Hatma ya Muslim University of Morogoro na Maono ya Aga Khan kuwasaidia Waislamu kujenga Chuo Kikuu

Hatma ya Muslim University of Morogoro na Maono ya Aga Khan kuwasaidia Waislamu kujenga Chuo Kikuu

Nga...
Nyerere analaumiwa kwa kuivunja EAMWS na kuunda BAKWATA ili Waislam wasiwe na Chuo Kikuu kwani wakati ule EAMWS ilikuwa inajenga Chuo Kikuu.

Akamkamata Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir na kumfukuza Tanganyika asirejee tena.
Unaweza ukataja ambacho unaweza ukamsifia nacho..!!?? Kwa maneno mengine, unaweza ukayataja mazuri ya Nyerere..!!?? AU hana mazuri?
 
Tuanze hapa tulipo hivi sasa kisha nitaweka tulipotokea baada ya uhuru:

TUJIKUMBUSHE

Waislam wa Tanzania na Tatizo la Udini Katika Wizara ya Elimu.

Ndugu Waziri,
Kwa muda mrefu sasa, kumekuwa na maswali mengi wakijiuliza Waislamu, moja likiwa inakuwaje katika maeneo yenye Waislamu wengi ambapo idadi ya wanafunzi Waislamu inakuwa zaidi ya asilimia 70, lakini wanapochaguliwa kwenda sekondari, idadi ya watoto wa Kiislamu huporomoka na kuwa chini ya asilimia 20.

Swali na kitendawili hiki kimekuwepo kwa muda mrefu bila kupatiwa majibu.

Hata lilipofikishwa Bungeni mwaka 1999 na aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni, Mzee Kitwana Selemani Kondo, bado halikupatiwa jibu.

Akihoji juu hali hiyo, Mzee Kitwana Kondo alitoa mfano jinsi hali ilivyokuwa katika shule ya Pembamnazi iliyokuwa na Waislamu watupu na kwa miaka mingi mfululizo kulikuwa hakuna hata mtoto mmoja aliyekuwa akichaguliwa kwenda sekondari kutoka katika shule hiyo.

Aidha alisema kuwa, katika mkoa wa Dar es Salaam na Pwani, takwimu zinaonyesha kuwa idadi ya watoto wa Kiislamu katika shule za msingi ilikuwa zaidi ya asilimia 70 lakini inapokuja kuchaguliwa kwenda sekondari, idadi ya Waislamu iliporomoka na kuwa chini ya asilimia 20.

Akizungumza Bungeni tarehe 2 Februari, 1999 alisema kuwa katika watoto waliofanya mtihani wa darasa la saba mwaka 1998, idadi ya Waislamu ilikuwa asilimia 71 na Wakristo 29%. Hata hivyo akasema, ilipotoka orodha ya waliochaguliwa kwenda sekondari, idadi ya Wakristo ikawa asilimia 79 (79%) na Waislamu 21%.

Je, hiyo ilikuwa na maana kuwa watoto wa Kiislamu kwa asili yao hawana akili?

Alitaka kujua Mzee Kitwana Kondo. Lakini hakuweza kupata jibu.

Mheshimiwa Waziri,
Ni wazi kuwa Waziri wa Elimu au Waziri Mkuu ambaye ndiye msimamizi wa mambo ya serikali Bungeni asingeweza kutoa majibu ya uhakika kwa sababu swali lilihitaji kufanyika uchunguzi huru wa kina na makini kwanza.

Mheshimiwa Waziri,
Mwaka 1987 aliyekuwa Waziri wa Elimu, Profesa Kighoma Ali Malima, aliweka utaratibu mpya wa ufanyaji wa mtihani wa darasa la saba ambapo namba zilitumika toka kufanya mtihani, kusahihisha na kuchagua wanafunzi wa kwenda kidato cha kwanza.

Namba zilivishwa majina baada ya taratibu zote hizo kukamilika. Mwaka huo idadi ya watoto wa Kiislamu waliokwenda kidato cha kwanza iliongezeka kwa asilimia 40 ikilinganishwa na miaka ya nyuma.

Hata hivyo, mara aliondolewa Waziri Malima katika wizara hiyo na utaratibu wa zamani ukarejeshwa ambapo yalikuwa yakichaguliwa majina na idadi ya Waislamu ikaporomoka na kurudi chini ya asilimia 20.

Mheshimiwa Waziri,
Hali kama hii hapana shaka inazua maswali mengi ambayo yanahitaji majibu na majibu hayo hayawezi kupatikana bila ya kufanyika uchunguzi.

Labda tuongeze mifano ili kuliweka wazi zaidi jambo hili.

Mwaka 1983 mwanafunzi aliyekuwa akiitwa Kopa Abdallah akisoma katika shule ya msingi Kichangani, Kilosa, alikosa kuchaguliwa kwenda sekondari.

Yeye binafsi, wazazi wake na hata walimu wake hawakuamini matokeo yale kutokana na alivyokuwa akifanya vizuri kuliko wanafunzi wote.

Baadae ilikuja kugundulika kuwa nafasi yake alipewa mwanafunzi aliyekuwa akiitwa Antoni Samirani ambaye alikuwa na uwezo mdogo sana ikilinganiswa na Abdallah.

Kilichofanyika ni kuwa jina la Abdallah lilifichwa na baadae Antoni akapewa jina hilo kimya kimya na kwenda kusoma sekondari akitumia jina Abdallah wakati yeye ni Antoni.

Taarifa zinasema kuwa Kopa Abdallah alipogundua hakuweza kufanya kitu akaishia kuwa dereva.

Hali kama hiyo ilimkuta pia Adam Ramadhani aliyekuwa akisoma shule ya msingi Rutihinda jijini Dar es Salaam na kumaliza darasa la saba mwaka 1999. Yalipotoka matokeo ya mtihani wa darasa la saba na kuonekana kuwa Adam hakuchaguliwa, baba yake hakuamini kuwa mtoto wake anaweza kufeli kutokana na uwezo aliokuwa nao na zaidi akitizama walivyochaguliwa watoto ambao Adam alikuwa mwalimu wao shuleni na mitaani.

Katika kufuatilia suala hilo wizarani, ilikuwa aibu kwa wizara baada ya kuonekana kuwa walichaguliwa watoto wa Kikristo wenye alama za chini kabisa huku akiachwa Adam Ramadhani aliyekuwa na alama za juu kuliko wote.

