sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Mtoto ni kama vile kazaliwa kwajili ya kusoma tu.
Tena siku hizi wameongezewa masomo na muda mwingi wapo shulenj, hawa ni watoto wenye umri mdogo kuliko hata sisi tulipokuwa shuleni, kumbuka siku hizi watoto wengi wanaanza la kwanza wana miaka mitano wanamaliza elimu ya msingi darasa la sita wakiwa na miaka 10
Mtoto hajui hata kufinyanga udongo, yani ni masomo kwa kwenda mbele ama games za computer / simu
Mtoto hapati hata muda wa kufanya chores zake kumfunza majukumu ya ziada kama kumwagilia bustani, kulisha kuku, kusafisha mazingira ya nyumbani, n.k. ni masomo kwa kwenda mbele
Tena siku hizi wameongezewa masomo na muda mwingi wapo shulenj, hawa ni watoto wenye umri mdogo kuliko hata sisi tulipokuwa shuleni, kumbuka siku hizi watoto wengi wanaanza la kwanza wana miaka mitano wanamaliza elimu ya msingi darasa la sita wakiwa na miaka 10
Mtoto hajui hata kufinyanga udongo, yani ni masomo kwa kwenda mbele ama games za computer / simu
Mtoto hapati hata muda wa kufanya chores zake kumfunza majukumu ya ziada kama kumwagilia bustani, kulisha kuku, kusafisha mazingira ya nyumbani, n.k. ni masomo kwa kwenda mbele