Mateso chakubanga
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 587
- 800
Waziri Mkuu wa zamani wa Israel Ehud Barak amesema Israel ilifanya makosa ya kimahesabu kwa adui zake ,hivyo haoni kuna haja ya kufanya vita na Iran,
na anajua tayari kuna upinzani kutoka Hamas, Hezbolla,Houthis na sasa Iran na itachukua muda mrefu sana katika operesheni zake katika miji ya Rafah, Gaza na West bank,makosa yalifanyika tangu oktoba 7 na April 1 ,hivyo anaona vipaumbele vya serikali viwe:
1.kuachiwa mateka wa israel
2.kusitisha vita.
Chanzo: Channel4news Israel
na anajua tayari kuna upinzani kutoka Hamas, Hezbolla,Houthis na sasa Iran na itachukua muda mrefu sana katika operesheni zake katika miji ya Rafah, Gaza na West bank,makosa yalifanyika tangu oktoba 7 na April 1 ,hivyo anaona vipaumbele vya serikali viwe:
1.kuachiwa mateka wa israel
2.kusitisha vita.
Chanzo: Channel4news Israel