Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Jamani punguzeni hisia katika kupiga kura maana mnazidi kunipa Wakati mgumu

Eniwei, Vote counted to Annie
Kwa jinsi Annie alivyokusapot kipindi kile alionesha mapenzi ya moyoni kwako sidhani kama itafaa kumuacha labda labda labda yeye mwenyewe abadilike Bm baki na Annie japo sijaona baya lolote kwa boss Caryn.
 
Akubali kupelekwa vile Familia inataka....akiambiwa kaa nyumbani anakaa njoo kazini huyooo anaenda [emoji3][emoji3]
Namshauri atumie akili sana hapa la sivyo atarudi na uzi mpya hatima ya maisha yangu ipo mikononi mwa careen[emoji2]
Wewe konyo sana🤣🤣🤣
 
Kwa jinsi Annie alivyokusapot kipindi kile alionesha mapenzi ya moyoni kwako sidhani kama itafaa kumuacha labda labda labda yeye mwenyewe abadilike Bm baki na Annie japo sijaona baya lolote kwa boss Caryn.
Wote hawana baya Warembo wangu, lakini naona Annie anabebwa na huruma za wadau huku Caryn kura pekee ndio zinambeba japo mchakato Bado unaendelea

Eniwei, nita Consider maoni yako
 
Zoezi la kupiga kura linaendelea Annie Vs Caryn

Zoezi litachukua muda mrefu kidogo ili kuwapa watu wengi nafasi ya kushiriki

Zoezi litafungwa tarehe 31 na matokeo nitayaweka hapa hapa

Tarehe 1 mwezi wa 6 nitakuja na Summary muhimu ambayo itagusa mwanzo wa Story hadi hapa nilipofikia

Baada ya hapo mtanikosa JF kwa muda kidogo kwasababu ya Ugeni mzito

Matokeo hadi sasa yanasoma[emoji1484]

Annie 7

Caryn 12
 
Zoezi la kupiga kura linaendelea Annie Vs Caryn

Zoezi litachukua muda mrefu kidogo ili kuwapa watu wengi nafasi ya kushiriki

Zoezi litafungwa tarehe 31 na matokeo nitayaweka hapa hapa

Tarehe 1 mwezi wa 6 nitakuja na Summary muhimu ambayo itagusa mwanzo wa Story hadi hapa nilipofikia

Baada ya hapo mtanikosa JF kwa muda kidogo kwasababu ya Ugeni mzito

Matokeo hadi sasa yanasoma[emoji1484]

Annie 7

Caryn 11
I am going with Annie
Usipende kuchanganya mapenzi na kazi. .
 
Zoezi la kupiga kura linaendelea Annie Vs Caryn

Zoezi litachukua muda mrefu kidogo ili kuwapa watu wengi nafasi ya kushiriki

Zoezi litafungwa tarehe 31 na matokeo nitayaweka hapa hapa

Tarehe 1 mwezi wa 6 nitakuja na Summary muhimu ambayo itagusa mwanzo wa Story hadi hapa nilipofikia

Baada ya hapo mtanikosa JF kwa muda kidogo kwasababu ya Ugeni mzito

Matokeo hadi sasa yanasoma[emoji1484]

Annie 7

Caryn 11
Lakini BM X6 acha nikuchane kiume.
Qewe ni mwanaume huwezi kufanya maamuzi ya mpenzi wako kupitia utashi wa watu, ndg au hata marafiki.

Vinginevyo hapa umeamua kuchangamaha genge, vinginevyo nitakuvua ngao😂😂
 
Annie naye huko alipo yupo njia panda. Kati yako au yeye kuna mmoja atachomoa battery kabla ya mwenzie. Halafu lawama atampelekea mwingine kama sababu. Kwo hapo kila mtu anamvizia mwenzie bila kujua.

Caryn nae mtapendana mwanzoni. Mkija kukorofishana itakuwa kama mafahari wawili wakaao zizi moja. Tabia ya mtu ni kama ngozi. mapenzi ya mwanzo huwa matamu na huficha vingi.

Ridhki yako ipo kwa accountant.

Hesabu kura yangu imeharibika.
 
Annie naye huko alipo yupo njia panda. Kati yako au yeye kuna mmoja atachomoa battery kabla ya mwenzie. Halafu lawama atampelekea mwingine kama sababu. Kwo hapo kila mtu anamvizia mwenzie bila kujua.

Caryn nae mtapendana mwanzoni. Mkija kukorofishana itakuwa kama mafahari wawili wakaao zizi moja. Tabia ya mtu ni kama ngozi. mapenzi ya mwanzo huwa matamu na huficha vingi.