Mheshimiwa Waziri,
Mifano kama hii ni mingi mno na ipo katika ngazi zote kwa maana kutoka elimu ya msingi kwenda sekondari, kutoka kidato cha nne kwenda kidato cha tano na kutoka kidato cha sita kwenda Chuo Kikuu.

Kwamba hata kutoka kidato cha nne kwenda kidato cha tano, wapo watu waliopata kushuhudia majina ya wanafunzi wa Kiislamu yakiwekwa pembeni japo walikuwa na sifa za kuchaguliwa.

Mheshimiwa Waziri,
Ukiacha hujuma katika kuwaacha wanafunzi Waislamu wenye sifa kuendelea na masomo, matatizo huanzia kwenye kuamua nani amefaulu na nani kafeli.

Tuhuma zilizopo ni kuwa wapo wanafunzi wanapewa madaraja ya juu wakati alama zao ni za chini na wapo wanaopewa madaraja ya chini wakati alama zao ni za juu.

Na hii ni kwa masomo yote.

Mheshimiwa Waziri,
Kumekuwa na utamaduni katika nchi hii wa kukataa ukweli.

Kufuatia uchunguzi uliofanywa na Kamati za Bunge, tumeshuhudia wizi na ufisadi wa kutisha ukifichuliwa Bungeni hivi karibuni hali iliyopelekea mpaka Mheshimiwa Rais kubadili Baraza lake la Mawaziri.

Sasa baada ya kuyasema yote hayo, tunasema kuwa Baraza la Mitihani la Tanzania, limekuwa likilalamikiwa kwa zaidi ya miaka 30, lakini malalamiko hayo yamekuwa yakipokewa kwa sikio la uziwi.

Imefikia mahali tunasema kuwa hatuna tena imani na Baraza hilo.

Mheshimiwa Waziri,
Ili kupata ukweli wa malalamiko na shutuma hizi, na ili kujibu lile swali juu ya watoto wa Kiislamu ambalo halikupata jibu Bungeni, tunaitaka serikali kufanya yafuatayo:

1. Tume huru iundwe kuchunguza Baraza la Mitihani la Tanzania na utendaji wake kazi kwa kipindi cha miaka kumi iliyopita.

2. Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani (NECTA) ajiuzulu mara moja ili kulinda heshima ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzaani na Baraza la Mitihani.

Watendaji wakuu wa kitengo cha mitihani na wanaohusika na mfumo wa Kumputa ya Baraza la Mitihani nao wawajibishwe mara moja.

3. Hatua za kisheria na kibinadamu zichukuliwe dhidi ya watumishi wa Baraza la Mitihani watakaothibitika kuhusika na kashfa hii.

4. Muundo wa Baraza la Mitihani uzingatie uwiano wa kidini, kitendo cha chombo nyeti kama hiki kujazana watu wa dini moja kunaliondolea Baraza la Mitihani sura ya kitaifa, kwani takwimu zinaonyesha Makatibu Wakuu Watendaji na Manaibu Katibu Wakuu wamekuwa Wakristo na Wenyeviti wa Baraza hilo ni Wakristo tangu lilipoanzishwa mwaka 1973, mpaka hii leo na takwimu tunazo.

Mheshimiwa Waziri,
Tunaomba ieleweke kuwa tunachotaka ni kupatikana haki na kufanyika uadilifu kwa watu wote.

Hatudai wala hatutaki upendeleo kwa Waislamu na wala hatutaki kuona mtu yeyote anaonewa au kuporwa haki yake, awe Mwislamu au mtu wa dini nyingine.

Tunachoamini ni kuwa kama Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi haina cha kuficha, basi itaunda Tume hiyo kwa haraka na kuhakikisha kuwa ni Tume ya kuaminika itakayofanya kazi yake kwa umakini, kwa kina na kwa uadilifu wa hali ya juu kabisa.

Lakini kama Wizara yako itaona kuwa haiwezi kuunda Tume ya uchunguzi, tunacho kuhakikishia ni kuwa sisi tutafanya kila liwezekanalo na kwa namna yoyote kuhakikisha kuwa Tume hiyo inaundwa.

Na ikigundulika kuwa kuna hujuma zinafanyika katika utendaji wa Baraza, basi itabidi uwajibikaji uanze kwenye Wizara kabla ya kuwawajibisha watendaji wa Baraza la Mitihani.

Ni imani yetu kuwa utayapokea madai ya Waislamu na kuyafanyia kazi kwa umakini na kwa haraka ili kujenga mustakbali mwema wa nchi hii na watu wake.

Tunaomba kuwasilisha,

Mwenyekiti,
Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu

Sasa turudi nyuma wakati tumepata uhuru:


Ipyax,
Yametokea.
Serikali haiko tayari kutoa majibu.

Nina mengi naweza kukueleza muhimu ni wewe uwe tayari kusikiliza.

Marais Waislam hawakuchaguliwa kuchunguza watendaji Wakristo ndani ya serikali wana mchango gani katika matatizo haya yanayoelezwa na Waislam.

Endapo Rais Muislam ataingia madarakani na kuanza kuchunguza tatizo hili atakuwa anatengeneza tatizo kubwa zaidi linaloweza kuigawa nchi zaidi.

Hili la Waislam kuwekeza katika elimu hapa si mahali pake ila ningependa kukufahamisha kuwa baada ya kupatikana uhuru mwaka wa 1961 Mufti Sheikh Hassan bin Ameir alijiuzulu siasa na kuanzisha taasisi yake, "Daawat Islamiyya," yeye akiwa Mwenyekiti na Katibu wake Schneider Abdillah Plantan.

Sheikh Hassan bin Ameir akasema sababu ya yeye kujiuzulu siasa ni kuwaongoza Waislam katika kutafuta elimu kama alivyowaongoza katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

(Naamini inawezekana historia hii ninayokueleza ikakupa tabu kwani hujapata kuisoma popote kuwa Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir alikuwa mwanachama wa TANU na kapigania uhuru.

Schneider Plantan yeye ndiye aliyesimama mwaka wa 1950 kuutoa uongozi wa wazee katika TAA Rais ambae ni kaka yake, Thomas Plantan na Katibu Clement Mohamed Mtamila na kuingiza uongozi wa vijana Dr. Vedasto Kyaruzi kama President na Abdul Sykes Katibu).

Mwaka wa 1962 Sheikh Hassan bin Ameir akishirikiana na EAMWS wakaitisha Muslim Congress agenda kuu ikiwa elimu.
ndo maana ulipokuwa UDSM Prof. Msabaha Mzaramo mwenzako alikupa maksi ulizostahili ukaanza kumshambulia ati anaringa! Kumbe kakupa maksi kutokana na upeo wako na si chuki ulizokuwa unaendesha dhidi ya Ma-professor wa kanda ya Kaskazini!
 
