Hatuhitaji vita vya kikanda na Iran-Waziri Mkuu wa zamani wa Israel

Kuishi kwa kuweweseka ndo kukoje huko....kulinda meli zako za biashara ndo kunaitwa kuweweseka siku hizi....kuondoa makamanda wako nchi nyingine waje nyumbani kuongeza nguvu ndo kuweweseka sio🤠🤠...sisi tunasubiri vikao vya Netapaka viishe waje na mashambulizi ya kujibu tuone mtanange....haya manenomaneno waachiwe wakinamama
 
Ndio madude gani hayo, uliyoyaandika..??
 

Hawa ndiyo wale wenye akili aliosema Mola kupitia wao hatawaacha watu wake
 
Muajemi wa mongo la ndege katika uchambuuuuzi
 
 
Ww ni mbumbumbu Israel imechokozwa au imejibiwa baada ya kufanya uchokozi?
 
Kimsingi Israel asikurupuke kumjibu,kinachotakiwa ni kumvizia Iran baada ya wao kujiridhisha wakati gani wampige na kwa namna gani,ni suala la kimkakati na mbinu za vita na kiusalama,nk
 
Kanchi kenyewe hata kwenye ramani unafanya kukitafuta... Bila msaada na ulinzi shirikishi wa washirika, kanafutwa ndani tu ya masaa kadhaa
wenzio wanaokuvalisha hayo madela washaachaga hizo kauli
 
Kweli wakati ukuta....huyu mwamba kazeeka Sana...
 
It's just a matter of time myahudi huwa anapenda sana kulipa kisasi sizan kama atapotezea hiv hiv
 
Aseme kipindi chake alipanua mipaka kwa kiasi gani
 
Hujui unachoongea, nani anaibiwa mafuta na unaweza kutueleza anaibiwaje hayo mafuta. Acheni tu kuongea stori za vijiweni.
 
Hujui unachoongea, nani anaibiwa mafuta na unaweza kutueleza anaibiwaje hayo mafuta. Acheni tu kuongea stori za vijiweni.
Tueleze ww unayejua...Middle East far away from their country wanafanya nn...kama sio ku disturbilize lile eneo ili waendelee kufanya wizi wao....mara ngapi wameporana meli za mafuta na Iran....
 
Huyo Mungu wake bila shaka ni yule Shetani Mwekundu Amerikani asiyejali uhai wa binadamu yeyote nje na maslahi yake.
 
Kumbe Gaza ni kwingine na west bank ni kwingine
Wajuzi tufahamisheni
Gaza ipo kusini,west bank ipo kaskazini mashariki ya Gaza, katikati yao ni nchi ya Israel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…