Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usifananishe samsung na Tekno wewe,Habari
Hawa mabwana wapika kande leo wamezindua biriani la ngamia ni hatari na nusu alafu kwa nusu bei great job kwaoView attachment 2533081View attachment 2533079View attachment 2533078
Zimefanana specs kweli ila kwenye duarability ndio tatizo ukija baada ya mwaka hiyo samsung kama mtu ni mtunzaji utaikuta kama ilivyo ila nenda kwa tekno sasa utakuta ishachoka vitu kibao.Sio mimi zimefanana zenyewe
Still bado ni mitikenge chipsetHabari
Hawa mabwana wapika kande leo wamezindua biriani la ngamia ni hatari na nusu alafu kwa nusu bei great job kwaoView attachment 2533081View attachment 2533079View attachment 2533078
Ukiona hivyo ,ujue upo uchi kwenye technology ya simu , embu niambie Maana ya CPU tuone.Usifananishe samsung na Tekno wewe,
Dust posted from TECNO common 19Usifananishe samsung na Tekno wewe,
Kwa nini[emoji28][emoji28]Hili ni biriani la senene sio ngamia[emoji1787][emoji1787][emoji1787].