John...
Waislam vipi wawe na uwezo mdogo wa kufikiri ilhali wao ndiyo walioasisi African Association 1929 na wakaunda TANU kupigaia uhuru wa Tanganyika tena wake kwa waume?

Au hujasoma historia ya Sheikh Hassan bin Ameir, Sheikh Abdallah Rashid Sembe, Sheikh Suleiman Takadir kwa kuwataja wachache au Shariffa bin Mzee, Tatu bint Mzee, Halima Selengia na Titi Mohamed?

Mwaka 1929 kweli hao wazee waliunda African Association, lakini ilikuwa ni kama kijiwe cha kucheza bao la kete na karata na dhumna. Mpaka alipokuja kafliri JKNyerere na kuwafungua macho
 
Nga...
Nyerere analaumiwa kwa kuivunja EAMWS na kuunda BAKWATA ili Waislam wasiwe na Chuo Kikuu kwani wakati ule EAMWS ilikuwa inajenga Chuo Kikuu.

Akamkamata Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir na kumfukuza Tanganyika asirejee tena.
Mkuu Nyerere aliondoka madarakani lini? Nyerere alifariki lini? Mbona hadi leo hamna hicho chuo? Mmeshindwa nini kukijenga kama Nyerere alikuwa kikwazo
 
Bado hutoi jibu la kueleweka unajikanyaga mwenyewe,inaonesha ni jinsi gani usivyokuwa na msimamo wa kueleweka mzee wangu

Nijibu swali langu kuwa kwenye wale waasisi wote wa TANU wa Kiislamu,Kuna yoyote alikuwa anamzidi Muikristo Nyerere elimu?

Kuhusu ushujaa wa Okello na Mapinduzi ya Zanzibar hilo halipingiki na liko wazi kabisa japo nyie Waislamu mnafanya kazi kubwa sana ili mfinye historia yake kuwa yeye sio Shujaa kwa sababu tu hakuwa Muislam

John Okello,field Marshall,Che Guevara of Africa and father of Zanzibar revolution.......Mungu awe naye siku zote
Kinj...
Hakuna tatizo ndugu yangu.
Ukiwa unaona unajua basi.

Mimi niko hapa tunakijadili kitabu cha Abdul Sykes toka 2008.
 
Mkuu Nyerere aliondoka madarakani lini? Nyerere alifariki lini? Mbona hadi leo hamna hicho chuo? Mmeshindwa nini kukijenga kama Nyerere alikuwa kikwazo
Kinyungu,
Katika miaka ya 1970 OIC walitaka kujenga Chuo Kikuu Tanzania.

Serikali ya Tanzania ilikataa kutoa kibali.

Chuo kikapelekwa kujengwa Mbale, Uganda.
 
Maku...

Waislam wa Tanzania na Tatizo la Udini Katika Wizara ya Elimu.

Ndugu Waziri,
Kwa muda mrefu sasa, kumekuwa na maswali mengi wakijiuliza Waislamu, moja likiwa inakuwaje katika maeneo yenye Waislamu wengi ambapo idadi ya wanafunzi Waislamu inakuwa zaidi ya asilimia 70, lakini wanapochaguliwa kwenda sekondari, idadi ya watoto wa Kiislamu huporomoka na kuwa chini ya asilimia 20.

Swali na kitendawili hiki kimekuwepo kwa muda mrefu bila kupatiwa majibu.

Hata lilipofikishwa Bungeni mwaka 1999 na aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni, Mzee Kitwana Selemani Kondo, bado halikupatiwa jibu.

Akihoji juu hali hiyo, Mzee Kitwana Kondo alitoa mfano jinsi hali ilivyokuwa katika shule ya Pembamnazi iliyokuwa na Waislamu watupu na kwa miaka mingi mfululizo kulikuwa hakuna hata mtoto mmoja aliyekuwa akichaguliwa kwenda sekondari kutoka katika shule hiyo.

Aidha alisema kuwa, katika mkoa wa Dar es Salaam na Pwani, takwimu zinaonyesha kuwa idadi ya watoto wa Kiislamu katika shule za msingi ilikuwa zaidi ya asilimia 70 lakini inapokuja kuchaguliwa kwenda sekondari, idadi ya Waislamu iliporomoka na kuwa chini ya asilimia 20.

Akizungumza Bungeni tarehe 2 Februari, 1999 alisema kuwa katika watoto waliofanya mtihani wa darasa la saba mwaka 1998, idadi ya Waislamu ilikuwa asilimia 71 na Wakristo 29%. Hata hivyo akasema, ilipotoka orodha ya waliochaguliwa kwenda sekondari, idadi ya Wakristo ikawa asilimia 79 (79%) na Waislamu 21%.

Je, hiyo ilikuwa na maana kuwa watoto wa Kiislamu kwa asili yao hawana akili?

Alitaka kujua Mzee Kitwana Kondo. Lakini hakuweza kupata jibu.

Mheshimiwa Waziri,
Ni wazi kuwa Waziri wa Elimu au Waziri Mkuu ambaye ndiye msimamizi wa mambo ya serikali Bungeni asingeweza kutoa majibu ya uhakika kwa sababu swali lilihitaji kufanyika uchunguzi huru wa kina na makini kwanza.

Mheshimiwa Waziri,
Mwaka 1987 aliyekuwa Waziri wa Elimu, Profesa Kighoma Ali Malima, aliweka utaratibu mpya wa ufanyaji wa mtihani wa darasa la saba ambapo namba zilitumika toka kufanya mtihani, kusahihisha na kuchagua wanafunzi wa kwenda kidato cha kwanza.

Namba zilivishwa majina baada ya taratibu zote hizo kukamilika. Mwaka huo idadi ya watoto wa Kiislamu waliokwenda kidato cha kwanza iliongezeka kwa asilimia 40 ikilinganishwa na miaka ya nyuma.

Hata hivyo, mara aliondolewa Waziri Malima katika wizara hiyo na utaratibu wa zamani ukarejeshwa ambapo yalikuwa yakichaguliwa majina na idadi ya Waislamu ikaporomoka na kurudi chini ya asilimia 20.

Mheshimiwa Waziri,
Hali kama hii hapana shaka inazua maswali mengi ambayo yanahitaji majibu na majibu hayo hayawezi kupatikana bila ya kufanyika uchunguzi.

