Tuwekee mbinu zako? Ili tuweze kulinganisha.
..Jiwe hataki chanjo anasema zinaweza kusababisha wasichana wakashindwa kuzaa.
..Jiwe pia hapendi barako anadai zinafanana na matiti ya wanawake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuwekee mbinu zako? Ili tuweze kulinganisha.
Rais alichosema wizara ya afya iwe makini na ijiridhishe kabla ya kuruhusu chanjo za Covid 19.
Wewe ndio unataka kuingiza Siasa kwenye mambo ya msingi. Weka ulichotaka JPM afanye...Jpm amecheza kamali na maisha ya waTz.
..amekuwa against na mbinu za kujilinda na tatizo la covid19.
..aligeuza covid19 kuwa mtaji wa kisiasa ona sasa wananchi wanaangamia.
Tupe bei ya chanjo mkuu? Ipi inafaa? Maana kuna aina nyingi sisi Tanzania tunahitaji ipi?..Jiwe hataki chanjo anasema zinaweza kusababisha wasichana wakashindwa kuzaa.
..Jiwe pia hapendi barako anadai zinafanana na matiti ya wanawake.