Hatma ya Muslim University of Morogoro na Maono ya Aga Khan kuwasaidia Waislamu kujenga Chuo Kikuu

Hatma ya Muslim University of Morogoro na Maono ya Aga Khan kuwasaidia Waislamu kujenga Chuo Kikuu

Mzee wangu wewe kila siku unajinasibisha na tafiti za namna waislam walivyoonewa hapa nchini.Naamini kule ambako Nyerere hakuifuta EAMWS kuna maendeleo makubwa sana ya taasisi za huduma za kijamii za kiislamUkifuatilia kwa umakini taasisi nyingi zimeanzishwa na Bakwata na Tanzañia kuna ustawi wa uislam kuliko Kenya na Uganda.

Sikueleei kwa "mzee wangu" lafu unani nukuu mimi umemaanisha nini?

Haya sasa kanijibu swali langu, au hujaliona?
 
Mzee wangu wewe kila siku unajinasibisha na tafiti za namna waislam walivyoonewa hapa nchini.Naamini kule ambako Nyerere hakuifuta EAMWS kuna maendeleo makubwa sana ya taasisi za huduma za kijamii za kiislamUkifuatilia kwa umakini taasisi nyingi zimeanzishwa na Bakwata na Tanzañia kuna ustawi wa uislam kuliko Kenya na Uganda.
Nan...
Bahati mbaya umeshindwa kuelewa uzito wa Nyerere kuipiga marufuku EAMWS kuzuia Waislam kujenga Chuo Kikuu.

Huu ulikuwa mgogoro mkubwa sana uliodumu takriban miezi mitatu kuanzia October hadi December 1968.

Mgogoro huu uliingiza TANU, Polisi na Usalama wa Taifa katika kupambana na Waislam na baadhi ya viongozi wao kama Tewa Said Tewa na Bibi Titi Mohamed na masheikh maarufu katika mji wa Dar es Salaam mfano wa Sheikh Hassan bin Ameir.

Baadhi ya masheikh wakawa wanafatwa majumbani kwao usiku kukamatwa na kuwekwa kizuizini Jela ya Ukonga.

Katika mgogoro huu ndipo Mufti Sheikh Hassan bin Ameir akakamatwa usiku nyumbani kwake Magomeni na usiku huo huo akapelekwa Uwanja wa Ndege akatiwa katika ndege na kurudishwa kwao Zanzibar kwa kuelezwa kuwa haruhisiwi kuingia Tanganyika.

Kilichofuatia ikawa kuvunjwa kwa EAMWS kuundwa kwa BAKWATA na mali zote za EAMWS kukabidhiwa BAKWATA.

Huu ndiyo ukawa mwisho wa ujenzi wa shule na Chuko Kikuu uliokuwa ukifanywa na EAMWS.

Haya hayakuwa mambo madogo ukichukulia kuwa hawa ndiyo waliokuwa mstari wa mbele katika kupigania uhuru wakitegmea kuleta haki na usawa.

Nini ilikuwa sababu ya haya yote?

Mgogoro huu na yaliyofuatia kuanzia hapo yamechafua historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika.

Wema na hisani vilivyokuwapo vyote vimeingia doa na hapajakuwapo na juhudi za kutengeneza hali hii.

Wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika wakafutwa katika historia mpaka nilipokuja kuandika maisha ya Abdul Sykes na kuwarejesha.

Wengi wa hawa wazalendo wamekufa na kuzikwa wakiwa na kinyongo moyoni mwao.

Huu ndiyo urithi uliopo na utapokelewa kutoka kizazi kwenda kizazi kuwa Waislam ijaza yao ya kupigania uhuru haikuwa shukurani bali nuksani.

Hili si jambo jepesi, halikutakiwa kuwepo kabisa na wala halipendezi.
Hili ni jambo zito linalohitaji busara si kejeli kama hizi zinazotolewa hapa.
 
Nan...
Bahati mbaya umeshindwa kuelewa uzito wa Nyerere kuipiga marufuku EAMWS kuzuia Waislam kujenga Chuo Kikuu.

Huu ulikuwa mgogoro mkubwa sana uliodumu takriban miezi mitatu kuanzia October hadi December 1968.

Mgogoro huu uliingiza TANU, Polisi na Usalama wa Taifa katika kupambana na Waislam na baadhi ya viongozi wao kama Tewa Said Tewa na Bibi Titi Mohamed na masheikh maarufu katika mji wa Dar es Salaam mfano wa Sheikh Hassan bin Ameir.

Baadhi ya masheikh wakawa wanafatwa majumbani kwao usiku kukamatwa na kuwekwa kizuizini Jela ya Ukonga.

Katika mgogoro huu ndipo Mufti Sheikh Hassan bin Ameir akakamatwa usiku nyumbani kwake Magomeni na usiku huo huo akapelekwa Uwanja wa Ndege akatiwa katika ndege na kurudishwa kwao Zanzibar kwa kuelezwa kuwa haruhisiwi kuingia Tanganyika.

Kilichofuatia ikawa kuvunjwa kwa EAMWS kuundwa kwa BAKWATA na mali zote za EAMWS kukabidhiwa BAKWATA.

Huu ndiyo ukawa mwisho wa ujenzi wa shule na Chuko Kikuu uliokuwa ukifanywa na EAMWS.

Haya hayakuwa mambo madogo ukichukulia kuwa hawa ndiyo waliokuwa mstari wa mbele katika kupigania uhuru wakitegmea kuleta haki na usawa.

Nini ilikuwa sababu ya haya yote?

Mgogoro huu na yaliyofuatia kuanzia hapo yamechafua historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika.

Wema na hisani vilivyokuwapo vyote vimeingia doa na hapajakuwapo na juhudi za kutengeneza hali hii.

Wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika wakafutwa katika historia mpaka nilipokuja kuandika maisha ya Abdul Sykes na kuwarejesha.

Wengi wa hawa wazalendo wamekufa na kuzikwa wakiwa na kinyongo moyoni mwao.

Huu ndiyo urithi uliopo na utapokelewa kutoka kizazi kwenda kizazi kuwa Waislam ijaza yao ya kupigania uhuru haikuwa shukurani bali nuksani.

Hili si jambo jepesi, halikutakiwa kuwepo kabisa na wala halipendezi.
Hili ni jambo zito linalohitaji busara si kejeli kama hizi zinazotolewa hapa.
Hoja yangu ni kwamba mbona miundombinu ya taasisi za waislam chini ya Bakwata iko vzr kuliko kwingineko ambako EAMWS ilifanya kazi?
 
Punguza jazba mzee!
Nan...
Jazba maana yake ni mori ingawa wengi hulitumia neno hili kwa maana ya kukasirika.

Sina tabia ya kuandika kama tunagombana.
Pitia post zangu.

Mimi hapa nasomesha yale ambayo hamkuwa mnayajua na inaelekea nimekushika barabara maana tuko pamoja tunajadili kwa muda mrefu sasa.

Naamini unanufaika na darasa hili langu.

Prof. Haroub Othman alizungumza na Mwalimu Nyerere kuhusu hayo niiyoandika ambayo yako katika kitabu cha Abdul Sykes.

Prof. Haroub aliumizwa sana na yale niliyoandika.
Akataka kupata yakini.

Prof. Haroub akamwambia Mwalimu Mohamed Said kabadili historia yako na historia yote ya kupigania uhuru wa Tanganyika.

Akamsisitizia kuwa historia yake si ile historia ambayo watu wakiifahamu pamoja na yeye na akiisomesha Chuo Kikuu.

Akamshauri Mwalimu akubali kuandika kitabu cha maisha yeke ili na yeye upande wake usikike.

Prof. Haroub alikuwa anataabishwa na ''legacy'' ya Mwalimu kama kiongozi na kama Baba wa Taifa.

Haroub Othman alikwenda kwa Ahmed Rashaad Ali kumuuliza zaidi ukweli wa yale niliyoaandika kwani Ahmed Rashaad na Abdul Sykes walikuwa marafiki wakubwa toka utoto wao 1930s.

1705319819274.png

Kushoto ni Prof. Haroub Othman, Ahmed Rashaad Ali na Sheikh Ahmed Islam
Uwanja wa Julius Nyerere Dar es Salaam 1997
 
Hio picha ni kabla ya 1998 shambulio la mabomu balozi za marekani kenya na tanzania. Uislamu ukiachwa utamalaki unakuwa ugaidi na ubakaji wa watoto. Nyerere hakukosea kufuta EAMWS.
 
Hio picha ni kabla ya 1998 shambulio la mabomu balozi za marekani kenya na tanzania. Uislamu ukiachwa utamalaki unakuwa ugaidi na ubakaji wa watoto. Nyerere hakukosea kufuta EAMWS.
Nafahamu mchaga mkristo ndiye alitengeneza bomu la kuripuwa ubalozi wa Marekani Tanzania.

Hapo vipi?
 
Mzee vipi tathmini yako ya Hali ya Elimu Kwa Waislamu nchin? Shule zipo Kila wilaya hadi vikijini, vyuo vimejaa Kila sehemu
 
Serikali iwajibu kitu gani, kama chuo tu mmepewa cha bure mmeshindwa kukiendeleza mnanataka mpewe ikulu ama.

Hii nchi niya raia wote wenye dini na wasio na dini hakuna aliye special pambana na hali yako kuwadi wa kidini za waarabu.
Ikulu wamepewa mbona tayari.
 
Tulichofanikiwa na kukiomongeza pale ni kujenga bonge msikiti chuoni...

Kuna eneo kubwa tu chuo walipewa mkabala na SUA kama unaenda Iringa, kwa ajili ya kukipanua lakin amna lolote.... kuna muda tujitafakari.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nga...
Umeghadhibika na unanitukana.

Ungeweza ukajadili ukanijibu kiungwana nami nikajifunza kutoka kwako.

Kwa kuepuka shari nasitisha mjadala na wewe mpaka utakapotulia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom