#COVID19 Hatudharau chanjo ya corona Tanzania, tunasubiri majaribio zaidi kabla kuitumia

#COVID19 Hatudharau chanjo ya corona Tanzania, tunasubiri majaribio zaidi kabla kuitumia

Msemaji wa Tanzania Dkt Hassan Abbas amesema Tanzania inakabiliana na janga la corona kwa kutumia dawa za asili.

Dkt. Abbas alimwambia mwandishi wa habari wa BBC, Salim Kikeke kuwa Tanzania haitapuuzia chanjo iliyokubalika kimataifa kuwa salama kutumia kama kinga.
Mabeberu wametukamata pabaya tumeanza mdogomdogo kuachia zip
 
Mabeberu wametukamata pabaya tumeanza mdogomdogo kuachia zip
Ni ngumu kumvimbia aliyekuzidi kwa kila kitu, ambaye wewe unategemea vitu vingi tena vya muhimu kutoka kwake.
 
Ni ngumu kumvimbia aliyekuzidi kwa kila kitu, ambaye wewe unategemea vitu vingi tena vya muhimu kutoka kwake.
 
Msemaji wa Tanzania Dkt Hassan Abbas amesema Tanzania inakabiliana na janga la corona kwa kutumia dawa za asili.

Dkt. Abbas alimwambia mwandishi wa habari wa BBC, Salim Kikeke kuwa Tanzania haitapuuzia chanjo iliyokubalika kimataifa kuwa salama kutumia kama kinga.
Huyu mpuuzi
 
Chanjo iwe ni hiari
Cha kwanza seriakali inatakiwa kuisajili kutumika nchini ili anayetaka atumie. Wakati wa majanga uharaka ni muhimu. Ina maana hatuiamini WHO kama imeona hiyo chanjo ni salama? Hadi leo hatujafanya uchunguzi kujua kama chanjo ni salama au usalama ni kisingizio tu cha kukataa chanjo.
 
Sijui tutakuwa mgeni na nani,Mara Dania wakitanganza Covid vaccine passport wakati WA kusafir i
 
TAG walitoa tuzo ya ushindi wa corona imefutwa kwa maombi.Nani anasema tuna corona.Sisi tuna changamoto ya upumuaji hatuna corona wanatuonea wivu sababu sisi ni matajiri.
 
Msemaji wa Tanzania Dkt Hassan Abbas amesema Tanzania inakabiliana na janga la corona kwa kutumia dawa za asili.

Dkt. Abbas alimwambia mwandishi wa habari wa BBC, Salim Kikeke kuwa Tanzania haitapuuzia chanjo iliyokubalika kimataifa kuwa salama kutumia kama kinga.
Rejea hotuba ya Rais kuhusu "issue" hii. Msemaji kapotosha.
 
Hii nchi ni kwamba hatuna wataalamu wa kuweza kufanya tafiti na kuja na chanjo kwanini bunge lisipitishe bajeti maalumu kwa ajili ya utafiti wa chanjo
 
Cha kwanza seriakali inatakiwa kuisajili kutumika nchini ili anayetaka atumie. Wakati wa majanga uharaka ni muhimu. Ina maana hatuiamini WHO kama imeona hiyo chanjo ni salama? Hadi leo hatujafanya uchunguzi kujua kama chanjo ni salama au usalama ni kisingizio tu cha kukataa chanjo.
Wao wameshachanjwa lakini sisi wanatuletea upuuzi
 
Acha kuandika uongo!
Tatizo lenu uwa hamsikilizi kwa makini kinachozungumzwa na viongozi, ila mnasikiliza propaganda za wapotoshaji wa JF.
Rais alichosema wizara ya afya iwe makini na ijiridhishe kabla ya kuruhusu chanjo za Covid 19.
 
Huo ni uongo wa hali juu. Katika kila chupa yenye chanjo za Pfizer kunakaa dawa ya kutosha watu sita lakini baada ya kuwapiga watu watano ile ya mtu wa sita ilikuwa ni kazi kuitoa kwa kuwa hakukuwa na syringes za kuiweza kuifikia na hili si tatizo la Japan peke yake bali nchi zote duniani ambazo zinatumia chanjo ya Pfizer na Moderna. Kwa hiyo nchi zote zenye kutumia chanjo ya Pfizer ama zilitengeneza sindano nyembamba zaidi au kuagiza. Uache tabia ya kuandika uongo uongo
Nao Japan wamekula hasara ya matrillion ya pesa kwa kununua mamillion ya chanjo kutoka makampuni ya Pfizer na Mordena baada ya kugundua kuwa hizo special syringes zake hazina uwezo wa kutoa kiwango cha dose inayohitajika. Jamani tusikurupuke kuhusu hili suala la chanjo. Tuwe na subira. Kwanza hazitolewi bure na bei yake ni kubwa sana.
 
Back
Top Bottom