Labda tuongeze mifano ili kuliweka wazi zaidi jambo hili.

Mwaka 1983 mwanafunzi aliyekuwa akiitwa Kopa Abdallah akisoma katika shule ya msingi Kichangani, Kilosa, alikosa kuchaguliwa kwenda sekondari.

Yeye binafsi, wazazi wake na hata walimu wake hawakuamini matokeo yale kutokana na alivyokuwa akifanya vizuri kuliko wanafunzi wote.

Baadae ilikuja kugundulika kuwa nafasi yake alipewa mwanafunzi aliyekuwa akiitwa Antoni Samirani ambaye alikuwa na uwezo mdogo sana ikilinganiswa na Abdallah.

Kilichofanyika ni kuwa jina la Abdallah lilifichwa na baadae Antoni akapewa jina hilo kimya kimya na kwenda kusoma sekondari akitumia jina Abdallah wakati yeye ni Antoni.

Taarifa zinasema kuwa Kopa Abdallah alipogundua hakuweza kufanya kitu akaishia kuwa dereva.

Hali kama hiyo ilimkuta pia Adam Ramadhani aliyekuwa akisoma shule ya msingi Rutihinda jijini Dar es Salaam na kumaliza darasa la saba mwaka 1999. Yalipotoka matokeo ya mtihani wa darasa la saba na kuonekana kuwa Adam hakuchaguliwa, baba yake hakuamini kuwa mtoto wake anaweza kufeli kutokana na uwezo aliokuwa nao na zaidi akitizama walivyochaguliwa watoto ambao Adam alikuwa mwalimu wao shuleni na mitaani.

Katika kufuatilia suala hilo wizarani, ilikuwa aibu kwa wizara baada ya kuonekana kuwa walichaguliwa watoto wa Kikristo wenye alama za chini kabisa huku akiachwa Adam Ramadhani aliyekuwa na alama za juu kuliko wote.

Mheshimiwa Waziri,
Mifano kama hii ni mingi mno na ipo katika ngazi zote kwa maana kutoka elimu ya msingi kwenda sekondari, kutoka kidato cha nne kwenda kidato cha tano na kutoka kidato cha sita kwenda Chuo Kikuu.

Kwamba hata kutoka kidato cha nne kwenda kidato cha tano, wapo watu waliopata kushuhudia majina ya wanafunzi wa Kiislamu yakiwekwa pembeni japo walikuwa na sifa za kuchaguliwa.

Mheshimiwa Waziri,
Ukiacha hujuma katika kuwaacha wanafunzi Waislamu wenye sifa kuendelea na masomo, matatizo huanzia kwenye kuamua nani amefaulu na nani kafeli.

Tuhuma zilizopo ni kuwa wapo wanafunzi wanapewa madaraja ya juu wakati alama zao ni za chini na wapo wanaopewa madaraja ya chini wakati alama zao ni za juu.

Na hii ni kwa masomo yote.

Mheshimiwa Waziri,
Kumekuwa na utamaduni katika nchi hii wa kukataa ukweli.

Kufuatia uchunguzi uliofanywa na Kamati za Bunge, tumeshuhudia wizi na ufisadi wa kutisha ukifichuliwa Bungeni hivi karibuni hali iliyopelekea mpaka Mheshimiwa Rais kubadili Baraza lake la Mawaziri.

Sasa baada ya kuyasema yote hayo, tunasema kuwa Baraza la Mitihani la Tanzania, limekuwa likilalamikiwa kwa zaidi ya miaka 30, lakini malalamiko hayo yamekuwa yakipokewa kwa sikio la uziwi.

Imefikia mahali tunasema kuwa hatuna tena imani na Baraza hilo.

Mheshimiwa Waziri,
Ili kupata ukweli wa malalamiko na shutuma hizi, na ili kujibu lile swali juu ya watoto wa Kiislamu ambalo halikupata jibu Bungeni, tunaitaka serikali kufanya yafuatayo:

1. Tume huru iundwe kuchunguza Baraza la Mitihani la Tanzania na utendaji wake kazi kwa kipindi cha miaka kumi iliyopita.

2. Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani (NECTA) ajiuzulu mara moja ili kulinda heshima ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzaani na Baraza la Mitihani.

Watendaji wakuu wa kitengo cha mitihani na wanaohusika na mfumo wa Kumputa ya Baraza la Mitihani nao wawajibishwe mara moja.

3. Hatua za kisheria na kibinadamu zichukuliwe dhidi ya watumishi wa Baraza la Mitihani watakaothibitika kuhusika na kashfa hii.

4. Muundo wa Baraza la Mitihani uzingatie uwiano wa kidini, kitendo cha chombo nyeti kama hiki kujazana watu wa dini moja kunaliondolea Baraza la Mitihani sura ya kitaifa, kwani takwimu zinaonyesha Makatibu Wakuu Watendaji na Manaibu Katibu Wakuu wamekuwa Wakristo na Wenyeviti wa Baraza hilo ni Wakristo tangu lilipoanzishwa mwaka 1973, mpaka hii leo na takwimu tunazo.

Mheshimiwa Waziri,
Tunaomba ieleweke kuwa tunachotaka ni kupatikana haki na kufanyika uadilifu kwa watu wote.

Hatudai wala hatutaki upendeleo kwa Waislamu na wala hatutaki kuona mtu yeyote anaonewa au kuporwa haki yake, awe Mwislamu au mtu wa dini nyingine.

Tunachoamini ni kuwa kama Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi haina cha kuficha, basi itaunda Tume hiyo kwa haraka na kuhakikisha kuwa ni Tume ya kuaminika itakayofanya kazi yake kwa umakini, kwa kina na kwa uadilifu wa hali ya juu kabisa.

Lakini kama Wizara yako itaona kuwa haiwezi kuunda Tume ya uchunguzi, tunacho kuhakikishia ni kuwa sisi tutafanya kila liwezekanalo na kwa namna yoyote kuhakikisha kuwa Tume hiyo inaundwa.

Na ikigundulika kuwa kuna hujuma zinafanyika katika utendaji wa Baraza, basi itabidi uwajibikaji uanze kwenye Wizara kabla ya kuwawajibisha watendaji wa Baraza la Mitihani.

Ni imani yetu kuwa utayapokea madai ya Waislamu na kuyafanyia kazi kwa umakini na kwa haraka ili kujenga mustakbali mwema wa nchi hii na watu wake.

Tunaomba kuwasilisha,

Mwenyekiti,
Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu
Kwa hiyo hili ni jibu la swaoi langu!
 
