Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo hana mapenzi na wewe,na anayafahamu madhaifu yako anatumia kama silaha kukufanya anavyotaka! Fanya maamuzi songa mbele,la sivyo utajikuta hauna kitu at the end.Habari za weekend wapendwa,
I hope you are all doing great.Mimi ni single mum ambaye nalea mwanangu mwenyewe toka mjamzito.Babake alikataa mimba na kuomba niitoe but niligoma kuuwa kiumbe kisicho na hatia.
Nikaamua kulea mwenyewe na baada ya kujifungua, bado akakataa mtoto hivyo tukafanya DNA( kwa gharama zangu pia) na mtoto akawa ni wake.
Ilibidi aanze kutoa matumizi ya mtoto ambayo alitoa kwa miezi mitatu tu.So nikawa namkumbusha but anakwepa nikaona isiwe shida nikampotezea nikaamua kuongeza nguvu zaidi katika upambanaji.
Ndugu zake huwa wananipigia na kumjulia hali mtoto,wakiomba picha nawatumia ndo nahisi huwa wanamtumia jamaa pia.
So leo , nimekaa nawaza zangu maisha na kucheza na mrembo wangu,ghafla babake anapiga simu na kutujulia hali na kuomba nimkopeshe laki tano..Nilimjibu tu kistaarabu kuwa sina.
Na huyu jamaa anafanya kazi kwenye taasisi kubwa tu na analipwa vizuri ila amesusia matumizi ya mtoto wake na leo ana uthubutu wa kunikopa pesa. Mtoto ana miaka miwili saiv na alimhudumia kwa miezi mitatu tu baada ya DNA.
Wanaume, nimewainulia mikono.
Jumapili njema wapenzi.
Yaani dada ni dharau kubwa sana,uo ujasiri huyo mwanaume anaupataje kama siyo dharau ni niniBest hapana bwanaa,kuna wanaume wanajua kutesa wanawake,.hata kama haibadilishi ukweli yeye alishindwaje kumuhudumia mtoto ingali kipato anacho??leo kakwama anamfuata huyohuyo ambaye usiku na mchana ana pambana kwa ajili yake binafsi na damu yao...akakope tuu bank asee...
ahaha,,we kauzu bibieHata kama huna roho mbaya shoga usimpe..acha apambane tuu na hali yake halafu hawezi barikiwa hata angekuwa anafanya kazi juu ya anga hizo ni laana na ukimpa utageuzwa bank,hiyo laki tano bora umuwekee mwanao kwenye account itawafaa siku mkikwama,.kuna wanaume hawana haya jamanii khaa!!!
there's is thin line between love and hateHabari za weekend wapendwa,
I hope you are all doing great.Mimi ni single mum ambaye nalea mwanangu mwenyewe toka mjamzito.Babake alikataa mimba na kuomba niitoe but niligoma kuuwa kiumbe kisicho na hatia.
Nikaamua kulea mwenyewe na baada ya kujifungua, bado akakataa mtoto hivyo tukafanya DNA( kwa gharama zangu pia) na mtoto akawa ni wake.
Ilibidi aanze kutoa matumizi ya mtoto ambayo alitoa kwa miezi mitatu tu.So nikawa namkumbusha but anakwepa nikaona isiwe shida nikampotezea nikaamua kuongeza nguvu zaidi katika upambanaji.
Ndugu zake huwa wananipigia na kumjulia hali mtoto,wakiomba picha nawatumia ndo nahisi huwa wanamtumia jamaa pia.
So leo , nimekaa nawaza zangu maisha na kucheza na mrembo wangu,ghafla babake anapiga simu na kutujulia hali na kuomba nimkopeshe laki tano..Nilimjibu tu kistaarabu kuwa sina.
Na huyu jamaa anafanya kazi kwenye taasisi kubwa tu na analipwa vizuri ila amesusia matumizi ya mtoto wake na leo ana uthubutu wa kunikopa pesa. Mtoto ana miaka miwili saiv na alimhudumia kwa miezi mitatu tu baada ya DNA.
Wanaume, nimewainulia mikono.
Jumapili njema wapenzi.
Achana na hii strong mkuu utakuwa disappointedBravo strong youngLady !!
Kiumbe wa Mwenyezi Mungu utavuka na mambo yatanyoka... Nakuombe wepesi na faraja ktk Maisha.
Lawama na kusononeka haitasaidia kitu..
Pambana... na Life goes on..
