Kuweka tiles ukutani ni big no kwangu.Hela ngumu sana usitumie gharama kubwa sana kujenga. Hela unaweza wekezea sehemu nyingine. Juzi mzee kajenga guest yake kaweka tiles mpaka ukutani. Aisee mda mwingine kukosa ushauri. .
View attachment 2556932View attachment 2556935View attachment 2556936View attachment 2556937View attachment 2556938
Gypsum tumia ya Thailand nadhani ndio ya bei. Hizi nyingine za bei chee huwa zinatoa unga ambao lazima mna uvuta na unaingia kwenye mapafu. Which is very bad for health. .Kuweka tiles ukutani ni big no kwangu.
Halafu mkuu mimi kitu nachopenda kiwe quality ni tiles za sakafuni na ukutani. Kitchen iwe na kabati quality ambazo ni flat zísiwe na maurembo. Gypsum iwe ya kawaida isiwe na urembo mwingi. Mimi napenda vitu vyenye flat surface.
Eti wamerogwa... Nyumba ya kwanza nilizingua ramani alikuja nayo fundi ina makosa kibao.Gypsum tumia ya Thailand nadhani ndio ya bei. Hizi nyingine za bei chee huwa zinatoa unga ambao lazima mna uvuta na unaingia kwenye mapafu. Which is very bad for health. .
Pia kuna mtu alinambia aliweka tiles za wapi basi mke wake akawa anapasi nguo na tandiko kwa sakafu. Zile tiles zilifumuka kama kichuguu halafu zikawa zinalia kama bomb nyumba nzima halafu walivyo wajinga wanafikiri wamelogwa kwa sababu ya kujenga🤣 kumbe tiles sizo.
Remba kidogo tena hapo juu nyumba ivutie 😀
See through bathroom ili ukioga uonekane🤣😀Eti wamerogwa... Nyumba ya kwanza nilizingua ramani alikuja nayo fundi ina makosa kibao.
Mimi napenda vitu kama hivi.
View attachment 2556949View attachment 2556950View attachment 2556949View attachment 2556950View attachment 2556952View attachment 2556953View attachment 2556954
Hii ndo guest unayosema?Hela ngumu sana usitumie gharama kubwa sana kujenga. Hela unaweza wekezea sehemu nyingine. Juzi mzee kajenga guest yake kaweka tiles mpaka ukutani. Aisee mda mwingine kukosa ushauri. .
View attachment 2556932View attachment 2556935View attachment 2556936View attachment 2556937View attachment 2556938
Yeah ndio ya mzee inapendeza kweli kweliHii ndo guest unayosema?
Naona hizo tiles ukutani zimependeza sana
Aisee vitu vitam hivi,Eti wamerogwa... Nyumba ya kwanza nilizingua ramani alikuja nayo fundi ina makosa kibao.
Mimi napenda vitu kama hivi.
View attachment 2556949View attachment 2556950View attachment 2556949View attachment 2556950View attachment 2556952View attachment 2556953View attachment 2556954
Vingine tunaibuka mavyo mbeleni... Ila vyumba vya watoto nmevizingatia mapemaAisee vitu vitam hivi,
Unataka kunambia Ni lazima viwepo tangu wakati wa kuchora ramani au unaweza fanya muda wa finishing tu?
Haijaisha mkuu ndo kwanza nmeianza mwishoni mwa feb halafu naijenga bila stress. Nilianza nikamwaga tofali 1200 na mchanga trip 2 na kokoto trip moja na nondo 34 na cement 30. Hivyo nlikuwa nanunua kimoja kimoja tu maana sitak jenga kwa stress sina haraka ila lengo kufika mwez wa 8 niwe nimeezeka. Fundi akaja akachimba msingi akaanza jenga msingi akafunga mkanda. Nikamwaga tena tofali 1400 fundi anainua ila mpaka kukamilisha pagala bado tofali 1400 nyingine. Nmeandika ila sijapga hesabu kamiliWe imekugharimu kiasi gani Hadi kuisha
Kwani mkuu unataka kujenga nyumba inayofanana na wazee wetu zamani?Wakuu karibuni tujuzane hatua na maandalizi muhimu ya kufuata wakati wa kuanza ujenzi wa nyumba
Nina eneo langu nataka kuanza ujenzi Sasa nimepitia thread nyingi humu zinazoelezea ramani nimeshindwa kuelewana ile michoro hasa ya ground floor.
Hivi wazee wetu zamani wakati wanajenga walikua wanachora ramani ngumu Kama hizi? Mbona huko kijijini fundi anaitwa tu anaanza ujenzi na nyumba inatoka Kama ilivyokusudiwa. Anyway tuachane na hayo. Kwa ambao mmejenga nyumba zenu tupeni hatua na mambo muhimu ya kuandaa ili kuimaliza nyumba mapema.
Mfano nyumba yenye vyumba vitatu vyote master, public toilet, jiko, sebule, dinning,library(na Cha maombi hicho hicho),store.
Michango yenu ni muhimu sana kupata makadirio ya gharama na ushauri juu ya hii nyumba yangu.
Eti wamerogwa... Nyumba ya kwanza nilizingua ramani alikuja nayo fundi ina makosa kibao.
Mimi napenda vitu kama hivi.
View attachment 2556949View attachment 2556950View attachment 2556949View attachment 2556950View attachment 2556952View attachment 2556953View attachment 2556954
Kokoto na mchanga vinapatikana wapi kwa hapa dar?Haijaisha mkuu ndo kwanza nmeianza mwishoni mwa feb halafu naijenga bila stress. Nilianza nikamwaga tofali 1200 na mchanga trip 2 na kokoto trip moja na nondo 34 na cement 30. Hivyo nlikuwa nanunua kimoja kimoja tu maana sitak jenga kwa stress sina haraka ila lengo kufika mwez wa 8 niwe nimeezeka. Fundi akaja akachimba msingi akaanza jenga msingi akafunga mkanda. Nikamwaga tena tofali 1400 fundi anainua ila mpaka kukamilisha pagala bado tofali 1400 nyingine. Nmeandika ila sijapga hesabu kamili
Nyumba chache sana zina Lounge hapa bongo😀
Nyumba chache sana zina Lounge hapa bongo😀
living room nadhani ni sehemu ya sebule but unaweza weka vitanda watu wakalala. Mfano ukaweka zile sofa zinageuka kitanda
sitting room no sebule tu ya kawaida ina TV watu wanakaa kujumuika pamoja
Lounge nadhani ni sehemu ya nyumba haina mkusanyiko wa watu wala kelele
unakuta mtu amekaa Lounge ametulia anatafakari maisha😀
yaani gharama ya nyumba inategemea ukubwa wa eneo unalojenga: mfano jumla ya square meter ngapi ndiyo zitahusisha ujenzi wenyewe.View attachment 2547359
View attachment 2547360
Nahitaji nyumba Kama hii
Ramani nimeitoa tu sehemu Ila kitu Kama hiki ndo kipo kichwani mwangu
Vyumba 3 masters,library,jiko, dining,sebule,choo,store