Hivi wewe huwezi kuishi bila kumtaja Magufuli!
Unaambiwa tena Walizimia na Mifuko ya Sangara mkononi !Kuna mtu fulani alifariki hapa Tanzania, basi futuhi ya kuacha legacy ilikuwa na episodes za kishamba mno.
...wapo waliokufa kwa dakika na kufufukia kwenye machera.
...wapo waliozimia huku wameshika mifuko ya plastiki.
...wapo waliokunywa viroba ili watoe machozi wanapoigiza kulia.
Uingereza kumetokea msiba wa malkia Elizabeth II aliyehudumu kwa Mika 70 kwa mafanikio makubwa lkn hatujaona "wahuni" wakiigiza kufa ama kuzimia.
Legacy imebuma.
Tofautisha miaka 60s vs 96 !
Sisi tulimpenda rais wetu vs wao wamechoshwa na ufalme!
Rais wetu tulimchagua kwa kura vs malikia alipigiwa kura na nani?
Unaposema 'sisi' uwe wazi unamaanisha kundi gani. Sisi wasema kweli, tusio wanafiki, tunamchukia sana shetani.Tofautisha miaka 60s vs 96 !
Sisi tulimpenda rais wetu vs wao wamechoshwa na ufalme!
Rais wetu tulimchagua kwa kura vs malikia alipigiwa kura na nani?
Kukosa aibu kunakudhalilisha sana , Uchaguzi upi ambao Jiwe alishinda ?Tofautisha miaka 60s vs 96 !
Sisi tulimpenda rais wetu vs wao wamechoshwa na ufalme!
Rais wetu tulimchagua kwa kura vs malikia alipigiwa kura na nani?
Bongo raha sana sihami ng'o 😂😂😂Ila bongo Kuna vituko sana, eti mtu anazimia huku kang'ang'ania mfuko wa samaki,yaani mkono ambao haujashika kitu umelegea ila wenye samaki umekaza balaa
Daaah ni fikirishi lakini nadhani ni mazingira yetu magumu ndo yalotufikisha pale mfano yule mama aliyedhulumiwa sijui viwanja unadhani angekuwa na hali ganiKuna mtu fulani alifariki hapa Tanzania, basi futuhi ya kuacha legacy ilikuwa na episodes za kishamba mno.
...wapo waliokufa kwa dakika na kufufukia kwenye machera.
...wapo waliozimia huku wameshika mifuko ya plastiki.
...wapo waliokunywa viroba ili watoe machozi wanapoigiza kulia.
Uingereza kumetokea msiba wa malkia Elizabeth II aliyehudumu kwa Mika 70 kwa mafanikio makubwa lkn hatujaona "wahuni" wakiigiza kufa ama kuzimia.
Legacy imebuma.
Asante mkuu, naomba niichukue hii pocha niweke kwenye huu uzi ili kuuongezea nyama kidogo.
Kuna mtu fulani alifariki hapa Tanzania, basi futuhi ya kuacha legacy ilikuwa na episodes za kishamba mno.
...wapo waliokufa kwa dakika na kufufukia kwenye machera.
...wapo waliozimia huku wameshika mifuko ya plastiki.
View attachment 2362041
...wapo waliokunywa viroba ili watoe machozi wanapoigiza kulia.
Uingereza kumetokea msiba wa malkia Elizabeth II aliyehudumu kwa Mika 70 kwa mafanikio makubwa lkn hatujaona "wahuni" wakiigiza kufa ama kuzimia.
Legacy imebuma.
Bongo maigizoKuna mtu fulani alifariki hapa Tanzania, basi futuhi ya kuacha legacy ilikuwa na episodes za kishamba mno.
...wapo waliokufa kwa dakika na kufufukia kwenye machera.
...wapo waliozimia huku wameshika mifuko ya plastiki.
View attachment 2362041
...wapo waliokunywa viroba ili watoe machozi wanapoigiza kulia.
Uingereza kumetokea msiba wa malkia Elizabeth II aliyehudumu kwa Mika 70 kwa mafanikio makubwa lkn hatujaona "wahuni" wakiigiza kufa ama kuzimia.
Legacy imebuma.
Yule ni askari na vipimo vimeonesha kuwa alikuwa amezidiwa na uchovu.Mbona wamezimia wengi tu hukuona mlinzi wake alidondoka mbele ya kamela mzee
2015 & 2020. Kama unapinga leta ushahidi hapa, siyo porojo.Kukosa aibu kunakudhalilisha sana , Uchaguzi upi ambao Jiwe alishinda ?
Naona sukuma gang mnajipambanua kwa maandishi yenu2015 & 2020. Kama unapinga leta ushahidi hapa, siyo porojo.
Alimbutua butua hapo alipo ana makovu kwenye nanihii yake sababu ya kubutuliwa na Magumagufuli sijui alikufanya aje!!!!!!
Mmh! Ndiyo uzimie na mfuko wa plastiki mkononi???Kuzimia hutokana na mshtuko,, mshtuko hutokana na kutokea Kwa Jambo la ghafla ambalo halikutarajiwa.
Punguzen vita na kabur
Hivi wewe huwezi kuishi bila kumtaja Magufuli!
Yesu ni shetani,?maana hutajwa sana
Wenye legasi zaoKuna mtu fulani alifariki hapa Tanzania, basi futuhi ya kuacha legacy ilikuwa na episodes za kishamba mno.
...wapo waliokufa kwa dakika na kufufukia kwenye machera.
...wapo waliozimia huku wameshika mifuko ya plastiki.
View attachment 2362041
...wapo waliokunywa viroba ili watoe machozi wanapoigiza kulia.
Uingereza kumetokea msiba wa malkia Elizabeth II aliyehudumu kwa Mika 70 kwa mafanikio makubwa lkn hatujaona "wahuni" wakiigiza kufa ama kuzimia.
Legacy imebuma.