King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Kwa uthibitisho upi?
Mvua ya miaka 30 aliyopewa inathibitisha pasipo shaka Sabaya alikuwa JAMBAZI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa uthibitisho upi?
Mahamakani ni sehemu ya kutoa haki. Mahakama imethibitisha pasipo shaka kwamba SABAYA alikuwa JAMBAZI.Ushahidi wake umethibitishwa kwenye chombo gani?
Kwa hiyo mahakama imetenda haki?Mvua ya miaka 30 aliyopewa inathibitisha pasipo shaka Sabaya alikuwa JAMBAZI.
Hiyo mahakama ikithibitisha Sabaya ana kesi mnashangilia ila ikitihibitisha Mbowe ana kesi mna nuna?Mahamakani ni sehemu ya kutoa haki....Mahakama imethibitisha pasipo shaka kwamba SABAYA alikuwa JAMBAZI.
Popote pale inaweza kuwa mahakamani, kanisani hata kwenye vikao vya wazeeKwani ili mtu matendo yake yaonekane kuwa ni ya uongo au ukweli inatakiwa yathibitishwe wapi?
Sasa kwa nini kwa sabaya mnashangilia ila kwa Mbowe mna nuna?Popote pale inaweza kuwa mahakamani, kanisani hata kwenye vikao vya wazee
Taja ugaidi wa Mbowe alifanyia wapi?Sasa kwa nini kwa sabaya mnashangilia ila kwa Mbowe mna nuna?
Umeambiwa ni njama za kufanya ugaidiTaja ugaidi wa Mbowe alifanyia wapi?
SibishaniTunakufananisha na gaidi unayemtetea kisa UKABILA.
Kwa akili zako wewe duniani kuna ugaidi wa 600K!!!?Kama kwa Sabaya mahakama imetenda haki hata kwa Mbowe imetenda haki. Mkuki kwa nguruwe
Inatishaaaaa ndio maana nasema kama kuna mbwa yoyote yule anayemtetea Sabaya basi huyu ni zaidi ya shetani
Kila maamuzi ya mahakama yanachukuliwa independently. Ndio maana kuna kukata rufaa na kutokukata rufaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mabavicha bhana!
Kwa sabaya mahakama imetenda haki..
Kwa gaidi mahakama haiko huru...
Ushahidi wake umethibitishwa kwenye chombo gani?
Kwa hiyo, Mahakama ya KISUTU ilipothibitisha kuwa akina Mbowe walikuwa wamehusika na Kifo cha Akwilina ndio uliamini ni kweli walikuwa wamehusika? Na Mahakama Kuu ilipowaona hawana hatia uliamini sasa hawakuwa na Hatia?IJUMAA KAREEM
Wengi wao nami ni mmojawapo hatukujua upande wa pili wa Sabaya mpaka Mahakama ilipothibitisha vitendo vyake vya kihalifu alivyovifanya, hapa somo linakuja tusikauke mate wala kukaza shingo kutetea watu tusiowajua upande wao wa pili wala tusioishi nao na kujua nyendo zao za siri.
Naona tunakazana tu kuandika miujumbe wacha tusubiri mahakama zetu ziamue kwa haki kama zilivyotenda kwa wengine, somo zuri la binadamu usiyemjua ni wale Wabunge 19 kule bungeni nani alijua matendo yao.
Angalizo tuwe wapole yajayo yanafurahisha.
Mahakama itatenda haki !
Kwa hiyo, Mahakama ya KISUTU ilipothibitisha kuwa akina Mbowe walikuwa wamehusika na Kifo cha Akwilina ndio uliamini ni kweli walikuwa wamehusika? Na Mahakama Kuu ilipowaona hawana hatia uliamini sasa hawakuwa na Hatia?IJUMAA KAREEM
Wengi wao nami ni mmojawapo hatukujua upande wa pili wa Sabaya mpaka Mahakama ilipothibitisha vitendo vyake vya kihalifu alivyovifanya, hapa somo linakuja tusikauke mate wala kukaza shingo kutetea watu tusiowajua upande wao wa pili wala tusioishi nao na kujua nyendo zao za siri.
Naona tunakazana tu kuandika miujumbe wacha tusubiri mahakama zetu ziamue kwa haki kama zilivyotenda kwa wengine, somo zuri la binadamu usiyemjua ni wale Wabunge 19 kule bungeni nani alijua matendo yao.
Angalizo tuwe wapole yajayo yanafurahisha.
Mahakama itatenda haki !