Infinix wanahusikajeee hapa?Milion mbali sana. Hata laki tatu sitoi kwa tecno, Samsung A series na Redmi wako vizuri katika simu zao kwa bei hizohizo.
Tena niliwahi kununua kiswaswadu tu, tena kalikuwa kanakaa na chaji balaa. Mbali na hapo siwezi kukunjua pesa yangu ninunue tecno, hata kumshauri mtu haiwezekani.
Nikisema tecno namaanisha tecno wenyewe, infinix, itel n.k
Dimensity ni Bora ila Tecno hupenda vitonga, wakitoa vitu vyao lazima uone kasoro kama hizo Dimensity 9000 ni Flagship soc ya Mwaka jana wao wanatoa simu 2023 tena ina bei Milioni 3 kwanini utumie Processor ambayo ishapitwa na wakati?Mediatek Dimensity ni Chip bora sana sio kama mediatek za nyuma
Infinix, Tecno na itel ni brand tatu tofauti za simu zinazomilikiwa na kampuni moja ya Kichina "Transsion"Infinix wanahusikajeee hapa?
Kununua tecno ni uduni wa kufikiri.Mimi hata nimeikuta TECNO ina uwezo mara mbili zaidi ya Samsung kwa bei sawa, bado nitachukua Samsung [emoji23][emoji23]
Tukizungumzia tecno tunazungumzia infinix, itel, vivo n.kInfinix wanahusikajeee hapa?
Tukizungumzia tecno tunazungumzia infinix, itel, vivo n.k
Hivyo ilivyo ikipewa jina la samsung fold v itauza kama chips kuku 🤣🤣🤣Ikibadilishwa jina itauzwa na kuwa branded kuliko Samsung au kwenda sawa
Ila kwa jina hilo la Tecno haitoboi, hata ziwekwe features za time travelling bado raia wataikataa
Vivo ni tecno ya soko la chinaVivo itoe kabisa. Ingia hapo uone level ya Vivo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Na mtu kutoa milion kununua tecno hiyo ni hatua kali sana ya binaadam kuchukua ni kama kujikata shingo[emoji23][emoji23]
Uwongo. Kila kitu matunzo. Sio automatic!Zimefanana specs kweli ila kwenye duarability ndio tatizo ukija baada ya mwaka hiyo samsung kama mtu ni mtunzaji utaikuta kama ilivyo ila nenda kwa tekno sasa utakuta ishachoka vitu kibao.
Na mtu kutoa milion kununua tecno hiyo ni hatua kali sana ya binaadam kuchukua ni kama kujikata shingo[emoji23][emoji23]
Mtu mwenye simu A ameangusha simu yake kwa bahati mbaya kutoka kwenye jengo lake lenye urefu wa mita sitaUwongo. Kila kitu matunzo. Sio automatic!
Hapo kuna factors nyingi pia zinahusika. Simu iliyoangukia mgongo haiwezi kuumia kama iliyoangukia usoMtu mwenye simu A ameangusha simu yake kwa bahati mbaya kutoka kwenye jengo lake lenye urefu wa mita sita
Mtu mwenye simu B ameangusha simu yake kwa bahati mbaya kutoka kwenye jengo lake lenye urefu wa mita sita pia
Simu A ilipasuka kioo vibaya na ikagoma kuwaka tena pia ilitengeneza ufa kwenye kamera
Simu B ilitengeneza ufa kwenye kioo lakini kamera haikupata madhara na simu iliendelea kufanya kazi kama kawaida.
Kwa mfano huo, je shida ni matunzo?
Kioo chake wameweka nits kidogo ndo maama ni ngumu kutumia kwenye direct sunlightKutakuwa na sababu hiyo ya Tecno kuuzwa bei rahisi na mara nyingi sababu itakuwa material quality[emoji28][emoji28]
Hawa jamaa siwaelewi, mfano Tecno Phantom X2 Pro inakuja na AMOLED display na bei ipo juu lakini gsmarena anasema kioo chake hakifai kutumika juani. Sasa simu ya milioni halafu bado kioo kinafifia juani, ndio nini[emoji23][emoji23]
Product zao siziamini.
Hata redmi note series ina brightness ya kuanzia 800 nits and aboveBrightness yake ni 500 nits kwahio ukiwa out door unakua huoni vizuri
Unaposhindanisha durability ya devices tofauti, then all factors should remain constant then utapata fair resultsHapo kuna factors nyingi pia zinahusika. Simu iliyoangukia mgongo haiwezi kuumia kama iliyoangukia uso