Hatukujua uhalifu wa Sabaya mpaka Mahakama ilipothibitisha, tuwe na utulivu yajayo yanafurahisha

Hatukujua uhalifu wa Sabaya mpaka Mahakama ilipothibitisha, tuwe na utulivu yajayo yanafurahisha

Kile kizazi cha kulishwa propaganda za kizee kilishapita, kwasasa tunawachora tu.
Kama mbowe alivyo muua Chacha wangwe na mlinzi wake pamoja na ben saanane tukasema mkakataa hapa sasa wacha majibu yake yatoke ndo mtajua kumbe ilikuwa ni kweli.

== Sumu haionjwi==
 
Kile kizazi cha kulishwa propaganda za kizee kilishapita, kwasasa tunawachora tu.
Cholleni tu ila gaidi ndo hivyo tena za mwizi ni alobaini.
Anzeni maisha mapya bila gaidi.
 
Ya kutisha hayo ni yale ambayo yamewekwa wazi bado yale ambayo watu walipotezwa kimya kimya bila kupata nafasi ya kuja kuyaeleza,bado ya ubakaji ambayo ushahidi wake ni ngumu kuthibitisha maana waliotendwa hawakureport siku ile ya ubakaji na kuweza kupimwa.
Kumbe msanii ambae alikuwa anaongelewa na yule mmiliki wa hoteli ni nandy😮
Ah jamaa alikuwa zaidi ya shetani acha alipie uovu wake asee
 
Kwa akili zako wewe duniani kuna ugaidi wa 600K!!!?
Hata wa 1,000 tu Upo! Inategemea ni katika mazingira gani. Kuna to gaidi wa bila hata thumni. Lolote lawezekana chini ya jua. Acha upunguani wa kuamini Mbowe ni Malaika. Tusubiri mahakama ituongoze
Kwa akili zako wewe duniani kuna ugaidi wa 600K!!!?
 
Ukiwa ccm automatically unakuwa umeelaanika,hilo halina ubishi so siwezi kuwashangaa wanaoona kuwa sabaya kaonewa,matukio aliyoyafanya sabaya ni mengi mengine hayaandikiki
 
Kwa ushahidi wetu raia wema, na ushahidi upo, ila tuna mifumo inayolinda uovu wa viongozi kutokana na katiba mbovu.
hidi wa nani kwamba lilikuwa genge la hao uliowataja?
 
Kumbe msanii ambae alikuwa anaongelewa na yule mmiliki wa hoteli ni nandy😮
Ah jamaa alikuwa zaidi ya shetani acha alipie uovu wake asee

Yes Ni Nandy Mkuu.....JAMBAZI Sabaya alikuwa hatari akizungukwa na GENGE lake la MAJAMBAZI WENZAKE.
 
Kama umekir ivo kwa huyu ujue na mwendazake ndo aliluwa anayafanya zaid ya haya sema hakupelekwq mahakaman.,..ulikuwa unashupaza shingo sanaa kumtetea mwendazakee bilq kujua upande mwngine wa sarafu
 
Hakuna untouchables nchi hii, kama mbowe atathibitika kuwa gaidi basi wacheni nkanyee mtondoo.

Wewe kiongozi wa chama halali cha siasa,unaanzaje mahusiano na makomandoo waliofukuzwa jeshini?

Halafu watu mnapasukwa mishipa ya shingo,bila kufanya tafakuri.
Hakuna lolote mzee
 
Kama umekir ivo kwa huyu ujue na mwendazake ndo aliluwa anayafanya zaid ya haya sema hakupelekwq mahakaman.,..ulikuwa unashupaza shingo sanaa kumtetea mwendazakee bilq kujua upande mwngine wa sarafu
Nilimtetea mwendazake kwa jinsi alivyoinyoosha nchi kama angekuwa mahabusu nisingemtetea mpaka ningejua hukumu inasemaje!
 
Ni hivi, kundi la Magufuli, Makonda, Sabaya na lile genge lake la watu wasiojulikana, tuliweka sana ukatili wao hapa jukwaani na hadharani. Watu wengi walitekwa, kuuwawa na kufanyiwa unyama na hilo genge, nyie watetea ukatili ndio mlikuwa mnajifanya kufumbia macho ukweli ule.
Tukikwambia Mbowe anahusika na kifo cha Chacha wangwe,kumtesa mlinzi wa dk slaa na kuwatisha sumaye na mwambe kuwa walambe sumu zote hizo ni dalili kuwa mbowe ni mhalifu ila haikamiliki bila ya kuthibitishwa na mahakama!
 
Tukikwambia Mbowe anahusika na kifo cha Chacha wangwe,kumtesa mlinzi wa dk slaa na kuwatisha sumaye na mwambe kuwa walambe sumu zote hizo ni dalili kuwa mbowe ni mhalifu ila haikamiliki bila ya kuthibitishwa na mahakama!

Inaonekana ww ni mzee,ndio maana bado unatumia propaganda za zamani kwenye kizazi hiki. Sikushauri kama ww ni mzee kuendelea na propaganda outdated, maana hata hueleweki unaongea nini.
 
Nilimtetea mwendazake kwa jinsi alivyoinyoosha nchi kama angekuwa mahabusu nisingemtetea mpaka ningejua hukumu inasemaje!
Sasa ndo umesema nini?yaan sabaya yy kasema alikuwa anatumwa na huyo mwenda zake...mpk hapo ni nini hujajua?..ndo maana huwa tunadai katba mpya kuondoa umungu mtu alionao Rais
 
Back
Top Bottom