Hatua za kikanuni za Bunge zitakazochukuliwa dhidi ya Luhaga Mpina ziambatane na hatua muafaka za kikatiba za CCM kumng'atua

Kuwatetea watanzania inatakiwa usaliti familia yako, ujisaliti mwenyewe, ujitoe mhanga kwelikweli, aliweza mmoja tu, na sasa hayupo. Sad!!
usaliti sio jambo zuri hata kidogo gentleman,

ndio unamuona huyo muungwana anateseka nao sasaivi
 
Hizo ni pigo za kizamani mnaleta zama hizi, ingekuwa Bora hoja za Mpina zijibiwe kuliko kumletea vitisho.
anatishiwa na nani gentleman?

mbona muungwana yuko salama tu, halalamiki wana nini, analamba sukari za makampini ya sukari kwa amani kabisa na anapata posho zake vizuri tu
 
Hii hii nchi kuna watu wanakula Rushwa aisee....
binafsi sina hakika kwenye hilo,

nadhani ni vizuri report na kubainisha hiyo rushwa kwenye mamlaka husika, ikiwa kuna vithibitisho visivyo vya kubuni kama ambavyo vinavyochunguzwa
 
nikajuaga jamaa (mleta mada) nyege ndizo zinamdumbua kumbe alikua kwenye ukichaa stage 1 sasa naona zimepanda yupo stage 6 na anajifunza uchawa soon ataanza kuweka namba
saa zingine hakuna haja ya kulazimisha kutambulisha watu jinsi unavyowaza na jinsi ulivyo
 
Hebu niambie inawezekana vipi kampuni isajiliwe january 2024 na ije kupewa tenda ya kuleta sukari kuzidi viwanda vilivyo anzishwa miaka na miaka 😂😂😂😂😂😂😂
hata kama kampuni ina uzoefu wa miaka 100, ikususa, ikizira au kuhujumu kazi ya umma au upatikanaji wa huduma msingi ya kijamii, tena ya dharura kwa makusudi kabisa.....

my friend, as a country
hata kama una uzoefu wa miaka 100,

tutaipa kazi hiyo hata kampuni iliyo sajiliwa leo hii, kwa maslahi mapana ya nchi, amani na usalama waTanzania wote
 
ni muingo mzoefu,

kuna wakati aliwahi kubishana na waziri wa fedha, akijaribu kuwahadaa na kuwapotosha waTanzania kawa data zake ghushi na za kubuni....

spika alimuuliza mpina,
hizo data ulizo nazo umezitoa wapi? data za serikali za kuchalenge hizi hapa mezani na zipo kwenye tovuti ya srikali pia, hizo zako ni za wapo?

unakumbuka alichojibu mpina?
na je aliendelea kutetea hoja zake kwa kutumia data ghushi tena?

si mpaka alipoanza kulamba sukari za makampuni ya sukari tena ndio kaibuka na tabia ile ile
 
ni asset kwa wabuni uzushi na uongo dhidi ya wengine, kwa kuchochewa hasira, ghadhabu na machungu ya kutoswa uwaziri

hata hivyo,
ni vizuri akawa huru kulamba sukari za makampuni ya sukari
Unakuwaje uzushi na uongo bila kuwa proved kuwa ni uzushi na uongo?Rationale zero kabisa.Akili za CCM zinawatosha wenyewe.

Halafu mbona wezi wanaoibuliwa na CAG hawachukuliwi hatua?Yaani mko kimya kabisaa.Hii inaonyesha kwamba CCM ni Chama Cha Majambazi.
 
First half
Bashe,Ccm, chawa na uvccm 1-3Mpina

Goli la ccm limefungwa na Tuliyaa!!!.
 
Aya yote kisa amekataa wizi
 
Umeitoa kwa kigogo chizi maarifa yule nae chawa tu siku hizi.

Mpina kawabana mbupu.
 
Wewe unatanguliza nini kwanza tumbo lako?

Au uzalendo kwanza, maslahi ya Taifa kwanza?

Ukiangalia hivi vitu ukiwa neutral huwezi kuja ni hizo conclusion zako.
 
Bro hapo kunamtu anawindwa and not Mpina, niguse unuke.
 
Mtu akishatofautiana mtazamo na wezi anasakamwa na hata kutishiwa uhai
 
Siku ukiwa na akili timamu utangundua ni namna Gani ulikuwa tahira. Ni li pumbavu kama wewe na jinga linaloweza hata kuwachukia watu wanaoelimisha taifa kuhusu ufisadi. Kama una wazazi basi Wanahasara tupu kwa kuzaa zombie na shetani
 
Mtu akishatofautiana mtazamo na wezi anasakamwa na hata kutishiwa uhai
ni afadhali asakamwe kistaarabu ila kusiwe na mihemko na matusi

kusakamwa ndiyo sehemu ya malipo ya kulamba sukari ya makampuni ya sukari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…