Hatua na maandalizi muhimu ya kujenga nyumba

Hatua na maandalizi muhimu ya kujenga nyumba

Fanya research kabla hujajenga na ujue gharama zinaanzia wapi mpaka wap (estimation) usikurupuke. Nilitumia million 69 kwa nyumba ya vyumba viwili najuta kwel kwel. .
Dimensions ya nyumba yako ikoje? Mimi pia ninayo ya vyumba viwili ila hofu yangu kubwa niliweka shared walk-in closet yenye washer/dryer machine ambayo unaweza kuingilia kupitia vyumba vyote viwili.

Hiki chumba kina ukubwa wa 10 ft by 12 ft (3 m * 3.6 m) naona kama kitakuja kuniondolea privacy baadae nikiwa na mtoto maana kinatumika kama walk-in closet & laundry room combo.
 
Dimensions ya nyumba yako ikoje? Mimi pia ninayo ya vyumba viwili ila hofu yangu kubwa niliweka shared walk-in closet yenye washer/dryer machine ambayo unaweza kuingilia kupitia vyumba vyote viwili.

Hiki chumba kina ukubwa wa 10 ft by 12 ft (3 m * 3.6 m) naona kama kitakuja kuniondolea privacy baadae nikiwa na mtoto maana kinatumika kama walk-in closet & laundry room combo.
You are right ila hiyo walking closet ungeifanya ya familia Si vizuri ku connect na main room. .

Dimension ya house yote ni 32 ft by 29 ft. Kuna roman nimeiona way later iko 36ft by 28ft Nyumba nzuri ngoja nikitulia nitakuja upload hapa. .
 
You are right ila hiyo walking closet ungeifanya ya familia Si vizuri ku connect na main room. .

Dimension ya house yote ni 32 inches by 29 inches. Kuna roman nimeiona way later iko 36inches by 28 inches. Nyumba nzuri ngoja nikitulia nitakuja upload hapa. .
Poa. Hapo unamaanisha feet?
 
Fanya research kabla hujajenga na ujue gharama zinaanzia wapi mpaka wap (estimation) usikurupuke. Nilitumia million 69 kwa nyumba ya vyumba viwili najuta kwel kwel. .

Milioni 69 ama ulimaanisha 19 mkuu?[emoji28]kweli Dunia ina maajabu yake kujenga kibanda kwa milioni 69
 
Milioni 69 ama ulimaanisha 19 mkuu?[emoji28]kweli Dunia ina maajabu yake kujenga kibanda kwa milioni 69
Nyumba yangu sio kibanda iko standard vibaya mno. .
Nikijisikia nitakuonyesha picha za ndani.
IMG-20230311-WA0000.jpg

IMG-20230311-WA0001.jpg
 
Milioni 69 ama ulimaanisha 19 mkuu?[emoji28]kweli Dunia ina maajabu yake kujenga kibanda kwa milioni 69
Boss kwahiyo 19M inatosha kukamilisha kabisa Hadi finishing?
 
Boss kwahiyo 19M inatosha kukamilisha kabisa Hadi finishing?

Milioni 69 unajenga kabisa ghorofa jombaa na sio kibanda,kwa nyumba uliyopost kama umetumia zaidi ya milioni 25-30 umepigwa kama ngoma
 
Milioni 69 unajenga kabisa ghorofa jombaa na sio kibanda,kwa nyumba uliyopost kama umetumia zaidi ya milioni 25-30 umepigwa kama ngoma
Aisee,
Lakini mwenye nyumba amesema hujaiona ndani ilivyo pengine kwa ndani Ina hiyo thamani
 
You are right ila hiyo walking closet ungeifanya ya familia Si vizuri ku connect na main room. .

Dimension ya house yote ni 32 ft by 29 ft. Kuna roman nimeiona way later iko 36ft by 28ft Nyumba nzuri ngoja nikitulia nitakuja upload hapa. .
Mkuu mbona nyumba dimension zake za kawaida ilikuwaje ikakucost ela nyingi hivyo au uliipiga finishing ya maaana sana ya vitu expensive
 
Mkuu mbona nyumba dimension zake za kawaida ilikuwaje ikakucost ela nyingi hivyo au uliipiga finishing ya maaana sana ya vitu expensive
nimepiga jikoni fill tiles chini full tiles mpaka scatting ya tiles kama nilivyopost kwenye picha. Ndani gypsum na taa za darini na taa za ukutani. Jikoni kabati za juu. Ndani kuna kabqti la ukutani full vioo mpaka juu. Chooni full tiles na ndani choo kimoja cha kukaa. Msingi coz kumi. .

Kwenye milango nimetoa hela nyingi milango ya mkongo nilitengeneza Tabora tena huko ni bei chee. Mbao ya mkongo ina bei. Imependeza sana hii nyimba. .
 
nimepiga jikoni fill tiles chini full tiles mpaka scatting ya tiles kama nilivyopost kwenye picha. Ndani gypsum na taa za darini na taa za ukutani. Jikoni kabati za juu. Ndani kuna kabqti la ukutani full vioo mpaka juu. Chooni full tiles na ndani choo kimoja cha kukaa. Msingi coz kumi. .

Kwenye milango nimetoa hela nyingi milango ya mkongo nilitengeneza Tabora tena huko ni bei chee. Mbao ya mkongo ina bei. Imependeza sana hii nyimba. .
Hapo bila shaka lazima ifike huko nakubali mia mia
 
Hapo bila shaka lazima ifike huko nakubali mia mia
Halafu wakati naenda kununua tiles naambiw bei nawaza kuwa zile kubwa ni nzuri zaid kumbe upuuzi mtupu. Nyumba ya kwanza kujenga ina kimuhemuhe. .
 
Halafu wakati naenda kununua tiles naambiw bei nawaza kuwa zile kubwa ni nzuri zaid kumbe upuuzi mtupu. Nyumba ya kwanza kujenga ina kimuhemuhe. .
Mimi ya 2. Sema kuna tiles flani kubwa niliona zimebandikwa kwenye ukuta bafuni zilipendeza sana. Ni zile kubwa nna mpango wa kuzibandika pia.
 
Mimi ya 2. Sema kuna tiles flani kubwa niliona zimebandikwa kwenye ukuta bafuni zilipendeza sana. Ni zile kubwa nna mpango wa kuzibandika pia.
Hela ngumu sana usitumie gharama kubwa sana kujenga. Hela unaweza wekezea sehemu nyingine. Juzi mzee kajenga guest yake kaweka tiles mpaka ukutani. Aisee mda mwingine kukosa ushauri. .
20230124_200219.jpg
20230124_194244.jpg
20230124_194348.jpg
20230201_124050.jpg
20230201_124102.jpg
 
Back
Top Bottom