Ridhki yako ipo kwa accountant.

Hesabu kura yangu imeharibika.
Satan huwagombanisha😂😂
Nisikilizi mkuu.
Mimi ninapenda msimamo wa Caryn.
Mtu wa aina hiyo ukim shape maoema, na mkawekana sawa kuwa vitu flani hamvitaki kati yenu na mkaweza kuvisimamia, mtadumu.

Labda kwasababu mimi napenda zaidi iron ladies zaidi
 
Wewe konyo sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaha tusi lako limenipa point
Katika vitu sipendi ktk mahusiano ni kuwa option ikitokea mwanaume yupo kwenye nafasi ya kuchagua kati ya mimi au mwingine bora aende tu kwa mwingine..sipendi kuwa option

Huyu BM anaonekana anaijua kazi yupo na experience ya kutosha kiasi kwamba anaweza kuwa ana kampuni yake na ikafanya vizuri tu...ila sasa kama hajajifunza kwa hili basi tena
Hz kazi za watu hutufundisha kuwa no matter how good you are you can be replaced anytime

Halafu seems wanawake wanakupeleka puta enhe maana mara ya kwanza accountant na mamake walikufanya uache kazi, this time Caryn..... heee we mwamba hebu jitafakari upya
 
Zoezi la kupiga kura linaendelea Annie Vs Caryn

Zoezi litachukua muda mrefu kidogo ili kuwapa watu wengi nafasi ya kushiriki

Zoezi litafungwa tarehe 31 na matokeo nitayaweka hapa hapa

Tarehe 1 mwezi wa 6 nitakuja na Summary muhimu ambayo itagusa mwanzo wa Story hadi hapa nilipofikia

Baada ya hapo mtanikosa JF kwa muda kidogo kwasababu ya Ugeni mzito

Matokeo hadi sasa yanasoma[emoji1484]

Annie 7

Caryn 11
Wanaume sometimes mnazinguaga Sanaa.

Umeanza na Annie tangu zamani, Leo hii kisa mjinga m1,1 unataka kumtosa.

Nakuambia, hakuna mapenzi kwako kwa Caryn ni nyege tu na vile kukaa pamoja na zaidi ndiyo mtu unayeshinda naye muda mrefu.

Watu humu watamtaka Caryn cox wengi wanapenda mserereko watataka kisa ni mtoto wa kishua,lakini kumbuka kama uliachana na accountant huwezi muweka mbali Caryn?

Mwisho kabisa, mwanaume siku zote yupo juu hapendi kuwa chini
Mwanamke unayetakiwa kuwa naye ni yule ambaye atakuwa loyal kwako

Aniie yupo royal sana kwako.

Caryn mtashindwana tu.
 
Lakini BM X6 acha nikuchane kiume.
Qewe ni mwanaume huwezi kufanya maamuzi ya mpenzi wako kupitia utashi wa watu, ndg au hata marafiki.

Vinginevyo hapa umeamua kuchangamaha genge, vinginevyo nitakuvua ngao[emoji23][emoji23]
Blaza kuna situation inaweza kukuface na usijue maamuzi sahihi ya kufanya

To be honest Mahali nilipofikia kwangu wote ni sawa tu, sijui kwa siku za mbeleni labda mzani unaweza kulala kwa mmoja wapo

Utashi wa watu pia ni muhimu, hasa kwa wale waliosoma Story mwisho, huwa kuna vitu flani mtu akiongea naona kabisa anagusa penyewe
 
Annie naye huko alipo yupo njia panda. Kati yako au yeye kuna mmoja atachomoa battery kabla ya mwenzie. Halafu lawama atampelekea mwingine kama sababu. Kwo hapo kila mtu anamvizia mwenzie bila kujua.

Caryn nae mtapendana mwanzoni. Mkija kukorofishana itakuwa kama mafahari wawili wakaao zizi moja. Tabia ya mtu ni kama ngozi. mapenzi ya mwanzo huwa matamu na huficha vingi.

Ridhki yako ipo kwa accountant.

Hesabu kura yangu imeharibika.
Dah! Spoiled Ballot

Accountant hapa katuharibia kura asee

Au tungeweka Candidates watatu nini [emoji848]

Lakini tatizo la Accountant nae hajakidhi vigezo

So Because of Accountant Ballot yetu imeenda waste

Mkuu Asante kwa kushiriki[emoji1545]
 
I'm going with Annie, huyu ndiye mwanamke wako, trust
Carry anakupenda wewe kutokana na ushawishi wa Mzee wake vile anakupamba mbele za binti zake, lakini Annie anakupenda kwa dhati ya moyo wake bila ushawishi wa wawazazi! Hivyo Bm simama na Annie hata iweje
 
Wanaume sometimes mnazinguaga Sanaa.

