Hatua ya kwanza ya mafanikio ni kuondoka nyumbani

Mama's boys endeleeni kukaa nyumbani tu.
Ukifatilia wanaokomaa home kwa wazazi ni watoto type za mikocheni,masaki,obey yani jibaba ,limama zima linashinda sebureni kungombania remote na watoto ,wa huku uswazi 18 to 21 ushalianzisha
 
Wewe watoto wako watajengewa na nani?
 
Hii mada ni nzuli sana lakini kusema ukweli kuna umri na mazingira unafikia inakubidi mtu kuhama nyumbani na kutafuta maisha sehemu nyingine.
 
Kuna wakati unafika ukiwa kama kijana ni lazima ubadilike kiakili na kuanza kujitegemea kwa sababu maisha ya sasa yana leo na kesho.

Hebu fikiria tuu upo kwenu unasikia nyumba yenu imepigwa x ibomolewe.

Pili hebu fikiria siku uko home unasikia nyumba yenu inapigwa mnada na benki inauzwa hapo unakuta mzee wako alikopa benki.

Sasa jiulize hapo utaanzia wapi
 
Mkuuu hom sihami ng'oh bora wao wazaz wanikimbie wenyew maana mi ni mtoto wao na inabid nieategemee had pale nitakapo pata uhakika wa kuish mwenyew tofaut na hapo hom siondok na siham
Kaza Mkuu uondoke nyumbani
 
Siyo kweli.
 
Well said brother,.... Yan Elimu ndo imetuletea haya majanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…