Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Unaomba maiti damu, Yeye mwenyewe anahitaji Summarization, kaishia kusoma Episodes 2 tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!

Naenda nayo Ado adoo ntawakuta tuuuu...

uwe unanitag kuu ntaenda nayo mbele nyuma ivoivoooo ntaielewa tuu
 
Braza hujasimama bado. Baki na Anna. Ukienda kwa mtoto wa bosi una vingi vya kupoteza. Nishikize ndani humo kwanza mpaka uwe hakuna namna ya kukureplace ndo uanzishe mahusiano na Carryn. Vinginevyo utachemka vibaya.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!

Naenda nayo Ado adoo ntawakuta tuuuu...

uwe unanitag kuu ntaenda nayo mbele nyuma ivoivoooo ntaielewa tuu
Nadhani unaweza ukatukuta hapa hapa tulipoishia, Muendelezo Bado sana. Cos hadi niishi kwanza ndio niandike

I mean ni Live Story
 
Hii stori itaendelea au ndio mwisho unataka ushauri?

Vp mzee aliamuaje baada ya Idea yako ya Furniture kwenda sawa?
Story nadhani itaendelea, itadepend na situations zitakavyokuwa

Mzee bado hajarudi kutoka China
 
My vote biasennes;;
Kama wewe Ni mwanaume I mean if you're really real a man inatakiwa umuoe Annie.
Mana suala la hela Ni ishu ya mental skills. Unaweza ukarithi miradi ya hundreds of billions Ila usipokuwa how to produce money haitazaa. Na mwingine akaanza from minus or zero na akafikia hizo level za 100s of billions. If you're real man who you aren't afraid to go to zero and stand up go with Annie.

Wengi hapa wanaelekea kwa carryn kisa tu Kuna unafuu.
A real man must be proud with his hustles and stand up from rock bottom.
Ila ukiwa huko kwa Caren Ile your manhood ,or manly huwezi ionyesha kwa mwanaume aliyeanza zero na mko naye level moja utakuwa unaywea mbele yake tu kuwa wewe Ni ke fulani.

Naona watu wanatoa Theory kuwa hela inatakiwa Mana mtu anaumwa ghafula Kuna mdau kaleta theory utadhani Kama ukiwa na pesa na guarantee ya uhai.
By nature we love pleasure,luxury and lavish life and we hate/repel pains ndio Mana wengi wanamuwazia mno Caren Ila mie napenda niwe na mtu ambaye nitakuwa naye na sauti.
Otherwise nikiwa na huyo siku nikimzaba kibao akijisahau tu aseme kwanza tumekupiga tafu kimaisha usingekuwa ivyo Kama usingeoa ukoo wetu wenye pesa ,shukuru una bahati Ila bado haushukuru unaninyanyasa ndio mwisho.

Pia kumbuka mapenzi ama kila kitu hapa duniani huwa kina fade with time.
 
Iliniwia vigumu sana ku vote!! Ila kwa maisha yalivyo go for Caryn though nahisi mtakuja kuachana huko mbele,mzalishe fasta fasta if u’ll make it to a marriage life[emoji16][emoji16]
This is just my opinion! All the best bro BM X6
Dah! Maswala ya utabiri yametoka wapi tena jameni[emoji17], swala lilikuwa ni ku vote tu hayo mengine niachie mimi

Eniwei! Vote counted to Caryn
 
Back
Top Bottom