Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Mtu anakaa ndani miaka 9 then usiku wa manane DPP anaibula na kudai eti “Serikali haina mpango wa kuendelea na kesi hii….”
Kuna haki za watu zimeminywa na kuna haja ya kuwa na sheria mpya nyingine itakayolenga kuwalinda/kuwafidia wahanga wa vitu vya namna hii
Kuna haki za watu zimeminywa na kuna haja ya kuwa na sheria mpya nyingine itakayolenga kuwalinda/kuwafidia wahanga wa vitu vya namna hii