Hatuhitaji vita vya kikanda na Iran-Waziri Mkuu wa zamani wa Israel

Hatuhitaji vita vya kikanda na Iran-Waziri Mkuu wa zamani wa Israel

Iran wameanza kuishi kwa kuweweseka

[emoji1130][emoji1134] Iran prepares for Israeli retaliatory strike - Wall Street Journal

[emoji3502]Iran is withdrawing some IRGC officers from Syria due to a possible Israeli strike.
[emoji3502]Iran's Air Force is preparing for Israeli strikes, and its Navy will begin escorting commercial Iranian ships in the Red Sea.
[emoji3502]Israeli officials have still not decided on the nature of the retaliatory strike.
Kuishi kwa kuweweseka ndo kukoje huko....kulinda meli zako za biashara ndo kunaitwa kuweweseka siku hizi....kuondoa makamanda wako nchi nyingine waje nyumbani kuongeza nguvu ndo kuweweseka sio🤠🤠...sisi tunasubiri vikao vya Netapaka viishe waje na mashambulizi ya kujibu tuone mtanange....haya manenomaneno waachiwe wakinamama
 
Yahudi Anamtegemea Mungu Wake!
👇👇
Yeremia.31:37-40
37 Bwana asema hivi, Kama mbingu zikiweza kupimwa, na misingi ya dunia ikiweza kugunduliwa huko chini, ndipo wazao wa Israeli pia nitawatupilia mbali, kwa ajili ya hayo yote waliyoyatenda, asema Bwana.

49:23
[23]Na wafalme watakuwa baba zako za kulea, na malkia zao mama zako za kulea; watainama mbele yako kifudifudi, na kuramba mavumbi ya miguu yako; nawe utajua ya kuwa mimi ni BWANA, tena waningojeao hawatatahayarika.
Ndio madude gani hayo, uliyoyaandika..??
 
Waziri Mkuu wa zamani wa Israel Ehud Barak amesema Israel ilifanya makosa ya kimahesabu kwa adui zake ,hivyo haoni kuna haja ya kufanya vita na Iran,
View attachment 2966459
na anajua tayari kuna upinzani kutoka Hamas, Hezbolla,Houthis na sasa Iran na itachukua muda mrefu sana katika operesheni zake katika miji ya Rafah, Gaza na West bank,makosa yalifanyika tangu oktoba 7 na April 1 ,hivyo anaona vipaumbele vya serikali viwe:
1.kuachiwa mateka wa israel
2.kusitisha vita.
Chanzo: Channel4news Israel

Hawa ndiyo wale wenye akili aliosema Mola kupitia wao hatawaacha watu wake
 
Huyo ni waziri mkuu mstaafu, hivyo anafaham vizuri weakness ya taifa lake dhidi ya mwenye nguvu Iran. Kama nchi zaidi ya 7 zimeshindwa kuzuia shambulio la Iran lisifike Israel kwa shambulio 1 tu ambalo tayari Iran ilikuwa ishawapa taarifa ili wajipange kulizuia na wakashindwa, je ikitokea majibizano yakawa ya kuendelea kwa week nzima huku nchi zinazoilinda Israel kuchoka kuilinda hali itakuaje kwa nchi hiyo.

Wewe myahudi wa bonyokwa unataka kujifanya una uchungu na uwezo wa kulipiza kisasi kuliko waziri mkuu mstaafu anaeiona hatari ya nchi hiyo kuangamizwa na makombora mabaya zaidi ya Iran.

Fikiria hata Mmarekani mwenyewe ameonekana kuogopa na kumshauri Netanyahu asithubutu kujibu, nchi yake inaweza kugeuzwa kifusi.
Muajemi wa mongo la ndege katika uchambuuuuzi
 
Iran hakufanya shambulizi la uoga la kushtukiza kama afanyavyo Israel huko Lebanon, Syria nk.

Kwanza kwa kujiamini walitoa taarifa mapema huku wakijua fika taarifa hizo zitawapa nafasi Israel na washirika wake wajipange kulizuia.

Pili baada ya kuona Israel na washirika wake wameshajipanga kuzuia akafungulia bomba ili aone panapovuja. Na kweli ikabainika kuwa vifaa vyao vyote vya kuzuia vinavuja. Maana Marekani, Ufaransa, Uingereza, Ujeruman, Jordan, Saudi Arabia na Israel yenyewe walianza kuzuia kuanzia Iraq, Saudi Arabia, Syria, Jordan nk, lakini mzigo umepita kilometres zaidi ya elf 2000 hadi katika nchi husika.

Sasa jiulize kama Iran isingetoa taarifa au Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na Jordan wasingeisaidia kuzuia hali ingekuaje.
Screenshot_20240408-165542~2.png
 
Kwenda zako! Ndo maana aliondolewa kama sio photo edit basi ni propaganda! Kitu ambacho Israel hawezi kufanya ni kuchokozwa na akakaa kimya! Israel ni taifa la vita miaka yoote! Lilianzishwa kwa vita na linaishi kwa vita! Huwezi kuchokoza Israel ikanyamaza kimya! Israel ni kama Marekani! Mchokoze marekani huone kama atakunyamazia! Kwenye uringo wa kijeshi kuchokozwa ukakaa kimya kunaitwa "coward" yahani "mwoga"
Ww ni mbumbumbu Israel imechokozwa au imejibiwa baada ya kufanya uchokozi?
 
