hukuniona nilipokuwa nakutongoza kwa macho?
nilikuwa nayapekecha kama ya Rose1980,
Baba Enock sikutaka atuone!!!!!!
Mhandisi hebu nipishe kidogo.....usihoji..
Mhandisi unajua The Pope anatusubiri JJ?
yaliyomo yamo kumbe!!ikihamia kwangu hakuna mby tena bora hiyo ya kichwa ikikata ntairekebisha kuliko ile ya kichwa cha chini ikikata mpaka nianze kuimba kasimama peke yake kamuona mchumba wake ni leo?
sasa itakuaje paka nitakimbiwa mpaka lini na uzee waja kwa kasi hata kunidanganyishia tu hawataki Mwe
Ewaaa....ukiona unakubali utakua unachuma majani hapa...
Sijui nikupege lizawadi gani ili uamini nakupendaga....
...
Mhandisi unajua The Pope anatusubiri JJ?
What i see is what i getmmmh yap kizuri si unakula na nduguyo?mm sina neno
,asikombe mboga tu
nipe hilo bichwa la samaki tu nilile hapo nijitolee mijifupa mwenyewe
Sikukuona bana aaakkkk du nitumie PM basi
yakunitongoza nifurahi wewe macho tu unafikiri yanatosha???
Basi tukikutana tena pale JJ utanitongoza eeehhh
Jamani kina dada mbona hamtaji wanaowatongoza ili tufanye evaluation ya hii kitu.:horn:
1. Asprin😛lane:
2. Kimey
3.Teamo
4. ST.RR kishakili mwenyewe
5.Acid
6. Bacha
7.Uporoto
8.PakaMweusi
9.Bujibuji:A S 39:
10.Mr Prezident
11.. Baba Enock :roll:
nakija :A S thumbs_down:
Nashukuru shemeji kwa sapoti yako,nina chupa yako ya wine hapa.Huyu mkubwa hawezi kusema hata ukimfataki
Jamani kina dada mbona hamtaji wanaowatongoza ili tufanye evaluation ya hii kitu.:horn:
1. Asprin😛lane:
2. Kimey
3.Teamo
4. ST.RR kishakili mwenyewe
5.Acid
6. Bacha
7.Uporoto
8.PakaMweusi
9.Bujibuji:A S 39:
10.Mr Prezident
11.. Baba Enock :roll:
nakija :A S thumbs_down:
ah ah ah si la kutongozwa na kutongozeshwa?au unataka na mm niwe poyoyo nianzishe sread?
Nimeshapisha kazi kwako mkuu!!!
Nikishampata pearl ntakuja kwako....rest assured!
duuhh mie sura chachu napenda rugby kila mwanume ananikimbia lol
hahahahah :crying: