akanambia niwapeleke madogo Backyard msosi ulitangulizwa huko

Wakana Caryn, Michelle na Mama wakatujoin, baada ya kusalimiana chakula kikapakuliwa kila mmoja na sahani yake tukaanza kula huku tukiendelea na maongezi, Caryn akauliza

Mzee: "BM Hawa watoto ni wengine au ni wale wale uliowapatia chakula mara ya kwanza?"

Caryn: "Sorry Dad, first of all I want to know where these kids came from?"

Tukaanza kuangaliana na yule jamaa aliyekuwa anaendesha Gari, Wakati najipanga kujibu.....

Caryn: BM, You should answer this question

Nikamuambia wametoka Buguruni Rozana

Caryn: "Dad, I think you should change your strategy on how to help these kids
The food we're gonna give them was it gonna change their life?
So as a rich man if you think you want to help someone give them the kind of help that would transform their life not leaving them with food, in my opinion"

Nikaona Mzee kamuangalia Caryn halafu akaniangalia na Mimi Akasema....


ITAENDELEA, kimebaki kipande Cha mwisho
Oooh
 
fanya episode ziwe nyingi tafadhali naona unaenda kukabidhiwa na ofisi ya mzee na mkee juu kazi unayo je ofisi ya mzee ni ipi iyo ? je utapewa cryn au dada mtu, hao watoto wanalengo gani
 
fanya episode ziwe nyingi tafadhali naona unaenda kukabidhiwa na ofisi ya mzee na mkee juu kazi unayo je ofisi ya mzee ni ipi iyo ? je utapewa cryn au dada mtu, hao watoto wanalengo gani
Episodes haziwezi kuwa nyingi mkuu, matukio yameisha, na episode iliyobaki ndio kiini Cha kuanzisha Uzi, kwasababu nahitajika kufanya Maamuzi na kufaulu mtihani niliopewa ndio maana nikaleta hapa nishauriwe,

Sasa katika Maamuzi nitakayofanya katika matokeo yake kama kutakuwa na matukio ndio nitakuja kuwajuza
 
Back
Top Bottom