Hatma ya ndoa yangu leo usiku imekuwa hatari kwa maisha yangu

Hatma ya ndoa yangu leo usiku imekuwa hatari kwa maisha yangu

Isitoshe uisilam pia hauruhusu kuishi bila ndoa,huyo anakutingisha tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Haujafafanua MKUU si ndo maana napata shida kuamua coz labda baada ya kuachana na Mimi ataolewa au labda ameamua kuishi mwenyewe endapo tutaachana au pengine ananipima tu imani ila kunipima imani hapana kwa msg zake zinatishaaa
 
1. Ndugu yangu ni lazima kabisa ukubali kuwa ulikosea kwa kuoa mtu asiyekuwa wa imani yako. Msifungwe nira pamoja na wasioamini kwa maana kuna ushirika gani kati ya wasioamini na walioamini.

2. Kuishi wilaya tofauti nayo ni issue iliyochangia kwa asilimia 100% kwasababu kama mngekuwa mnaishi wote mnalala wote na mnaamka wote na
Mkuu I beg to differ- katika watu ambao hawabadiliki na wana misimamo ni wakatoliki. Labda unaongelea a few exceptions uliokutana nao.

All in all Dini si chanzo cha kuvunja ndoa ila kama halijazungumziwa kwa kina wakati wa uchumba laweza kuwa chanzo kikubwa cha mvutano.

Ni mara mia kila mtu awe wazi tangu mwanzo kuwa mimi katika mambo nisiyoweza kucompromise ni kadha wa kadha ( mwingine ni dini mwingine ni watoto mwingine ni eneo la kuishi nk) . Ila kwa kuwa tunakimbilia ndoa bila kuweka misingi hii inakuwa tabu baadae kuexpress haya maana tunakuwa tushafungwa na watoto. Namshauri asivunje ndoa maana madhara kwa watoto ni makubwa.
 
Ndugu siyo rahisi labda huko shuleeQUOTE="rikiboy, post: 30067592, member: 417027"]Huyo anakuchora tu na lazima kuna mtu kashawishi hasa ndugu zakeee...!!

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]
Ndugu
 
S
Poleni sana, hili msipolitatua sasa hivi litawatesa sana baadae. Welfare ya watoto iwe kipaumbele lakini hapo ndoa hakuna.
Sky Eclat NAFANYAJE SASA NA KWA KWELI WATOTO NDO NAUMIA NAO NAJIULIZA NITAWAAMBIA NINI KESHO NA KESHOKUTWA
 
Wenzio tunasubiriaga penati kama hizi tuvunje ndoa wewe bado unataka ushauri JF. Wakati ni huu usizubae! Watoto wana shida gani, wewe si ndio baba yao? Tatizo lipo wapi? Unakwama wapi Mr. Woga=Umaskini?
** piga chini fasta, kakamate mwanakwaya uendelee kufurahia maisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],
Umenikumbusha jamaa angu aliniambia mwaka wa 2 unaenda wa 3 anatafuta sababu ya kumtimua mkewe sababu ya ugumu wa maisha lkn wapi, anasema eti ndio anazidi kua mzuri, mpolee na hekima kwa sana sio mjeuri kama zamani...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wewe kweli ni Mkristo tafakari maneno haya kutoka 1 Kor 7 : 1-16

Maagizo kuhusu Ndoa
1Basi kwa habari ya mambo yale mliyoandika, ni heri mwanamume asimguse mwanamke.

2Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe.

3Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake.

4Mke hana amri juu ya mwili wake, bali mumewe; vivyo hivyo mume hana amri juu ya mwili wake, bali mkewe.

5Msinyimane isipokuwa mmepatana kwa muda, ili mpate faragha kwa kusali; mkajiane tena, Shetani asije akawajaribu kwa kutokuwa na kiasi kwenu.

6Lakini nasema hayo, kwa kutoa idhini yangu, si kwa amri.

7Ila nipendalo ni kwamba watu wote wawe kama mimi nilivyo; walakini kila mtu ana karama yake mwenyewe itokayo kwa Mungu, huyu hivi, na huyu hivi.

8Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo.

9Lakini ikiwa hawawezi kujizuia, na waoe; maana ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa.

10 Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe;

11lakini, ikiwa ameachana naye, na akae asiolewe, au apatane na mumewe; tena mume asimwache mkewe.

12Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana, ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asimwache.

13Na mwanamke, ambaye ana mume asiyeamini, na mume huyo anakubali kukaa naye, asimwache mumewe.

14Kwa maana yule mume asiyeamini hutakaswa katika mkewe; na yule mke asiyeamini hutakaswa katika mumewe; kama isingekuwa hivyo, watoto wenu wangekuwa si safi; bali sasa ni watakatifu.


15Lakini yule asiyeamini akiondoka, na aondoke. Hapo huyo ndugu mume au ndugu mke hafungiki. Lakini Mungu ametuita katika amani.

16Kwa maana wajuaje, wewe mwanamke, kama utamwokoa mumeo? Au wajuaje, wewe mwanamume, kama utamwokoa mkeo?
Huu uzi ulitakiwa uishie hapa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msipokuwa makini dini zitawvuruga sana, mwache aendelee na dini yake kwani tatizo nini mzee, cha msingi hapo mjadili mustakabali wa watoto, mara nyingi wanawake wanaobadilishwa dini huwa hawako stable kwenye hiyo Iman mpya sababu ya kukosa misingi. Ni vizuri ukamwacha aendelee na dini yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msipokuwa makini dini zitawvuruga sana, mwache aendelee na dini yake kwani tatizo nini mzee, cha msingi hapo mjadili mustakabali wa watoto, mara nyingi wanawake wanaobadilishwa dini huwa hawako stable kwenye hiyo Iman mpya sababu ya kukosa misingi. Ni vizuri ukamwacha aendelee na dini yake.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hizi dini bwana basi tu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi dini hizi!! Mnapendana, dini inakuaje kikwazo na tayal mna watto 2? Ebu kaeni kila mmoja afuate dini yake mm naamini ndoa ni upendo na kua na watoto. Acheni ujinga jaman. Mbona kijjn kwetu mke ana dini yake mme kichwa chake ndo dini yake na wanaishi vema? Watu wa pwani mnakwama wapi? Una mke na watoto afu unasema huna ndoa? Kwani ndoa ni mavyeti na mihuri?
 
Back
Top Bottom