Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Nan...Unashauriwa utumie network yako kuanzisha huduma ya kijamii kwa Watanzania kama vile chuo au hospitali kusudi uwe mfano wa kuigwa
Ukiishiwa point ndiyo kawaìda yako kujibu ovyo
Stux...Ukiishiwa point ndiyo kawaìda yako kujibu ovyo
Stux...Huu uwongo wako kadanganye wajukuu zako au wenzio kwenye mchezo wa dhumna
Maneno kuntu, hicho chuo cha morogoro kama hakiruhusu secularism hata waislam wenyewe wataogopa kusoma hapo. Watakuwa na wanafunzi kiduchu daima.Huyo ni mgeni
Soma jina lake.
Ni mgeni au Mtumwa wa wageni.
Hana faida kwa jamii yake ya Asili.
Wasomi rudini katika jamii zenu ili mboreshe mambo yake.
Wafrika tumebaki maskini karne na karne sababu ya kujishughurisha na mambo ya Wageni.
Leo ukienda Lindi maroli na Maroli yanapishana yamejaa Makaa ya Mawe yanapelekwa Ugenini.
Kwa Waarabu na Wazungu.
Hivi Wasomi Maprofesa kama wewe hamjajua matumizi ya Makaa yetu ya Mawe kweli ?
Kwa faida yetu?
Eti Mzee Profesa Ahmed Said.
Hatuandiki kabisa matumizi ya Makaa yetu wenyewe.
Tunaandika kuhusu Uislamu wa na Ukristo wa wageni tu.
Na Maneno ya Papa wa Romani Cathoric, kuhusu kuwabariki Mashoga.
Halafu tunabaki kulialia tunaonewa.
Mnaonewa au mnaibiwa Mali zenu na wageni wanao wasahaulisha kwenye Dini zao za mchongo ili msikumbuke Mali zenu zinazoibiwa
Huo sio Usomi
Ni Ukuwadi wa Mabwenyenye.
Makaa ya Mawe yanaisha huko.
Wenzetu wana matumizi ya Makaa ya Mawe, sisi hatuna na hatuta kuwa nayo.
Sisi tupo Misikitini na Makanisani tunakesha kwa Nabii Mwamposa.
Makaa ya Mawe yanaisha huko Ruvuma
Maprofesa Uchwala mmejikita kuandika pepa za Ubongo Bandia na Dini na Historia za Sultani wa Madina.
Aliyefariki na Kuzikwa katika Mji Mtukufu wa Maka mwaka 1845.
Na Kuprisenti Marekani na Maka.
Makaa ya Mawe yanaenda wapi ?
Wapi Profesa Lipumba?
Naskia yupo bize na Chama cha CAF.
Waafrika weusi Bado hatujafikia katika Hali ya Binadamu aliye staarabika na Kujitambua na kujiita Msomi.
Bado tuna Unyani mwingi sana.
EPIDOMIA
Halafu mnakaa na kutamba eti ni wasomi mnaotambulika na University of London.
Kwenu hutambuliki na huna faida yoyote zaidi ya kuagiza Ugali Maharagwe na kula na kulala.
Huo sio Usomi ndugu yangu,
Ni kugubikwa kitambaa cheupe Usoni.
Imagine chuo kikuu hakiruhusu kujichanganya wanaume na wanawake,kila jinsia inakaa upande wao¡!¡ Wanawake lazima wavae kidini😓,ndiyo maana kinakosa wanafunzi wengi hata wa kiislam . Karne ya 21 Tanzania wanaleta mtindo wa Saudia, Afghanistan nk,inasikitisha sana .Maneno kuntu, hicho chuo cha morogoro kama hakiruhusu secularism hata waislam wenyewe wataogopa kusoma hapo. Watakuwa na wanafunzi kiduchu daima.
Taasisi za wakristo hazibagui waislamu na ndio siri ya mafanikio yao
Jabulani,Maneno kuntu, hicho chuo cha morogoro kama hakiruhusu secularism hata waislam wenyewe wataogopa kusoma hapo. Watakuwa na wanafunzi kiduchu daima.
Taasisi za wakristo hazibagui waislamu na ndio siri ya mafanikio yao
Ipyax,Imagine chuo kikuu hakiruhusu kujichanganya wanaume na wanawake,kila jinsia inakaa upande wao¡!¡ Wanawake lazima wavae kidini😓,ndiyo maana kinakosa wanafunzi wengi hata wa kiislam . Karne ya 21 Tanzania wanaleta mtindo wa Saudia, Afghanistan nk,inasikitisha sana .
Hiyo ni moja ya sababu inayofanya vijana waikimbie Muslim university of Morogoro.Ipyax,
Kutoruhusu wanaume na wanawake kuchanganyikana si mtindo wa Saudia au Afghastan.
Hii ni amri katika Uislam.
Ikiwa kuna nchi za Kiislam na hawafuati sheria hii huko ni kuasi tu si kuwa wako sawa.
Amri hiyo hata kama ni ya kidini basi ni ya HOVYOIpyax,
Kutoruhusu wanaume na wanawake kuchanganyikana si mtindo wa Saudia au Afghastan.
Hii ni amri katika Uislam.
Ikiwa kuna nchi za Kiislam na hawafuati sheria hii huko ni kuasi tu si kuwa wako sawa.
Ipyas,Hiyo ni moja ya sababu inayofanya vijana waikimbie Muslim university of Morogoro.
