Hatujaona mtu akizimia Uingereza, kwenye msiba wa fulani hapa Tanzania kulikuwa na FUTUHI ya watu kuzimia

Hatujaona mtu akizimia Uingereza, kwenye msiba wa fulani hapa Tanzania kulikuwa na FUTUHI ya watu kuzimia

Kuna mtu fulani alifariki hapa Tanzania, basi futuhi ya kuacha legacy ilikuwa na episodes za kishamba mno.

...wapo waliokufa kwa dakika na kufufukia kwenye machera.

...wapo waliozimia huku wameshika mifuko ya plastiki.

...wapo waliokunywa viroba ili watoe machozi wanapoigiza kulia.

Uingereza kumetokea msiba wa malkia Elizabeth II aliyehudumu kwa Mika 70 kwa mafanikio makubwa lkn hatujaona "wahuni" wakiigiza kufa ama kuzimia.

Legacy imebuma.
Unaambiwa tena Walizimia na Mifuko ya Sangara mkononi !

Ushahidi huu hapa

Katika_Historia%3A%0APamoja_na_kwamba_ALIZIMIA_baada_ya_kuuona_mwili_wa_mpendwa_wetu_MFUKO_hak...jpg
 
Ila bongo Kuna vituko sana, eti mtu anazimia huku kang'ang'ania mfuko wa samaki,yaani mkono ambao haujashika kitu umelegea ila wenye samaki umekaza balaa
Bongo raha sana sihami ng'o 😂😂😂
 
Kuna mtu fulani alifariki hapa Tanzania, basi futuhi ya kuacha legacy ilikuwa na episodes za kishamba mno.

...wapo waliokufa kwa dakika na kufufukia kwenye machera.

...wapo waliozimia huku wameshika mifuko ya plastiki.

...wapo waliokunywa viroba ili watoe machozi wanapoigiza kulia.

Uingereza kumetokea msiba wa malkia Elizabeth II aliyehudumu kwa Mika 70 kwa mafanikio makubwa lkn hatujaona "wahuni" wakiigiza kufa ama kuzimia.

Legacy imebuma.
Daaah ni fikirishi lakini nadhani ni mazingira yetu magumu ndo yalotufikisha pale mfano yule mama aliyedhulumiwa sijui viwanja unadhani angekuwa na hali gani
 
Kuna mtu fulani alifariki hapa Tanzania, basi futuhi ya kuacha legacy ilikuwa na episodes za kishamba mno.

...wapo waliokufa kwa dakika na kufufukia kwenye machera.

...wapo waliozimia huku wameshika mifuko ya plastiki.

View attachment 2362041

...wapo waliokunywa viroba ili watoe machozi wanapoigiza kulia.

Uingereza kumetokea msiba wa malkia Elizabeth II aliyehudumu kwa Mika 70 kwa mafanikio makubwa lkn hatujaona "wahuni" wakiigiza kufa ama kuzimia.

Legacy imebuma.
Kuna mtu fulani alifariki hapa Tanzania, basi futuhi ya kuacha legacy ilikuwa na episodes za kishamba mno.

...wapo waliokufa kwa dakika na kufufukia kwenye machera.

...wapo waliozimia huku wameshika mifuko ya plastiki.

View attachment 2362041

...wapo waliokunywa viroba ili watoe machozi wanapoigiza kulia.

Uingereza kumetokea msiba wa malkia Elizabeth II aliyehudumu kwa Mika 70 kwa mafanikio makubwa lkn hatujaona "wahuni" wakiigiza kufa ama kuzimia.

Legacy imebuma.
Bongo maigizo
 
Mbona wamezimia wengi tu hukuona mlinzi wake alidondoka mbele ya kamela mzee
Yule ni askari na vipimo vimeonesha kuwa alikuwa amezidiwa na uchovu.

Hapa kwetu watu walipiga viroba ili wamwage chozi la kutosha kwenye futuhi ya msiba
 
Kuzimia hutokana na mshtuko,, mshtuko hutokana na kutokea Kwa Jambo la ghafla ambalo halikutarajiwa.

Punguzen vita na kabur
 
Kuna mtu fulani alifariki hapa Tanzania, basi futuhi ya kuacha legacy ilikuwa na episodes za kishamba mno.

...wapo waliokufa kwa dakika na kufufukia kwenye machera.

...wapo waliozimia huku wameshika mifuko ya plastiki.

View attachment 2362041

...wapo waliokunywa viroba ili watoe machozi wanapoigiza kulia.

Uingereza kumetokea msiba wa malkia Elizabeth II aliyehudumu kwa Mika 70 kwa mafanikio makubwa lkn hatujaona "wahuni" wakiigiza kufa ama kuzimia.

Legacy imebuma.
Wenye legasi zao
 
Back
Top Bottom