UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,399
- 1,014
- Thread starter
-
- #241
Thank u brother so what king of decision can I take ?Angelikua ni muumini wa kiislamkweli angekushauli na wewe uingie dini maana wanaamini ndio dini ya kweli.Maadam anakwambia mutaendelea kuishi kila mtu na dini yake huyo bado hana msimamo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa ila yangu ni tofauti sana kwa sababu alishakubali kubadili bila kushawishiwa na alikataa ndoa mseto yeye mwenyewe alikataa ndoa ya bomani akasema anataka ya kanisaniusifanye maamuzi yoyote ukiwa na hasira au hamaki.
Mbona kuna watu wameoana ndoa za bomani wakati mmoja ni mkristo na mwingine muislam na wanaishi vizuri tu?
Nakubaliana na wewe asilimia mia na akili inanijia nijitoe taratibuPole sana mkuu, ila asilimia kubwa ya wanaobadili huwa wanarudia Dini zao za awali chamsingi ni kukaa na kuelewana new lifestyle tu,maana hapo hajaamua leo ni maamuzi ya muda mrefu sema ilikuwa bado tu kukwambia
Hapo mimi ningekubaliana nae na suala la yeye kurudi kwenye Dini yake so long unataka uendelee kuisha nae kama Mkee muache aamue hivyoo..!! Mbaki mnalea watoto wenu na wao waamue sehemu ya kufata tatizo wewe hilo hutakii.... Kama hutaki bhasi achana nae OA mwingineee bhasi ilaa Kumfanya arudie Ukristo SAHAU...SAHAUU...Ingekuwa were ungekubaliana na msimamo wake au ungefanyaje HEBU JARIBU KUVAA VIATU VYANGU then utoe uamuzii
[emoji848][emoji848][emoji848] soma tena ulicho andikaHuo ndio ukweli kua Dini ya kweli niuislamu, muache arudi kwenye dini ya kweli na pia nawewe nakushauri uende kwenye dini ya kweli ili mfunge ndoa ya kiislamu maisha yaendelee na kama hutaki mwache aende zake atapata muislamu wakumuoa kwa sababu hakuna ndia ya mwanamke muislamu na Mwanaume mkristo, akibaki na wewe atakua anazini tu hapo na anapata dhambi kwa hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo hakuna busara zaidi ya kutua mzigo tu katika Sheria ya Kiislam hakuna ndoa kama hiyo na huyo binti ajielewi tafuta mkristo mwenzio maana mkiendelea kuishi pamoja itakuwa mnazini tu
Ila ukiamua kusilimu itakuwa bora zaidi maana Sheria ya kiislam hairuhusu Mwanaume wa Kikristo kuowa Muislam lakini kinyume chake inakubalika
Sent using Jamii Forums mobile app
PILI KIIMANI IKOJE TENA HII NDOA BAADA YA MWENZANGU KUAMUA HIVYO
hhh...hapo sjajua sasa ila nilichogundua ni kwamba watu wanaabudu dini badala yakuabudu MunguIla Uislam umezidi mkuu, Mohammad was never a prophet hata kidogo, kajipachika tu.
Mwambie huezi kuishi nae mkiwa na tofauti kidiniNichukue maamuzi gani mwuungwana nipo na hali mbaya sana hapa
Isitoshe uisilam pia hauruhusu kuishi bila ndoa,huyo anakutingisha tu
hhh...hapo sjajua sasa ila nilichogundua ni kwamba watu wanaabudu dini badala yakuabudu Mungu
Sent using Jamii Forums mobile app
dini zimeharbu sana watu kwa kuamin vitu vya ajabu ajabu tuI have evidence na ndiyo maana nimesema hivyo. Nimesoma historia ya Mohammad na kukuta vingi vya hajabu dhidi yake mpaka nashangaa kwanini watu wanashindwa kujiuliza uhalali wa huyu mtu kuwa nabii. Jamaa alikuwa kama R. Kelly....yaani mbakaji, pedophile, muuaji, muongo, na sifa zote mbaya alikuwa nazo yeye which makes me believe kuwa wafuasi wake nao walikuwa useless kwani waliamini kila uwongo wake na kuja kumit nabii. Walishindwa hata kujiuliza au walikuwa wanaogopa kuchinjwa kwa sababu ndivyo alivyokuwa anawafanyia watu waliokataa kumtambua yeye kuwa nabii kutokana na hizo sifa tajwa hapo juu. Jamaa alikuwa mtata sana.
Siyo kwamba sitaki nachotaka ni kujua what behind ya yeye kuamua hivyo je ni yeye mwenyewe au Luna forces ya kuamua hivyo coz Leo hii ijumaa kaja na swaga nyingine sasa sijui ni kunitia moyo au laaaHapo mimi ningekubaliana nae na suala la yeye kurudi kwenye Dini yake so long unataka uendelee kuisha nae kama Mkee muache aamue hivyoo..!! Mbaki mnalea watoto wenu na wao waamue sehemu ya kufata tatizo wewe hilo hutakii.... Kama hutaki bhasi achana nae OA mwingineee bhasi ilaa Kumfanya arudie Ukristo SAHAU...SAHAUU...
Sent using Jamii Forums mobile app
I have evidence na ndiyo maana nimesema hivyo. Nimesoma historia ya Mohammad na kukuta vingi vya hajabu dhidi yake mpaka nashangaa kwanini watu wanashindwa kujiuliza uhalali wa huyu mtu kuwa nabii. Jamaa alikuwa kama R. Kelly....yaani mbakaji, pedophile, muuaji, muongo, na sifa zote mbaya alikuwa nazo yeye which makes me believe kuwa wafuasi wake nao walikuwa useless kwani waliamini kila uwongo wake na kuja kumuita nabii. Walishindwa hata kujiuliza au walikuwa wanaogopa kuchinjwa kwa sababu ndivyo alivyokuwa anawafanyia watu waliokataa kumtambua yeye kuwa nabii kutokana na hizo sifa tajwa hapo juu. Jamaa alikuwa mtata sana.
Is a problem aisee so NIFANYEJEE