Stux,Amri hiyo hata kama ni ya kidini basi ni ya HOVYO
Kinyungu,Mzee Mohamed naomba nikuulize. Wewe waislam unaosema walionewa ni wa dhehebu gani? Ni Ahmadiyya, Sunni, Ibadi, Shia, Ismail, Bohora au ni wepi hao.
Maana hapa ni kama unataka kutuaminisha Waislam hapa Tanzania ni
homogenize group walioonewa sana na Serikali ya Tanzania/CCM.
Hebu leo utuambie ni Waislam wepi wali/wanao newa na Serikali?
Mmeuza Mali zenu wenyeweeeeVv,
Waislam tumeachwa mbali katika mengi na unaweza kusema kila kitu.
Tatizo ni kuwa tulitengenezewa mpango wa kutuzuia tusifanikiwe katika lolote.
Tumezuiwa kujenga vyuo vikuu viwili.
Laiti tungeruhusiwa tungepiga hatua kubwa.
Makanisa yameweka mkataba MoU na serikali yanapokea mabilioni ya fedha.
Hii ni fursa kubwa sana.
Laiti na Waislam wangekuwa na wao wanapewa ruzuku hii ingesaidia maendeleo yao.
Yako mengi sana.
Prof. Njozi aliyaeleza katika kitabu chake Mwembechai Killings serikali ikakipiga marufuku nchini kisisomwe.
Serikali ilipata hofu itakuwaje Waislamu wakijua dhulma hizi dhidi yao?
Huwezi kufananisha watu wanaobanwa na wale wenye fursa na uhuru wa kufanya wapendayo.
Bakwata ilirithi Mali za East AfricaVv,
Waislam tumeachwa mbali katika mengi na unaweza kusema kila kitu.
Tatizo ni kuwa tulitengenezewa mpango wa kutuzuia tusifanikiwe katika lolote.
Tumezuiwa kujenga vyuo vikuu viwili.
Laiti tungeruhusiwa tungepiga hatua kubwa.
Makanisa yameweka mkataba MoU na serikali yanapokea mabilioni ya fedha.
Hii ni fursa kubwa sana.
Laiti na Waislam wangekuwa na wao wanapewa ruzuku hii ingesaidia maendeleo yao.
Yako mengi sana.
Prof. Njozi aliyaeleza katika kitabu chake Mwembechai Killings serikali ikakipiga marufuku nchini kisisomwe.
Serikali ilipata hofu itakuwaje Waislamu wakijua dhulma hizi dhidi yao?
Huwezi kufananisha watu wanaobanwa na wale wenye fursa na uhuru wa kufanya wapendayo.
Hicho chuo kilitakiwa kujengwa kibaha kwa mfipa mlikuwa na eneo,wakati wa mwinyi hela ilitolewaGamma...
Misri ilitoa fedha kwa EAMWS kujenga Chuo Kikuu mwaka wa 1968.
EAMWS ikapigwa marufuku na serikali wakati inataka kujenga hicho chuo.
Katika miaka ya 1970 OIC walitaka kujenga Chuo Kikuu Tanzania serikali ikawakatalia kuwapa kibali.
Mwaka wa 1997 Darul Imaan ya Saudia ilitaka kujenga Shule ya Ufundi Kibaha ghafla magazwti yote yakaja na kampeni kuwa Waarabu wamevamia Kibaha wanapora ardhi za wananchi.
Darul Imaan ikasitisha mradi ikaondoka.
Haya mswali mnaniluliza mara nyingi na ninakupeni majibu lakini nitauliza tena swali hili hili.
Inakuwaje?
Hamuelewi ukweli au hamuamini kuwa serikali inazuia ujenzi wa taasisi za elimu kwa Waislam?
Toka like Shamba la Waislamu la Chang'ombe Maduka mawili liuzwe kwa bei Chee kwa tajiri flani, mimi sina cha kuwaambia hawa watu.Bakwata ilirithi Mali za East Africa
Muslim,alharamain,kiboyoye moshi,dodoma shile jamhuri,bukoba mlikuwa na shule
Nyumba mlikuwa nazo upanga, nyumbabya sheikh mkuu msasani peninsula, mkauziana kiujanja akanunua hemed
Ukienda magomeni mikumi mlikuwa
Tena alikaaga sheikh nasri pale
Unataka data zenu .....
Mlikuwa na mabasi,malori mlikuwa na hospitali pia
Tatizo la nyie baadhi yavwaislam hamkubali makosa mnajiona sawa
Nyie mnashindwa kusimamia mambo
Serikali ya tz hampendelei yyt
Mali mnauza wenyewe mnawasikingizia wakina John
Ova
Huyu mzee said analalamika tu na kulialiaToka like Shamba la Waislamu la Chang'ombe Maduka mawili liuzwe kwa bei Chee kwa tajiri flani, mimi sina cha kuwaambia hawa watu.
Raslimali kubwa namna hii liko mjini linauzwa kwa bei ya kutupwa sina hamu nao.
Halafu utawasikia
"tunaonewa na Mazayuni"
Kwa hiyo changombe aliuza JohnToka like Shamba la Waislamu la Chang'ombe Maduka mawili liuzwe kwa bei Chee kwa tajiri flani, mimi sina cha kuwaambia hawa watu.
Raslimali kubwa namna hii liko mjini linauzwa kwa bei ya kutupwa sina hamu nao.
Halafu utawasikia
"tunaonewa na Mazayuni"