Mwaka 1929 kweli hao wazee waliunda African Association, lakini ilikuwa ni kama kijiwe cha kucheza bao la kete na karata na dhumna. Mpaka alipokuja kafliri JKNyerere na kuwafungua macho
Stux...
Baada ya kuunda African Association wakaunda Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika)mwaka wa 1933.

Vyama hivi viwili vilishurikiana katika kupambana na madhila yote ya ukoloni.

Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika ilijenga Muslim School ambayo ndiyo shule waliyosoma wazee wetu waliokuja kuwa viongozi wa TAA na wanachama wa mwanzo wa TANU.

Mweka Hazina wa kwanza wa TANU Iddi Faiz Mafungo alikuwa Mweka Hazina wa Al Jamiatul Islamiyya.

Huyu ndiye alikuwa mkusanyaji wa fedha za safari ya kwanza ya Mwalimu Nyerere UNO.

Kadi yake ya TANU ni No. 24 na ya ndugu yake Iddi Tosiri ni No. 25 na ndiyo waliompeleka Nyerere Bagamoyo kumjulisha kwa Sheikh Mohamed Ramiyya ambae yeye ni binamu yao.

Usiandike kihuni kutumia maneno "kafiri," na mfano wa haya.

Unalifuja darasa.

Jichukulie uko darasani mwalimu anafundisha.

Historia hii nimesomesha vijana wenzako wengi na wengine sasa ni walimu vyuo vikuu.
 
ndo maana ulipokuwa UDSM Prof. Msabaha Mzaramo mwenzako alikupa maksi ulizostahili ukaanza kumshambulia ati anaringa! Kumbe kakupa maksi kutokana na upeo wako na si chuki ulizokuwa unaendesha dhidi ya Ma-professor wa kanda ya Kaskazini!
Geza...
Hili ndilo kwanza nalisikia.
Mimi si Mzaramo mimi Mmanyema.

Wala sijapata kumchukia mtu katika maisha yangu.

Sikuumbwa hivyo.
Alhamdulilah.

Huna la kusema kuhusu waraka niliokuwekea la ubaguzi?

Unadhani ningekosa radhi ya waalimu wangu pale chuoni ningeweza kufanya haya ya kuandika vitabu, research papers na kuzungumza katika Vyuo Vikuu Afrika, Ulaya na Marekani?

Au hujui kuwa kitabu cha Abdul Sykes mtu wa kwanza kukipitia alikuwa mwalimu wangu wa historia Prof. Fredrick Kaijage?

Hii ni dalili ya mwanafunzi dhaifu aliyekuwa akipewa alama za chini na walimu wake?

Mimi nina radhi ya waalimu wangu wote walionisomesha kuanzia darasa la kwanza hadi Chuo Kikuu Dar-es-Salaam na Cardiff.

Nina radhi ya wazazi wangu.

Huwezi kunivunjia heshima yangu kwa maneno ya kipuuzi.

1703917037764.png

Kulia: Dr. Ibrahim Msabaha, Prof. Emmanuel Bavu na Mohamed Said
1703917159128.png

Kulia: Paul Sozigwa, Mohamed Said na Prof. Bavu Prof. Bavu alinitembelea nyumbani kwangu
 
Mohamad said najifunza mengi kwako likiwemo la uungwana na ustahimilivu. Lakini napata shida na hoja zako.

1. kila kitu kwako ni black and white. Kwako hii nchi ni ya wa Islam na wakristo. Ukweli ni kwamba zipo Imani nyingine pia ambazo zinawaumini Watanzania. Ambazo kwako siyo Muhimu.
2. katika hoja zako, hakuna mazuri ya Nyerere/Serikali kwa waislam.
3. waislam ndo wamenyanyasika kuliko raia wengine. Ukweli ni kwamba kwa miaka mingi sana, Elimu imekuwa changamoto kubwa sana hapa Tanzania, na wote tumekuwa wahanga wa hili. Mfano kwa miaka mingi, chuo kikuu kilikuwa UDSM. kuna Wilaya walikuwa wanafaulu/ wanachaguliwa wanafunzi si Zaidi ya 20 kwenda form one! Na kwa sababu hizi wilaya hazikuwa na shule za secondary walitegemea hisani ya wilaya nyingine. Hiki nacho ni kipengele, maana wengi walikosa fursa.
4. ndo maana humu wengi wanakushambulia kwa sababu mengi unayoyaongea, kiukweli uhalisia ni mdogo, maana sulba na changamoto za elimu tumezipitia wengi humu.
Personally, nilifaulu nikakosa shule. Nikaenda seminar. sijawahi Kulaumu popote.
5. wewe unaamini ndo mwenye uelewa wa historia kuliko wengine. Hapana, jitahidi kuwa accommodative na kujua kwamba you ain’t infallible. Wengi wanajua mengi usiyoyajua. Na si sahihi kutuaminisha kwamba uhuru wa tanganyika ulipiganiwa na waislam pekee.
6. kuna mdau hapo juu amekuuliza, ni changamoto Zipi za kielimu zinampata mtoto wa kisalmu,kwa sasa? Hukujibu. Ukweli ni kwamba changamoto za elimu ni za kitaifa. We are all suffering, from poor decisions by our politicians. Kwako hili hulioni.
7. mwisho St. Augustine University na MUM, sijui kipi kilianza, lakini tukilinganisha ubunifu na uwekezaji, majibu unayo.
8. Bado Naamini kuna waislam smart na wamefanya mambo makubwa nchi hii. Lakini, tunakwama na tutakwama tukitaka kuchanganya dini na maisha ya raia wetu ya kila siku.
9. Swali la kizushi kwako, unaamini Necta ikiongozwa na waislamu, fursa za waislamu kielimu zitabadilika?
 
Ndugu mwandishi tatizo la udini kwenye kazi yako ya sanaa ndio inafanya kazi zako zisifike mbali, nimekuwa nikikusoma sana, hebu sema ni lini wizara ya elimu inapofanya selection za watoto wanatumia kigezo cha dini? Ninavyojua kigezo cha ufaulu ndicho kinacho zingatiwa, sasa mtoto atafaulu vp kwenye hizo shule za kiislam zinazo kumbatia elimu ahela zaidi? Atafaulu vipi kwa kukaa na kobasi wenziwe na kukosa ushindani? Maana nani asie jua shule za kiislamu zimekumbatia ubaguzi wa dhahiri kwa kusomesha walio waislamu tu, tena uislamu upo zaidi kwenye jamii zilizo duni kielimu kama pwani. Tatu nani akasome chuo cha kiislamu moro chenye kila aina ya kukosa uhuru wa mtangamano na kuacha chuo kama st francis nk ambavyo watoto wanakuwa huru ku changamana na kushindana? Haya yote sidhani kama kwa usomi wako huyajui, shida ni ile elimu nyingine ya kimapokeo ambayo ina kinzana na mitizamo ya ki karne ya 21
Maku...

