Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Humu pana kitu kibaya nilijifunza lkn narekebisha hili jambo.

Mm napenda sana wine za kimazabe wenyewe wakaka mnavoita. Sasa majuzi nikiwa na ngombe mmoja pub moja nikaona niagize Martel, nikanywa. Niliipatapata.

Siku ingine nikiwa watoto wa masaki wakiwa wamejaa mapesa. Nikaagiza jagamasta. Sihitaji kisema kilitokea nini.

Niseme tu mengine si ya kuiga humu

Si kosa lako BM X6 ni juu yangu mwenyewe
Uliliwa kimasihara eeh

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom