Hatma ya Muslim University of Morogoro na Maono ya Aga Khan kuwasaidia Waislamu kujenga Chuo Kikuu

Mtama,
Soma hapa kuna waraka kuhusu ubaguzi Wizara ya Elimu.
Mkuu... kuna theory na uhalisia.

Huu waraka unaousema, umeandikwa na nani?

Mimi nakisema nilichoishi kwenye elimu ya Tanzania, sijawahi kuona muislam aliyekuwa anafanya vizuri shule, akafeli mtihani wa taifa; ever. Ndio maana nauliza tatizo ni shule za kiislamu au wanafunzi wa kiislamu?

Nimesoma Dar na Pwani maisha yangu yote tena shule za serikali, hakukuwa na maajabu kwenye mtihani wa taifa, top 10 ya darasani ndio ilikuwa top 10 kwenye NECTA.
 
Kichuguu,
Ahsante sana.
 
Maku...
Hukulipenda jibu hilo?
Huna ulichojifunza?
Yaani unaokoteza Historia ya miaka 50 unajibu maswali ya Sasa! Najiuliza Leo hii Kuna mtoto au kijana wa Kiislam anakosa Elimu kwa vikeazo ya kimfumo?! Mbona wamejaa kwenye Shule na Vyuo vya Kanisa! Acha kuwatia upofu Waislam wachache ambao bado wamelala! Inawezekana changamoto zilkuwepo huko nyuma lakini Sasa watu wameamka wanasoma bila hofu...Nina Imani hata wewe ukiambiwa uchague Kati ya St Augustine ,Tumaini au St.Joseph University dhidi ya Muslm University pale Msamvu utachagua chaguo la kwanza!
 
Mtama,
Nadhani unayafahamu yaliyotokea NECTA hadi kusababisha maandamano.
hii takataka imekosa hoja inajibu swali kwa hotuba ya maamuma sheikh ponda
Nga....
Umeghadhibika unatoa matusi.

Ikiwa haya tunayojadili kwako ni takataka hakuna tatizo.

Sitakujibu tena..
 
Mtama,
Nadhani unayafahamu yaliyotokea NECTA hadi kusababisha maandamano.
Kwa heshima sana...

Najaribu kuelewa, conspiracy iko wapi hasa? Naomba uchukulie kama swali la mtu anayetafuta kufahamu, siyo kubishana. Am trying to understand; maana nimeishi na kusoma shule zenye waislamu wengi tu, mtihani wa darasa la IV, VII, form II, form IV na form VI; sikuona muislamu anayefanya vizuri darasani akifeli... ndio maana najaribu kuuliza, hili jambo linatokea wapi?
 
Mtama,
Waislam wamefikisha tatizo hili serikalini ili wapate majibu rasmi ya serikali.

Conspiracy iko wapi?
 
Hadithi nyiiingi haya sasa mkurugenzi wa Necta sasa ni muislamu ,acheni visingizio nyanyueni watoto wenu kielimu we hujiulizi kwanini mikoa yenye waislamu wengi ndio yenye dropout kubwa ya wanafunzi je ni hujuma pia?,waislamu mna taasisi gani imara za kielimu? hakuna ,elimu sio lelemama
 
Rava...
Hizi si hadithi.
Soma utatambua.

EAMWS ilikuwa inajenga Chuo Kikuu mwaka wa 1968 ikapigwa marufuku na serikali na BAKWATA ikaundwa.

Hii si hadithi ni historia ya Waislam wa Tanzania.
 

Unawajua boko haram na unaelewa mana hata ya neno boko haram,acha kujitoa akili.
 
Hizo kesi za kuibiwa maksi kwa wanafunzi ziko kwa dini zote
 
Uzuri kwenye Islamic schools wanasoma historia yako.Wakijichanganya kwenye necta wanalambwa
 
Rava...
Hizi si hadithi.
Soma utatambua.

EAMWS ilikuwa inajenga Chuo Kikuu mwaka wa 1968 ikapigwa marufuku na serikali na BAKWATA ikaundwa.

Hii si hadithi ni historia ya Waislam wa Tanzania.

Uhafidhina utakufa nao,wenzako wanasonga mbele wewe umekwama kwenye yaliyopita,pole sana mzee utakufa kwa stress let it go eamws is no longer na haitokuja kutokea tena tz.
 
Sasa leo hii kwanini hamjengi shule na vyuo venu rais si muislamu ?,mtendaji mkuu wa necta si muislamu? mbona sioni shule zenu zikifanya vizuri ,mbona hamna vyuo
 
Naomba nikuulize,serikali iliwahi kutaifisha shule za kikristo na kuzifanya za umma ,hivi ingekua ni shule za kiislamu ndio zimetaifishwa hali ingekuaje?,nchi ingekalika kweli
 
Maku...
Siokotezi.

Ningekuwa wa kuokoteza nisingesikilizwa.

Nafanya utafiti:

PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES
1.The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.
2.The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006
3.Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.
4.Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.
5.Uamuzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.
6.Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No. 1, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam.
7.Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No.2, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam
8.Dar es Salaam na Wazalendo Wake Mashujaa Katika Kupigani Uhuru wa Tanganyika Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaaam
9.Watu Mashuhuri Katika Kuulingania Uislam Tanzania, Sheikh Ilunga, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam
10.Dola, Kanisa na Tatizo la Udini Tanzania, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam
11.The School Trip to Zanzibar, Africa Proper Education Network 2020, Dar es Salaam
12.Rajabu Ibrahim Kirama, Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam, Readit, 2020, Dar es Salaam
13.Sal Davis, An Autobiography, Readit/Amazon, 2023, Dar es Salaam
14.In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).
15.Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).
16.Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)
17.The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).
18.Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).
19.The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).
20.Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).
21.Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).
22.Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).
23.Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).
24.Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.
25.Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.
26.Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.
27.Awards: Several Awards
28.Visiting Scholar: (2011)
29.University of Iowa, Iowa City, USA
30.Northwestern University, Chicago, Illinois, USA
31.Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.
32.OTHER COUNTRIES VISITED
33.Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…