Waislam wa Tanzania na Tatizo la Udini Katika Wizara ya Elimu.

Ndugu Waziri,
Kwa muda mrefu sasa, kumekuwa na maswali mengi wakijiuliza Waislamu, moja likiwa inakuwaje katika maeneo yenye Waislamu wengi ambapo idadi ya wanafunzi Waislamu inakuwa zaidi ya asilimia 70, lakini wanapochaguliwa kwenda sekondari, idadi ya watoto wa Kiislamu huporomoka na kuwa chini ya asilimia 20.

Swali na kitendawili hiki kimekuwepo kwa muda mrefu bila kupatiwa majibu.

Hata lilipofikishwa Bungeni mwaka 1999 na aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni, Mzee Kitwana Selemani Kondo, bado halikupatiwa jibu.

Akihoji juu hali hiyo, Mzee Kitwana Kondo alitoa mfano jinsi hali ilivyokuwa katika shule ya Pembamnazi iliyokuwa na Waislamu watupu na kwa miaka mingi mfululizo kulikuwa hakuna hata mtoto mmoja aliyekuwa akichaguliwa kwenda sekondari kutoka katika shule hiyo.

Aidha alisema kuwa, katika mkoa wa Dar es Salaam na Pwani, takwimu zinaonyesha kuwa idadi ya watoto wa Kiislamu katika shule za msingi ilikuwa zaidi ya asilimia 70 lakini inapokuja kuchaguliwa kwenda sekondari, idadi ya Waislamu iliporomoka na kuwa chini ya asilimia 20.

Akizungumza Bungeni tarehe 2 Februari, 1999 alisema kuwa katika watoto waliofanya mtihani wa darasa la saba mwaka 1998, idadi ya Waislamu ilikuwa asilimia 71 na Wakristo 29%. Hata hivyo akasema, ilipotoka orodha ya waliochaguliwa kwenda sekondari, idadi ya Wakristo ikawa asilimia 79 (79%) na Waislamu 21%.

Je, hiyo ilikuwa na maana kuwa watoto wa Kiislamu kwa asili yao hawana akili?

Alitaka kujua Mzee Kitwana Kondo. Lakini hakuweza kupata jibu.

Mheshimiwa Waziri,
Ni wazi kuwa Waziri wa Elimu au Waziri Mkuu ambaye ndiye msimamizi wa mambo ya serikali Bungeni asingeweza kutoa majibu ya uhakika kwa sababu swali lilihitaji kufanyika uchunguzi huru wa kina na makini kwanza.

Mheshimiwa Waziri,
Mwaka 1987 aliyekuwa Waziri wa Elimu, Profesa Kighoma Ali Malima, aliweka utaratibu mpya wa ufanyaji wa mtihani wa darasa la saba ambapo namba zilitumika toka kufanya mtihani, kusahihisha na kuchagua wanafunzi wa kwenda kidato cha kwanza.

Namba zilivishwa majina baada ya taratibu zote hizo kukamilika. Mwaka huo idadi ya watoto wa Kiislamu waliokwenda kidato cha kwanza iliongezeka kwa asilimia 40 ikilinganishwa na miaka ya nyuma.

Hata hivyo, mara aliondolewa Waziri Malima katika wizara hiyo na utaratibu wa zamani ukarejeshwa ambapo yalikuwa yakichaguliwa majina na idadi ya Waislamu ikaporomoka na kurudi chini ya asilimia 20.

Mheshimiwa Waziri,
Hali kama hii hapana shaka inazua maswali mengi ambayo yanahitaji majibu na majibu hayo hayawezi kupatikana bila ya kufanyika uchunguzi.

Labda tuongeze mifano ili kuliweka wazi zaidi jambo hili.

Mwaka 1983 mwanafunzi aliyekuwa akiitwa Kopa Abdallah akisoma katika shule ya msingi Kichangani, Kilosa, alikosa kuchaguliwa kwenda sekondari.

Yeye binafsi, wazazi wake na hata walimu wake hawakuamini matokeo yale kutokana na alivyokuwa akifanya vizuri kuliko wanafunzi wote.

Baadae ilikuja kugundulika kuwa nafasi yake alipewa mwanafunzi aliyekuwa akiitwa Antoni Samirani ambaye alikuwa na uwezo mdogo sana ikilinganiswa na Abdallah.

Kilichofanyika ni kuwa jina la Abdallah lilifichwa na baadae Antoni akapewa jina hilo kimya kimya na kwenda kusoma sekondari akitumia jina Abdallah wakati yeye ni Antoni.

Taarifa zinasema kuwa Kopa Abdallah alipogundua hakuweza kufanya kitu akaishia kuwa dereva.

Hali kama hiyo ilimkuta pia Adam Ramadhani aliyekuwa akisoma shule ya msingi Rutihinda jijini Dar es Salaam na kumaliza darasa la saba mwaka 1999. Yalipotoka matokeo ya mtihani wa darasa la saba na kuonekana kuwa Adam hakuchaguliwa, baba yake hakuamini kuwa mtoto wake anaweza kufeli kutokana na uwezo aliokuwa nao na zaidi akitizama walivyochaguliwa watoto ambao Adam alikuwa mwalimu wao shuleni na mitaani.

Katika kufuatilia suala hilo wizarani, ilikuwa aibu kwa wizara baada ya kuonekana kuwa walichaguliwa watoto wa Kikristo wenye alama za chini kabisa huku akiachwa Adam Ramadhani aliyekuwa na alama za juu kuliko wote.

Mheshimiwa Waziri,
Mifano kama hii ni mingi mno na ipo katika ngazi zote kwa maana kutoka elimu ya msingi kwenda sekondari, kutoka kidato cha nne kwenda kidato cha tano na kutoka kidato cha sita kwenda Chuo Kikuu.

Kwamba hata kutoka kidato cha nne kwenda kidato cha tano, wapo watu waliopata kushuhudia majina ya wanafunzi wa Kiislamu yakiwekwa pembeni japo walikuwa na sifa za kuchaguliwa.

Mheshimiwa Waziri,
Ukiacha hujuma katika kuwaacha wanafunzi Waislamu wenye sifa kuendelea na masomo, matatizo huanzia kwenye kuamua nani amefaulu na nani kafeli.

Tuhuma zilizopo ni kuwa wapo wanafunzi wanapewa madaraja ya juu wakati alama zao ni za chini na wapo wanaopewa madaraja ya chini wakati alama zao ni za juu.

Na hii ni kwa masomo yote.

Mheshimiwa Waziri,
Kumekuwa na utamaduni katika nchi hii wa kukataa ukweli.

Kufuatia uchunguzi uliofanywa na Kamati za Bunge, tumeshuhudia wizi na ufisadi wa kutisha ukifichuliwa Bungeni hivi karibuni hali iliyopelekea mpaka Mheshimiwa Rais kubadili Baraza lake la Mawaziri.

Sasa baada ya kuyasema yote hayo, tunasema kuwa Baraza la Mitihani la Tanzania, limekuwa likilalamikiwa kwa zaidi ya miaka 30, lakini malalamiko hayo yamekuwa yakipokewa kwa sikio la uziwi.

Imefikia mahali tunasema kuwa hatuna tena imani na Baraza hilo.

Mheshimiwa Waziri,
Ili kupata ukweli wa malalamiko na shutuma hizi, na ili kujibu lile swali juu ya watoto wa Kiislamu ambalo halikupata jibu Bungeni, tunaitaka serikali kufanya yafuatayo:

1. Tume huru iundwe kuchunguza Baraza la Mitihani la Tanzania na utendaji wake kazi kwa kipindi cha miaka kumi iliyopita.

2. Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani (NECTA) ajiuzulu mara moja ili kulinda heshima ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzaani na Baraza la Mitihani.

Watendaji wakuu wa kitengo cha mitihani na wanaohusika na mfumo wa Kumputa ya Baraza la Mitihani nao wawajibishwe mara moja.

3. Hatua za kisheria na kibinadamu zichukuliwe dhidi ya watumishi wa Baraza la Mitihani watakaothibitika kuhusika na kashfa hii.

4. Muundo wa Baraza la Mitihani uzingatie uwiano wa kidini, kitendo cha chombo nyeti kama hiki kujazana watu wa dini moja kunaliondolea Baraza la Mitihani sura ya kitaifa, kwani takwimu zinaonyesha Makatibu Wakuu Watendaji na Manaibu Katibu Wakuu wamekuwa Wakristo na Wenyeviti wa Baraza hilo ni Wakristo tangu lilipoanzishwa mwaka 1973, mpaka hii leo na takwimu tunazo.

Mheshimiwa Waziri,
Tunaomba ieleweke kuwa tunachotaka ni kupatikana haki na kufanyika uadilifu kwa watu wote.

Hatudai wala hatutaki upendeleo kwa Waislamu na wala hatutaki kuona mtu yeyote anaonewa au kuporwa haki yake, awe Mwislamu au mtu wa dini nyingine.

Tunachoamini ni kuwa kama Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi haina cha kuficha, basi itaunda Tume hiyo kwa haraka na kuhakikisha kuwa ni Tume ya kuaminika itakayofanya kazi yake kwa umakini, kwa kina na kwa uadilifu wa hali ya juu kabisa.

Lakini kama Wizara yako itaona kuwa haiwezi kuunda Tume ya uchunguzi, tunacho kuhakikishia ni kuwa sisi tutafanya kila liwezekanalo na kwa namna yoyote kuhakikisha kuwa Tume hiyo inaundwa.

Na ikigundulika kuwa kuna hujuma zinafanyika katika utendaji wa Baraza, basi itabidi uwajibikaji uanze kwenye Wizara kabla ya kuwawajibisha watendaji wa Baraza la Mitihani.

Ni imani yetu kuwa utayapokea madai ya Waislamu na kuyafanyia kazi kwa umakini na kwa haraka ili kujenga mustakbali mwema wa nchi hii na watu wake.

Tunaomba kuwasilisha,

Mwenyekiti,
Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu
 
Sasa naanza kuelewa kwanini sasa hivi necta inaongozwa na mzanzibari, nafikir aliwekwa kwa minajiri ya kupunguza hayo lakini sidhani kama itabadili kitu, elimu yetu ina changamoto zake za kiasili
Mohamad said najifunza mengi kwako likiwemo la uungwana na ustahimilivu. Lakini napata shida na hoja zako.

1. kila kitu kwako ni black and white. Kwako hii nchi ni ya wa Islam na wakristo. Ukweli ni kwamba zipo Imani nyingine pia ambazo zinawaumini Watanzania. Ambazo kwako siyo Muhimu.
2. katika hoja zako, hakuna mazuri ya Nyerere/Serikali kwa waislam.
3. waislam ndo wamenyanyasika kuliko raia wengine. Ukweli ni kwamba kwa miaka mingi sana, Elimu imekuwa changamoto kubwa sana hapa Tanzania, na wote tumekuwa wahanga wa hili. Mfano kwa miaka mingi, chuo kikuu kilikuwa UDSM. kuna Wilaya walikuwa wanafaulu/ wanachaguliwa wanafunzi si Zaidi ya 20 kwenda form one! Na kwa sababu hizi wilaya hazikuwa na shule za secondary walitegemea hisani ya wilaya nyingine. Hiki nacho ni kipengele, maana wengi walikosa fursa.
4. ndo maana humu wengi wanakushambulia kwa sababu mengi unayoyaongea, kiukweli uhalisia ni mdogo, maana sulba na changamoto za elimu tumezipitia wengi humu.
Personally, nilifaulu nikakosa shule. Nikaenda seminar. sijawahi Kulaumu popote.
5. wewe unaamini ndo mwenye uelewa wa historia kuliko wengine. Hapana, jitahidi kuwa accommodative na kujua kwamba you ain’t infallible. Wengi wanajua mengi usiyoyajua. Na si sahihi kutuaminisha kwamba uhuru wa tanganyika ulipiganiwa na waislam pekee.
6. kuna mdau hapo juu amekuuliza, ni changamoto Zipi za kielimu zinampata mtoto wa kisalmu,kwa sasa? Hukujibu. Ukweli ni kwamba changamoto za elimu ni za kitaifa. We are all suffering, from poor decisions by our politicians. Kwako hili hulioni.
7. mwisho St. Augustine University na MUM, sijui kipi kilianza, lakini tukilinganisha ubunifu na uwekezaji, majibu unayo.
8. Bado Naamini kuna waislam smart na wamefanya mambo makubwa nchi hii. Lakini, tunakwama na tutakwama tukitaka kuchanganya dini na maisha ya raia wetu ya kila siku.
9. Swali la kizushi kwako, unaamini Necta ikiongozwa na waislamu, fursa za waislamu kielimu zitabadilika?
 
Nyerere alitaifisha shule nyingi sana za kikiristu na kuzifanya za umma ili watu wote wasome bila kujali dini zao. Elimu ya Msingi hadi Chuo kikuu ilikuwa bure kwa wote, lakini watu walikufundishwa kulaumua watatafuta kila sababu kuwa waislamau walionewa wakati hali halisi ilikuwa kwamba mitihani yote kuanzia ule wa darsa la saba hadi wa Form 6 ulikuwa unatolewa kwa namba ili kuepuka bias ya majina, lakini bado watu walilalamika kuonewa tu. Nadhani watu wengine mafunzo ya dini wanayopata ni ya kuamini kuwa wanaonewa tu.
Hivi hili la mfumo wa namba kwenye mitihani lilianza wakati gani? Nakumbuka Kaka yangu alitumia mfumo huu Mwaka 1982 ila hapa Mzee Said anasema uliasisiwa na Kighoma Malima!
 
Mzee wangu Mohamed Said

Mimi nimesoma shule ambazo asilimia kubwa ya wanafunzi walikuwa waislamu, na mpaka leo rafiki zangu wengi sana tu ni waislamu. Hili tatizo la "Waislamu kufelwishwa" linatokea kwenye Islamic Schools peke yake au kote?

Shule zote nlizosoma, waislam waliofaulu tuliendelea nao kwenye hatua zinazofuata, na waliofeli, Wakristo kwa waislamu walibaki.

Wanaohujumiwa ni "Students wa Islamic Schools" au "Islamic Students" wote?
 
Mohamad said najifunza mengi kwako likiwemo la uungwana na ustahimilivu. Lakini napata shida na hoja zako.

1. kila kitu kwako ni black and white. Kwako hii nchi ni ya wa Islam na wakristo. Ukweli ni kwamba zipo Imani nyingine pia ambazo zinawaumini Watanzania. Ambazo kwako siyo Muhimu.
2. katika hoja zako, hakuna mazuri ya Nyerere/Serikali kwa waislam.
3. waislam ndo wamenyanyasika kuliko raia wengine. Ukweli ni kwamba kwa miaka mingi sana, Elimu imekuwa changamoto kubwa sana hapa Tanzania, na wote tumekuwa wahanga wa hili. Mfano kwa miaka mingi, chuo kikuu kilikuwa UDSM. kuna Wilaya walikuwa wanafaulu/ wanachaguliwa wanafunzi si Zaidi ya 20 kwenda form one! Na kwa sababu hizi wilaya hazikuwa na shule za secondary walitegemea hisani ya wilaya nyingine. Hiki nacho ni kipengele, maana wengi walikosa fursa.
4. ndo maana humu wengi wanakushambulia kwa sababu mengi unayoyaongea, kiukweli uhalisia ni mdogo, maana sulba na changamoto za elimu tumezipitia wengi humu.
Personally, nilifaulu nikakosa shule. Nikaenda seminar. sijawahi Kulaumu popote.
5. wewe unaamini ndo mwenye uelewa wa historia kuliko wengine. Hapana, jitahidi kuwa accommodative na kujua kwamba you ain’t infallible. Wengi wanajua mengi usiyoyajua. Na si sahihi kutuaminisha kwamba uhuru wa tanganyika ulipiganiwa na waislam pekee.
6. kuna mdau hapo juu amekuuliza, ni changamoto Zipi za kielimu zinampata mtoto wa kisalmu,kwa sasa? Hukujibu. Ukweli ni kwamba changamoto za elimu ni za kitaifa. We are all suffering, from poor decisions by our politicians. Kwako hili hulioni.
7. mwisho St. Augustine University na MUM, sijui kipi kilianza, lakini tukilinganisha ubunifu na uwekezaji, majibu unayo.
8. Bado Naamini kuna waislam smart na wamefanya mambo makubwa nchi hii. Lakini, tunakwama na tutakwama tukitaka kuchanganya dini na maisha ya raia wetu ya kila siku.
9. Swali la kizushi kwako, unaamini Necta ikiongozwa na waislamu, fursa za waislamu kielimu zitabadilika?
Masanja,
Mimi nimesahihisha historia iliokuwapl toka uhuru iliyowafuta wazee wangu katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika ikambakiza Julius Nyerere peke yake.

Hizo imani nyingine ni zipi na zilikuwako katika kuunda African Association, Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa)na TANU?

Unaniuliza kuhusu mazuri ya Nyerere kwani nimeandika ubaya gani dhidi yake?

Nifahamishe.

Waislam na Ubaguzi wa Elimu nimekuwekea hapo una waraka kama huu kutoka kwengine kutaka maelezo kutoka serikalini?

Changamoto za Waislam ni NECTA na yalifanyika maandamano mwak wa 2012.

Unataka kufananisha MUM na vyuo vya makanisa vinavyopokea fedha za Memorandum of Understanding?
 
Mzee wangu Mohamed Said

Mimi nimesoma shule ambazo asilimia kubwa ya wanafunzi walikuwa waislamu, na mpaka leo rafiki zangu wengi sana tu ni waislamu. Hili tatizo la "Waislamu kufelwishwa" linatokea kwenye Islamic Schools peke yake au kote?

Shule zote nlizosoma, waislam waliofaulu tuliendelea nao kwenye hatua zinazofuata, na waliofeli, Wakristo kwa waislamu walibaki.

Wanaohujumiwa ni "Students wa Islamic Schools" au "Islamic Students" wote?
Mtama,
Soma hapa kuna waraka kuhusu ubaguzi Wizara ya Elimu.
 
Hivi hili la mfumo wa namba kwenye mitihani lilianza wakati gani? Nakumbuka Kaka yangu alitumia mfumo huu Mwaka 1982 ila hapa Mzee Said anasema uliasisiwa na Kighoma Malima!
Ni mfumo wa zamani sana tangu wakati wa Uhuru; Malima alikuwa anajua ku-sensionalize wafuasi wake sana hasa kwa vile alikuwa Profesa. ALikuwa waziri wa Elimu wakati mimi namaliza Chuo kikuu na miaka yote huko nilikopitia kuanzia Mock ya std7, STD7 kwenda Secondari, Mock ya Form 4, Form 4 na Form 6 tulikuwa tunatumia namba.
 
Back
Top Bottom