Hatujaona mtu akizimia Uingereza, kwenye msiba wa fulani hapa Tanzania kulikuwa na FUTUHI ya watu kuzimia

hili ni jibu tosha kwa watu wanaosifu na kuabudu mambo ya kishamba
 
mtu ashakufa bado mkimkumbuka matako yaanawatetemeka[emoji23][emoji23][emoji23] ashawatia vidole nn
 
Mtu anazimia huku amekamatia mfuko usidondoke πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
JPM na huyo mtu wenu wa Uingereza nani zaidi?
JPM alikuwa ni Rais kweli kweli na mkombozi wa kweli wa Watanzania.
RIP, JPM BABA YETU MPENDWA.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…