Hatukujua uhalifu wa Sabaya mpaka Mahakama ilipothibitisha, tuwe na utulivu yajayo yanafurahisha

Hatukujua uhalifu wa Sabaya mpaka Mahakama ilipothibitisha, tuwe na utulivu yajayo yanafurahisha

Mahamakani ni sehemu ya kutoa haki....Mahakama imethibitisha pasipo shaka kwamba SABAYA alikuwa JAMBAZI.
Hiyo mahakama ikithibitisha Sabaya ana kesi mnashangilia ila ikitihibitisha Mbowe ana kesi mna nuna?

[emoji23][emoji23][emoji23]Mabavicha akili zenu aliondoka nazo belgiji zote
 
Mahakama imethibitisha tulichojua kabla na sio tumejua baada ya mahakama kuthibitisha.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mabavicha bhana!

Kwa sabaya mahakama imetenda haki..

Kwa gaidi mahakama haiko huru...
Kila maamuzi ya mahakama yanachukuliwa independently. Ndio maana kuna kukata rufaa na kutokukata rufaa.
 
Uhalifu wa Sabaya watu wa waliujua walikosa pa kusemea hadharani.
Sote tulijua alivyowaibia wafanya biashara, alivyo lazimisha achangiwe, alivyo kata watu masikio, Labda Ni Ninyi watu wa huko Geita ndio hamkujua.
 
IJUMAA KAREEM

Wengi wao nami ni mmojawapo hatukujua upande wa pili wa Sabaya mpaka Mahakama ilipothibitisha vitendo vyake vya kihalifu alivyovifanya, hapa somo linakuja tusikauke mate wala kukaza shingo kutetea watu tusiowajua upande wao wa pili wala tusioishi nao na kujua nyendo zao za siri.

Naona tunakazana tu kuandika miujumbe wacha tusubiri mahakama zetu ziamue kwa haki kama zilivyotenda kwa wengine, somo zuri la binadamu usiyemjua ni wale Wabunge 19 kule bungeni nani alijua matendo yao.

Angalizo tuwe wapole yajayo yanafurahisha.

Mahakama itatenda haki !
Kwa hiyo, Mahakama ya KISUTU ilipothibitisha kuwa akina Mbowe walikuwa wamehusika na Kifo cha Akwilina ndio uliamini ni kweli walikuwa wamehusika? Na Mahakama Kuu ilipowaona hawana hatia uliamini sasa hawakuwa na Hatia?
 
IJUMAA KAREEM

Wengi wao nami ni mmojawapo hatukujua upande wa pili wa Sabaya mpaka Mahakama ilipothibitisha vitendo vyake vya kihalifu alivyovifanya, hapa somo linakuja tusikauke mate wala kukaza shingo kutetea watu tusiowajua upande wao wa pili wala tusioishi nao na kujua nyendo zao za siri.

Naona tunakazana tu kuandika miujumbe wacha tusubiri mahakama zetu ziamue kwa haki kama zilivyotenda kwa wengine, somo zuri la binadamu usiyemjua ni wale Wabunge 19 kule bungeni nani alijua matendo yao.

Angalizo tuwe wapole yajayo yanafurahisha.

Mahakama itatenda haki !
Kwa hiyo, Mahakama ya KISUTU ilipothibitisha kuwa akina Mbowe walikuwa wamehusika na Kifo cha Akwilina ndio uliamini ni kweli walikuwa wamehusika? Na Mahakama Kuu ilipowaona hawana hatia uliamini sasa hawakuwa na Hatia?
 
Back
Top Bottom