Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,443
- 4,006
Familia ya malkia inatuhumiwa kupanga njama za mauaji ya princess Diana of Wales na kumtishia mke wa Prince Harry aitwaye Meghan hadi wakafikia hatua ya kuwatenga kwenye ukoo nao wakahamia Kanada!!!!Kwani elizabeti hakuwa mtekaji muuaji na mporaji? Yy na familia yake ndiyo walikuwa vinara wa biashara ya utumwa, waliwateka kuwapora na kuwaua babu zetu. Hivi unaweza kujiuliza nani anayehusika na kifo cha DADI AL FOYED? Wacha kuwa mtumwa wa fikra
[emoji38][emoji38][emoji38]Ila bongo Kuna vituko sana, eti mtu anazimia huku kang'ang'ania mfuko wa samaki,yaani mkono ambao haujashika kitu umelegea ila wenye samaki umekaza balaa
Swali bora la mwaka .Kuna Padri au Imam anaweza kumaliza kuswalisha bila kumtaja sheitwan?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Jisemee mwenyeweTofautisha miaka 60s vs 96 !
Sisi tulimpenda rais wetu vs wao wamechoshwa na ufalme!
Rais wetu tulimchagua kwa kura vs malikia alipigiwa kura na nani?
Kama barabara ni maeneo ya biashara basi wewe jaribu kuogea sebuleni badala ya bafuni kama hutaonekana kituko.Hapa kwetu walilia na kuzimia sababu walijua baada ya kuondoka yule bwana yafuatayo yanakuja na yametimia;
1. Kuondolewa maeneo ya biashara
2. Kulipishwa kodi za kichwa[tozo]
3. Rushwa kurudi kwenye huduma za afya na nyingine za msingi.
4. Uhalifu utarudi
5. Mateja wanarudi.
6. Gharama za maisha zita shoot
Huko kwa malkia umesikia mtu kakosa huduma ya afya kwa kukosa fedha?
Au panyaroad?
Au tozo?
Au bidhaa kupanda maradufu sababu ya vita ya urusi?
Au watu kuruhusiwa kula kwa urefu wa kamba zao?
Hu yo marehemu hakugusa maisha yawanyonge.Kuna mtu fulani alifariki hapa Tanzania, basi futuhi ya kuacha legacy ilikuwa na episodes za kishamba mno.
...wapo waliokufa kwa dakika na kufufukia kwenye machera.
...wapo waliozimia huku wameshika mifuko ya plastiki.
View attachment 2362041
...wapo waliokunywa viroba ili watoe machozi wanapoigiza kulia.
Uingereza kumetokea msiba wa malkia Elizabeth II aliyehudumu kwa Mika 70 kwa mafanikio makubwa lkn hatujaona "wahuni" wakiigiza kufa ama kuzimia.
Legacy imebuma.
Nitajisemeaje mwenyewe wakati tuko wengi? Wewe kutokuwepo hapa tulipo haimaanishi kuwa hatuwezi kuwa wengi!Jisemee mwenyewe
Kwa hiyo waliokuwa wanazirai na kupelekwa mahospitalini kwenye msiba wa Nyerere ilikuwa ni futuhi..eeh..ok.sawa..ngoja tusubiri msiba wako Sasa tuone watakavyokuwa wakikuzika kisasa kama Malkia. Inaelekea unapenda style Ile uzikwe nayo..shwainnnyKuna mtu fulani alifariki hapa Tanzania, basi futuhi ya kuacha legacy ilikuwa na episodes za kishamba mno.
...wapo waliokufa kwa dakika na kufufukia kwenye machera.
...wapo waliozimia huku wameshika mifuko ya plastiki.
View attachment 2362041
...wapo waliokunywa viroba ili watoe machozi wanapoigiza kulia.
Uingereza kumetokea msiba wa malkia Elizabeth II aliyehudumu kwa Mika 70 kwa mafanikio makubwa lkn hatujaona "wahuni" wakiigiza kufa ama kuzimia.
Legacy imebuma.
That was a political stunt!Waingereza wameshindwa hata kutandika khanga barabarani wakati msafara wa msiba wa Malkia ukipita! Sijapenda kwakweli.
Afu mbona hawajamzungusha Malkia kutoka London kwenda majiji mengine kama vile Birmingham, Manchester nk...Sijapenda
Hata ukifa wewe tutatumia political stunt, style hiiihiii au unadhan itakuwa Kama mazishi ya MalkiaThat was a political stunt!
Waliutumia vibaya mwili wa mwendazake.
Kama wewe ndiye Mungu yule tunaemjua sawa..tunakubali maamuzi yako..Muuaji, mtekaji na mporaji kamwe hawezi kuwa mtakatifu
View attachment 2361941
Huyu wa kwetu alikuwa Mtakatifu. Kuzimia ilikuwa muhimu
Kwahiyo wewe unaesema wamechoshwa na ufalme ndio msemaji wa wananchi wa uingereza?Tofautisha miaka 60s vs 96 !
Sisi tulimpenda rais wetu vs wao wamechoshwa na ufalme!
Rais wetu tulimchagua kwa kura vs malikia alipigiwa kura na nani?
mwamba kihoro cha mtu yule kitakuua kuna sehemu alikugusa ukagusikaKuna mtu fulani alifariki hapa Tanzania, basi futuhi ya kuacha legacy ilikuwa na episodes za kishamba mno.
...wapo waliokufa kwa dakika na kufufukia kwenye machera.
...wapo waliozimia huku wameshika mifuko ya plastiki.
View attachment 2362041
...wapo waliokunywa viroba ili watoe machozi wanapoigiza kulia.
Uingereza kumetokea msiba wa malkia Elizabeth II aliyehudumu kwa Mika 70 kwa mafanikio makubwa lkn hatujaona "wahuni" wakiigiza kufa ama kuzimia.
Legacy imebuma.