Uondo mwanzo wa kurudisha penz upya mtakopeshana we mwisho atakwambia muish pamoja mlee mtoto ata kudanganya hana mtu na haja pata mtu sahii kama wewe, atakuita uende kichukua pesaza mtoto na muongee Zaid.Pia nilimblock na katumia namba ngeni .Na kama kosa ni kukopesha,ningemkopesha kwa maandishi na angerudisha kwa riba.
Sina "uduazi" huoUondo mwanzo wa kurudisha penz upya mtakopeshana we mwisho atakwambia muish pamoja mlee mtoto ata kudanganya hana mtu na haja pata mtu sahii kama wewe, atakuita uende kichukua pesaza mtoto na muongee Zaid.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuwa tayari alipoiweka pekupeku alikuwa anatarajia nn?halafu Inaonyesha hana shida ni child support kutoa nayo ni shida...Dada usimpe hata 100 ila usiache kudai matumizi ya MTT ni wakeHuendaa jamaa hakuwa tayari kulea mtoto ....
Muwe mnashirikishana kwenye hatua za kubeba ujauzito, sio mnaanza kulialia badae bila sababu ....
[emoji23][emoji23] haki ya Mungu.Sina "uduazi" huo
Ni kweli, lakini nikukumbushe tu kuwa ukiona mpaka mtu ana kila kitu kisha anakataa mimba hadi anakuja kudai DNA ya mtoto ili apate uhakika ujue hapo kuna tatizo sio bure, hapo Kuna kila dalili ya kutokuwepo kwa uaminifu kati yao ( ujue kila mtu anamfahamu vema mwenza wake) Kama mtu anaona Kuna kila dalili ya kusalitiwa au mabye umeona kwa macho yako then mtu anakuja kukwambia anamimba yako unadhani ni rahisi namna hiyo kukubali?Best hapana bwanaa,kuna wanaume wanajua kutesa wanawake,.hata kama haibadilishi ukweli yeye alishindwaje kumuhudumia mtoto ingali kipato anacho??leo kakwama anamfuata huyohuyo ambaye usiku na mchana ana pambana kwa ajili yake binafsi na damu yao...akakope tuu bank asee...
Sina "uduazi" huo
Dr. umeua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1544]Kushirikishana kupi kwingine unakokutaka?
Mtu anavua boxer, anagonga kavu kavu, anapiga bao anakojoa humo humo.
Anarudia hizo process mara kadhaa. Halafu unataka kuaminisha kuwa hakukua na ushirikishwaji wa baba?
Unataka ushirikishwaji upi mwingine mkuu?
Mwanaume shabash aliekamilika, akishiriki hizo process zote hapo juu, na mimba ikanasa hawezi kuanza kulalama eti mdada kashika mimba bila kumshirikisha. Kitu pekee ninachoweza mlaumu huyu binti ni kumvulia chupi mwanaume mpumbavu.
Asante mkuu.Nilishafanya yote hayo hadi mahakamani but niliambulia patupu. Nikaona napoteza pesa kwa mwanasheria na muda.Thats why nikaachana nayo.Ushauri wangu
Fanya vyoyote utakavyofanya uhakikishe huyo baba anatoa matunzo yote ya mtoto hata ikibidi kumpeleka ustawi wa jamii au mahakamani mpeleke! Mathalan imethibitika mtoto ni wake, hana budi kumlea tena na hiyo miezi ambayo hajalipa andika kama deni na lazima alipe!
Kwanini nasema hivi?
Wewe na jamaa inawezekana mmegombana, lakini mtoto na baba yake hawajagombana. Utapambana mwenyewe apo kujidai kumlea mtoto, baadae mtoto akiwa mkubwa atakusumbua sana umpeleke kwa baba yake! Usipompeleka utajenga uhasama mkubwa na mtoto ambae umemtesekea wewe mwenyewe na atakuona mbaya! Ukija kumpeleka kwa baba yake baadae, na akagundua baba ana hela, atakulaumu sana kwa kumkosesha fursa katika maisha!! And trust me, huwezi kumtenganisha mtoto wa kike na baba yake, bora ata angekua wa kiume.
Ishu kama hii ilimtokea dada yangu, kapambana na mtoto saizi yuko chuo. Mtoto kamtafuta baba yake mpaka kampata na sasa hivi mtoto na baba lao moja, mama ndio anaonekana kituko!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Maisha ni kusameheana,kusaidiana na kurekebishana.Binafsi nakushauri kama unao uwezo mkopeshe tu huyo ni mzazi mwenzio hata kama utamchukia vipi ila mwisho wa siku ni mzazi mwenzio tu..cha msingi mueleze ukweli kuwa anakosea sana anaposhindwa kumlea mwanae,anamnyima haki yake mtoto..