Umeanza na Annie tangu zamani, Leo hii kisa mjinga m1,1 unataka kumtosa.

Nakuambia, hakuna mapenzi kwako kwa Caryn ni nyege tu na vile kukaa pamoja na zaidi ndiyo mtu unayeshinda naye muda mrefu.

Watu humu watamtaka Caryn cox wengi wanapenda mserereko watataka kisa ni mtoto wa kishua,lakini kumbuka kama uliachana na accountant huwezi muweka mbali Caryn?

Mwisho kabisa, mwanaume siku zote yupo juu hapendi kuwa chini
Mwanamke unayetakiwa kuwa naye ni yule ambaye atakuwa loyal kwako

Aniie yupo royal sana kwako.

Caryn mtashindwana tu.
Blazee! umenifokea sana, ila ni sawa tu


Kama sio Protocol/Itifaki basi hii kura ningei double count kwa Annie


Eniwei, Vote counted to Annie [emoji294][emoji294]
 
If security is your first priority then stay with Anne,..If freedom( with its costs) I'd your first choice...go with Caryn.


Mambo ya sijui mmetoka mbali sio sababu...mapenz hayaendi kwa hisani na huruma, hamjaona nyie lolote laweza tokea. Angalia nan anafit zaid kwenye maisha yako yajayo tembea nae.


Mambo ya sijui Mali zitakufanya mtumwa, kama unanyota ya punda utakuwa mtumwa hata ukiwa maskini..kama hustler kamili utapindua meza.

Kwangu naona umezoea maisha yenye security so first choice ni Anne, ila nakushauri jaribu upande wa freedom, ni mchungu na utapambana haswa ila ukikomaa ndo kwenyewe na Caryn ndo mtu sahihi upande huo.
 
Hahaha tusi lako limenipa point
Katika vitu sipendi ktk mahusiano ni kuwa option ikitokea mwanaume yupo kwenye nafasi ya kuchagua kati ya mimi au mwingine bora aende tu kwa mwingine..sipendi kuwa option

Huyu BM anaonekana anaijua kazi yupo na experience ya kutosha kiasi kwamba anaweza kuwa ana kampuni yake na ikafanya vizuri tu...ila sasa kama hajajifunza kwa hili basi tena
Hz kazi za watu hutufundisha kuwa no matter how good you are you can be replaced anytime

Halafu seems wanawake wanakupeleka puta enhe maana mara ya kwanza accountant na mamake walikufanya uache kazi, this time Caryn..... heee we mwamba hebu jitafakari upya
Dada angu unampambania sana Annie, na kama akifanikiwa kurudi Headquarter nita mention jina lako kwake hata kama hakujui

Ila ni hadi afanikiwe sasa maana naona anaye compete nae dah! ni mtiti, ila pengine Team Annie watapindua Meza maana mchezo ndio kwanza Dakika ya 15 huku Caryn akiwa anaongoza kwa Kura mbili au 3 kama sikosei
 
I'm going with Annie, huyu ndiye mwanamke wako, trust
Carry anakupenda wewe kutokana na ushawishi wa Mzee wake vile anakupamba mbele za binti zake, lakini Annie anakupenda kwa dhati ya moyo wake bila ushawishi wa wawazazi! Hivyo Bm simama na Annie hata iweje
Team Annie wote wanasindikiza kura zao na maneno ya hisia mno, hadi inanikosesha amani

All in All Shukrani mkuu na Asante kwa kushiriki, Ushauri/Maoni yako nitayazingatia


Vote counted to Annie [emoji294][emoji294]
 
Wote hawana baya Warembo wangu, lakini naona Annie anabebwa na huruma za wadau huku Caryn kura pekee ndio zinambeba japo mchakato Bado unaendelea

Eniwei, nita Consider maoni yako
Bro usiseme huruma kijana wanaume wanakimbiwa na kukashifiwa wakiwa broke ni wanawake wachache sana huvumilia katika 10 yupo mmoja.
kweli mapenzi upofu

BY the way niko apa nasubiri season ziongezeke but fanya ufanyavyo never lose mzee trust utakuja kujilaumu mpaka unazeeka
 
Back
Top Bottom