Huyo ni waziri mkuu mstaafu, hivyo anafaham vizuri weakness ya taifa lake dhidi ya mwenye nguvu Iran. Kama nchi zaidi ya 7 zimeshindwa kuzuia shambulio la Iran lisifike Israel kwa shambulio 1 tu ambalo tayari Iran ilikuwa ishawapa taarifa ili wajipange kulizuia na wakashindwa, je ikitokea majibizano yakawa ya kuendelea kwa week nzima huku nchi zinazoilinda Israel kuchoka kuilinda hali itakuaje kwa nchi hiyo.

Wewe myahudi wa bonyokwa unataka kujifanya una uchungu na uwezo wa kulipiza kisasi kuliko waziri mkuu mstaafu anaeiona hatari ya nchi hiyo kuangamizwa na makombora mabaya zaidi ya Iran.

Fikiria hata Mmarekani mwenyewe ameonekana kuogopa na kumshauri Netanyahu asithubutu kujibu, nchi yake inaweza kugeuzwa kifusi.
Kimsingi Israel asikurupuke kumjibu,kinachotakiwa ni kumvizia Iran baada ya wao kujiridhisha wakati gani wampige na kwa namna gani,ni suala la kimkakati na mbinu za vita na kiusalama,nk
 
Kanchi kenyewe hata kwenye ramani unafanya kukitafuta... Bila msaada na ulinzi shirikishi wa washirika, kanafutwa ndani tu ya masaa kadhaa
wenzio wanaokuvalisha hayo madela washaachaga hizo kauli
 
Waziri Mkuu wa zamani wa Israel Ehud Barak amesema Israel ilifanya makosa ya kimahesabu kwa adui zake ,hivyo haoni kuna haja ya kufanya vita na Iran,
View attachment 2966459
na anajua tayari kuna upinzani kutoka Hamas, Hezbolla,Houthis na sasa Iran na itachukua muda mrefu sana katika operesheni zake katika miji ya Rafah, Gaza na West bank,makosa yalifanyika tangu oktoba 7 na April 1 ,hivyo anaona vipaumbele vya serikali viwe:
1.kuachiwa mateka wa israel
2.kusitisha vita.
Chanzo: Channel4news Israel
Kweli wakati ukuta....huyu mwamba kazeeka Sana...
 
It's just a matter of time myahudi huwa anapenda sana kulipa kisasi sizan kama atapotezea hiv hiv
 
Waziri Mkuu wa zamani wa Israel Ehud Barak amesema Israel ilifanya makosa ya kimahesabu kwa adui zake ,hivyo haoni kuna haja ya kufanya vita na Iran,
View attachment 2966459
na anajua tayari kuna upinzani kutoka Hamas, Hezbolla,Houthis na sasa Iran na itachukua muda mrefu sana katika operesheni zake katika miji ya Rafah, Gaza na West bank,makosa yalifanyika tangu oktoba 7 na April 1 ,hivyo anaona vipaumbele vya serikali viwe:
1.kuachiwa mateka wa israel
2.kusitisha vita.
Chanzo: Channel4news Israel
Aseme kipindi chake alipanua mipaka kwa kiasi gani
 
Kwhyo wafanyaje sasa...maslahi ya uchumi yapi??...kuiba mafuta middle east au....Wampe silaha Israel halafu aingie kati wqdundane na hao waajemi tuone nani ni nani....inatakiwa ifikie wakati kila mtu ajue mipaka yqke ni wapi na aishie wapi....dhulma haiwezi kutawala milele maana unaowadhulumu bdo wataendelea kutafuta namna ya kutokudhulumiwa na kuonewa na hapo maugomvi na mavita hayatakaa yaishe
Hujui unachoongea, nani anaibiwa mafuta na unaweza kutueleza anaibiwaje hayo mafuta. Acheni tu kuongea stori za vijiweni.
 
Hujui unachoongea, nani anaibiwa mafuta na unaweza kutueleza anaibiwaje hayo mafuta. Acheni tu kuongea stori za vijiweni.
Tueleze ww unayejua...Middle East far away from their country wanafanya nn...kama sio ku disturbilize lile eneo ili waendelee kufanya wizi wao....mara ngapi wameporana meli za mafuta na Iran....
 
Yahudi Anamtegemea Mungu Wake!
👇👇
Yeremia.31:37-40
37 Bwana asema hivi, Kama mbingu zikiweza kupimwa, na misingi ya dunia ikiweza kugunduliwa huko chini, ndipo wazao wa Israeli pia nitawatupilia mbali, kwa ajili ya hayo yote waliyoyatenda, asema Bwana.

49:23
[23]Na wafalme watakuwa baba zako za kulea, na malkia zao mama zako za kulea; watainama mbele yako kifudifudi, na kuramba mavumbi ya miguu yako; nawe utajua ya kuwa mimi ni BWANA, tena waningojeao hawatatahayarika.
Huyo Mungu wake bila shaka ni yule Shetani Mwekundu Amerikani asiyejali uhai wa binadamu yeyote nje na maslahi yake.
 
Back
Top Bottom