Hatua za kikanuni za Bunge zitakazochukuliwa dhidi ya Luhaga Mpina ziambatane na hatua muafaka za kikatiba za CCM kumng'atua

Kuwatetea watanzania inatakiwa usaliti familia yako, ujisaliti mwenyewe, ujitoe mhanga kwelikweli, aliweza mmoja tu, na sasa hayupo. Sad!!
 
Wee kumbe!! Jamaa ni Hatari sana .. Anatisha
sio hivyo tu,
aliwachomea nyavu zao wavuja jasho maskini sana bila huruma, na kwa kiburi na jeiri ya cheo akaangamiza mamilioni ya vifaranga vya kuku bila huruma wala kujali hasara kwa wafanya biashara husika, leo hii tena kwa kubuni tuhuma na uzushi anarubuniwa kutetea sugar campanies kwa uongo dhidi ya wazoro mwenye dhamana ya kilimo....

ya kuchekesha zaidi, eti alikua anapima ukubwa wa samaki tena walio rostiwa vizuri sana, kwa rula ili akedanganye muhimili na umma wa watanzania
 
Nchi ngumu hii
 
Dogo. Mpina ni msukuma mwenzetu, wa Kanda yetu yenye idadi kubwa ya wapiga kura

Tunajua anasema ukweli lakini kwenye chama chetu ukiwa mkweli hatukuhitaji

Pamoja na hayo hatuwezi kumfukuza tusijetukapoteza kwenye uchaguzi 2025

Umeelewa dogo?
 
Dogo una hasira kuliko Hata abdul
 
Dogo. Mpina ni msukuma mwenzetu, wa Kanda yetu yenye idadi kubwa ya wapiga kura

Tunajua anasema ukweli lakini kwenye chama chetu ukiwa mkweli hatukuhitaji

Pamoja na hayo hatuwezi kumfukuza tusijetukapoteza kwenye uchaguzi 2025

Umeelewa dogo?
hakuna habari za janja janja ya panya ccc,

eti unang"ata halafu unapuliza kupooza

hakuna kitu kama hiyo bana...
 
Hivi hukumbuki alimwandama Mwigulu, Makamba etc etc
You're a congenital liar"; who is paying you guys??
Mh.Mpina alipokua anajaribu kuwahadaa na kuwapotosha waTanzania kwa takwimu za kubuni, akijaribu kumchalenge Dr.Mwigulu kwa data za kutunga, aliulizwa na spika swali dogo tu...

Mh.Mpina hizo takwimu umezitoa wap?

alijibuje
 
Rubbish
 
ni asset kwa wabuni uzushi na uongo dhidi ya wengine, kwa kuchochewa hasira, ghadhabu na machungu ya kutoswa uwaziri

hata hivyo,
ni vizuri akawa huru kulamba sukari za makampuni ya sukari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…