Hatukutaka Mashehe wafutiwe kesi tu, kilichotakiwa ni haki itendeke ili kuepuka kejeli

Hatukutaka Mashehe wafutiwe kesi tu, kilichotakiwa ni haki itendeke ili kuepuka kejeli

... rahisi sana; wakafungue kesi ya kupinga kuachiwa kwao na jamhuri ilazimishwe kuieleza mahakama waliwekwa ndani kwa makosa yapi. Very simple.
Mkuu hapa itakuwa ni sawa na kupoteza muda tu. Anayelalamikiwa kuwa hakutenda haki (serikali) ndiyo hiyo hiyo inapelekewa kesi ya kuiomba haki hiyo (maana mahakama zetu haziko huru).

Inaweza kupigwa danadana hii kesi isisikilizwe miaka 99. Au kutafutiwa technicality error yoyote ikafutwa. Ama wakakomolewa wanaoidai haki kwa kukamatwa kwa uhujumu uchumi.

Kumbuka katiba yetu ni mbovu...
 
Mkuu hapa itakuwa ni sawa na kupoteza muda tu. Anayelalamikiwa kuwa hakutenda haki (serikali) ndiyo hiyo hiyo inapelekewa kesi ya kuiomba haki hiyo (maana mahakama zetu haziko huru).

Inaweza kupigwa danadana hii kesi isisikilizwe miaka 99. Au kutafutiwa technicality error yoyote ikafutwa. Ama wakakomolewa wanaoidai haki kwa kukamatwa kwa uhujumu uchumi.

Kumbuka katiba yetu ni mbovu...
Katiba ya kipuuzi kabisa
 
Mimi nilitaka wanyongwe kama sio kupigwa sumu wafe pole pole ..
 
Ulikuwa unataka wagome kama alivogoma Mchungaji Pitter Msigwa, baada ya kulipiwa faini na MWENDAZAKE?
Hawa mashekhe wamepitia mengi huko mahabusu. Walifeerwa kwa vijiti vya mpingo. Msitake warudi tena huko.
 
Wangekuwa siyo magoigoi wangekaa mahabusu miaka 9 bhana!?? Usiwape promo watu walioachiwa kwa huruma.
Uliisikiliza vizuri hukumu Ile iliyowafutia makosa Yale 14? Ni hivi, mahakama za Tanganyika hazikuwa na ruhusa ya kusikiliza makosa yaliyofanyika Zanzibar kwani nao Wana mahakama zao. Hao walishtakiwa bara kwa makosa na hii wanasheria walilijua vyema ndio maana wakabaki na room ya kuwasotesha mahabusu za bara. Ila kiuhalisia hawakuwa na sababu ya kujibia makosa yao bara Bali Zanzibar yalikotokea!
 
Mbona unahakisha magoli tena? Tunaongelea watu kumwagiwa tindikali, mapdre kuuawa na makanisa kuchomwa moto. Naona unakimbilia kwenye ulingo wa hajahamisha mtu ma post

Unakumbuka enzi zile zilizoshamiri za kuchomwa kwa makanisa?. Kumwagiwa tindikali mapadree na wachungaji?. Kuuawa kwa watu wenye imani tofauti na ya hao?. Enzi za mihadhara ya kichochezi? Lakini baada ya hao kukamatwa na kuwekwa ndani kulitulia mpaka leo hii. Labda tu zianze tena hizo vuguvugu baada ya hao kutolewa.
Zote hizo ni vurugu za kisiasa,ila kama umewasikia hao wawili mashee walichokisema ni kuwa hizo shutuma na tuhuma zenu zimechomekewa ndio nikasema wasikilizeni na mnachotakiwa kufanya ni kuwasafisha na yale mliyoyachomekea, wavunje makanisa ,wamwagie watu asidi na menginetele ,mshindwe kupeleka ushahidi kwa miaka tisa,kisha mnawaachia kinyemela nyemela tu,mmeshindwa hata kulizungumza hilo ndani ya mahakama kuwa kesi imefutwa kwa sababu hakuna ushahidi,mmeona aibu ,ndio nikasema hili halitapita ni lazima mjitokeze mseme ukweli na kuwasafisha na hizo dhana zenu kuwa wao ndio sababu ya kuchoma na kuchomwa na kuwamwagia .
 
Hawa mashekhe wamepitia mengi huko mahabusu. Walifeerwa kwa vijiti vya mpingo. Msitake warudi tena huko.
... nakumbuka kuna kipindi walilalamika kuhusu hiyo kitu!
 
