Hatma ya Muslim University of Morogoro na Maono ya Aga Khan kuwasaidia Waislamu kujenga Chuo Kikuu

Sasa leo hii kwanini hamjengi shule na vyuo venu rais si muislamu ?,mtendaji mkuu wa necta si muislamu? mbona sioni shule zenu zikifanya vizuri ,mbona hamna vyuo
Rava...
Kwani waliojenga sababu ni hizo ulizoainisha?
 
Kinachoathiri maendeleo ya ni udini tu, wanawaza udini tu, hata shule zao za chini ni za hovyo sana. Wanaajiri wenye imani ya dini yao tu, unakuta ustaadh ni mtupu kichwa lakini kaajiriwa kwa kuwa ni wa dini yao tu. Kila kitu mpaka wasaidiwe kujenga, mara msikiti, mara kisima cha maji, wao hawana organinization moderate kujifanyia maendeleo yao hususani ya kielimu ni kuigaiga kwa wengine tu ila wao hawana akili za kuanzisha kitu cha maana zaidh ya dini tu
 
Kuna rafiki yangu sana kwao ni washika dini mno bimkubwa wake alimpeleka jamaa ubungo Islamic huko kulikua kusoma hakuna ni elimu akhera mwanzo mwisho plus kulishwa chuki dhidi ya nchi, na wazungu. akirudi kitaa jamaa mweupe kinoma bimdashi akaona sio poa akamuhamishia kirinjiko Islamic seminary huko ndio ilikua so watu wanaamshwa sana usiku kujifunza martial arts hakuna prepo huko usiku madarasa ni madojo akirudi kitaa mwamba anazid tu kua empty bimdashi akanyoosha mikono akamepeleka kijana wake jitegemee kumbe jamaa alikua kichwa bhana akamaliza form four na division two ya mwanzoni kabisa, bimkubwa wake angekaza fuvu angebaki na kilaza mwenye msimamo mkali alieiva kwenye sanaa za kimapigano
 
Wewe unaweza kwenda kusoma chuo discussion lazima mkae kuanzia 3 kama jinsia ni tofauti au unachapwa kama mwanafunzi wa sekondari na msingi we uliona wapi karne hii ya technolojia chuo kinaendeshwa kama Kipindipi cha mashahid vile..
 
Mfumo wa elimu ulipindishwa vipi wakati wakoloni ndio waliokuja na elimu yao na sharti ili upate elimu yao ilikulazimu ukubali imani yao sasa hapo mfumo ulipindishwa vipi..

Kwani ili upate ilimu ya kiislam na usome madrasa si lazimu uwe muislam sasa kwa nini uwatuumu wakoloni ambao wao pia wakulikuwa wanapigania kile chao..

Ebu fikiria vizuri mzee..!
 
Rava...
Sijasikia Wakristo wakilalamika kuwa NECTA inahujumu shule za Kanisa.
Kwa mfumo wa shule za kanisa, huwezi kusoma kama sio the best upstairs na wana level ya ufaulu na usipoifikia, unaondolewa kwenye mfumo. Unadhani kwa system hiyo kuna mwanafunzi asiye smart au lazy atabaki shuleni??....

Kwa hiyo ukiona matokeo mazuri usidhani ni dini imefaulisha ila mfumo thabiti wa kuhakikisha wanafunzi wanakuwa na quality na jitihada inayotakiwa kufaulu.

Na hili halikuja kwa bahati mbaya, kama waarabu walileta utumwa na uislamu bhasi wazungu walileta ukoloni, dini na huduma za kijamii hususani shule. Hivyo, shule za kanisa haziifanyi elimu dunia kuwa extra ila kama part ya maarifa

Na hata kama shule isipofanya vizuri na hii ni hata kwa zile shule zenye jamiii ya wakristo wengi, huwezi kukuta shule zinaanza kumtafuta mchawi wa nje bali zinajiangalia zenyewe ni wapi zilipokosea na kama somo flani limefelisha zaidi. Mwalimu anaweza hata kuondolewa. Kiufupi nobody cares about NECTA au mfumo

Hii ni tofauti na nyie waislamu baadhi wenye imani kali.. Mnapenda kuwa na victim mentality inayowafanya kuepuka self accountability and responsibility

Watoto wa kifeli "tumefelishwa". Mnadhani who cares about you kwenye nchi ambayo uwiano wa dini upo almost sawa lakini pia kumekuwa na viongozi wakuu wenye dini tofauti??...

Najua nje ya historia na matatizo ya waislamu, huna relevance yoyote professionally lakini mzee wangu. Relevance yako sio muhimu kuliko hizo chuki na matatizo unayoyapandikiza

Please, kizazi cha sasa hatuhitaji hiyo mifano yako ya karne ya ishirini to prove a point. Tumeshapita huko na nadhani ni muda muafaka ukaanza kuhubiri umoja na upendo kuliko huo utengano
 
Kuokota sio lazima uokote vibaya...hongera Kwa uandishi...! Suala ni je,Leo hii Kuna kikwazo chochote Cha mtoto wa Kiislam kupata Elimu Bora kuanzia CHEKECHEA HADI CHUO KIKUU?!
 
Shida ya waislamu nyie hamuangalii matatizo yenu kutokea kwenu ila huwa mnatafuta mbuzi wa kafara kwamba matatizo yenu anasababisha mtu mwingine ambae mmeshamtengeneza akili kuwa ni mkristo...... Angalia matajiri karibu wakubwa wote Tanzania ni waislamu kwanini wakristo wasiwahujumu kwa hilo wawahujumu kwenye elimu.... Waislamu nyie mnaamini kwenye kueneza uislamu bila kujifungamanisha na mazingira nje ya uislamu... Badilisheni kwanza mtazamo huu muone kama hali haitabadilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…