Hawa mashekhe wamepitia mengi huko mahabusu. Walifeerwa kwa vijiti vya mpingo. Msitake warudi tena huko.
Una uhakika kuwa uliyoyaandika hutokea kwenye magereza ya nchi hii kwa nyakati tulizonazo? Mbona kama umekengeuka au Kuna ushahidi ulio nao utuwekee hapa? Yaani umeamua kumwalika mkuu wa magereza yetu hapa she atuthibitishie hayo uliyoyaandika!
 
Mambo ya ki UVIKO 19
MFUMO MFUMO
Hivi wale waliochanjwa zanziba kwa ajili ya kwenda kuhiji walienda au?
Maana nasikia huko wanakohiji nako wamezuia watu kwenda sasa chanjo nayo haifai tena?
 
kuwasafisha na hizo dhana zenu kuwa wao ndio sababu ya kuchoma na kuchomwa na kuwamwagia .
Kwanini kwa miaka 9 makanisa hayajachomwa? Mapadre na waxmchungaji hawajauawa na watu hawajamwagiwa asidi?
 
Una uhakika kuwa uliyoyaandika hutokea kwenye magereza ya nchi hii kwa nyakati tulizonazo? Mbona kama umekengeuka au Kuna ushahidi ulio nao utuwekee hapa? Yaani umeamua kumwalika mkuu wa magereza yetu hapa she atuthibitishie hayo uliyoyaandika!
Wewe utakuwa siyo mfuatiaji wa Mambo. Usibishane na nguli wa habari. Hawa mashekhe washalalamika mara kibao juu ya hili. Na hata kulikuwa na mwito wa mashekhe wenzao wakilalama juu ya hili. Rejea hata comment na 48 hapo juu
 
Wewe utakuwa siyo mfuatiaji wa Mambo. Usibishane na nguli wa habari. Hawa mashekhe washalalamika mara kibao juu ya hili. Na hata kulikuwa na mwito wa mashekhe wenzao wakilalama juu ya hili. Rejea hata comment na 48 hapo juu
Kubali tu kuwa kulikuwa na makosa ya kisheria juu ya mahakama sahihi za kusikiliza mashauri Yale! Na hili ndilo lililowaachia na sio takwa la mtu au la kisiasa! Wale majaji wa mahakama juu waliosikiliza zile rufaa zao waliliona hili na kulitendea haki hadi waendesha mashitaka wa serikali wakawapigia makofi! Elewa kuwa Kuna wanaojua kuliko wewe na kubishana nao hutoshinda!
 
Ukisikia kejeli ndio hizo na inaonekana umedumaa akili.

Tunataka tujue wameachiwa kama nani nikimaanisha ni lazima waliowafunga miaka tisa watamke iwe ndani ya mahakama au kwenye vyombo ili kuwasafisha, huwezi ukawaachia watu mitaani tu, hawa bado wanamoyo hawajafa wapo hai,wasio na adabu tunawaona wanawapigia makelele na kuwazomea kwa mbali wakiwatita magaidi gaidi huyooo, hilo oo gaidi na maneno mengi ya kudhalilisha, sijui umenielewa.
Kama unaona Serikali imekosea nenda Mahakamani kafungue kesi. Wao wenyewe wanajuwa ndani ya mioyo yao ni nini walifanya mpaka Serikali ikawakamata na kuwaweka ndani miaka 9.

Naamini Serikali imefanya vyema katika kipindi chote wakiwa ndani, na naamini mpaka wanaachiwa kuna documents wamesaini. Wanajuwa kabisa wakirudia tu cha mtema kuni kitawakuta.
 
Zote hizo ni vurugu za kisiasa,ila kama umewasikia hao wawili mashee walichokisema ni kuwa hizo shutuma na tuhuma zenu zimechomekewa ndio nikasema wasikilizeni na mnachotakiwa kufanya ni kuwasafisha na yale mliyoyachomekea, wavunje makanisa ,wamwagie watu asidi na menginetele ,mshindwe kupeleka ushahidi kwa miaka tisa,kisha mnawaachia kinyemela nyemela tu,mmeshindwa hata kulizungumza hilo ndani ya mahakama kuwa kesi imefutwa kwa sababu hakuna ushahidi,mmeona aibu ,ndio nikasema hili halitapita ni lazima mjitokeze mseme ukweli na kuwasafisha na hizo dhana zenu kuwa wao ndio sababu ya kuchoma na kuchomwa na kuwamwagia .
Laurent wa ivory coast kaachiwa, kuna fidia aliyopewa?? Nani kasimama kumsafisha???
 
Back
Top Bottom